Rais Dkt. Hussein Mwinyi akabidhiwa Kombe la CECAFA na Karume Boys
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Tazama hafla yote ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi alivyokabidhiwa Kombe la CECAFA kutoka kwa Timu ya Taifa ya Vijana ya Zanzibar Chini ya miaka 15 (Karume Boys).
Hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar ikiongozwa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na mwenyeji wao Dkt. Mwinyi
Karume Boys ilifanikiwa kulibeba kombe la CECAFA kwa mikwaju ya penati 4-3 mbele vijana wa Uganda.
Mnashangala ilo wakati Bora afya almaruhum alipo kwenda kuzikwa watu wamevaa nguo zachama mazikoni msiba mkubwa huu hawa CCM TENA to much mmezidi Bora tukupumzisheni Kwa hapa Zanzibar
Ulwa haumtupi mtu mama tabiya mlipochaguliwa mwanzo ulikuwa mwembamba na wenzio ila sasa mashallah mashallah 🎉🎉🎉
Uzalendo kwanza jaman ,wezetu wanatukuza utaifa na sio uchama ukianza kuzungumzia nafac ya chama cha mapinduzi ndicho kilichotufikisha hapa nakuifanya Zanzibar kupoteza utaifa wetu kitu ambacho nikiu kubwa na kwa walio wengi ktk wanzanzibar asilimia 87
Indeed
Upelekwe pengine au upumzike
Good Zanzibar
Hayo yooooote ni bure Zanzibar bila yakuwa na mamlaka kamili ni bureeeeeee Zanzibar imeshinda miaka mingap na imefikia wapi vipaji vipo vyakila aina ila chini ya CCM hatutoboi
Hayo masuala ya ucham hapo yana maana gani au ndio mwajikushanyia kuonekan munafany makubwa wakat uchumi haupo makelele mengi t😊
Kunasehem hayo mambo ya ccm oyeee hayana nafasi
Nilitamani makamu wa kwanza na 2 wangeongeya japo kidogo
Imegeuka kapeni ya CCM
Kila sehem kuna maongezi yake yanayohusu tukiyo
Kidumu Chama cha Makuwadi na Wanyonyaji
Kumbe MC charles ni utopolo 🤣🤣🤣
Ahadi zao na si yao
Good president of Zanzibar