HALI YA KIBU DENIS BAADA YA KUUMIA DHIDI YA TABORA UNITED ANAENDELEAJE?/MSIKIE DAKTARI WA TIMU HAPA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 52

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs 3 години тому +11

    Washatumizia mchezaji wetu kisa million50 mungu amsimamie kibu wetu

  • @veronicacagombora
    @veronicacagombora 2 години тому +6

    Mungu Akupe wepesi Kibu Denis,Amina 2:34

  • @TriciaSambo
    @TriciaSambo 3 години тому +10

    mungu azidi kuwafanya kuwa bora zaidi na zaidi na kibu apone halaka inshallah

    • @KidoMoshi-h9g
      @KidoMoshi-h9g 2 години тому +2

      Mm na Simba dam dam pakakufa saizi nimbelekwambele❤

    • @TriciaSambo
      @TriciaSambo 2 години тому

      pamoja sana​@@KidoMoshi-h9g

  • @DorcasJames-s3c
    @DorcasJames-s3c 2 години тому +4

    Mungu ni mkuu atakuwa sawa ameeeen

  • @KichwayaBangi
    @KichwayaBangi 3 години тому +3

    Love u simba sc

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 години тому +3

    Mungu ampe nguvu mwamba wetu Kibu dii tunamkubar sana Simba nguvu moja

  • @ndigamdoe9018
    @ndigamdoe9018 2 години тому +2

    Mwenyezi Mungu ampe ahueni ya haraka

  • @Mablocks-i6d
    @Mablocks-i6d 3 години тому +6

    Get well soon kibu❤

  • @JanethDeus-z5i
    @JanethDeus-z5i Годину тому

    Tuna mshukuru mungu kibu wetu apone araka ❤❤❤ I Love Simba❤❤❤ mwaaaaaaaa❤❤❤

  • @ErickKimario-t6u
    @ErickKimario-t6u 3 години тому +5

    Waiting

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine 3 години тому +2

    Mungu ni mwema kwa kibu wetu,

  • @saidlotar8689
    @saidlotar8689 2 години тому +1

    Pole sn kibu❤❤

  • @OctavianOctavianHermani
    @OctavianOctavianHermani 2 години тому +1

    Mungu m❤kubwa

  • @OmarAli-m4x
    @OmarAli-m4x 3 години тому +3

    Mungu amueke swa

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka Годину тому

    👏👏👏🦁❤️♥️❤️💪💪💪💪🙏🙏

  • @DavidTanu-rh9be
    @DavidTanu-rh9be 2 години тому +1

    Inshallah mwenyezi Mungu ataweka wepesi 🙏 atakuwa sawa

  • @yusuphkitivo
    @yusuphkitivo 54 хвилини тому

    Allah amfanyie wepes

  • @SabinuniMunishi
    @SabinuniMunishi Годину тому +1

    Mungu akusaidie mpambanaji uweze kupona nakuendelea kupigania chama kubwa

  • @israelmoses9768
    @israelmoses9768 Годину тому

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 2 години тому +1

    Asante mungu kibu wetu apone haraka .

  • @STELLAMARCELY
    @STELLAMARCELY 2 години тому +1

    MUNGU amfanyie wepesi KIBU wetu apone haraka.....

  • @ChokyInternational
    @ChokyInternational 2 години тому +1

    Mungu azidi kumuafu inshallah 🙏

  • @FeroozAjuae
    @FeroozAjuae 2 години тому +1

    😢😢

  • @FelisianEdward
    @FelisianEdward 3 години тому +2

    Mungu akuponye haraka mwaamba

  • @blackdizzzo8193
    @blackdizzzo8193 42 хвилини тому

    Naamin mungu atamsaidia atapona mapema na kurud kikosin

  • @McDonySanga
    @McDonySanga 3 години тому +4

    Will be oky

  • @MagrethCostantine
    @MagrethCostantine 3 години тому +2

    Kibu mungu amsimamie apone na aingie kucheza akiwa imara

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 2 години тому +1

    Allaha amponye haraka kwa uwezo wake 🙏

  • @AhmedAlly-n6o
    @AhmedAlly-n6o 2 години тому +2

    Mwenyezimungu ni mkubwa atamponya kibu kwa haraka

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 2 години тому +1

    Madaktari wanajua sanaa, ila ushauri wangu Kibu Denis asicheze zidi ya Fountain Gates ili asije akaumiya zaidi na kukaa nje muda mrefu.

  • @WendeMposola
    @WendeMposola 3 години тому +2

    Ivi naweza kufa bila kuonana na mchezaji hata mmoja Mungu naomba unisaidie nataman siku moja nionane na Ateba Mbidaaah na wachezaji wetu wa Simba wote

    • @khalidmwakabuta
      @khalidmwakabuta 3 години тому +1

      Uko Mkoa gani tukusaidie uonane na wachezaji wa timu yako pendwa ya SimbaSc

    • @WendeMposola
      @WendeMposola 3 години тому +2

      @khalidmwakabuta Niko Dodoma kwa sasa

    • @khalidmwakabuta
      @khalidmwakabuta 3 години тому +3

      @WendeMposola
      Fanya kitu hapo ingekuwa rahisi kama Simba ingekuwa haijacheza na Dodoma ungefanikiwa hapo hata Singida pia ingewezekana kama vipi jichange utakapopelea nambie nikuongezee ili ufike uwanjani na upate fursa ya kupiga picha kwa kumbukumbu nzuri za maisha yako na kizazi chako pia

    • @WendeMposola
      @WendeMposola 3 години тому +2

      @khalidmwakabuta Asante sana ngoja nijitafute siku nikionana nao nahisi ndo itakua siku ya furaha zaidi kwangu kuwah kutokea naomba Mungu anipe afya njema

    • @khalidmwakabuta
      @khalidmwakabuta 3 години тому +2

      @WendeMposola Inshallah Mungu si mchoyo siku zote na anaemuomba Mungu humpa
      Fanya hivyo nduguangu maana furaha yako ndio urefu wa maisha yako pia

  • @MarisaVitares
    @MarisaVitares 2 години тому +1

    Msilete njaazenu uwanjani mtatuvunjia wachezajiwetu mguu😠

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 2 години тому +1

    Refa gani ambaye hakuona wakati Kibu alisimama na kutembea vizuri tu wala hakuchechemea.

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko Годину тому

    Apone

  • @fnyange
    @fnyange 2 години тому +1

    InshaAllah Allah amfanyie wepesi Ameen Yarab

  • @Shabaniomari-f9l
    @Shabaniomari-f9l 3 години тому +1

    Ubaya ubwelaaaa kauli pendwa ya kibabee sana

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 години тому +1

    TABORA WALICHEZA KWAKUTAKA KUWAUMIZA WACHEZAJI WA SIMBA. KRISTINA ALIACHA KUWAAMBIA WACHEZAJI WAKE WAACHE RAFU NA KIONGOZI WAO ANASEMA TUNAENDA KUCHEZA HI NI FAINARI KWA HY WALILENGA KUWAUMIZA WACHEZAJI. KIBU ALIUMIZWA NA MCHEZAJI WA TABORA REFA AKAJIFANYA HAJAONA.

  • @abdulmarua
    @abdulmarua 15 хвилин тому

    jamaa amefanana na mufasa wa lion king

  • @SALEHSEIF-o5x
    @SALEHSEIF-o5x 3 години тому +1

    Mm nauliza iyo gam inachezwa lini dhiya fontgate?

  • @erastonyoka5021
    @erastonyoka5021 3 години тому

    Tuna mwombea apone mapema zaidi