Anawaombea inawezekana kapitiliza siku za kujifungua,sema shinyanga nao wamezidi uchawi hawaamini Kama pia ni kazi ya Mungu kuombea wajawazito ,huyo Dc kakosea Sana aisee
Angalieni kwaumakin hilijambo msitumie vyeonakujipiga. Vifua mama MUNGU anawashughulikia sana wanaojigamba na kujipiga vifuavyao unaposema au kuongea hakiba yamaneno nimuhim sana
@@OmmyJames-xn7ji bro asa mambo yaku chinjana yame toka wapi, ayo nima wazo yako, kwani ume fatiliya iyo video vuzuri, sema siku hizi kila mtu Ana fanya mambo ili a trend sana sana watu wanye wako kwenye politics
Sioni sababu ya kulifungia kanisa, nadhani mheshimiwa hakuelewa kwasababu taratibu ni kwamba mjamzito anaombewa kwanza kama kinga ya kujifungua salama hospital.
Anawaombea inawezekana kapitiliza siku za kujifungua,sema shinyanga nao wamezidi uchawi hawaamini Kama pia ni kazi ya Mungu kuombea wajawazito ,huyo Dc kakosea Sana aisee
lol it’s idk serikali ufunge maternity wards zote n chini mchungaji
Makanisa yanaibuka kila kukicha mengine ni ya kishetani,yatatokea ya Shakahola
Hivi kweli Yesu alizalisha Kwa maombi
Kwani jamani hawa watu hawana akili za kujiongeza
Yan wewe una hakiri, kweli,, mmeshindwa,, kutatua kero za wananchi,, mnafatilia watumishi wa, mungu,, rahana zimewajaa
Tena atakuwa nimgonjwa wa akili
Angalieni kwaumakin hilijambo msitumie vyeonakujipiga. Vifua mama MUNGU anawashughulikia sana wanaojigamba na kujipiga vifuavyao unaposema au kuongea hakiba yamaneno nimuhim sana
Mimi sioni tatizo hapo yaku fungiwa kanisa, sema mtu mwenye Ana simamiya kesi sioyu mtu wa dini, awezi elewa
Huoni tatizo KESHO utasikia akichinja waumini hawo MAPAROKO 😢😢😢😢😢
@@OmmyJames-xn7ji bro asa mambo yaku chinjana yame toka wapi, ayo nima wazo yako, kwani ume fatiliya iyo video vuzuri, sema siku hizi kila mtu Ana fanya mambo ili a trend sana sana watu wanye wako kwenye politics
Hauna busara umeona ndio kero za wananchi nihizo nikero kwani hata muandishi unaongea kwakuwa nawe umelaniwa
Misioni tatizo kama anafanya maombi ili wajifungue salama
Siyo kweli jamani waende hospital
Wagalatia bana,wana wa kondoo, wakiteseka na wana wa simba tutaona mengi
ila Jamani mambo mengine uonevu tu, kwani huwa anawaita? ata kama anawaita huwa wakitoka kuenda akili zao huwa wanaziacha makabatini mwao?
Wagalatia bana,wana wa kondoo, wakiteseka na wana wa simba tutaona mengi
Mamlaka yako au ya juu yako haitakiwi ???
Sioni sababu ya kulifungia kanisa, nadhani mheshimiwa hakuelewa kwasababu taratibu ni kwamba mjamzito anaombewa kwanza kama kinga ya kujifungua salama hospital.
wachunguzeAkili😂😂😂