Akili ya hawa watu ni kuwatamanisha wengine kwa kujionesha ufahari wao wa kifedha sio jambo zuri fedha sio kipimo cha maisha mazuri ila ni sehemu ndogo tu ya maisha Kwan maisha yana mambo mengi
oh mond sjui nini mishabiki mandazi hiyo angekua fup ungeskia sifaujinga kibao ila mondi kidume kutoka kupewa mizengwe yakutupiwa miyai stejin namijtu yaclous mpaka leo umekuwa zaid yao wanamtumia fup nakulialia ila hawataweza sisi tunakuelewa mzee baba usbweteke wapelekee moto
Ndugu yangu maswala ya pesa huwez kumlazimishaa mtu afanyiee nini, Tafuta na ww pesa ufanyee unachowezaa kama kusaidia au hapana, USIMPANGIE MTU MATUMIZI
Wealth should be shared with the need and the poor! We should not use our wealth that God has given to us extravagantly. Poor people and orphans are dying out their because of hunger and lack of shelter,brothers. Spend your wealth for charity and not for fun. Remember the days that you had nothing,bro! You prayed to God to give you less that what you own today. Now that you have more than what you had prayed for,try to show your humanity by supporting the poor and not those who are able. Unless your wealth is from the devil,bro. You will be questioned for all stupid things that you are doing now! Take it from me,bro.
GaraB pole my dear yaan sidhan Kama umewah kufanya kazi yenye machawa mengiii hv wakakunyima Uhuru wa kazi yako!!!!! Yaaan umepigwa na kitu kizito kichwan halooo
Usimpangie wa usimuingilie mtu kwenye maisha yake, siri za ndani na whatever transpired toka akiwa mtoto hakuna ajuaye the whole story. Kuhumu binadamu ni kazi ya Mungu peke yake.
Kuna watu wamegeuka wasemaji wa 'mzee' Abdul bila kujua undani wa maisha yao, wengi ni haters wa Diamond ambao feelings zake means nothing to them. Kila mja ana machungu moyoni mwake na kusamehe aliyopitia ni hiyari wala si lazima.
Anataka acheze na akili zetu...Tz wake up sa huyu bwana harusi au Mc 😅😅😅....ongelea maisha yako wewe utaishi vp na mkeo we wamsifia mtu Ahahahahah kaz kwel kwel
Kusoma ni vizuri rafiki zangu.ujinga mubaya na kulelewa namamako tu si vizuri .domo sadala ni mujinga, mchafu, shoga na mushamba.harmonize kamukondesha hakili
We mkundu acha ujinga wako mbona baba yako mama yako hawajasoma na bado wakakuleta wewe ambae hata vidudu hujasoma achana na diamond atsendelea kupakatwa
Mnalalamika Nini?Wasanii pesa wanazipata wapi si mnawachangia ninyi Wenyewe mpaka wanatajirika kwa kuwauzia sauti zenye nyimbo za hovyo na zilizojaa matusi,alafu mnakuja kulalamika baadae.🤔🤔🤔
Dah mondi unajuwa chezeya akili za wafasi wako naami wengi wao apo wataunga harusi za haraka haraka kwakutaka wapewe misaada na jibu.ivi salam havutiwagi na ivyo vyote kwanini asifanye harusi naye.
Huyu bwana harusi kiherehere sana Sasa kamlipa Mc wa Nini kweli bongo Kuna vijimambo🤔🤔
Mc hajui wenye pesa
Huyu mwanamke,she is black beauty ❤️❤️❤️
Ndio mrembo mashaallah
@@jumakassim8718 nashangaa mwijaku anasema sio mrembo
sana2
✅✅
Jamani wangekuwa wanafanya kufuru hvyo Kwa kusaidiya yatima ingekuwa jambo LA maana sana
Mungu anawaona ngoja tuwaache ila yatima,wajane,wazee, masikini wa rika zote na walemavu wanaishi kwa shida mno
Pesa za masharti
Bwana harusi kageuka MC jaman sasa garab alifata nn huko 😀😀😀
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Njaa inamsumbua...
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣njaaaaaaa
Hii harusi kama yakenya mc hadi bwana harusi 😃😃😃
Profesa jay wasn’t suppose to be in that room with full of jerks
Tuliiwaambia hawatuezii kipesa ata kiuchawii😂😂
Chawa wetu,, Mama levo ,,ananyemelea pesa ,, aty bosi wangu diamond ,, mshenzi kweli
J9. ua-cam.com/video/ObkUUy3PWpw/v-deo.html
Danh kwaiyo ktk watu wote walioko hapo hakuna mtu mwenye ela kumzid mond.maan bwan harusi anavyo jikomba duh.mke wake sijui anajiskiaje.
Watu wana pesa jamani, mimi nahaha ada😥
Kubali yaishe, kuna mengi nyuma ya pazia. ujui hizo hela zinakujaje
Ucjar wakati wetu upo tupambane
Watu wana pesa jaman daah 😢😢
Hi. ua-cam.com/video/ObkUUy3PWpw/v-deo.html
Akili ya hawa watu ni kuwatamanisha wengine kwa kujionesha ufahari wao wa kifedha sio jambo zuri fedha sio kipimo cha maisha mazuri ila ni sehemu ndogo tu ya maisha Kwan maisha yana mambo mengi
kajambe huko🤣🤣
Nimekuelewa ndugu
Pesa sio matako... heshimu pesa baada ya Mungu
Simba amependeza hyo suti.
Acha wivu ndg yng, muombe Mungu na ww ufanikiwe.
Zaman ukiwa Kalibu na mtemi mtemi akifa unazikwa nae ww ukiwa mzima unafukiwa ndobaba levo
Huyo ndo Msanii Big Platnumz 💎💎🔥 Sema pesa zake zinatesa vijana wanaotoka familia za kimaskini sana
Haswaaa njaaa zao
Daimond mashaallah,naomba nisaidie kumlipia mwng ada ya mwaka million 3 ,nahagaika kuitafuta
Awesome anajua kucheza na mastar kiakili hongera sana
oh mond sjui nini mishabiki mandazi hiyo angekua fup ungeskia sifaujinga kibao ila mondi kidume kutoka kupewa mizengwe yakutupiwa miyai stejin namijtu yaclous mpaka leo umekuwa zaid yao wanamtumia fup nakulialia ila hawataweza sisi tunakuelewa mzee baba usbweteke wapelekee moto
C Bora hata angevaa suti yako , hiyo suti kama muhudinu wa ndege .harusi ya watu mnaanza kujinadi majugu
Hii ni kufuru naomba kujua kama watoto yatima, na wajane mtaweza kuwafanyia hivi ni wakat wa kuwakumbuka wenye dhiki na taabu na wenye magonjwa.
Wanapenda misifa na kujionyesha na mashindano
Ndugu yangu maswala ya pesa huwez kumlazimishaa mtu afanyiee nini, Tafuta na ww pesa ufanyee unachowezaa kama kusaidia au hapana, USIMPANGIE MTU MATUMIZI
Ukifanya wewe inatosha
Hela zake matumizi upange wewe
Diamond anapenda sifa hyo ni sifa tuh.
Hii sio harusi ni sehemu ya kuwachambia wengine tu
Bwana Harusi tamaa mingi. Tangu lini tena kageuka MC? Jifunze adabu bwana
Chawa amepewa kazi ya kushika fimbo
Jmn yn🤣
Ujaangalia vizuli fimbo kaiyacha ilopo kaa iyo yake baba Levo ludia tena kuangalia utagungua kitu ya mondi inan, gaa kama fedha
Wealth should be shared with the need and the poor! We should not use our wealth that God has given to us extravagantly. Poor people and orphans are dying out their because of hunger and lack of shelter,brothers. Spend your wealth for charity and not for fun. Remember the days that you had nothing,bro! You prayed to God to give you less that what you own today. Now that you have more than what you had prayed for,try to show your humanity by supporting the poor and not those who are able. Unless your wealth is from the devil,bro. You will be questioned for all stupid things that you are doing now! Take it from me,bro.
Very True
I think this so negative. You are not in a position to dictate the spending of someone, unless you’re tripping bro.
GaraB pole my dear yaan sidhan Kama umewah kufanya kazi yenye machawa mengiii hv wakakunyima Uhuru wa kazi yako!!!!! Yaaan umepigwa na kitu kizito kichwan halooo
Mke mrembo mashallah jaman ❤❤❤❤❤❤❤❤❤👌
Kama MTU hujawahi kwenda Kwa mganga basi usimwite mwenzio mchawi maana wote ni washirikina.yule ambaye hajawahi kwenda basi ndie aongee,
kabisa mn unajuaje km mchawi km hujenda kumchawiya jamani diamond wa2 wanampiga vita yule harmonize hakustahili kusema vile lkn washauri wake wabaya
Mzee mwenzangu profer J ajionea nyotanyota tu kama mie dada ake 🙄😆😆.
Au kamwolea Diamond maana pesa nyingi mtu akutunze hivyo ahhhh ndio maana wanamtegeshea mimba anapesa ajui azifanyie nin 😁😜😜😁😁
PESA SI KITU JAMAN. TUNAZIACHA HAPA DUNIAN. TUREKEBISHE NA MUNGU MAISHA YETU JAMAN
Mungu akubariki diamond❤️💋
Mmmmh kama alimzawadia kiwanja wapi hati miliki hapo kuna mchezo mana wbc kwa uongo ni namba 1
Baba levo umekuwa chawa mpka unaboaa
Nc
Million 80 bana acheni kupunguza bana
Waambie bro
Duuuuuh!!! Hii Harusi nikuchambana kwanza halafu ubwabwa 🤣🤣🤣🤣
Bwana harus kageuka MC...🤣🤣🤣🤣
Uyo mama levo kama kipofu na iyo fimbo
@@rizikikhalid5119 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaaaan
Diamond uwo ndiyo uhutu kabisa mungu akubariki
Mimi pia nawa chawa wa diamond sio Kwa pesa hizo
Jamani aristote ana vituko sogezeni camera 📸🤣🤣🤣
Kwasababu wajinga wangelisema yalikuwa fake kwaiyo alifanya vizuri
Huyo ndo Msanii wengine wabana makoo tuu ila njaa zinawaua..Big Simba 🦁💪🙌🙌
Chawa ukijitunza kama aristote, lokole na Baba levo we nizaidi ya boss wako maana anavyokuthamini hadi anajisahau yeye.
Acheni mambo ya kuabudu sanamu mwabuduni Mungu aliye hai
Kwan umeona in m2 kapiga magoti
Nyooooo
Jmn,mondi unakosea,mbn hiyo pesa yote usimnunulie babako nyumba,we unawazawadi marafiki hata kama sio babako lkn alikulea maskini nzee Abdul
Usimpangie wa usimuingilie mtu kwenye maisha yake, siri za ndani na whatever transpired toka akiwa mtoto hakuna ajuaye the whole story.
Kuhumu binadamu ni kazi ya Mungu peke yake.
@@unclepwechnov1381 🙌sijaingilia maisha ya mtu wala sijampanhia mtu hayo maoni tu
Wewe ushamnunulia Baba baikeli? Hayakuhusu
Mond ana misifa kweli anashindwa kutengeneza mazngra ya mzee abdul,
Kuna watu wamegeuka wasemaji wa 'mzee' Abdul bila kujua undani wa maisha yao, wengi ni haters wa Diamond ambao feelings zake means nothing to them.
Kila mja ana machungu moyoni mwake na kusamehe aliyopitia ni hiyari wala si lazima.
Chawa baba levo
Asante kwa kupiga nimbo yangu 🙏🏾🙏🏾
Apeleke ulimbuken wake huko huyo sadala Hana lolote,nikuminya wasanii ndo anajua na kuja kuonyesha ufahali kwenye harusi..
Anapenda sifa sana aonekane
Wivu huo unakusumbua loo
Wivu huo unakusumbua loo
Mbona makasiriko !!!Kwan amekuminya ww!!!
Kila mtu na Chawa wakee jamaniii🤣🤣🤣
Wasiompenda diamond bure yao mm nampenda bureee
kabisa mie ndo usiseme nampenda sana haswaa na mwanangu pia anampenda haswa na hayuko Tz
Bwana harusi kiereere kaa nini
🤣🤣🤣🤣 hapo mama levo anatamani aolewe na yeye atunzwe 🤣🤣🤣
😄😄😄😂😂😂
Kweli kabisa
😂😂😂😂
Anataka acheze na akili zetu...Tz wake up sa huyu bwana harusi au Mc 😅😅😅....ongelea maisha yako wewe utaishi vp na mkeo we wamsifia mtu Ahahahahah kaz kwel kwel
Ila mwijaku anakera jmn D wangu mungu akuweke baba
Y7. ua-cam.com/video/ObkUUy3PWpw/v-deo.html
Mzee wa kunyoosha maneno
Ni kutaka tu sifa...watu wamsifu....angempa..jeki bila mtu kujuwa
Ungekakimya ingependza Ili watu wakushereheshe
Tz mtatuonyesha mambo 🥰
Huyu jamaa ni tajiri ila mshamba..... Matajiri wa Kibongo kwa kujitutumua bwana!
Million 80! Uku 30 tushike lip Simba kama simba
Kiwanja cha million hamsini na million thalathini cash
Ovyoo kabisa eti "Diamond this! Diamond that" Kma machoko unamuongeleaje mwanaume mwenzio hivyo kweli chawa ni bimdogo
Acheni ushamba kuvaa miwani nyeusi usiku🤔🤔🤔🤔🤔
Kusoma ni vizuri rafiki zangu.ujinga mubaya na kulelewa namamako tu si vizuri .domo sadala ni mujinga, mchafu, shoga na mushamba.harmonize kamukondesha hakili
We mkundu acha ujinga wako mbona baba yako mama yako hawajasoma na bado wakakuleta wewe ambae hata vidudu hujasoma achana na diamond atsendelea kupakatwa
Mpe nawe huo mkundu akufile
Anapesa ama anataka kufunika kombee kujishauwa tuuu
Ila kuna vijembe hatarii
Mbona tu Mach mane anataka kumwaga moto atulii sehem moja mwijaku na ye yumo tu
Mmmmmmmm, tutafute pesa Jaman!!! Maan mc 3 had baba levo
Mhm kazi ipoo watazamaji tumepgwa na kitu kizito kichwan
🤣🤣🤣
Mnalalamika Nini?Wasanii pesa wanazipata wapi si mnawachangia ninyi Wenyewe mpaka wanatajirika kwa kuwauzia sauti zenye nyimbo za hovyo na zilizojaa matusi,alafu mnakuja kulalamika baadae.🤔🤔🤔
Kabisaaa
Kabisa umesema
Nm. ua-cam.com/video/ObkUUy3PWpw/v-deo.html
Full mipasho mweeh!! Kila mmoja na chawa wake na majigambo yake kazi ipo!!
Hii ilikua rambirambi sio harusi make sio kwa upuuzi huu umegeuka ombaomba kwenye harusi, pia pole Mc make hii ilikus kigodoro
Kweli rambirambi
Kwani ukitaki diamond aje kwenye shughuli yako una pija ngapi ngapi eti jaman
😀😀😀😀
Daah watu na pesa zaoo
Zimerudishwa zote hizi pesa. Mbona boss feki kashindwa kulipa magari yake ya gharama kodi?
*Ndugu zangu kwa heshima naomba muangalie video ya wimbo uitwao Je Utavumilia kwa bofya picha pembeni 👈💕🙏👈 kuutazama naamini utaupendaaa*
Poa man
Safi
WAMAKONDE WAMJIA JUU HARMONIZE WAMTAKA AOMBE MSAMAHA KWA DIAMOND
ua-cam.com/video/Toldeu_VYtg/v-deo.html
ua-cam.com/video/Toldeu_VYtg/v-deo.html
ua-cam.com/video/Toldeu_VYtg/v-deo.html
Kikubwa uzima na amani unaweza pata pesa ndefu lakini mm kapuru nikakuzidi amani 😂
Ela zaenda kwenye w2 wenye ela...duuh
Aristote n nan hapa tz.
akili zetu wabongo, hapo sijaona cha maana kabisa , kwanza uyo Bwana harusi au MC?, bored
Hakuna pesa inaweza kuhamiswa kwa cheki 15m mwisho huwa ni 10m
You’re Confusing, it’s possible. Okay
🔥🔥🔥❤️❤️❤️🦁🦁
I don't believe D gave him money just like that🤑🤑🤑please ppl you all need to wake up is business!!!! 😪😜
Kwani mwenye suti ya orange kaitwa?
Aristotee wewe umekuwa MC? Unaongea hadi kichefuchefu Yaani
Oy Maisha Ya Amani Sio Pesa,,,,Pesa Chanzo Cha Presha,,Pesa Ina Asilimia Robo Kwa Maisha,,,Robo Tatu Upendo wakweli Siopesa
Baba levo chawa wa maana sana
👃 saivi kawa bodigadi jamani wew ela
Baba Levo haaa upunguze mda mwengn
Uniwez kipesa acha aonyeshe jeur ya pesa ndan ya camera nje ya camera ziludishe 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Uongo mtupu baadae zinarudishwa hizo huo mchezo upo
Mke ndo hana hapo! Bibi harusi gani mbaya hivo! Sura kama matembele yaliyo lala!
Sifa za hivyo mtu unayejitambua lazima uzikatae
Oi wewe ni tahira
Respect allystote
Huyo mwijaku mbona km hajakaribishwa hapo 😂
Mbona hana point 😂😂
Hivi alialikw kweli?
Baba levo akiona Hela🤤🤤🤤🤤🤔
Chawa wa daimond Hawa sasa we ni mc au bwana harus🤣🤣🤣
🔥✌️
Dah mondi unajuwa chezeya akili za wafasi wako naami wengi wao apo wataunga harusi za haraka haraka kwakutaka wapewe misaada na jibu.ivi salam havutiwagi na ivyo vyote kwanini asifanye harusi naye.
Diamond cku nyingine utupege na Cye wenye uhitaji wanaongezewa wenye nazo tu🙄
Huyu bwanaharusi nae kiherehere sasa alimleta mc wann huku snaongea yy 2
🔥🔥
Zawadi co mpk uonyeshe mbele kadamnasi kwamb una hela cku zikiwaishia mtaficha wapi sura zenu
Baba levo jamani
Yani kuwa chawa ni kaziii jamni unateseka unatetemeka kwa mtu mwenye khaa,yani baba levo anateseka mbayaa
ua-cam.com/video/wy_mr-kum2o/v-deo.html gusa hapo