Ila ukishabikia UTOPOLO lazima ubongo ubend kwa nyuma hv timu ya sita kwa ubora Africa ifundishwe na timu ya 15 kwa ubora,ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,timu iliyokuwa inapokea wageni eti Leo wanataka Simba wabadilike,hapo kwanza nnchek😂😂😂😂😂😂😂😂
@@peterkandaya565Na nyiye c mfunge kama ni rahisi hivyo,heti goli la mkono badala msajili wachezaji wenye viwango mnasajili magarasa hayo ndo matokeo yake
@@matrida.lunyilija5196 Cha ajabu magarasa wanashika nafasi ya sita kwa ubora Afrika alafu wapokea wageni wanaojificha kwenye kivuli cha CHAMA cha mapumbavu wanashika nafasi ya 17😂😂😂😂😂
Aisee Hii timu ya UTOPOLO imejaa matahira wengi Sana,na ndiyo mana Manara aliyekuwa anawatukana walimpokea ila Matahira wanafurahishags muda mwingine wanapunguza stress kwa kutuchekesha😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa kama mlitupiga mala Saba kelele za nn Sasa mala malefa kaeni kimya sasa mafala nyie na Bado tunataka mhame ligi eti malefa ,mala GSM nyie si mnabilionea nae azamini hizo timu zingine zilizobaki kama anauwezo timu bovu makelele tu
Ujawai kuniangusha semaji mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
Nakuomna M/Mungu mjaalie Nusra kwenye maisha yake Inshaallah
In shaa Allah ikawe kheri kwetu wananchi 🔰
Ali kamwe jamani mashallah, yanga ni raha sana umekua smst sana mdogo wangu
❤❤❤😂😂😂 dagaa wanaruka tumbon Ally Kamwe una vituko
Nilichogundua msemaji wetu 🔰 anatamani sana Simba wabadirike wakati Furaha yetu ni wao kufarakana,,
Usiwasanue mapema
😅
Ila ukishabikia UTOPOLO lazima ubongo ubend kwa nyuma hv timu ya sita kwa ubora Africa ifundishwe na timu ya 15 kwa ubora,ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni,timu iliyokuwa inapokea wageni eti Leo wanataka Simba wabadilike,hapo kwanza nnchek😂😂😂😂😂😂😂😂
😢😂😂😂 Aly kasema Moses kazeeka kama Mzee Mpili khaaaa nimecheka sana😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂 Semaji la Dunia unatufurahisha
Hawatakuelewa semaji lakini wakifikisha mechi 20plas ndo watakuelewa sanaaa😂
Kweli wazee wameongea ukweli si unaona hata CHadema wanavyofungwa goli la mkono kila siku na CCM😂😂😂😂😂😂😂
@@peterkandaya565Na nyiye c mfunge kama ni rahisi hivyo,heti goli la mkono badala msajili wachezaji wenye viwango mnasajili magarasa hayo ndo matokeo yake
@@matrida.lunyilija5196 Cha ajabu magarasa wanashika nafasi ya sita kwa ubora Afrika alafu wapokea wageni wanaojificha kwenye kivuli cha CHAMA cha mapumbavu wanashika nafasi ya 17😂😂😂😂😂
Wamemweka mbele "NTEBHA"
Bila shaka watu wa Lyandu, Mhunze, kishapu wameshanielewa..... mchezaji wa makolokolo anaitwa Ntebha
Boka awezi cheza Chan, chan ni ya wachezaji wanaocheza league za ndani ya nchi au imekuwa ndani ya Africa 16:10
Semaji MAKOLO lazma waelewe, tulishawapiga mara SITA mfululizo....tutaivunja rekodi yetu wenyewe
Aisee Hii timu ya UTOPOLO imejaa matahira wengi Sana,na ndiyo mana Manara aliyekuwa anawatukana walimpokea ila Matahira wanafurahishags muda mwingine wanapunguza stress kwa kutuchekesha😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤
Kulia, kucheka zote ni kelele cha msingi mjipange
Wewe mdomo wako hauna pazia,Pamba jiji na Yanga ni watoto wa baba mmoja GSM sasa inakuwaje umseme hadharani msemaji wake hukuo nyote mzazi wenu mmoja
Hata coastal watu walisema huvohivo lkn juzi kawatoa makamasi
Wajaze
Hiyo sio rekodi ni marudio tu
Inatakiwa iwe mara tisa kulipa deni na hao mateja😂😂
Nafikiri simba ni shemeji zake shetani😂😂😂😂
HUYO KOCHA AFUKUZWE HARAKA...HUMO KOCHA HAMNA...KWANZA ALIKUWA KOCHA MSAIDIZI
Sasa kama mlitupiga mala Saba kelele za nn Sasa mala malefa kaeni kimya sasa mafala nyie na Bado tunataka mhame ligi eti malefa ,mala GSM nyie si mnabilionea nae azamini hizo timu zingine zilizobaki kama anauwezo timu bovu makelele tu
Ally kamwe huyo ni kocha wa kawaida tu ucmpe kocha kwamba ndiyo hakuna, we furahi tu kwa kupata ushindi na upunguze maneno weka akiba
Kocha wakawaida mwaka wa tatu tuu anawakanda bado mna leta dharau??? Kweli nyie masugu
Hivi Simba Ni Timu ya Mpila au Timu Ya Uzazi wa Mpango
Hv Yanga ni timu ya Mpira au kikundi cha taarabu timu za Mpira zote zipo top ten kwenye CAF Rankings asa wenzetu sijui wa wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😊
Huna jipya ww ni hovyo tu
Kama wewe tu
😂😂😂 Haya mavyura malimbukeni na utoto mwingi, yamejisahau tulishayapigaga mara 7 consecutively
Taja mwaka gani mlitupiga mala 7
Mwaka gani wewe Kijili
Uongo
Kwako ww ndio unaejimaanisha kuwa ni mtoto, unaweza kusema lini ilitokea hivyo Kolo akamfunga bingwa wa nchi hata mara mbili mfululizo.
Mwaka gani usituletee habari za uongo hapa mbumbumbu FC
😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Hauna timu wewe endeleeni kununua mechi
Nunueni na nyie 😂😂😂 kma rahisi