Magoli yote | Namungo FC 2-2 Dodoma Jiji | NBC Premier League 09/02/2025

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • COME-BACK: Namungo FC wametoka nyuma na kupata sare ya mabao 2-2 dhidi ya Dodoma jiji FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
    Wageni wa mchezo Dodoma jiji ndiyo waliotangulia kwa mabao ya Paul Peter kasunda dakika ya 21 na 31 lakini Namungo wakachomoa dakika ya 44 Pius Buswita na penati ya Erasto nyoni dakika ya 56.

КОМЕНТАРІ • 34

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 День тому +3

    Dah, marefa wanashusha hadhi ya ligi yetu, bahasha ni tatizo kubwa sana kwenye ligi yetu. Mpira wa faulo ulitakiwa kupigwa kuelekea Namungo kutokana na buswita kuunawa mpira kwenye box, unageuka kuwa penati kuelekea Dodoma Jiji. Tiefuefu imelala fofofo.

    • @OmygzooBizbize
      @OmygzooBizbize День тому

      Tff kz yenu mnaiyona iyo ata mkijizima dataa tunajua mnamarefaa wa mchongo km matukio km aya kweli pakalini mazaifu ya leg yetu nima marefaa jitambueni viongozi utataki lawamaa

    • @worldhappiness1181
      @worldhappiness1181 15 годин тому

      Yan,maana hata sisi tusio marefa hatuwez kufanya mistake za hovyo kama za hawa marefer

  • @yamungumvukano9041
    @yamungumvukano9041 16 годин тому +1

    Hawa marefa hawa Mungu wamsamehe bure

  • @SiliveterBahebe
    @SiliveterBahebe 12 годин тому

    Hii ndo inaitwa mechi imeisha salama lkn safari haikua salama poleni sana ndugu zetu wote

  • @kisererajaphet405
    @kisererajaphet405 День тому

    Bonge la mechi🔥🔥

  • @Daudi-r1q
    @Daudi-r1q 15 годин тому

    Ipo kazii

  • @AlibinAboutrack
    @AlibinAboutrack 10 годин тому

    Tanzania referees wanadhulum sana

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 14 годин тому +1

    Ligi la tz nafasi ya 4 kwa ubora marefa nafasi ya ngapi kwa ubora africa

  • @SamwelyyAbisai-z9j
    @SamwelyyAbisai-z9j 18 годин тому +1

    Ndio maan mpira xpend

  • @amrybasole7381
    @amrybasole7381 2 години тому

    Maamuzi ya kutoa penati hayakuwa sahihi, nadhani refa wa kati angefanya mawasiliano na lines man wake kabla ya kufanya maamuzi,
    Soka letu waamuzi bado sana

  • @CHIIZATV-hl4zu
    @CHIIZATV-hl4zu 10 годин тому

    dhuluma za bongo bhana😂😂

  • @kigoratheson4676
    @kigoratheson4676 День тому +1

    Mtu kashika tena penati duuu hii ligi inabaraa

  • @yamungumvukano9041
    @yamungumvukano9041 16 годин тому

    Awasamehe bure

  • @davidgeorge9324
    @davidgeorge9324 День тому +1

    Tm ya wazir mkuuuu pumbafu lefa umewaibia dodoma

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 20 годин тому

    Shikamooo marefaaa😂😂😂😂😂😂
    Haaaaaaaaaa
    Inahuzunisha na kuchekeshaaaaa😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @SaimonEmmanuel-h9t
    @SaimonEmmanuel-h9t День тому +1

    Hhhhhhhh yan walioshika nd wamepewa penant jmn mh😅😅😅😅😅

  • @kisererajaphet405
    @kisererajaphet405 День тому

    Jmn dodoma wameonewa hakuna penat pale sijui wamuzi wetu wanakuwa wamelewa wanapochezesha mpira

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 День тому +1

    Marefa noma yaani mechi zote za leo wamavurunda huku wametoa penati ya mchongo kule mwanza napo wamekataa gori 😂

  • @scopy0428
    @scopy0428 День тому

    Daah Penalty ya mchongo kabisaah

  • @PeterMbasa
    @PeterMbasa День тому +1

    Usenge uko kwenye bodi ya ligi na Tff wote mavi

  • @jesseangowi7978
    @jesseangowi7978 17 годин тому

    Hakuna penati hapo

  • @wilfredbyabato4732
    @wilfredbyabato4732 День тому

    mbona penati ya magumashi namungo ndo walishika mpira hao hao wakapewa penati hahahaha

  • @FrancoisMangala
    @FrancoisMangala День тому

    Ligi ya tanzania haina mvuto tena maana rushwa inanguvu, Mimi niko marekani mkongomani sizani kama nitajisumbuwa kutazama ligii ya tanzania,marefari kama hawakufanyiwa atuwa mapema basi hiyo ligii itazikwa

    • @IgombeyeDaniel
      @IgombeyeDaniel День тому

      Acha uongo mxukuma ww

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 20 годин тому

      @@IgombeyeDaniel😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaaah 😂😂😂😂😂😂😂😂
      Kama Tuko bongo manigaaa😂

  • @DavidMalugu
    @DavidMalugu 11 годин тому

    Duh

  • @AnoldMilley
    @AnoldMilley День тому

    Marefaa wakikuma snaaaaa baadhi Yao watuharibia ligi ytu tff hawaoni Kwan wakafirwe uko

  • @athumanimohamedi
    @athumanimohamedi 19 годин тому

    😂😂😂😅

  • @SwabrahAyoub
    @SwabrahAyoub 15 годин тому +1

    Usenge mtupu

  • @barakalubuva
    @barakalubuva День тому

    Mwamuzi amejichanganya. Alidhani aliyeshika kwa mkono anazuia

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 16 годин тому

    Xx ramovic ule msem aliusem lig y2 Bado ndy hv cyo kumshambulia2 wlishaona madudu