Watumishi wa idara ya ardhi sijui huwa wanafundishwa utapeli chuoni, maana wamekuwa chanzo cha migogoro ya ardhi nchini kote kila Halmashauri ni shida tupu. Wanatakiwa wabadilike vinginevyo watavuna walichopanda.
Ninavyofahamu Mimi mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa kwaiyo unachokifanya mweshimiwa kinaendana na Kasi ya raisi wetu wa awamu ya tano ,nakupongeza sana mh,mungu aendelee kukutia nguvu .
Dastun Luswaga halafu nilichogundua hawa mipango miji wanauza viwanja vya watu walivyoachiwa na wazazi wao ndo wanauza,tunapata mashaka kununua viwanja manispaa,wanasumbua kinoma.Ukifa ghafla ndo ushadhurumiwa hivyo,bora kununua kwa binafsi
kazi nzuri mweshimiwa sisi sisi wa hali ya chin ndo tuna oneana mwisho wa siku tuna laumu serikali na chama, tungepataviongoz wa namna hii tunge heshimiana pumbavu
Muheshimiwa mkuu was mkoa magufuli mungu amjalie kuwapata watu Kama ninyi Nani angetatua matatizo haya watu wengi tumedhurumika ila mi nakuombea maisha marefu
nakufatilia sana mkuu wa mkoa nataman uwe Rais Tz tutaeshmiana na ndoto ya kukua kwa uchumi itatimia.. baadh ya watu kua juu ya sheria ndio kinachodumaza maendeleo ya uchumi wa nchi👏👏👏
Huyu kiongozi Safi Sana unaokoa watu wengi na Mali zao hiki kipindi Cha awamu ya tano kila mtu Ana Uhuru wa kuongea haya jamani hayakuwepo ndio maana watu walikua Wana uwezo wa kufanya chochote
EDSON MBILINYI kinachosemwa na wananchi kweli tupu kaka,MIPANGO miji Iringa ni shida ,kuna rafiki yangu walimdhulumu kiwanja chake ilhali alishakilipia wakawa wanamzungusha kumpa hati,basi alimua kunyamaza tu ikabidi akanunue kwa MTU binafsi na kashajenga tayari,yaani MIPANGO miji ukishalipia kiwanja hiyo hati utazungushwa weee km pia
Mheshimiwa even the fake letters those officers write they don't post them until the day you visit lands office and they open your file, you get surprised when they show you copy letters they claim they sent you
Uyu RC angekuwa waziri tu maana duh nakubali kazi zake
RC Hapi,
Duuu umelelewa wapi wewe mbona unayashangaza macho yangu,
Hongera sana!!!
Nimekuelewa
Dionise Myigezo Iringa mmepata kiongozi bora mtumieni mpate maendeleo
i am real real impressed with you Hapi usibadirike👏👏👏
Kiongozi wa kweli anapaswa kuwa hivi. Big up mkuu kaza but safisha magugu yote yanayowatafuna Watanzania
Hakika unafaa sana wewe ni kionzi bara mwezi mungu akulinde
Hongera sana Mh. mkuu wa mkoa.
kwa Mwendo huu tutafika.
Tanzania bora inakuja!
Yan uy mkuu wa mkoa wa iring angekuj tanga raha xan
Mwajuma Juma ,yaani kwa namna hii Tanzania tungefanikiwa sana.kama wote wangekuwa namna hii.
ila Tanga ntakuja mimi,naomba mvumilie kidogo
Aki , Rc Hapy si magufuli akupe transfer uje hapa kwetu kenya unyoroshe kindogo,Hongela sana mheshiwa.
Honger san mkuu was mkoa wa iring hii ndo Tanzania mpya Allah akulinde san
Yaaani natamani uongozi huu hongera kiongozi
Safi sana mr hape kazi yako ipo vizuri sana
Dah kweli hii awamu kali zaman utamuona wap.mkuu wa mkoa ujieleze jaman magu ashukuriwe sikuhiz wakuu wa mikoa tunapanaga mambo pamoja
uko vizuri tetea wanyonge mungu atakulipa
I can see the next magufuli in Tanzania keep it meeen
mkuuu nakukubali sana tuendlee ivo ivo ayo salute kwa kukutup taarifa
Kongole sana kwa kazi nzuri tanzania,,,Hila kenya tunaeza pata mmoja kama wewe,,,,,Kongole ...kongole
hichi kipindi cha magu mtanyoka tu mmetutesa sana
Beatrice Nicholaus I was a hhhhhhhhhhh kweli kk acha wanyooshwe tu ,lkn cha ajabu , wakuu wa mikoa wengine wako wapiiiiii???
@@jamaliddiin9357 wengine naona kama hawaungi mkono nyendo za Rais na yeye anawacheck tu nadhani anawapigia timing🤔
Haaaaa mheshimiwa hakukosea kukuchagua nakuelewaga sana
Hapi you are the best ❤️❤️❤️💯💕💕💥💥💥
Kwa Awamu hii ya tano naona watanyoka hapa kazi2 tumbuwa wote walaji rushwa wanaoibia serikali nà wahujumu wote!
Bravor sana kaka mkuu wa mkoa Ally hapi
Kama wangekureta mkoa wa ruvuma
Watumishi wa idara ya ardhi sijui huwa wanafundishwa utapeli chuoni, maana wamekuwa chanzo cha migogoro ya ardhi nchini kote kila Halmashauri ni shida tupu. Wanatakiwa wabadilike vinginevyo watavuna walichopanda.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hahaaaahaaaaaa
Maligisa Dotto mmm
na mikoa mingine muige mfano huu mzur sana wananchi hatutaichukia serikali!!!!!
Ninavyofahamu Mimi mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa kwaiyo unachokifanya mweshimiwa kinaendana na Kasi ya raisi wetu wa awamu ya tano ,nakupongeza sana mh,mungu aendelee kukutia nguvu .
Safi sana Dogo,
Kuna masnema mengi kwenye utendaji
Sawa kijana mwenzangu wambie hawa jamaa yaan ukiandika barua ukapeleka utaambiwa acha namba ya simu tutakuita uje ujukue ndio ushaachwa hivo...
Dastun Luswaga halafu nilichogundua hawa mipango miji wanauza viwanja vya watu walivyoachiwa na wazazi wao ndo wanauza,tunapata mashaka kununua viwanja manispaa,wanasumbua kinoma.Ukifa ghafla ndo ushadhurumiwa hivyo,bora kununua kwa binafsi
Kamweneeee Hapi safi sana
Sema bb mokozi wa wanainchi
kazi nzuri mweshimiwa sisi sisi wa hali ya chin ndo tuna oneana mwisho wa siku tuna laumu serikali na chama, tungepataviongoz wa namna hii tunge heshimiana pumbavu
kaka upo vizuri wamezoea kk
Kazi. Unayo mkuu wamkoo kila siku tabu Sana tanzaniz tulikua naviongozi magumashi sana ila namini hii ndio selikali ya wanyonge
Hapo lrnga manispaaa wanakelo sana hao mpka wanaudhi😊
Muheshimiwa mkuu was mkoa magufuli mungu amjalie kuwapata watu Kama ninyi Nani angetatua matatizo haya watu wengi tumedhurumika ila mi nakuombea maisha marefu
Kizuri hakidumu, ipo siku mama atafanya jambo zuri juu Yako🙏
Yaani kumbe kunawatanzania waaina hii kwakweli nikitu chakushangaza mungu akubarik kk naakupenguvu naakuondolee husda .nakupenda sna🙏
Mungu akulinde wewe nimkombozi wawanyonge
Hawajui wajib wao.wanajua kupata pesa tu😂😂
Mkuu wa mkoa. Pongezi sana piga
Kz Pambana
I swear this guy deserve tz president aki ya mungu next magufuli big up ally hapi
nakufatilia sana mkuu wa mkoa nataman uwe Rais Tz tutaeshmiana na ndoto ya kukua kwa uchumi itatimia.. baadh ya watu kua juu ya sheria ndio kinachodumaza maendeleo ya uchumi wa nchi👏👏👏
Huyu ni future president mashallh
mueshima ongela sana kwa kazi yako mungu atakulipa
Kazi mzuri
Rc hapi wewe ni kiongozi safi pia ni hazina ya taifa
Hongera wajina uko vzur kaza buti hakuna namna
NATAMANI WAKUU WA MIKOA YOTE WAWE IVI MUNGU AWASAIDIE SANA...HONGERA BROTHER HAPI...
Huyu kiongozi Safi Sana unaokoa watu wengi na Mali zao hiki kipindi Cha awamu ya tano kila mtu Ana Uhuru wa kuongea haya jamani hayakuwepo ndio maana watu walikua Wana uwezo wa kufanya chochote
🤣🤣eti km mchawi Ally HAPI MUNGU akusimamie kwakweli
Mkuu hongeraa sana toka nazaliwa sijawahi kuona mtetezi wawanyonge
Mweshimewa wanyooshe maana kazi Yao niuwongo tu tena usivitizame vitambi vyao hivyo nidhuluma tu wameshiba
kamaa umemwona diamond wa iringa akiwaa kalibu na maiki like hapa
Asante Sana mkuu wa mkoa wa iringa wanyooshe baba wamezidi Sana iringa mpya ndo hiyooooo na magorofa mapyaaaaa
Kazi nziri mheshimiwa mkuu was mkoa
Jmn ww baba naona unafaa kuwa Rais unaakili sana unaongea point tu
Hapi mwili mdogo Ila mambo yako makubwa ,nakupendaga bureee
Namukubali
Serikali hiyooooo Kali watu wasifanye utani wa mazoea
Muheshimiwa Ali happy una endesha sheria Kiisilamu.
Mwaka huu wa magufuli mutakoma
Aisee...huyu jamaa cjui katokea wap kiukweli, ila yupo vzr sannaaa...angekuja hata Zanzubar.
Ha! Filikunjombe cha mtoto,waliopotelewa na mh Filkunjombe umewashaulisha machungu
Mh Rc hapi tunakuomba ufike Kijiji cha Wangama usikilize kero za Wananchi wako
Kweli.haki itendeke..
Napenda gisi uu mku wa mkoa anatatua mgogoro ya wana inchi ningebaatika kuona number yake ya sim ya whatsapp
MH NASSARI ALIANDIKA BARUA KWA #NDUGAHI BILA MAJIBU.. MESSAGE SENT
Duh! Aisee....kazi wanayo
Mungu akulinde na jicho baya la mahasidi
Good tupo pamoja mkuu wetu wametutesa sana
Daa angeletwa kwetu arsha
Wananchi wanaweza chonganisha viongozi wakapoteana.....kunahitaji hekima sana......
Sawa Mr Mbilinyi
EDSON MBILINYI kinachosemwa na wananchi kweli tupu kaka,MIPANGO miji Iringa ni shida ,kuna rafiki yangu walimdhulumu kiwanja chake ilhali alishakilipia wakawa wanamzungusha kumpa hati,basi alimua kunyamaza tu ikabidi akanunue kwa MTU binafsi na kashajenga tayari,yaani MIPANGO miji ukishalipia kiwanja hiyo hati utazungushwa weee km pia
Hawo wana siasa za analogy. Watumbuwe, Kazi kukaa ofisinitu, utafikiri wako lasaba, wasomi gani, wehu, watoe wote, mijeuri Hiyo,
Watu kama hawa ndio samia hawataki sasa ndio wananchi tujue ni serikali ya aina gani tuliyonayo
Good job kka
I wish Kenya was like this
Huyokiongoz mzulihanamashala
Wamezoea utawala uleeeeee. Hawo wanga wa maendeleo, wamgeie. Wakuu wamikoa wengine wamelala utafikiri wao hawana matatizo, Raisi watoe wanaolala, kijana huyu, sabaya, makonda sikuhizi yuko kimya sijui kwanini, kwanini hujui, mtoehuyo
Waambie hao wachawi wanajikuta !mungu
Revina stephen 😀😀😀😀🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃
imenimid tu nicoment hongera sana mkuu wamkoa wa iringa
ni kati ya wakuu wa mkoa bora kabisa kwa sasa kwa kutathimini anayoyafanya.inapendeza sana.
Wanao muelewa mkuu wa mkoa wa kamwene
Naty Van kamwenee muyaaaa
✋✋
Upo sawa hapi piga kazi
Safiiii sanaaaaa yaani kweli unataka kuuza nyumba kisa 1m tena ya ugangaaaa????? mfyuuu zao kweli haki ya mtu inarudi hata ipite miaka 50
Kazi wanayoo
Safi sana
wanyoooke wezi hao
Tell them
Mimi huwa nafurahi sn kuona kiongozi anatetea wanyonge kama huyu.soma coment za watu ndo utaelewa.pig up rc happ tunakupenda wana iringa.
mkuu we mfano kwa viongozi wengine
Kazi nzuri
Kweli mkubwa watu wameteseka mda mlefu
Hawa watumishi wa arithi wathulumaji sana wa viwanja via watu
Nakuomba hapi ugombee ubunge ili uwe waziri mkuu utusaidie wote asante magu
Bigap sana kiongozi, uko poa sana
Mlizoea mnakaa ofisini kama mabwanyenye kila siku njoo kesho njoo kesho... mmenyooka mxiuwwww
Safi sana mkuu wa mkoa ayo ndio mambo.
Naomba Mungu uhamishiwe arusha mheshimiwa Hapi
Yaani we acha tu kiukweli me nimemkubali
Eti babako akiwa manamba hupati plot duuh mama jeuri kweli
Mkuu wa mkoa kweli yupo kazini. Tukienda ivi dhuluma hato kuwepo.
Duuuh mbona yatawatokea puani😃😃
Huyu ni mkali kuliko makonda tena siyo mchezo
Mh nakuelewa sanaaa tanesco tatizo iringa
Njoo manyar kiteto karibu San
Siku moja Utakuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Wapi makavu maana haooo
Mheshimiwa even the fake letters those officers write they don't post them until the day you visit lands office and they open your file, you get surprised when they show you copy letters they claim they sent you
Hongera sana mkuu