MKALIWENU AONESHA KADI YA GARI (BMW) ALILOPEWA NA NABII MKUU GEORDAVIE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лют 2025
  • MKALIWENU AONESHA KADI YA GARI (BMW) ALILOPEWA NA NABII MKUU GEORDAVIE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 47

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 2 роки тому +15

    Hii ni jibu tosha kwa mtu mnafiki na maadui wa watumishi wa Mungu hongera mkali maana unasem ukweli

  • @amidushaban8081
    @amidushaban8081 2 роки тому +4

    Duwee is back 😂❤❤❤

  • @danieljs4285
    @danieljs4285 2 роки тому +2

    duwee anaiwezea refresh xana 😀😀

  • @justineonline6556
    @justineonline6556 2 роки тому +10

    Balozi wake aliwahi kunifukuza nisihudumu na wala nisionane nae nabii , ukweli sijarizika na aina ya msaada anao utoa , wanafanya kulitangaza kanisa lakini ukweli nyuma ya capeti wanyonge hawasaidiwi zaid ya masuperstar ....

    • @samwelipaul9014
      @samwelipaul9014 2 роки тому +1

      Pole Sana ndugu..Dini za Africa ni Biashara

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 2 роки тому +2

      Mwenyenacho anaongezewa! asiyenacho hata hicho kidogo atanyang'anywa

    • @bakarpaul5046
      @bakarpaul5046 2 роки тому

      @@mwlpierre well said

    • @hakimtv9518
      @hakimtv9518 2 роки тому

      Hukuaga mstaarabu

  • @balkissmuhammad5090
    @balkissmuhammad5090 2 роки тому

    Laaanatullah shetwani

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 роки тому +3

    Aliyeolewa na Mkaliwenu kala hasara na hana ndoa ni ushetani km kabadili dini kuwa muislam nn kinampeleka kanisani tena kidini ndoa hamna hapo dada akae kwa tako moja tu

  • @pembafresh6872
    @pembafresh6872 2 роки тому

    Jaman hizonjaazenu mutakuja kufirwa, sasa tamaa vijana zinawaponza, wabadili dini kisa kari, kinachofata sasa nikuwa mke wawat kazi kwako

  • @OfficialmurraTv
    @OfficialmurraTv 2 роки тому +2

    Duwe anajua

  • @jamessteven5293
    @jamessteven5293 2 роки тому +3

    Silielewi ili kanisa na mmiliki wake kabisa aisee

  • @nii8855
    @nii8855 2 роки тому

    270m unaijua ww 😄😄😄😄 kuagiza sidhan km inafika hata 50m na kuiuza hapo ilipo 25m unapata kwa mbinde

  • @lusajomwakangata551
    @lusajomwakangata551 2 роки тому +3

    Hii nchi lkn 🤣🙌🏽

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Рік тому

    Njaa tu

  • @mako331
    @mako331 2 роки тому +4

    Hivi hili kanisa lina wahitaji kweli? Au waumini wote wamejitosheleza? Kama wapo wenye mahitaji maalum kwenye kundi hili then kuna maswali mengi juu ya hawa wasanii wanoenda na kupewa magari kwa sadaka za wanyonge hao

    • @shizaarfred4059
      @shizaarfred4059 2 роки тому

      inaitwa ngurumo ya upako

    • @reganshao
      @reganshao 2 роки тому

      Yan lina wahitaji tena wengine wanateseka vibaya mno ,,weka akilin kwamba kwann wasipewe wao na wanapewa wengine , ipo sababu

  • @nayoneplatnumz3311
    @nayoneplatnumz3311 2 роки тому +2

    Kaongeaaa ukweli

  • @amryally9255
    @amryally9255 2 роки тому

    mkaliwenu tintad ya nn wakati we mwenyewe mweusi

  • @Hashdough
    @Hashdough 2 роки тому +1

    'WATU WENGI MNAJUDGE COVER KWA KITABU CHA NJE' AHAHAHAHA

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 роки тому

    Honqera sana

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому

    Ila huyu mtangazaji na Huyu mnafiki eti mkojani asije akabadilisha dini

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 2 роки тому

    Yaani gari nilivyoina Siku ile nikajua tu ni ya mtu alikuwa anaitumia inaonekana imetumika sana ni sawa na mimi nimpe mtu gari langu la zamani nililotumia nimelichoka nimenunua jipya

  • @Queen_latiffa
    @Queen_latiffa 2 роки тому +3

    😂😂😂😂

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 роки тому +3

    Kama Amekupa Kweli Siyo Kiki Ni Vizuri

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 2 роки тому +1

    Hakika munqu nimwema sana

  • @edwinjabez8352
    @edwinjabez8352 2 роки тому +1

    Promotion ya kanisa hii amini

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 2 роки тому +2

    Halafu we mtangazaji mna fikii

  • @Manswabu
    @Manswabu 2 роки тому +7

    Ni muislamu uyoo kasaliti uisalm kwa BMW

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 2 роки тому +4

      Kasaliti vp?

    • @zaharahussain5734
      @zaharahussain5734 2 роки тому

      Mujinga sana huyo kasaliti uwislam kwer

    • @mrjohn4446
      @mrjohn4446 2 роки тому +2

      Unaakili za kimaskini sanaa, pata hela ufute huo ujinga kichwani

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 2 роки тому

      Mkali wenu anaitwa Jackson…………. Au ??

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 2 роки тому

      @@ommietrendz7175 Baba yake muislam Mama yake Mkristo na kabadili dini kaoa kiislam sasa nn mnaona hapo km sio kusaliti dini

  • @abdulgeuka3985
    @abdulgeuka3985 2 роки тому +2

    Vijana tafuteni hela gari la DK LEO watu wapo Namba E

    • @samwelikadir6438
      @samwelikadir6438 2 роки тому +1

      Ww una hata baiskel

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 2 роки тому

      Atakuwa choko uyu watu wana magari mpaka namba AA na wanatesa nayo road acha uzwazwa wewe namba hii ndio nini cha ajabu una namba E paso mwenzako ana namba D bmw hahahahahha

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 2 роки тому

      Wewe uliyebarikiwa hiyo E mshukuru Mungu, hiyo A yenyewe usifikiri inaokotwa

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 роки тому +2

    Kama Amekupa Kweli Siyo Kiki Ni Vizuri