PAULA AFANYA MAAMUZI MAGUMU KWA MAMA YAKE 'KAJALA', HARMONIZE ADAIWA KUWA CHANZO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 222

  • @Bullah_tz
    @Bullah_tz 2 роки тому +23

    *Bwana paula yuko sawa yaan mtu alitembea na mama ake na bado akamtaka na paula mwenyewe afu bado mama anamsamehe dauhh*

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 2 роки тому

      Wakati baba yake analalamikia tabia zao walimu ona bwege acha wapambane sasa, kama mama kama mtoto

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 2 роки тому +5

    Mtoto hawez mpangia mama ake m2 wa kuwa nae asiumize kichwa🤣🤣🤣

  • @jessykadaraja2691
    @jessykadaraja2691 2 роки тому +15

    I think it is an opportunity for Paula and her mother to open up a reality show and we will be more than happy to follow it.

  • @kellybreezytz2491
    @kellybreezytz2491 2 роки тому +11

    Usikute paula ndio anaitaka nafasi ya kuwa Mom Konde 😂

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 2 роки тому +1

      Atakuwa anamtaka konge mana aliuona mjegeju 😆😆😆

    • @officialbossy2767
      @officialbossy2767 2 роки тому

      😂😂😂😂😂uzuri mungu anakuona

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 роки тому +2

    Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥
    ________________
    Karibuni

  • @blackman6379
    @blackman6379 2 роки тому +4

    That’s her Mom’s relationship , Paula should get married where she wants 🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️not to interrupt her Mom’s relationship

  • @Malkey4real-330
    @Malkey4real-330 2 роки тому

    Sio mbaya

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +19

    Paula tulia mamaako alimiss muhogo wa harmo 😜

  • @yusuphcharles1497
    @yusuphcharles1497 2 роки тому +4

    Acha wayamaliza family jamani
    Hapa duniani hakuna aliyekamilika

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 роки тому +2

    Pole sana Poula yako yanakushinda mmmmmh!aibu sana

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 роки тому +3

    Poula una tia Aibu sana , sasa mama yako unataka awe na Nani? Au unataka kumtafutia mwanaume wa Kuwa nae mmmmmh Shem on youu Poula Aibu sana.

  • @nataliakenny9499
    @nataliakenny9499 2 роки тому +5

    Paula nae alidanganywa na rayvanny ndomaana yoote yakatokea na vdio akavujisha lkn msamaha ni kitu kizuri sasna kwann watu wanaumia hamornise kusamehewa na kajala wakt wanapendana ?? Watu wanalala na ndg wa dam au ata daddy zao lkn mwisho wa sku yanaisha,,,Sasa Paula anajivalisha utupu mbele ya harmoo Sasa angefanyaje na yeye ni rijali 😃 mi naona hamna ubaya wowote

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 роки тому

    Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥
    ________________
    Karibuni

  • @elizabetharon6334
    @elizabetharon6334 2 роки тому +7

    Paula atabaki kuwa mtoto wa kajala analeta ubabe mbele ya mama akee,hata akimu unfollow BADO atabaki kuwa mama akee hawezi kumbadilisha,alichokifanya mama akee ni kutafuta furaha yake,anaweza akapewa pesa nyingi huko alikokua lkn akakosa furaha.kingine kajala jinsi anavyomlea MWANAE ndo hayo matunda yake sasa mtoto anampanda kichwani mpk inafika kipindi wananuniana hawasemeshani!!!!utandawazi na kumdekeza mtoto kuta mcost kajala sanaaa.mi naamini ata monalisa wanagombanaga na MWANAE lkn huwezi kuskia mitandaoni sio kwamba wao wapumbafu. Naskia hasira sana.kifupi mi nawapenda kajala na bamo basiiii mengine watajijuaa

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 роки тому +8

    Yeye yanamuhusu nini atoke hapa mtoto mdogo mambo makubwa

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 2 роки тому +1

    No comment

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 2 роки тому

    Pole Sana Paula... Rayvanny ndio huyoooooo amekuaja....

  • @eunicethoya6021
    @eunicethoya6021 2 роки тому

    🤣🤣🤣 Paula a nafikiria 2 dude akiingia chumbani kwake kule mama yuala raha yeye yuaumia na hisia

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 роки тому +18

    Poula Wewe ni mtoto mdogo sana uwezi kuingilia mapenzi ya mama yako Maana siyo heshima kabisaaa

    • @aishaomary4498
      @aishaomary4498 2 роки тому +1

      Mmh yupo sahihi hivi baba amtake mtoto na amtumie uume afu bado umuite baba kweli

    • @johamussa1413
      @johamussa1413 2 роки тому

      hpn paul yuko saw kbc

  • @37thstreetradioandtv
    @37thstreetradioandtv 2 роки тому

    Big fan from KENYA

  • @nellyflo9736
    @nellyflo9736 2 роки тому

    Paula respect your mum decision.kwani utamuoa,😂😂💔

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 роки тому

    Hamnaga mambo ya kuongelea maendeleo? . Kila siku hayo hayo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому +2

    Haha safi mtu na mama ake top in town

  • @salomeabel6721
    @salomeabel6721 2 роки тому +1

    Akwende zake uko uyo Paul yake yanamshida mama yake alimwacha afanye anachokita ,kujitegemea tu awez amwache mama yake amtafutie maisha ' mapenz ayaingiliwi

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 роки тому +5

    Kwani we Paula unamtaka hamo!! Mbona wivu mwingi!!

  • @simbaasad5811
    @simbaasad5811 2 роки тому

    Now I can believe the news@millardAyo. You never lie in your reports

  • @ntabyoetienne2508
    @ntabyoetienne2508 2 роки тому +1

    Hiyo ni mipango yawo wote wa tatu,paula akatae RANGE ROVER 3 nani atakataa wewe subutu iyo wamepanga tu

  • @ladykimnan902
    @ladykimnan902 2 роки тому

    Mmmmh sisi niwatazamaji wahili limove😎

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 роки тому

    Mmmmmmh yangu macho wasanii bhana mnamaigiz kesho tu mnaachana tushawazoea na Harmon hizo pesa unazochezea ipo siku utalia cjui umelogwa

  • @malkiawanguvu3150
    @malkiawanguvu3150 2 роки тому +1

    Huu ni ujinga wa kutupoteza maboya sisi! Juzi tu walikuwa zenji woote mama mtu na mtoto na mmakonde🥤🤗🤗🤗

    • @rukiamziwanda7458
      @rukiamziwanda7458 2 роки тому

      Paula yupo sahihi huyu mama Hana akili mtt amekwakwambia huyu baba hafai amenifunulia utupu wake na kakuonyesha ushaidi wewe mama bado unamludia huyu baba kweli

  • @mbawalamakomae5094
    @mbawalamakomae5094 2 роки тому +4

    Mtoto anaadabu anamchagulia mama mume htareeeeeee xnaaa

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 2 роки тому

      Wewe unge weza kushea mwanaume namtoto wako au nyie niwachawi

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 2 роки тому +3

    Waheshimu Baba na Mama yako upate miaka mingi na heri(success), Duniani. Amri hii ya Mungu haijabainisha endapo kakufanyia vibaya basi usimuheshimu, Bali Kwa Hali zozote zile, maadam ni mzazi wako. Huyu mtoto analotafuta Kwa mzazi wake atalipa. Huwezi mchagulia mama yako Mume.

    • @dayanandama8873
      @dayanandama8873 2 роки тому

      Cdhani kama vitabu vya dini vinaongelea kuheshimu mzazi anakuhitaji kimwili au baba wa kambo wacojiheshimu

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому +3

    Paula anataka dudu ya babaake🤣🤣🤣🤣🤣

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 2 роки тому

      Kabisa 😆😆😆

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 роки тому

      @@malichanda3146 😂😂😂

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ua-cam.com/video/3hV3k4sUVAg/v-deo.html

  • @d1w4n1dmoko9
    @d1w4n1dmoko9 2 роки тому +4

    Sas jmn kosa la paula ni nn mama hana akili je mtot angetembea na harmo kipindikile mngemuinaje mtt yupo saw kabisa

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 2 роки тому +1

      Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 2 роки тому

      Kama.mamake aliyemzaa hana akili akatafute mama mwingine amzae upya paula.anania.raha ya mamake ipo wapi akwede

    • @twaine40
      @twaine40 2 роки тому

      Una uhakika gani? Mind your own business yasiyokuhusu yasikupe pressure, watz munapenda sana kuifuatilia maisha ya mtu

    • @annalubango9899
      @annalubango9899 2 роки тому

      Ugeanza wewe kukupita yasokuhusu.hata mimi nigepita tu lakini hayakuhusu ila ukasema mama hana hakili.

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ua-cam.com/video/3hV3k4sUVAg/v-deo.html

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 2 роки тому +3

    Kidole mama kido

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 роки тому

    Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥
    ________________
    Karibuni

    • @nuruanaelisha8731
      @nuruanaelisha8731 2 роки тому

      Hujatoa maelezo ww,tutakufikiaje ,hap umeandika tyu karibu without any link

    • @frankmasamaki9640
      @frankmasamaki9640 2 роки тому

      @@nuruanaelisha8731 Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥💥
      🗣Gusa link kuitazama (maandishi ya bluu)
      👇
      ua-cam.com/video/H9Xa_IS67HA/v-deo.html
      ________________
      Karibuni

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 2 роки тому

    Uyo mama ajielew kajawa tamaa za anasa tu

  • @leahchalresi5632
    @leahchalresi5632 2 роки тому +2

    Mm naomba Kama kweli wameludiana nibola wafunge ndoa tuu

  • @kaisamjunior3692
    @kaisamjunior3692 2 роки тому +1

    Paula hauna adab huwezi kumchagulia mama yako mwanaume wakuwa nae

  • @shimadosun
    @shimadosun 2 роки тому

    💥💥

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 2 роки тому

    Hivi kajala anafanya shuguli gani?
    Nakumbuka huyu dada alikuwaga kumbukumbu primary school

  • @samielmbay8495
    @samielmbay8495 2 роки тому

    poa Kaka yangu

  • @angelinahassani3097
    @angelinahassani3097 2 роки тому +1

    Mama anuniwi acha ubwege Paula mtt usiekuwa na akil uwezi kumpangia mama yako mwanaume wakuwa nae pia kingine wewe ndio ulikuwa unacherewesha kumbe msamaha kukubaliwa ata mama yako kumbe alikuwa anampenda konde Ila wewe tu ndio ulikuwa ttz acha mama ako apate muhogo wa mmakonde bwana

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 2 роки тому +4

    Mwambieni Paula hawezi kuingilia mapenzi ya mama yake ikumbukwe ,yeye alimwambia asipokuwa na uhusiano na Rayvanny atakufa kwa nn na yy asimurusu mama yake kama alivyo achwa yy

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 роки тому

    Hizi comment wanaomlaumu Paula ni mashabiki wa Harmoniz na wanao muunga mkono Paula n watu wa Diamond 😂kwaiyo cjickii kucomment chochote kwangu lolote sawa

  • @faridyshaame4705
    @faridyshaame4705 2 роки тому +1

    Script tu hzo movie bado inaendelea

  • @stellachalamila7455
    @stellachalamila7455 2 роки тому +1

    Hata ningekuwa Mimi ninge fanyahiyio

    • @editz5430
      @editz5430 2 роки тому

      ndoman ww sio iVo... msenge

  • @shazceo6853
    @shazceo6853 2 роки тому

    Ebuuu bwana atulie kdg tujivunie sisi K❤️H

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 2 роки тому +3

    Paula awe na adabu kwa wazazi wake(mama yake mzazi na baba wa kambo

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 2 роки тому +1

    familia ya uzinzi ni uzinzi tuu. hili hata kwa mwanae utalikuta tupeane muda. vinginevyo abadilike

  • @edwardcosmas6359
    @edwardcosmas6359 2 роки тому

    Rayvanny nae 😃😃😃😃

  • @slicehamfrey3504
    @slicehamfrey3504 2 роки тому +1

    Mtoto atakiwi kukuchagulia maisho anatakiwa akubali matokeo yoyote kwake ni baba

  • @nyandwiniyera5535
    @nyandwiniyera5535 2 роки тому

    Paula atulie tu mbona yy alivyo kua anatoka na Mume wamutu mama yake alikua bele kwabele kumusimamia mwanae kwakila kitu jamani paula tulia bibie ww uweke masomo mbele huwezi kushidana na mumazi wako hata iweje mama atabakia kua mama mm sio tatizo ama kosa mama yako aliyo fanya ww kubaliana nayo kama yy alivyo kubalia na ww kipindi ulivyo kua kwenye mahusiona na ray Mume wa fayhma..

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 роки тому

    WW PAULA HEBU TULIA USIMUINGILIA MAMA YAKO WW MTOTO

  • @zennahmtoto1867
    @zennahmtoto1867 2 роки тому +3

    Huyu paula anamcontrol mamake mtoto mjinga snaa huyu😄😄😄Paula fata furaha yako ilipo mtoto umzae mwenyewe kisha akupande kichwa uwongo

    • @bwiseleloesse6808
      @bwiseleloesse6808 2 роки тому

      Bumbafu zako kabisa wewe

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 2 роки тому

      @@bwiseleloesse6808 Na zako pumbu ziko wapi😄😄😄

    • @bwiseleloesse6808
      @bwiseleloesse6808 2 роки тому

      @@zennahmtoto1867 hivi kwa nini wa Tanzania wengi hamunaga akili nashindwaga sana kuelewa

    • @zennahmtoto1867
      @zennahmtoto1867 2 роки тому

      @@bwiseleloesse6808 Alo kwambie mm mtanzania nani😄😄🤗

    • @bwiseleloesse6808
      @bwiseleloesse6808 2 роки тому

      @@zennahmtoto1867 unafikiria paula ni mjinga kama yake,ni mambo ya aibu sana

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 роки тому

    Paula mwache mama yko hawe na furaha utafanyaje ataukinunua ni mama yko usishindane naye ni mama

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 роки тому +2

    Poula nikushauri kitu tulia endelea na Mambo Yako Maana sikio halizidi kichwa ☺️Wewe ni mtoto tu acha Mambo ya kipumbavu

  • @mutavijeniffer8895
    @mutavijeniffer8895 2 роки тому +1

    Mtoto yupo såhihi jamani, mama yake mzazi anamdhalilisha, Ana kila haki ya kukasirika.
    Atabaki kuwa mamake, ila kwa sasa Ana haki ya kukusirika, mama anajidhalilisha jamani🚮🚮🚮🚮🚮

  • @crownprince3956
    @crownprince3956 2 роки тому +2

    Team wcb huyo mapenzi ya wazazi hayaingiliwi Kama yeye alivyokuwa na rayvanny Kumbe inaumaaaaa😂

    • @zainabufeka87
      @zainabufeka87 2 роки тому

      Huyo paula fara tuu anaingilia vip mapenz yamama yake niutovu wananidham

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 2 роки тому

      Muchawi mkubwa wewe

    • @crownprince3956
      @crownprince3956 2 роки тому

      @@stellachalamila7455 mchawi mwenyew na Paula wako asiyejielewa

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 2 роки тому

      Team wcb tunaingilia wapi kwenye huu uchafu wenu

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ua-cam.com/video/3hV3k4sUVAg/v-deo.html

  • @kebibasherry3117
    @kebibasherry3117 2 роки тому

    Back to tz😂😂

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 роки тому

    Ukikosa Akili kitu kibaya sana....

  • @mwajabummbaga6302
    @mwajabummbaga6302 2 роки тому

    Kwahiyo na nyie mmeshakua kama page za umbea,mnakeraa,wamesha rudiana,na paula kashamfollow mama ake,na mm ake ameshamfollow paula

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 роки тому +1

    Huo ni ulimbukeni

  • @islabocco478
    @islabocco478 2 роки тому +2

    Kajala atajuta.hata mm ningea kua paul nisinge kubali yani mwanaume amuonyeshe mdudu ambao huo huo anamuingiza mama mtu Alf nitulie tu

    • @munirahassan6313
      @munirahassan6313 2 роки тому

      Paul nyupo saw mama amezingua sana

    • @islabocco478
      @islabocco478 2 роки тому

      @@munirahassan6313 kinoma Alf Kuna mafala wanamtetea kajala

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ua-cam.com/video/3hV3k4sUVAg/v-deo.html

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 2 роки тому +2

    Huyu mtt anampangia mamaake maisha ww ndy chanzo hata mama ako akaachana na harmo mtt inackilza sana watu hata ukifuta bado atabak kuwa mama tu hakunaga mama wawil

    • @annkim2690
      @annkim2690 2 роки тому

      🤣🤣🤣 lakini baba wako wawili

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 роки тому

    Ushuzi Wa ngomani haukawii kupita

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 роки тому +11

    Poula una tia Aibu sana unamuonea mama yako wivu! Badala ya kumuacha mama yako awe na furaha 😆Wewe Ndiyo shida kwenye mahusiano ya mama yako

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому

      🤣🤣🤣 kunywa soda nakuja kulipa

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 2 роки тому +1

      Kwa hiyo ingekuwa wewe ungekubali bwana wako atake kumtomba mtoto wako nyie ndo unaochangia bwana na watoto wenu

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому

      @@karasuyazidi8547 wewe unaushaidi gan?? Unajuwa watanzania weng wanapenda sana drama aisee

    • @lallysaidsaid7219
      @lallysaidsaid7219 2 роки тому +1

      Kweli anawivu anamchagulia mama mwanaume

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ua-cam.com/video/3hV3k4sUVAg/v-deo.html

  • @annkim2690
    @annkim2690 2 роки тому +1

    Hii ndio taabu ya kuzaa mtoto mmoja

  • @hamelzakaria2439
    @hamelzakaria2439 2 роки тому

    Ukidakwa si hatupo

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 2 роки тому +1

    Hamo anatakiwa atoke na Paula

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 2 роки тому

    Wewe huna kazi ya kufaya kweda kupoteza muda kuzgumzia life zawatu yiyi wandishi wa Habari mbona mbatia aibu mkuwa kama mashoga

  • @edigamwagala2133
    @edigamwagala2133 2 роки тому

    Ushezi mtupuuuuu!!!

  • @filberthabashi2870
    @filberthabashi2870 2 роки тому +2

    Mwache mamake apate raha, maama hizo raha wwe huwez mpa, wwe pewa na rayvany,

  • @kavoomshana7289
    @kavoomshana7289 2 роки тому

    Huyo Paula Hajielewi,tena akae kimya anampangiaje mama yake mapenzi,

  • @neemamassawe1946
    @neemamassawe1946 2 роки тому +4

    Naomba nikukumbushe kuwa mama ni mama tu hata kama Kilema , kichwa hatabaki kuwa mama tu, acha kuingilia mahusiano wewe ni mtoto mdogo sana Tulia fanya mambo yako

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 2 роки тому +30

    Paula Yuko Sawa .. Ana Haki Ya Kummaindi Bi Mkubwa ,na Hii Inaonesha Ni Kiasi Gani Kajala Kakua Kiakili ,Lazima Awe Soource Ya Kumtoa Ujinga & Ndumba 😅Alizopewa Mppk Kuwa Mpuuzi Kiasi Hiko ,Siku Zote usiongozwe Na Tamaa & Hisia ...ongozwa Na Akilli kwanza ,Kwa Akili Ya Kawaida Unaweza Kumsamehe Mtu Aliyetaka Kumla Mwanao ?? ...Mwanao Unamtambulishaje Baba Yake Aliyewah Kumtongoza Na Kumtumia Mambo Ya Hovyooo ...Very Stupid Mother

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому +3

      Ww hyo ni siri yao we unaudhibitisho gan kuwa alitaka kumla mwanae. Paula anawivu

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 2 роки тому +6

      @@omarymohamed9834 huna akili kijana acha ushabiki mavi

    • @twaine40
      @twaine40 2 роки тому +2

      Dada povu lakutoka hivyo kwani ulikua wataka @harmonize akufuate wewe Nini? Punguza jazba na ujipe shuhuli in short hayakuhusu fuatilia tu kinachoendelea

    • @chizashungu8364
      @chizashungu8364 2 роки тому +4

      @Einstein mboje, Upo sahihi yule mama ni hovyo,inaonyesha jinsi gani akili zake ni matope.Paula kama kweli anataka kuwa salama aachane kabisa na Huyo mama ni hatari kubwa kwa her sanity.Huyo mama amekuwa robot.......na inavyoonyesha yupo tayari kwa lolote as long as kuna harufu ya hela.Paula go back to your daddy,let that mama go down on her own.

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 роки тому

      Hakuna mkate mgumu mbele ya chai 😄😄😄😄

  • @tariqbutt9516
    @tariqbutt9516 2 роки тому

    Waswahili husema Ushuzi wa ngomani haukawii kupita

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 роки тому +1

    MTANGAZAJI MBONA USISEME WEWE UNA TOKA NA ANTI EZEKIEL KUNA VIDEO NILIONA.

  • @blackamerica7086
    @blackamerica7086 2 роки тому

    Au dogo alimpenda harmonise 😹😹😹 paula tulia nyege sio saizi yako

  • @hawahabibu3881
    @hawahabibu3881 2 роки тому +2

    Kama hajakubaliana waludiane bac itakuwa anamtaka yy uyo Harmo

    • @surehaaman8112
      @surehaaman8112 2 роки тому

      Basi mtoto alitembea Nate kweli msibishe Wenda walilala wote

    • @protas6108
      @protas6108 2 роки тому +1

      Kaona range 2 kapagawa nazo anatamani angekuwa yeye ila kwani vanny amnunulii ndinga kalikali kama harmo anavyofanya kwa kajala

    • @SwahiliFilmTz
      @SwahiliFilmTz 2 роки тому

      VPN YA KUTUMIA INTERNET BURE 👇
      .
      ua-cam.com/video/3hV3k4sUVAg/v-deo.html

  • @mautopolo
    @mautopolo 2 роки тому

    Mtoto ana wivu Kwa mamake

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Huyo Paula anakuwa na wivu wa nini?ye

  • @MikiGermany210
    @MikiGermany210 2 роки тому

    Wanawake tunawaheshimu ila akili zenu mnazijua wenyewe

  • @jrm9448
    @jrm9448 2 роки тому +3

    Maigizo tu. Mama na mtoto kula yao inategemea nyuchi zao. Hii yote ni kiki tu ya kuhalalisha mzunguko wa umalaya wao.
    Safari Harmonize asicheleweshe apige mimba wote wawili fasta.

  • @daimondelfina5689
    @daimondelfina5689 2 роки тому

    Paula yuko sahihi

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 роки тому

    Vidox nawe mbea sikuhizi mhh ila nawapenda wakweli tu kuliko wengine wote

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 2 роки тому

    ihii inanipa picha kwamba wasanii wa kike wataishia kuchezewa tu Harmo nafikili uyo sio mwanamke wa ndoto zake kajara anatakiwa kuwa na mume bola anakua kama mtoto mdogo dah

  • @shaniashani7026
    @shaniashani7026 2 роки тому +13

    Mtoto msimtukane yupo sahii2 angetembea na huyo bwana asinge sema ikaja julikana badae mngemuonaje simngesema mtoto mbaya huyu kuna kesi nyingi sana mnaziona za wababa wa kambo kutembea na watoto wa wanawake zao mbona tunakuwaga tunalaumu watoto mbona ukusema hapo wapowanao bebeshwa mimba na wana ambukizwa magonjwa kwa mzazi huyu hakupaswa bwana kurudiana nae mtoto mmoja utaishi mbari nae umfraishe bwana anenepe mtoto akonde mmh

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому +1

      Ww uliwai kumsikia popote Paula akiongea kuwa alitaka kuliwa na harmonize?? Munapenda sana propaganda guys

    • @shaniashani7026
      @shaniashani7026 2 роки тому

      @@omarymohamed9834 Wesamahani sana babu vipi unatazama mitandao sana sindio mbona haukuwai kwenda polisi hama mitanda yote ilokuwa ikizungumzia swala hili la baba kumtaka mtoto vipi uniwakie mimi tafadhari sana tena ushindwe

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 2 роки тому

      @@omarymohamed9834 we acha ujinga ungekuwa we demu sijui ungeongea huo ujinga

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому

      @@karasuyazidi8547 we hakili hauna. Ungekuwa we mwanaume ungekubali mtoto amkataze mama ake kuwa na ww

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому

      @@shaniashani7026 we polisi ulienda?? Na unajuwa kilichowapeleka polisi ni nn?? Au ndo fuatilia sana drama

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 2 роки тому

    Mama ni mama hata akifanya nisichopenda

  • @catrinavampire8547
    @catrinavampire8547 2 роки тому

    Sasa anakaa kwa nani ahame na nyumba sasa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

    Heka heka mtoni.

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 2 роки тому

    Kajala anampenda sana.mwanae watu waache kuingilia tofouti zao wataelewana tu

  • @micmac7035
    @micmac7035 2 роки тому

    Mama kama mwanae
    Acheni utoto

  • @omarymohamed9834
    @omarymohamed9834 2 роки тому +2

    Huyo mtoto ni malaya anamtaka harmonize itakuwa

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 2 роки тому +2

      Huna akiliwewe

    • @omarymohamed9834
      @omarymohamed9834 2 роки тому

      @@stellachalamila7455 me akili za nini we mbwa. Akili kuwa nazo wewe😅😅 na ww ingilia mahusiano ya wazazi wako

  • @Tee-King
    @Tee-King 2 роки тому +1

    Kiki Drama.

  • @aginessmgaza9899
    @aginessmgaza9899 2 роки тому

    Mh

  • @benedictkaiza3987
    @benedictkaiza3987 2 роки тому

    Mpaka mabango mmh mapenzi haya

  • @nelimajoy5412
    @nelimajoy5412 2 роки тому +1

    A jealous daughter is a dangerous daughter,Paula arudi Kwa babake mzazi coz hakuna siku baba wa kambo atakua baba mzazi Kwa mtoto wa kike ambaye hakumzaa,,,if she can't be happy for her mum iyo ni wivu au alitaka monize mwanzo bt he chose her mom,it's a wicked world bt it is what it is,ameomba msamaha kasamehewa maana duniani hakuna aliyekamilika,angekuwa under 18 ndio tungesema harmo mbwaaaaaa lakini she's old enough to stay away from the step dad

  • @mwanzaboy1548
    @mwanzaboy1548 2 роки тому

    Acheni usenge kua mnatuletea habali zakifala

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 роки тому

    Acheni machawa waongee sio wakiteleza mnawaita mafala,
    Na sio kila kitu uongee nipo na briana unaniuliza kajala una punguza utamu.