Mkuu wa Idara hajategemea kilichotokea mbele ya RC Hapi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 170

  • @twalibuchilumbe7751
    @twalibuchilumbe7751 5 років тому +16

    Uyu RC angekuwa waziri tu maana duh nakubali kazi zake

  • @dionisemyigezo9137
    @dionisemyigezo9137 5 років тому +27

    RC Hapi,
    Duuu umelelewa wapi wewe mbona unayashangaza macho yangu,
    Hongera sana!!!
    Nimekuelewa

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 4 роки тому

      Dionise Myigezo Iringa mmepata kiongozi bora mtumieni mpate maendeleo

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 5 років тому +5

    i am real real impressed with you Hapi usibadirike👏👏👏

  • @christopherkizigo5454
    @christopherkizigo5454 5 років тому +20

    Kiongozi wa kweli anapaswa kuwa hivi. Big up mkuu kaza but safisha magugu yote yanayowatafuna Watanzania

    • @upendojosefu4457
      @upendojosefu4457 2 роки тому

      Hakika unafaa sana wewe ni kionzi bara mwezi mungu akulinde

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 років тому +24

    Hongera sana Mh. mkuu wa mkoa.
    kwa Mwendo huu tutafika.
    Tanzania bora inakuja!

    • @mwajumajuma3334
      @mwajumajuma3334 5 років тому +1

      Yan uy mkuu wa mkoa wa iring angekuj tanga raha xan

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 років тому

      Mwajuma Juma ,yaani kwa namna hii Tanzania tungefanikiwa sana.kama wote wangekuwa namna hii.
      ila Tanga ntakuja mimi,naomba mvumilie kidogo

    • @poulkiarie254
      @poulkiarie254 5 років тому

      Aki , Rc Hapy si magufuli akupe transfer uje hapa kwetu kenya unyoroshe kindogo,Hongela sana mheshiwa.

    • @fatumashabani5341
      @fatumashabani5341 4 роки тому

      Honger san mkuu was mkoa wa iring hii ndo Tanzania mpya Allah akulinde san

  • @bahatiali5018
    @bahatiali5018 5 років тому +18

    Yaaani natamani uongozi huu hongera kiongozi

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 років тому +6

    Safi sana mr hape kazi yako ipo vizuri sana

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 років тому +11

    Dah kweli hii awamu kali zaman utamuona wap.mkuu wa mkoa ujieleze jaman magu ashukuriwe sikuhiz wakuu wa mikoa tunapanaga mambo pamoja

  • @missmoresa8854
    @missmoresa8854 5 років тому +6

    uko vizuri tetea wanyonge mungu atakulipa

  • @dariusmutunga6842
    @dariusmutunga6842 4 роки тому +2

    I can see the next magufuli in Tanzania keep it meeen

  • @abdulmusa1446
    @abdulmusa1446 5 років тому +1

    mkuuu nakukubali sana tuendlee ivo ivo ayo salute kwa kukutup taarifa

  • @partohmsee5992
    @partohmsee5992 5 років тому

    Kongole sana kwa kazi nzuri tanzania,,,Hila kenya tunaeza pata mmoja kama wewe,,,,,Kongole ...kongole

  • @beatricenicholausiwasa7601
    @beatricenicholausiwasa7601 5 років тому +43

    hichi kipindi cha magu mtanyoka tu mmetutesa sana

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 5 років тому

      Beatrice Nicholaus I was a hhhhhhhhhhh kweli kk acha wanyooshwe tu ,lkn cha ajabu , wakuu wa mikoa wengine wako wapiiiiii???

    • @maligisadotto8631
      @maligisadotto8631 5 років тому

      @@jamaliddiin9357 wengine naona kama hawaungi mkono nyendo za Rais na yeye anawacheck tu nadhani anawapigia timing🤔

  • @naomikakingo7070
    @naomikakingo7070 5 років тому +8

    Haaaaa mheshimiwa hakukosea kukuchagua nakuelewaga sana

  • @aimeetshibangu2334
    @aimeetshibangu2334 5 років тому +1

    Hapi you are the best ❤️❤️❤️💯💕💕💥💥💥

  • @barrysulty1756
    @barrysulty1756 5 років тому +6

    Kwa Awamu hii ya tano naona watanyoka hapa kazi2 tumbuwa wote walaji rushwa wanaoibia serikali nà wahujumu wote!

  • @husainabdu2676
    @husainabdu2676 5 років тому +4

    Bravor sana kaka mkuu wa mkoa Ally hapi

  • @maligisadotto8631
    @maligisadotto8631 5 років тому +10

    Watumishi wa idara ya ardhi sijui huwa wanafundishwa utapeli chuoni, maana wamekuwa chanzo cha migogoro ya ardhi nchini kote kila Halmashauri ni shida tupu. Wanatakiwa wabadilike vinginevyo watavuna walichopanda.

  • @furahalunyungu936
    @furahalunyungu936 5 років тому +2

    na mikoa mingine muige mfano huu mzur sana wananchi hatutaichukia serikali!!!!!

  • @mparemusa9787
    @mparemusa9787 4 роки тому

    Ninavyofahamu Mimi mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa kwaiyo unachokifanya mweshimiwa kinaendana na Kasi ya raisi wetu wa awamu ya tano ,nakupongeza sana mh,mungu aendelee kukutia nguvu .

  • @zainabuahmed5910
    @zainabuahmed5910 5 років тому +2

    Safi sana Dogo,
    Kuna masnema mengi kwenye utendaji

  • @dastunluswaga5182
    @dastunluswaga5182 5 років тому +7

    Sawa kijana mwenzangu wambie hawa jamaa yaan ukiandika barua ukapeleka utaambiwa acha namba ya simu tutakuita uje ujukue ndio ushaachwa hivo...

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 років тому

      Dastun Luswaga halafu nilichogundua hawa mipango miji wanauza viwanja vya watu walivyoachiwa na wazazi wao ndo wanauza,tunapata mashaka kununua viwanja manispaa,wanasumbua kinoma.Ukifa ghafla ndo ushadhurumiwa hivyo,bora kununua kwa binafsi

  • @winfridawilliam2289
    @winfridawilliam2289 5 років тому +1

    Kamweneeee Hapi safi sana

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos 4 місяці тому +1

    Sema bb mokozi wa wanainchi

  • @oscarmarandu1346
    @oscarmarandu1346 5 років тому

    kazi nzuri mweshimiwa sisi sisi wa hali ya chin ndo tuna oneana mwisho wa siku tuna laumu serikali na chama, tungepataviongoz wa namna hii tunge heshimiana pumbavu

  • @deomsigwa3150
    @deomsigwa3150 5 років тому +1

    kaka upo vizuri wamezoea kk

  • @dominikishilali1377
    @dominikishilali1377 4 роки тому +1

    Kazi. Unayo mkuu wamkoo kila siku tabu Sana tanzaniz tulikua naviongozi magumashi sana ila namini hii ndio selikali ya wanyonge

  • @FausitnePonera-fq9pj
    @FausitnePonera-fq9pj 6 місяців тому

    Hapo lrnga manispaaa wanakelo sana hao mpka wanaudhi😊

  • @rashidjumanne1984
    @rashidjumanne1984 5 років тому

    Muheshimiwa mkuu was mkoa magufuli mungu amjalie kuwapata watu Kama ninyi Nani angetatua matatizo haya watu wengi tumedhurumika ila mi nakuombea maisha marefu

  • @alexmugisha4848
    @alexmugisha4848 Рік тому

    Kizuri hakidumu, ipo siku mama atafanya jambo zuri juu Yako🙏

  • @fatmakessy981
    @fatmakessy981 5 років тому

    Yaani kumbe kunawatanzania waaina hii kwakweli nikitu chakushangaza mungu akubarik kk naakupenguvu naakuondolee husda .nakupenda sna🙏

  • @MhenyaMashomali-lr4ip
    @MhenyaMashomali-lr4ip Рік тому

    Mungu akulinde wewe nimkombozi wawanyonge

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 років тому +2

    Hawajui wajib wao.wanajua kupata pesa tu😂😂

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 роки тому

    Mkuu wa mkoa. Pongezi sana piga
    Kz Pambana

  • @dekinho2020
    @dekinho2020 5 років тому

    I swear this guy deserve tz president aki ya mungu next magufuli big up ally hapi

  • @radhemohan7490
    @radhemohan7490 5 років тому

    nakufatilia sana mkuu wa mkoa nataman uwe Rais Tz tutaeshmiana na ndoto ya kukua kwa uchumi itatimia.. baadh ya watu kua juu ya sheria ndio kinachodumaza maendeleo ya uchumi wa nchi👏👏👏

  • @alitesco4943
    @alitesco4943 4 роки тому

    Huyu ni future president mashallh

  • @allyabdallah7822
    @allyabdallah7822 5 років тому

    mueshima ongela sana kwa kazi yako mungu atakulipa

  • @matingo-bk1248
    @matingo-bk1248 5 років тому +2

    Kazi mzuri

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 2 роки тому

    Rc hapi wewe ni kiongozi safi pia ni hazina ya taifa

  • @chobingozubery1998
    @chobingozubery1998 4 роки тому

    Hongera wajina uko vzur kaza buti hakuna namna

  • @gabysixleonard7624
    @gabysixleonard7624 5 років тому

    NATAMANI WAKUU WA MIKOA YOTE WAWE IVI MUNGU AWASAIDIE SANA...HONGERA BROTHER HAPI...

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga1503 4 роки тому

    Huyu kiongozi Safi Sana unaokoa watu wengi na Mali zao hiki kipindi Cha awamu ya tano kila mtu Ana Uhuru wa kuongea haya jamani hayakuwepo ndio maana watu walikua Wana uwezo wa kufanya chochote

  • @fatoomfatoom5590
    @fatoomfatoom5590 5 років тому +1

    🤣🤣eti km mchawi Ally HAPI MUNGU akusimamie kwakweli

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 5 років тому

    Mkuu hongeraa sana toka nazaliwa sijawahi kuona mtetezi wawanyonge

  • @user-oh8bn3vg2w
    @user-oh8bn3vg2w 5 років тому +2

    Mweshimewa wanyooshe maana kazi Yao niuwongo tu tena usivitizame vitambi vyao hivyo nidhuluma tu wameshiba

  • @stanleyofficial6913
    @stanleyofficial6913 5 років тому +1

    kamaa umemwona diamond wa iringa akiwaa kalibu na maiki like hapa

  • @zaitunmtove4050
    @zaitunmtove4050 5 років тому

    Asante Sana mkuu wa mkoa wa iringa wanyooshe baba wamezidi Sana iringa mpya ndo hiyooooo na magorofa mapyaaaaa

  • @damasmzena4363
    @damasmzena4363 5 років тому +3

    Kazi nziri mheshimiwa mkuu was mkoa

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 2 роки тому

    Jmn ww baba naona unafaa kuwa Rais unaakili sana unaongea point tu

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 4 роки тому

    Hapi mwili mdogo Ila mambo yako makubwa ,nakupendaga bureee

  • @geromehavyarimana7828
    @geromehavyarimana7828 5 років тому

    Namukubali

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 6 місяців тому

    Serikali hiyooooo Kali watu wasifanye utani wa mazoea

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 5 років тому +1

    Muheshimiwa Ali happy una endesha sheria Kiisilamu.

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 5 років тому +3

    Mwaka huu wa magufuli mutakoma

  • @khamiskombo5965
    @khamiskombo5965 4 роки тому

    Aisee...huyu jamaa cjui katokea wap kiukweli, ila yupo vzr sannaaa...angekuja hata Zanzubar.

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi2686 5 років тому

    Ha! Filikunjombe cha mtoto,waliopotelewa na mh Filkunjombe umewashaulisha machungu

  • @zainabubalama4622
    @zainabubalama4622 4 роки тому

    Mh Rc hapi tunakuomba ufike Kijiji cha Wangama usikilize kero za Wananchi wako

  • @janethnkembo5808
    @janethnkembo5808 2 роки тому

    Kweli.haki itendeke..

  • @alexisnduwimana4363
    @alexisnduwimana4363 4 роки тому

    Napenda gisi uu mku wa mkoa anatatua mgogoro ya wana inchi ningebaatika kuona number yake ya sim ya whatsapp

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 5 років тому +1

    MH NASSARI ALIANDIKA BARUA KWA #NDUGAHI BILA MAJIBU.. MESSAGE SENT

  • @edsonmbilinyi8551
    @edsonmbilinyi8551 5 років тому +2

    Duh! Aisee....kazi wanayo

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 5 років тому

    Mungu akulinde na jicho baya la mahasidi

  • @niccokisinini1039
    @niccokisinini1039 5 років тому

    Good tupo pamoja mkuu wetu wametutesa sana

  • @grorynanyaro5571
    @grorynanyaro5571 2 роки тому

    Daa angeletwa kwetu arsha

  • @edsonmbilinyi8551
    @edsonmbilinyi8551 5 років тому +2

    Wananchi wanaweza chonganisha viongozi wakapoteana.....kunahitaji hekima sana......

    • @enocknkwama4818
      @enocknkwama4818 5 років тому

      Sawa Mr Mbilinyi

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 років тому

      EDSON MBILINYI kinachosemwa na wananchi kweli tupu kaka,MIPANGO miji Iringa ni shida ,kuna rafiki yangu walimdhulumu kiwanja chake ilhali alishakilipia wakawa wanamzungusha kumpa hati,basi alimua kunyamaza tu ikabidi akanunue kwa MTU binafsi na kashajenga tayari,yaani MIPANGO miji ukishalipia kiwanja hiyo hati utazungushwa weee km pia

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 роки тому

    Hawo wana siasa za analogy. Watumbuwe, Kazi kukaa ofisinitu, utafikiri wako lasaba, wasomi gani, wehu, watoe wote, mijeuri Hiyo,

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 2 роки тому

    Watu kama hawa ndio samia hawataki sasa ndio wananchi tujue ni serikali ya aina gani tuliyonayo

  • @salmaoman6347
    @salmaoman6347 5 років тому

    Good job kka

  • @anthonykenneth.1780
    @anthonykenneth.1780 4 роки тому

    I wish Kenya was like this

  • @mwaisimbashuga-de6fy
    @mwaisimbashuga-de6fy Рік тому

    Huyokiongoz mzulihanamashala

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 роки тому

    Wamezoea utawala uleeeeee. Hawo wanga wa maendeleo, wamgeie. Wakuu wamikoa wengine wamelala utafikiri wao hawana matatizo, Raisi watoe wanaolala, kijana huyu, sabaya, makonda sikuhizi yuko kimya sijui kwanini, kwanini hujui, mtoehuyo

  • @revinastephen1702
    @revinastephen1702 5 років тому +2

    Waambie hao wachawi wanajikuta !mungu

    • @imeldabamba3779
      @imeldabamba3779 5 років тому

      Revina stephen 😀😀😀😀🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃

  • @kellyjohn8154
    @kellyjohn8154 5 років тому

    imenimid tu nicoment hongera sana mkuu wamkoa wa iringa

  • @bahishaalexander3641
    @bahishaalexander3641 5 років тому

    ni kati ya wakuu wa mkoa bora kabisa kwa sasa kwa kutathimini anayoyafanya.inapendeza sana.

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 5 років тому +3

    Wanao muelewa mkuu wa mkoa wa kamwene

  • @bakariluhala7332
    @bakariluhala7332 5 років тому

    Upo sawa hapi piga kazi

  • @MrEve1975
    @MrEve1975 5 років тому

    Safiiii sanaaaaa yaani kweli unataka kuuza nyumba kisa 1m tena ya ugangaaaa????? mfyuuu zao kweli haki ya mtu inarudi hata ipite miaka 50

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 роки тому

    Kazi wanayoo

  • @user-uf8or8hd9p
    @user-uf8or8hd9p 6 місяців тому

    Safi sana

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 5 років тому +1

    wanyoooke wezi hao

  • @sarahlydia2635
    @sarahlydia2635 4 роки тому

    Tell them

  • @exaverykalinga1487
    @exaverykalinga1487 4 роки тому

    Mimi huwa nafurahi sn kuona kiongozi anatetea wanyonge kama huyu.soma coment za watu ndo utaelewa.pig up rc happ tunakupenda wana iringa.

  • @PeterMarceli
    @PeterMarceli 5 місяців тому

    mkuu we mfano kwa viongozi wengine

  • @mustafamohammed2696
    @mustafamohammed2696 5 років тому

    Kazi nzuri

  • @KP-kn2no
    @KP-kn2no 4 роки тому

    Kweli mkubwa watu wameteseka mda mlefu

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 2 роки тому

    Hawa watumishi wa arithi wathulumaji sana wa viwanja via watu

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 5 років тому

    Nakuomba hapi ugombee ubunge ili uwe waziri mkuu utusaidie wote asante magu

  • @peterlaiza1399
    @peterlaiza1399 5 років тому

    Bigap sana kiongozi, uko poa sana

  • @oliviamasao2891
    @oliviamasao2891 4 роки тому

    Mlizoea mnakaa ofisini kama mabwanyenye kila siku njoo kesho njoo kesho... mmenyooka mxiuwwww

  • @erastoselemani5443
    @erastoselemani5443 5 років тому

    Safi sana mkuu wa mkoa ayo ndio mambo.

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 років тому

    Eti babako akiwa manamba hupati plot duuh mama jeuri kweli

  • @bahatimgaya6095
    @bahatimgaya6095 5 років тому

    Mkuu wa mkoa kweli yupo kazini. Tukienda ivi dhuluma hato kuwepo.

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 5 років тому

    Duuuh mbona yatawatokea puani😃😃

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 6 місяців тому

    Huyu ni mkali kuliko makonda tena siyo mchezo

  • @benjaminhonga6771
    @benjaminhonga6771 5 років тому

    Mh nakuelewa sanaaa tanesco tatizo iringa

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 5 років тому

    Siku moja Utakuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 роки тому

    Wapi makavu maana haooo

  • @cheupestefano5424
    @cheupestefano5424 4 роки тому

    Mheshimiwa even the fake letters those officers write they don't post them until the day you visit lands office and they open your file, you get surprised when they show you copy letters they claim they sent you

  • @tirasteras106
    @tirasteras106 5 років тому

    Hongera sana mkuu