MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah shukrani kwa kunipa mawaidha mazuri Allah akuhifadhi sheikh wg Salim Barahiyani Allah awahifadhi wte mlio jumuika
Wale wote wanaoitakidi kuwa baadae ya mtume khalifa sio imam Ally na hawafuati maimam 12 wanaotokana na kizazi Cha mtume madhehebu zao ni bidaa tupu Wala hamna sofa ya kutujadili sisi mashia itikadi zenu ni mbovu mbovu
Mawahabi msijifiche kwenye sun akaikomboe kwanza parestina ulio iuza kwa muingeleza na marekani umeuza uisilamu kwa mayahudi matokeo yake unatengenezewa vikundi vya kigaidi Sasa shia ambao hawasimamiwi mambo yao na mayahudi na nyinyi hamna Dola mnasimamiwa mambo yenu na mayahudi wanao wauwa waisilam nani je ni nani alie uza njia ya Allah kwa tamaa za Dunia utakuta ni mawahabi
mh sasa nakupata. kwamba kulupotokea muawiya kukataa utawala wa ali pakazuka shia...sasa mwanzilishi wa shari katika uislamu ni muawiya?mbona husemi wazi?
BARAYANI NINAWASWASI SANA KUWA SIO MSOMI.
MAANA HATA KUSOMA IBARA ZA KIARABU HUWEZI WALLAAHI
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah shukrani kwa kunipa mawaidha mazuri Allah akuhifadhi sheikh wg Salim Barahiyani Allah awahifadhi wte mlio jumuika
jazakallah khyra
Historia hii ukitaka kuilewa vyema sikiliza historia ya maswahaba kama ilivyosimuliwa na al-alama sheikh Othman maalimu.
Dini ya haki mbele mungu ni uisilamu
tatizo lenu hamjitambui kila mtu anajua
hawa ahlu suna inaelekea ni watu wema saana,,lakini wapi wametajwa katika quran?
Naombeni namba ya sheikh Salim Barahayaani
Ah hn mamboh
Kwahiyo mmeketi mnamskiliza sheh huyo au choko la kibaniumaiyya
Ww hakili Huna Huna heshima
Wew ni ndugu yake na yazid nin
Wale wote wanaoitakidi kuwa baadae ya mtume khalifa sio imam Ally na hawafuati maimam 12 wanaotokana na kizazi Cha mtume madhehebu zao ni bidaa tupu Wala hamna sofa ya kutujadili sisi mashia itikadi zenu ni mbovu mbovu
Nashangaa unajina kubwa kuliko ubongo wako
Unatakiwa kufanya heshma huyo anayeongea kielmu wewe huna hata 1/100 ya elmu yake
Shia kuffaar
Huyu bwana kazi yake kukufurisha watu na taasubi
,zungumzia zulma kiongozi WA zulma NI Nani warudishie yatima WA said jañjira haki ndio update kuzungumzi hicho unachoongea
Mawahabi msijifiche kwenye sun akaikomboe kwanza parestina ulio iuza kwa muingeleza na marekani umeuza uisilamu kwa mayahudi matokeo yake unatengenezewa vikundi vya kigaidi Sasa shia ambao hawasimamiwi mambo yao na mayahudi na nyinyi hamna Dola mnasimamiwa mambo yenu na mayahudi wanao wauwa waisilam nani je ni nani alie uza njia ya Allah kwa tamaa za Dunia utakuta ni mawahabi
Barahiyan hana anachokijua ni muongo katika waongo mwambieni asome kwanza historia kabla ya kukurupuka au inawezekana akili zake haziko sawa.
Khurafi anaongea.
Kamera man lengo ni kumuona mzungumzaji na kusikia kinachozungumzwa usioneshe mengineyo ushauri tu
Shekhe acha kutapatapa SEMA na utoe ya moyoni kwako
Huyuu sio sheikh huyuu ni mnafiki tu kazi yake kubwaa ni kupachika chuki baina ya waislamu
mh sasa nakupata. kwamba kulupotokea muawiya kukataa utawala wa ali pakazuka shia...sasa mwanzilishi wa shari katika uislamu ni muawiya?mbona husemi wazi?
😄😃😀
Nako kuna watu wanketi chini kumsikiliza huyu
kwahiyo haya anayo yasema hayafai kuya sikikliza?
haqi itabaki kua haqi ata kama kaisema nani ukiwa ww ni muislaam alafu unakejeli hadi maneno ya mtume alio yasema je watunasih tusikilize nn
huyu sheikh ukiachilia hizo hina za ndevu hamna kitu anajua kusema ukweli
Kwa nini umemdogesha namna hiyo?
😢
Kwani hina zinasema ukweli
@@universitylink yah hina tunaambiwa ni suna na maana masheikh matapeli wengi wanatia hina kudanganya watu
Ndio maana nimekuuliza kwani hina ndio inatoa hoja au sheikh ndio anatoa hoja , hapo umechemka kama huja kaanga
Huyu bahariyan kanyimwa sadaka nawaupande fulani siwataji ndo kisa cha kuwachukia nakuwaponda
Tena ilo jina lenu la assuar sun mmelpt wap