Kwa hiyo Mwinyi Zahera alikuwa anawaachia Utopolooo maana alishakuwaga coacher wenu kumbe alikuwa anawaachia eeeeeh yaani danganya toto kumbe ndo mnatuambia mfanyavyo 😂😂😂😂
Kwa hiyo ulitaka ukaifundishe wewe hiyo Namungo? Mbona mwinyi Zahera alishawahi kufanya kazi utopoloni Ina maana alipocheza na Yanga alikuwa anawaachia? Yaani Utopolooo duuuuu
SASA NYIE MNATARAJIA KUONA MGUNDA ANAISUMBUA TIMU AMBAYO NDIO KIPENZI CHAKE?
Kwahyo minziro nae akikutana na yanga atafungwa tu kwa kuiachia yanga sababu yanga ndyo timu ya mapenz yke
Kwahiyo Zahara alikuwa anawaachia yanga
Jemedari anachambua timu kwa kuichamba 😅
Over 2.5 nampa simba .. iwe mvua iwe jua tunashinda nyingi
Nyie Muna vituko hivi mgunda mwategemea aisumbue Tim ya moyo wake kiakili inakuja
Namungo 3 simba 0
Tawi la Simba hilo
PILI MMILIKI NA MLEZI WA NAMUNGO MH.WAZIRI NI MNAZI TENA LIALIA WA SIMB....HAKUNA USHINDANI WOWOTE HOAPO
Mbona huulizi GSM kufadhili baadhi ya vilabu
Uliza pia azamu kuwekeza ligi zima@@SelemaniMsuya-q8n
Kweli kabisaaa
Kwa hiyo Mwinyi Zahera alikuwa anawaachia Utopolooo maana alishakuwaga coacher wenu kumbe alikuwa anawaachia eeeeeh yaani danganya toto kumbe ndo mnatuambia mfanyavyo 😂😂😂😂
NAMUNGO WAMEUZA MECHI
😂😂ndio lazima tununue
Nimefurah mgunda kwenda kule natamani jamaa awaoge simba
Ningekuwa mgunda ningewaambia wachezi wote wasikabe wafungwe kumi
Inabidi yanga nao wahame ligi maana namungo.timu ya wazir mkuu.nani mpenzi wa simba
Singida waziri wa fedha vs Yanga hehehe
Au sio
Namungo ilikuwa na Zahera aliewahi pia kuwa coach wa Yanga so alikuwa anawaachia Utopoloooo eeeehhh
Hakuna lolote hapo ni mipango tu ya kuipatia Simba points za ziada pia na mfuniko
Kwa hiyo ulitaka ukaifundishe wewe hiyo Namungo? Mbona mwinyi Zahera alishawahi kufanya kazi utopoloni Ina maana alipocheza na Yanga alikuwa anawaachia? Yaani Utopolooo duuuuu