"Mawazo" Sehemu Ya 52 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Kwa MaonI, Ushauri Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba (0747-744744 CHOMOZA MEDIA LIMITED) Au Kwa Barua Pepe Email. chomozamaoni@gmail.com
Pia Unaweza Kutufatilia Facebook @ChomozaTV Na Istagram @chomozanews TikTok ChomozaTV
Mungu Wetu Wa Mbiguni Akubariki......Endelea Kujifunza Na Kushare Mafundisho Haya Kwa Rafiki Na Nduguzo
Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
UA-cam : www.youtube.com...
#ChomozaTv#2024
Da. Uyu mzee akiri nyingi Sana kwa nini asiwe raisi wetu atuo goze mungu apa afya na pesa kwa kweri aweza kuishi maisha marefu
Mawazo ni ufunguo wa maisha ya wanadamu,nguzo nne ni matumizi ya mema na mabaya.Kutambuwa maana ya maisha ni muhimu sana ili kuyamudu. Nguzo nneni SHERIA,kujipenda.HISTORIA,marudio ,mzunguuko kujifunza mtu mwenyewe na kugeuka. KUTENDA,KUONA. Tujifunze kuona wenyewe ili tuishi kwa kutenda ipasavyo. Nimejifunza,Asante Chomoza pongezi kwa Dr Ellie ❤🎉
Dr. ubarikiwe umekuwa msaada kwangu na hamna kipindi nimemisi tokea 2016 ...Hadi Leo 2024
Team chomoza Mungu awabariki kupitia ninyi tunabarikiwa
Mola awabariki sana kila siku twasoma wema wenu hata kwafedha hitoshi Ila mola awape maisha marefu na kila laheri kwenu.
Asante Doctor asanta chomoza God bless you ❤
Huyu mzee anafundisha uhalisia wa maisha ulivyo .
Mungu akubariki Dr eri.
Asante sana
Sheria (1) kujipenda, kuwapenda wengine ili ujitengenezee legacy, kujipenda, kupenda, kuona,(2) Historia ikimanisha mizunguko kujipima kama umekamilika kwa kujifunza, kuandika nyaraka, (3) kuona, kuota ndoto, anayepinga hakuota yeye, watu wengi hawaoni ndio maana mtu anakuwa mpingaji, mtu akikuonea utaonewa, usiwe kipofu, ona unavyopaswa kuona, Maono yako ndiyo yawezayo kuchuja mawazo ipasavyo. Haya ndio niliyonasa kidogo.
Nakufatilia sana, nakukubali pia Mungu akubariki, unafundisha God's principles 100% na najua ni mtu wa Mungu ila nimeshituka kidogo hiyo psychic si ni ungodly?.
🤲🤲👏
Hakika leoo,, doctor 100% nimepata vipofu
My favorite time of the week
Perfect 💯
The another albert einstein in Tanzania dkt elli vd waminian
Nice
Uncle Jimmy wap the missing element