Vijana wawili waliopotea wakati wa maandamano wapatikani kama wameuawa jijini Mombasa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 вер 2024
  • Familia Zaidi Zinaendela Kujitokeza Kuripoti Kufariki Kwa Jamaa Zao Baada Ya Kupigwa Risasi Na Maafisa Wa Usalama. Mjini Mombasa Familia Ya Denis Otieno Inaomboleza Kufuatia Kifo Cha Kijana Huyo Wanayesema Hakuwa Miongoni Mwa Waandamanaji. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki Denis Alipigwa Risasi Zaidi Ya Tatu Kwenye Mgongo Hadi Kufariki.

КОМЕНТАРІ • 128

  • @StephenWekesa-ul8il
    @StephenWekesa-ul8il 2 місяці тому +17

    Ruto must go

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 2 місяці тому +29

    With all looks and facts KK govt is surviving through human blood 😭😭😭😭😭😭😭😭 but God will act soon on this shakahola govt.

  • @HassanAthuman-lf7cz
    @HassanAthuman-lf7cz 2 місяці тому +20

    Serekal ndio wauwaji hata hao vjana waliuliwa na maafisa lkn mungu upona anaona

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 2 місяці тому +11

    The pain of the mother is evident and I pray it won't be in vain😔

  • @MargauxNyambura
    @MargauxNyambura 2 місяці тому +13

    This government honestly has caused lots of families to shed tears

  • @Nicholas-yr2sq
    @Nicholas-yr2sq 2 місяці тому +4

    Wazazi itabidi mupange maadamano yenu siku moja 😎

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 2 місяці тому +7

    Wakati wa maandamano yenyewe hakukuwa na kazi sema tu polisi ndio wenye lawama kubwa na mauaji😢

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 2 місяці тому +7

    Haki gani , na uhai utawahi rudi

  • @rwenji22
    @rwenji22 2 місяці тому +3

    Hata kama alikuwa kwa maandamano, ni ukatili mkubwa wa serikali ya Ruto kutumia risasi za moto dhidi yao.

  • @davidthuks2128
    @davidthuks2128 2 місяці тому +1

    Wangeua kama kumi hivi iwe funzo ya waandamanaji

  • @wakenyaskytv6937
    @wakenyaskytv6937 2 місяці тому +6

    Ruto stop killing our children

  • @denniscemagik1260
    @denniscemagik1260 Місяць тому

    Parents (not necessarily concerned with this) Please, kuna watu nawajua wanafanya uhuni na ujambazi na wazazi hawana ufahamu. Mzazi anajua mtoto wake anafanya job ya ki uhaki ilhali wanao wanaficha siri na kuiba chini ya maji. Kuna wengine hata bibi zao hawajui so please, tutafute pesa kwa njia za kiukweli

  • @lynnomondi4899
    @lynnomondi4899 2 місяці тому +1

    Ruto must go yawa....

  • @danlamboghini6427
    @danlamboghini6427 2 місяці тому +2

    Pole mum

  • @edwingichobi1657
    @edwingichobi1657 2 місяці тому +1

    Swali ni je,wenye hayo magari waliochoma ndiyo waliua huo vijana kweli?Na kama hapana,mbona walichoma magari ya wenyewe basi? Asiyefunzwa na mamae hufunzwa na ulimwengu

    • @Borvia109
      @Borvia109 2 місяці тому

      Hehehe no worries hutafikiwa

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 місяці тому +1

    Kesho Mungu yuwasibi wote wauwaji

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu6222 2 місяці тому +3

    Koome must go

    • @Borvia109
      @Borvia109 2 місяці тому +1

      Start from Ruto

  • @alicembari8190
    @alicembari8190 2 місяці тому

    God will answer our prayers

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Місяць тому

    polesana ai jamani Tuto

  • @peterjowi3894
    @peterjowi3894 Місяць тому

    Francis mtalaki hapana sema rwinga, ni runinga ya citizen😂

  • @MuthamaSabastian
    @MuthamaSabastian Місяць тому

    Hawa maaskari ka wanajulikana inafaa watembelewe cos ata wakishikwa wataachiliwa bure...wapewe tu Genzs

  • @mahbubmo
    @mahbubmo 2 місяці тому +2

    Im not saying the killings are right but what does kicking a car and destroying you fellow kenyans property got to do with your anger for the government?

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 2 місяці тому +1

      Ruto pays the goons who do that. Ask him that question.

    • @Nicholas-yr2sq
      @Nicholas-yr2sq 2 місяці тому

      Rubbish

    • @mahbubmo
      @mahbubmo 2 місяці тому

      @peterkariuki9073 No it's a behavior, look at the past. Can't blame all your issues on ruto.

    • @user-td3oo1ye9n
      @user-td3oo1ye9n Місяць тому

      Good question....alafu mtu akiuliwa wanaannxa kulaumu police...

  • @anneorina2975
    @anneorina2975 2 місяці тому

    Condolences to the family

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Місяць тому

    Ruto hawezi badilika yaelekea are all danger in Kenya Ruto atawamaliz

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 2 місяці тому +1

    This sounds very unpleasant 😢
    Brutality on peaceful protesters

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930 2 місяці тому

    Ni ruto na police tu lakini MUNGU yupo mtalipia

  • @mercyserem1821
    @mercyserem1821 2 місяці тому

    Oo mama pole 😢😢

  • @ZawadiKalume-zb6lb
    @ZawadiKalume-zb6lb Місяць тому

    Hao mapolisi wachukuliwe hatuwa

  • @jamesmwangi9461
    @jamesmwangi9461 2 місяці тому

    rutu must goo

  • @gabrielngugi3553
    @gabrielngugi3553 Місяць тому

    Please this very wrong,mr president resign like koome

  • @user-qq5wo9vm5s
    @user-qq5wo9vm5s Місяць тому

    Yenye kuua lasima via wauliwe
    Kivimo wamepimia wengine
    Fia wafimiwe nayo
    Nawatolewe patis zao situpiwe
    Yenye kuitaji walio ua na Buduki
    Wauliwe na Buduki hivyo hivyo

  • @Tokneetoe
    @Tokneetoe 2 місяці тому +1

    This government kazi ni kusafirisha mwili places zingine ndio watu wasipate loved ones wao ....Githurai bado tunajua watu walipass wengi those shots could have been kwa hewa

  • @richardotieno7146
    @richardotieno7146 2 місяці тому

    Tunalani hii kitendo inayofanyika humu Nchini ,Kama vijana Tunaona tukirudi Barabarani Kutetea haki za wenzetu walio Uwawa Kiunyama na Maafisa wa Polisi ,Ruto must Go ,

  • @sarahmbuche5189
    @sarahmbuche5189 2 місяці тому

    Huyo mkora sijui atakubali lini kuondoka kwenye kiti watu wapate amani

    • @hakeemahmed2874
      @hakeemahmed2874 2 місяці тому +1

      If Ruto aende, wote waende.
      Tuende elections

  • @KenJuma-tz2hg
    @KenJuma-tz2hg 2 місяці тому +1

    Bado wanatuua ?

  • @FredrickOwinyo
    @FredrickOwinyo 2 місяці тому

    Bunduki haiuwi watu, watu ndio wanaua watu.

  • @theozansfamily1029
    @theozansfamily1029 2 місяці тому

    My dad was a Corp and always against police brutality to date 😢. It's so Unfair that a Kenyan killed another Kenyan for fighting for their basic Right. The hatred between the police and raia is Evidently during the training of "makurutu"

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick 2 місяці тому

    Malipo hapahapa😂

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow 2 місяці тому +2

    Huenda aliuliwa Kwa sababu ya Jina tu "Otieno" maskini.vifo alivyosema raisi Ruto havitatokea.Mungu amlipie.

  • @bensonathewa5956
    @bensonathewa5956 2 місяці тому

    😢😢😢while politicians are just relaxing in there palacual homes

  • @ndarochibingu
    @ndarochibingu 2 місяці тому

    Eeeh 😂😂 hasilo tawala

  • @robertoriato3654
    @robertoriato3654 2 місяці тому

    Hivi serikali imewekewa wanted

  • @ExaveryDominick
    @ExaveryDominick 2 місяці тому

    Malipo haphapa duniani

  • @agripinabukhala649
    @agripinabukhala649 2 місяці тому

    Ipoa wako nao

  • @MM-gh8wb
    @MM-gh8wb 2 місяці тому

    Mtoto yupi

  • @adtvhjnjkivvfw51
    @adtvhjnjkivvfw51 2 місяці тому

    Wauwaji umbwa😢😢😢

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje 2 місяці тому

    Hawana hurum n watu

  • @charleskiarii-nf5cc
    @charleskiarii-nf5cc 2 місяці тому

    Uyuu Ruto n haka Ka serekali kake

  • @marypatrick6667
    @marypatrick6667 2 місяці тому

    Gen Z simuwatafutee Hawa wauaji..

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 2 місяці тому +1

    Shida ya wtt wenu hawfanyi maandamano ya kutaka hk bali yakuaribu nchi mana wao wnacjoma vigu moto wna iba mali za raiya wenzao nakupiaaskar mawe ss unafikir askar na yy ni mtu anajitete

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 2 місяці тому

      Weee mjinga kweli. Wanaofanya hayo maasi hutumwa na serikali kuharibu maandamano.

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk 2 місяці тому +4

    Pole mama ila naomba tu msiweze tu kulaumu na kusema hakuwa kwa maandamano Ina maana alipigiwa ndani ya nyumba wako watu walirushia askari mawe japo sijasema kijana wenyu Ni mmoja wao

    • @KenyanRapper-lo6fb
      @KenyanRapper-lo6fb 2 місяці тому +3

      Fikiria unapozungumuza kumbuka Kuna Leo na kesho🤐🙏🙏

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 місяці тому +1

      Hawayaoni hayo na wnachoma moto vitu wnavynja maduka ya raiya wenzao n akuchoma moto ss hayp ndoaandamano gn jmn kaa

    • @Nicholas-yr2sq
      @Nicholas-yr2sq 2 місяці тому

      Wako hajauliwa ndio unaongea kama msenge, Ni Sisi Na nyinyi Sasa wakati umefika😎

  • @georginamueni5935
    @georginamueni5935 2 місяці тому

    The killer policemen know that there is God who fights for his people.

  • @Watt-er8or
    @Watt-er8or 2 місяці тому +4

    Sorry to the family,, but majority of the people who were shot are Luos..Is it coincidence or some people are just violent.. Usicheze na maisha, maandamano iwe ya amani..

    • @Billcl8nyon
      @Billcl8nyon 2 місяці тому

      They are ones causing chaos and breaking into people's businesses in the name of maandamano.

    • @KenJuma-tz2hg
      @KenJuma-tz2hg 2 місяці тому +2

      Mjinga ww

    • @kenyanowtv
      @kenyanowtv 2 місяці тому

      The most stupid comment,you ate just a fool.

  • @DavidNyamongo-un1sc
    @DavidNyamongo-un1sc 2 місяці тому +1

    Bado tutawaua wengi kesho,hii si maandamano ni uhuni tu

    • @JosephEmmanuel-eb7gj
      @JosephEmmanuel-eb7gj 2 місяці тому

      😢😢😢 wew ni binadam

    • @user-vz7cc3qv9f
      @user-vz7cc3qv9f 2 місяці тому

      We jaribu nikupate nakunyonga umfuate

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 2 місяці тому +1

      Kwel uhuni tu km ni maandamano ya kudai hk kwnn wachome vitu moto kwann wavunje madukaya raiya wenzao na kuiba mali ni u huni je

  • @GabrielbarakaThoua-fh8ow
    @GabrielbarakaThoua-fh8ow 2 місяці тому

    Ombati Jina TU maskini

  • @christinechirchir2560
    @christinechirchir2560 2 місяці тому +3

    Ambieni hawa watoto wenu wakae kwa nyumba stay home stay safe bure mtakuwa mkilia kila siku serekali serekali akuna siku serikali itatoa watoto waende maandamano

    • @mercymulwa8917
      @mercymulwa8917 2 місяці тому +5

      Unaongea kama mtu mjinga aje?

    • @christinechirchir2560
      @christinechirchir2560 2 місяці тому +1

      @@mercymulwa8917 ni Nani analia sai ni mjinga ama viherere ndio mnalia

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 2 місяці тому

      Soo uogope kufa huku ukilazimishwa maisha uishi maisha usiweza kujimudu siku yake ilikuwa imefika

    • @christinechirchir2560
      @christinechirchir2560 2 місяці тому +1

      @@remiomar7154 sasa hiyo maisha mzuri ataishi akiwa kwa kaburini?

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 2 місяці тому +1

      Your second name says/explains a lot. I won't even bother to reason with you nor stoop to your level

  • @SalimuNyanje
    @SalimuNyanje 2 місяці тому

    Hawana hurum n watu