JESHI LA POLISI LAZINGIRA MAKAO MAKUU YA CHADEMA MUDA HUU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 148

  • @JafarsimaouchuJumbe
    @JafarsimaouchuJumbe 9 днів тому +15

    TUNDU LISU is still man of the match...
    Bado anaupiga mwingi dimbani..

  • @kotei-s3l
    @kotei-s3l 9 днів тому +23

    😢 shida wanalazimisha watu wangalie mkutano wa African anajua sisi kama kawaida tutamfatlia TUNDU LISSU 😂😂 kwahyo kama wanataka kutulazimisha unji itulie tuwangalie wao sawa mme tu tangulia 😂😂 2:08

    • @felixmsengi1084
      @felixmsengi1084 9 днів тому +2

      Wangeongeo nao toka Jana na kuangalia nani alitangulia kuwa kwenye ratiba ubabe sio mzuri jeshi la polisi, nawashauri kuepukana nao waache wamalize vikao vyao kisiasa mtapata hoja pia zinazojadiliwa kwa manufaa ya taifa letu

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 9 днів тому +19

    Polisi mnatumika vibaya waacheni watu wafanye yao muhimu wasivunje sheria za Nchi

  • @MicahGhloloj-bs4cy
    @MicahGhloloj-bs4cy 9 днів тому +15

    Kwani lazima kufatilia mkutano wa nishat duuh😢😢😢

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 9 днів тому +10

    Kweli hawa pols ni watumwa kamili

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 9 днів тому +17

    Watu hawana Habari na mambo ya nishati wanataka chadema

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 9 днів тому

      Baadhi yenu wapumbavu wengi wenye akili zao hawahangaiki na ujinga huo

  • @Hkilave
    @Hkilave 9 днів тому +10

    Huu ni uchokozi wa hali ya juu

  • @lucaskasonde4558
    @lucaskasonde4558 8 днів тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂 lissu kuwa makini mwaka huu unaweza pigwa hata bomuuu

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 9 днів тому +6

    Na Bado CDM na Mapolice wenu mtateseka san Miaka hii 10 ya tundu lissu mnaacha makakamate waalifu huko mnalinda Makao makuu ya Chadema Mmetumwa kwani Wamewaomba Muwalinde hovyo Kabisa

    • @CharlesSomeke-p8m
      @CharlesSomeke-p8m 8 днів тому

      Endeleaeni kusifu ila huko tuna kwenda ipo siku tutajaribu amani yetu

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 8 днів тому

      @CharlesSomeke-p8m Kwan sasaiv kuna Amani?

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 9 днів тому +14

    Mie wala siufuatilii huo mkutano wa Nishati

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 9 днів тому +5

    Palikuwa kimyaa hatimaye kamanda kaliamsha Tunduuu

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 9 днів тому +5

    Haya ni matumizi mabaya ya jeshi letu la polis

  • @JonathanFestus-f1w
    @JonathanFestus-f1w 9 днів тому +4

    Mbn wameva kama raia au siku hiz taratib zipoje kuhusu vazi ramsi la police

  • @jacktonetiibuza9970
    @jacktonetiibuza9970 9 днів тому +7

    Huyooo no mwenyekiti tishio

  • @Nurdinahmedmakam
    @Nurdinahmedmakam 9 днів тому +7

    Machawa dah

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 9 днів тому +8

    Tanzania my kantriiii

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 9 днів тому +7

    Sijawahi kuona wakiwaharasi CCM hata siku moja, huu ni ukoloni mamboleo futeni vyama vingine la sivyo msiwanyanyase mnawazuia mkutano wa ndani hii imezidi nje mbaya ndani pia hawaruhusiwi?.Hivi siku nchi ikiwa mikononi mwa chama kingine Polisi mtajiskiaje maana mnawanyanyasa sana

    • @yusti-maln3316
      @yusti-maln3316 8 днів тому +2

      Ila kwel wfanye kufuta tu.. tuelewe moja. ... Ili mambo yakitokea yasiyoeleweka wananchi wajue

  • @BahatiSimkonda
    @BahatiSimkonda 8 днів тому

    Jeshi lisilo na weledi ko chadema tu Kila cku waache uogaaa ccm wanalitesa jeshi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 9 днів тому +17

    Nyie ASKARI mnatumuka vibaya sana mungu anawaona

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 9 днів тому

      Yaani aibu tupu nchi hii .Hiyo Demokrasia inayosemwa ipo wapi kama unamzuia mtu kwenye ofisi yake ndani?Shame

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 9 днів тому

      ​@@leokamil6284dimokrasia ndio nn? ebu nifahamishae na mimi nielewe hiyo kitu inayoitwa demokrasia

    • @HvhVvb-k3i
      @HvhVvb-k3i 9 днів тому

      Ondoweni fisiem😂😂😂

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 8 днів тому

    Hovyo sana policeccm chombo cha chama cha ccm

  • @EmanuelJophet-pp8qs
    @EmanuelJophet-pp8qs 8 днів тому

    Natabiri siku vichwa vitapata moto hii nchi maaskari mtatuambia vizuri.

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 9 днів тому +2

    Haya ndio maisha tunayo yatarajia kwa chadema, hekima imeenda zake😢

  • @HenryKimaro
    @HenryKimaro 7 днів тому

    Na bado siku zinakuja hao dhalimu ht mmoja hatokuwrpo Mungu atashughulika nao

  • @csato9415
    @csato9415 8 днів тому

    Hiyo yote ni kuzuia ili habari zisivume kama ilivyokuwa wakati wa uchaguzi. Shame on you serikali🥦 🥦.

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 9 днів тому +2

    Hiki kitu mnachokifanya polisi watanzania wengi hatupendi sasa sijui mnafanya ili kumfurahisha nani na nyie wenyewe mnategemea kodi za watu mnaowanyima haki zao za msingi. Naomba Mungu asimame kati kwa hii nchi maana hii ni too much.

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 8 днів тому

    Yaani mapolisi Wanahangaika na CHADEMA pekee wanaacha Kihangaika na Majizi ya Mali za Umma AU Kukamata mafisadi na wahujumu Uchumi Kilawakati Ni CHADEMA Kuzuiliwa Kwanini WANAHANGAIKA NA CHADEMA PEKEE

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 9 днів тому +3

    Huo siyo uungwana Wakushikiwa silaha ni Chadema kila kukicha katika nchi hii kweli kuna kosa Gani Tena mkutano wa ndani huo ni uonevu Janani tatizo ni Nini hasa

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 9 днів тому +2

    Pameanza kuchangamka mnaingia kwenye mfumo WA Lisu

  • @oslojob5688
    @oslojob5688 8 днів тому

    Police tafuteni kazi za kufanya acheni huo ujinga hauna maana yoyote

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 8 днів тому

    Mungu wa mbingu na nchi yupo kazini kwakuwa watu wanajifanya wajuaji sana na wanaweza kila kitu yaani wao wamegeuka mungu wa nchi hii ngoja tuone kwakuwa Mpigania haki na pumnzi ya viumbe hai yupo kazini, so wehave to wait

  • @petromihayo8632
    @petromihayo8632 9 днів тому +3

    Taratibu taratibu Tu wataanza kuingia kwenye mfumo

  • @subiramwandenga2169
    @subiramwandenga2169 9 днів тому +1

    MUNGU IBARIKI TANZANIA DUUUH

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 8 днів тому

    Mkutano wa Afrika walioulazimisha uje Tanzania kumnadi samia ili aonekane anakubali hata mmleta Viongozi wa Dunia samia must go

  • @mavulasetebe7141
    @mavulasetebe7141 8 днів тому

    Nishati haipatikani kwa makongamano

  • @Findinganewhome
    @Findinganewhome 9 днів тому +4

    What?

  • @afrayo04
    @afrayo04 9 днів тому +1

    Hao siyo polisi

  • @LucyVenant
    @LucyVenant 8 днів тому

    Haki uhinua Taifa

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 8 днів тому

    AANAEFAIDIKA SAMIA SULUHU NA FAMILIA YAKE, HAYA MJINGA YA POLISI YANAPOTEZA NGUVU ZAO KIJINGA TU!

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 9 днів тому +7

    Miaka sitini ya uhuru tz utawala bora ndio huu

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 8 днів тому

    Mama Samia hapo una haribu .acha watu wafanye siasa kwa uhuru.Hii ndiyo democrasia mnayotangazia watu kuwa mnaimini?

  • @songombingo108
    @songombingo108 9 днів тому

    Huo mkutano wa umeme ajabu miaka 60 hujaeneza umeme. Ati miaka 5 utaweka umeme kote😂😂

  • @eliamashauri2645
    @eliamashauri2645 9 днів тому +1

    Mambo ya ajabu hayo

  • @JohnKipalile-e2y
    @JohnKipalile-e2y 9 днів тому

    Wanatumia nguvu kuididimisha chadema lkn niwaambie tu hiyo taasisi hata mfanye nn hamtaiua , ndio kwanza mnazidisha kuipaisha na kuifanya tuipende zaidi

  • @Mwalwange
    @Mwalwange 8 днів тому

    Kuna uhusiano gani Kati ya mkutano na kikao cha chama? Hawa polisi wamezoea huo utumwa but ni swala la muda tu

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 9 днів тому

    Sasa huko Duniani itajulikana huu ukandamizaji wa uhuru katika habari !!

  • @OmaryKamzula-ce9dp
    @OmaryKamzula-ce9dp 8 днів тому

    Akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 9 днів тому +2

    Saround chadema with heavyly wipon head office of opposition is not good adier what are we sending to lntanationol who attending African leader in daresalama let Give tundulisu time control ground chadema unity

  • @actormkoma
    @actormkoma 8 днів тому

    Mwambieni lisu awasaidieni Sasa SI mlisema anaweza siasa za mikikimikiki

  • @trees8913
    @trees8913 9 днів тому

    Nafurahi sasa hivi mnatumia plafrom yenu vizuri. habari za chadema zinatakiwa uwekwa hapa. Hatutakiwi kutegemea media nyingine. Kila kitu kiwekwe hapa msitegemea media nyingine hasahasa huu mwaka

  • @afrayo04
    @afrayo04 9 днів тому

    Ila.....

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 9 днів тому +2

    Yani hii inchi sijuwi hawa police watajilekebisha nini, wanatamani sana vita hawa police maana kila siku kushika bunduki alafu watu wenyewe hawana silaha hata , watanzania wanajitambua na nyinyi zamuyenu kujitambua

  • @Meneja-m3c
    @Meneja-m3c 8 днів тому

    Omb3nii sana mungu wana ccm ningalikuwa na uwezo ayh ...mwahusika nn uko kama si wenge 2

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 9 днів тому +1

    JWTZ ina wajibu wa kulinda KATIBA ISIVUNJWE, sanjari na kulinda mipaka yetu ya jiografia ya nchi.
    Kwanini JWTZ inanyamazia hali hii ya UVUNJAJI WA KATIBU wa wazi kiasi hiki?!!
    Kwanini CCM kila siku inatumia JESHI LA POLISI kunyanyasa vyama vya kisiasa ambavyo vipo KIKATIBA?!!

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 9 днів тому

      Kwa sababu jwtz si wajinga leo mmetangaziwa watu wafanyie kazi zao majumbani isipokuwa police na afya tu sasa kuweka mkutano si ni kusababisha vurugu tu ebu kuweni waungwana hata kwa wageni

    • @bozeydayana4920
      @bozeydayana4920 9 днів тому

      ​@@allymusira2153Rudi shule tena ya msingi.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 9 днів тому

      ​@@allymusira2153kwani huo mkutano ni wa hadhara au wa ndani ? Kama wamejifungia ndani kama wengine wanamkera nani ?? Azam na TBC na ITV nk wako kazini ndani kuna tofauti gani ?

  • @mbwanahussein98
    @mbwanahussein98 8 днів тому

    YANI BABA YAKO ANAWAGENI WEWE UMEFUNGA MAIKI UNAPIGA KELELE UNATAKA KULETA AIBU MBELE ZA WAGENI NIUTOVU WANIZAM

  • @ProphetM-c9o
    @ProphetM-c9o 8 днів тому

    Kuna watu katika Nchi hii wamekuwa wajinga kweli kweli. Watu wanataka kufanya shughuli zao za chama, wengine wanaingilia kati. Ushamba huu utakwisha lini?

  • @frankmsai7461
    @frankmsai7461 9 днів тому

    Wakoloni hawakwenda wote

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 9 днів тому

    Nchi ya ajabu sana hiii sasa huu unyanyasaji waacheni watu wawe huru mbona ccm mkiwa kwenye mikutano yenu hawaji hawa police

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u 9 днів тому +1

    4 R izooo

  • @MohammedHimba
    @MohammedHimba 8 днів тому

    Sasa chadema si wangesubili huo mkutano wa nishati uishe kweli chadema chama cha matukio na sasa wameacha siasa za kimkakati na wanaanza siasa za harakati ambazo zimepitwa na wakati na wakiendelea hivi watagika wamechoka sana

    • @gililwise
      @gililwise 8 днів тому

      Kila mtu ana rayiba yake

  • @JosephJosephcharles
    @JosephJosephcharles 9 днів тому +8

    Mda mwingine selikali ze2 zinakua za kishamba sana

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu 9 днів тому +4

    Kama Mizezeta 😂

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 8 днів тому

    Makamo wa rais mpango hawo ndiyo l wangefaa kuongoza CCM.hata mimi ningekubari huyo mh ameona hataki kuongoza mabavu ni mtakatifu.

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 9 днів тому

    Kweli polisi na hao watuma wameishiwa

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 9 днів тому

    Kama taasisi zote leo wameambiwa wabaki nyumbani hizi ni fujo tu mnataka kufanya

  • @JustinKachewa
    @JustinKachewa 9 днів тому

    Jeshi alijitambui ilo unamzuia mtu asiingie ofisini kwakwe jamani ujinga uo mulilo wewe tuambie jishi la poli ni ccm

  • @PembaOnline
    @PembaOnline 9 днів тому

    Tunalazimishana kufatilia nishati. Upuusi tu

  • @trees8913
    @trees8913 9 днів тому

    1:06

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 8 днів тому

    Kwani hawajaenda kulinda mkutano wa nishati

  • @SportsExtra_10
    @SportsExtra_10 9 днів тому +1

    Hii pi Ni Habari na tumeipata Sasa wameshindwa kuzuia msituambie na hii?

  • @athumanmwatosya660
    @athumanmwatosya660 9 днів тому

    Wanapelekwa kama mazezeta police

  • @josephatcelestinemuhoza2214
    @josephatcelestinemuhoza2214 9 днів тому

    Uhuni huu na ujinga utaendelea hadi lini? Tanzania imeshakua Uganda ya Museveni?

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 9 днів тому

    Wanajeshi wanatakiwa hapa

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 9 днів тому

    Mwarabu katika ubora wake.

  • @melch3097
    @melch3097 9 днів тому

    Haya sasa. Tuone ile nguvu muliotumia kumutoa mbowe, mtaitumia kupigania haki yenu na police

    • @richardmakweta8875
      @richardmakweta8875 8 днів тому

      Hivi Kuna nguvu iliyotumika kumtoa Mbowe ,inaonekana mlipata shida mlipo ona Mbowe chaguo lenu haja pita !!😅😅😅😅

    • @yusuphmwanza507
      @yusuphmwanza507 8 днів тому

      Acha mawazo potofu

    • @yusuphmwanza507
      @yusuphmwanza507 8 днів тому

      Oyo mbowe mwenyewe alishapelekwa mpaka jela

  • @HassanKibwana-h3w
    @HassanKibwana-h3w 9 днів тому +3

    Serikali ya ccm matatizo sana 😂😂😂😂😂😂😂

  • @ElvisMillanzi
    @ElvisMillanzi 9 днів тому

    Policccm kazi mnayo hata asiyesoma shule anajua ninyi ni ccm na sio polisi

  • @AbinerRhuppiah
    @AbinerRhuppiah 9 днів тому

    Ccm imeshashindwa kabla haijaingia uwanjani bao la nje hilo

  • @salama1113
    @salama1113 9 днів тому

    Polce wamevaa nguo za nyumbani

  • @marthadominick2212
    @marthadominick2212 9 днів тому

    Watu wote watawalisha kwenye nishati waemde wakaliwe na inzi

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 9 днів тому +1

    Mkutano wa ndani

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 8 днів тому

    Mumeona serikari wanavyo hangaika

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 8 днів тому

    Watu hawana mpango na nishati. Wanataka refomrs

  • @thadeimatenga4397
    @thadeimatenga4397 8 днів тому

    Ni ujinga kama ujinga mwingine

  • @boscomchilo8425
    @boscomchilo8425 8 днів тому

    Polisi njaa

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 9 днів тому

    Ebu afu eti maliziano upumbavu sisiemu mavi kabisa

  • @ProphetM-c9o
    @ProphetM-c9o 8 днів тому

    Aibu tupu.

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 9 днів тому

    hivi nikawaida asikali kuvaa vilemba au kukamata watu bila kuwajulisha

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 9 днів тому +1

    Hii ndio tz

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 8 днів тому

    Mkiwa na polisi kama hawa basi kazi ipo.

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 9 днів тому

    Huuu ndo mwisho wa sisiemu

  • @jacksonmsola154
    @jacksonmsola154 9 днів тому

    Nchi inajambo la kitaifa ni muhimu watu wakajua,chadema acheni kuwaadaa watanzania hamta ingia ikula kwa kiki za kijinga kama hizi

  • @mosesibmshangamshanga7885
    @mosesibmshangamshanga7885 9 днів тому +1

    Pameanza kuchangamka

  • @ClemenceMarcelli
    @ClemenceMarcelli 9 днів тому

    Hawa wangepelekwa Goma

  • @mpendamema3694
    @mpendamema3694 9 днів тому

    Itisheni maandamano nchi nzima

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 9 днів тому

    Limrilo ni janga la taifa

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 9 днів тому

    Ccm tatizo tazanzia wametuumiza mno

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 9 днів тому

    Mbowe namuaminia sana,ni mtoto wa mjini na huyu lisu ni mpori pori hakuwezi,mbowe kapoteza mali nyingi kwa ajili ya chama pia amekaa jela kwa ajili ya chama,leo anakuja mtu mwenye kuunga mkono ushoga anakuletea fitna,mbowe mtenegeneze uyo lisu ndio akujue mpaka akae sawa usikubali atawale icho chama ki rahisi rahisi tumia uzoefu wako kama mafia mzoefu.

    • @FahadAbubakari-y3f
      @FahadAbubakari-y3f 9 днів тому

      Wamekufa watu we unasema kukaa jela,

    • @DullahIweni
      @DullahIweni 9 днів тому

      Ndio nn hiki unaandika chuki itakutafuna na mwisho ubaki na vidonda moyoni,mpangaji ni MUNGU tu.

  • @WilliamKivugo
    @WilliamKivugo 9 днів тому

    Sasa wamefata nini hapo kama sio ukandamizaji

  • @MwesigeMwesige
    @MwesigeMwesige 9 днів тому

    Polisi watanzania mbona hamjui wajibu wenu lengo nikuzoofisha

  • @chademageorge8086
    @chademageorge8086 9 днів тому

    Chadema walisema Mbowe kalamba asali ndo maana ni mpole. Haya sasa wako Tundu Lisu ambaye ni mkali akaoambane na hao polisi tuone

    • @DullahIweni
      @DullahIweni 9 днів тому

      Umeumia mbowe kukosa kiti?