SHIKA MOO MARA 2 AMBANGILE ULIIONYA TABORA KUWA SIMBA NI TIMU KUBWA MPIRA HAUCHEZWI KWA MDOMO WATACHARAZWA MENGI NARUDIA TENA SHIKAMOO AMBANGILE. WATU WALIKUA HAWAKUELEWI SASA WATAKUHESHIMU
Hili Jamaa Senge Si Mchambuzi Jana Ameisifia Yanga Yanga Hakuna Wa Kuizuia Leo Anaisia Simba Ss Tukuelewe Vipi Hy Kauli Yako HP Duniani Hata Ukifa Ukiulizwa Kaburini Utasema Uwongo
Huyu kizibo kweli nimapema sana kumfananisha ateba na dube Alfu dabi ya kariakoo sio yakuizungumzia kwa team kama simba kupambana na yanga bado Alafu acha kufananisha hao wachezaji wako wanao cheza na team za kawaida alafu wanashinda,uje useme watashinda mbele ya yanga hohohoho pili class ya wacgezaji wa yanga ipo juu sana tofaut na team ya simba yanga ninawachezaji bora bora bora clasic ambayo team zote tz hakuna na wewe mwenyewe unalijua hilo!!! hivyo ANGALIA MANENO YAKO KESHO UTAONGEA VINGINE MFUKO WW MFUATA UPEPO YAN TZ WACHAMBUZI WENGI MNAONGELEA HISIA ZENU NA HAMCHAMBUI MPIRA MATANGO PORI KWELI NYIE,kama ww ungebaki tu kuwa mshabiki maandazi na sio kujitia mchambuzi wakati hujui hata unacho ongea yani hueleweki nakama mtu anakuelewa basi naye hajielewi kama wewe ulivyo WE WAJAZE WAENDELEE KUBEBWA HIVYO HIVYO MPAKA KWENYE DABI,ila kama mpira utachezwa subutu utajua hujui kizibo wewe hohoho haiwezekani kila siku team ikimaliza kucheza tu lawama kwa marefa alafu leo eti ulinganisha pakome sijui na kitorol gani hohohoho esee kama huna cha kuongea tulia na acha kupotosha watu na kuwajaza ungedere,maana unacho ongea ww mwenyewe unaona hakipo ndio maana ukaamua kuvaa miwani maana ni aibu tupu hohohoho
Yaani Ktk Watu Wanafiq Wewe Unajiita Chuma Cha Mjerumani Ni Mnafiq Mgombanishi Mfitinishaji Kigeu Geu Yaani Huna Kauli Thabiti Hy Hizo Kauli Zako Zitakutoa Mchezoni
Hy si mchambuzi ni bendera fuata upepo hana mantiki asitueleze lolote hy ,leo anasema hv kesho atasema vile ,timu ikishinda tu ndo anaongea kwa kupeza wachezaji wa timu nyingn
Nyie huu ni mtambo nilishaongea mda2, huyu huyu ndo alisema mzize ni sawa na akina ateba sjui wangap Sasa Leo anaropoka2 dah!,😂😂😂
Chuma Cha mnerumani nakukubari sanaaaaaaa❤
😂😂😂😂haya majamaa sijui huwa yanatokea wapi😂😂😂❤
Ubaya ubwela tuuuuuuuu❤❤❤
Laka leo unatema madin mnoo mimi shabiki wa yanga lakin leo nakuelewa eliuf
Simba nguvu moja
Ambokile siku moja moja huwa una akili sana.
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂mnyama
Nakubali
Ambokile nakukubali sana😅😅😅😅😅😂 nakupenda bule dada
Unachambuwa vzr sana bro😅😅
Basi kam chuma kasem imeisha iyo
Huyu hanakua kama kinyonga mara ukihojiwa utakuta yanga nzur, isitoshe hiyo simba imechena nanani.
Wee unavuta bangi
Wewe jamaa unajua SANA
Yes sir. You're Right
🎉❤🦁💪
Big up
Huyu jamaa daaa, mchambuzi mchekeshaji anatembea na upepo
Ambokile ww ni komedian kinowma yani kila sehemu upo nakukubali sana
We jamaa👏👏👏👏
Were mchambuzi mungo sana na unasahau uliosema
Huyu baba mnafiki jaman khaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sana aliyoongea Jana Leo kabadirika
Wazeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
Saa mbovu imeongea ukweri
Saa mbovu imeongea ukweli😂😂😂.
Kabisa Mungu atatenda
Mi nalikufuatilia sana mjomba
Yanga itakuja kulipa henyewe madeni yake kwatabora
Kaka ujui kuchabua mpila kachabue2 kalanga
Kaka Mungu akupe umri mrefu. Utabiri wako wa tangu juzi umefanikiwa sana
Kaka mkubwa unazungumza point tupu kaka nakukubali sana aseee ka mkubwa
Hauna msimamo Kaka,unamaliza maneno kishabiki..ukweli nikwamba Simba ndio mabingwa msimu huu,wameonyesha kila nia
Mwamba unajua hatar sana
🎉😂🎉❤❤❤
Ubaya ubwelaaaa😅😅😅😅😅
mwamuzi apewe mauwa yake kafanikiwa sana leo ila kwa nyuma mwilo awajafanikiwa ndo maana wanatafuta pakishikilia😂😂😂😂😂😂
SHIKA MOO MARA 2 AMBANGILE ULIIONYA TABORA KUWA SIMBA NI TIMU KUBWA MPIRA HAUCHEZWI KWA MDOMO WATACHARAZWA MENGI NARUDIA TENA SHIKAMOO AMBANGILE. WATU WALIKUA HAWAKUELEWI SASA WATAKUHESHIMU
MOLA akujaalie mwamba ang unajua sana
UPO SAHIHI SANA AMBOKILE
Gusa achia twende kwao.imehamia simba😂😂😂
waambie ukweli
Jarbu kununua mic zinazoweza kunasa saut vzur
Huyu mchambuz timu ikishinda ndo anaipamba😂😂😂😂
Gusa achiaa twende kwao yimehamia simba,na gusa achiaa twende makumbusho sio robo finally yipo yanga
Timu ya Rage wa simba ulitegemea nn!!!??
😂😂😂nisikiliiiizee Ben
Gusa achia imehamia simba 😂😂😂
Ambokile 😂😂
Et nisikilize 🤣🤣🤣🤣🤣
😢chuma cha mjerumani 😂😂😂😂😂
Unasema ukweli tuu,Wambie waelewe.ubaya ubwela
Uyu jamaa anajua sana
Jamani yaan ww bila kumtaja dube huwa unakosa amani😅😅😅😅
Ambokile unajua mpira
jamaa hyu anatuchora sana anavyosifia sasa had chumvi !!!!!
Ila wachambuzi wa kibongo wanafki sana😂😂😂😂😂
Simba Kenda kuwafundisha yanga na Azam kuwa watoto wanafungwa hivi mjue
Ateba 1 Dube6 we acha bwana
HAO WANAOLALAMIKA NI YANGA. HAWAKUPENDA SIMBA ISHINDE DHIDI YA TABORA.
Mpanzu 1 mudhazili 6
Hueleweki na Wala ujui mpira unadeal na uelekeo was upepo yaan ni Kama mwanamke malaya
😅😅😅😅😅😅😅
Huyu ni mchambuzi wa mchele na sio mpira, huwa anaiongelea vizuri timu inaposhinda tuuuu.
Leo umechemshe.
Wape vidoge vyao wakujidunga fc 😂😂😂
Uyu anajificha kwenye kichaka
Huyu nae bendera fata upepo😂😂
Hili Jamaa Senge Si Mchambuzi Jana Ameisifia Yanga Yanga Hakuna Wa Kuizuia Leo Anaisia Simba Ss Tukuelewe Vipi Hy Kauli Yako HP Duniani Hata Ukifa Ukiulizwa Kaburini Utasema Uwongo
Matus yann utopolo huu mwaka mpk mseme ubaya ubwela 😂😂😂😂
We nae ndumi la kuili🤣🤣🤣🤣 uwiiii simba yangu mie
Beni SI umsikilize Jomen🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂huyu jamaa ndio yule aliisifia yanga Jana au sio
Huyu kigeu geu 😂
Chuma cha mjeruma 😂😂😂
Ngoja kesho ateba apige nje huyu jamaa atakuja kivinginee
Skia nnayokwambia 😆😆😆
Ubaya ubwela
Nickilize mm tunuuuuu
Huyu anakwenda na upepo, nikumsikiliza na kumuacha tu
Ambokile umeondoka abood kipindi kimefeli
Huyo jamaa ni mnafiki sana
Huyu kizibo kweli nimapema sana kumfananisha ateba na dube
Alfu dabi ya kariakoo sio yakuizungumzia kwa team kama simba kupambana na yanga bado
Alafu acha kufananisha hao wachezaji wako wanao cheza na team za kawaida alafu wanashinda,uje useme watashinda mbele ya yanga hohohoho pili class ya wacgezaji wa yanga ipo juu sana tofaut na team ya simba yanga ninawachezaji bora bora bora clasic ambayo team zote tz hakuna na wewe mwenyewe unalijua hilo!!! hivyo ANGALIA MANENO YAKO KESHO UTAONGEA VINGINE MFUKO WW MFUATA UPEPO YAN TZ WACHAMBUZI WENGI MNAONGELEA HISIA ZENU NA HAMCHAMBUI MPIRA MATANGO PORI KWELI NYIE,kama ww ungebaki tu kuwa mshabiki maandazi na sio kujitia mchambuzi wakati hujui hata unacho ongea yani hueleweki nakama mtu anakuelewa basi naye hajielewi kama wewe ulivyo
WE WAJAZE WAENDELEE KUBEBWA HIVYO HIVYO MPAKA KWENYE DABI,ila kama mpira utachezwa subutu utajua hujui kizibo wewe hohoho haiwezekani kila siku team ikimaliza kucheza tu lawama kwa marefa alafu leo eti ulinganisha pakome sijui na kitorol gani hohohoho esee kama huna cha kuongea tulia na acha kupotosha watu na kuwajaza ungedere,maana unacho ongea ww mwenyewe unaona hakipo ndio maana ukaamua kuvaa miwani maana ni aibu tupu hohohoho
Tabora ni timu ya kawaida? Mbona alikulisha chuma tatu, na leo tumelipia deni.
Acha kuropoka maneno ya hovyo unaandika barua
😂😂😂😂
Ambokile samahani sisi hatutaki ubingwa bado tunajenga timu
Acha unafiki umekuwa bendera fuata upepo
We bwana Jana c umesema tusipoangalia tutaama ligi na uwanja imekuaje 😂😂😂 Yani ww timu ikishinda ndo unapo elemea🎉🎉🎉😅 tupo na nyinyi mpaka mtubu
Ulinukuu vibaya. Yeye alisema endapo simba haitapata matokeo dhidi ya tabora, ndo atataka kuhama uwanja
@@deniskabavako9329Hapana huyo alikuwa anaiponda simba
Uyu chuma Cha mjeruman aliiongelea vizuri tuu simba na pia alisema anaipa asilimia 80 ya ushind
uyu mnafiki kk
Hili lizoee tu huwa ni kigeugeu sana,halinaga consistance
Ww acha uwongo ushawai kumfatilia uyu chambuzi labia ya gem ?
Yaani Ktk Watu Wanafiq Wewe Unajiita Chuma Cha Mjerumani Ni Mnafiq Mgombanishi Mfitinishaji Kigeu Geu Yaani Huna Kauli Thabiti Hy Hizo Kauli Zako Zitakutoa Mchezoni
Kumbe chuma chamjelumani kamdomo
Wachambuzi wa tz wajitaihidi kufata kivuli kilipo bc 😂😂😂😂😂
Apo nyuma mwiko watanuna
Yang 5 simba 1
@@KennedyJohn-p1i😂😂😂😂 Kweli uto wamenuna 😅😅
Tabora 3- uto1😂😂😂@@KennedyJohn-p1i
Hy si mchambuzi ni bendera fuata upepo hana mantiki asitueleze lolote hy ,leo anasema hv kesho atasema vile ,timu ikishinda tu ndo anaongea kwa kupeza wachezaji wa timu nyingn
Ambokile ana ongeaga ukweli hata kabla ya mchezo
Mbona watu wa uto munamakasiriko km sio mchambuzi mwambie mama yako aje achambue mbwa nyie
Akika
Unaongea pwent
Ili jamaa lijinga sana mnafiki