Wabunge waomba msamaha kwa kupitisha mswada wa fedha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anawataka vijana ambao wamegadhabishwa na hatua ya wabunge kupitisha mswada tata wa fedha kuwasamehe na kuwaruhusu kutekeleza majukumu yao. Kauli ya naibu rais inajiri baada ya baadhi ya wabunge kutatizwa na wapiga kura wao katika hafla mbalimbali na kuwalazimu wengine kutokwenda nyumbani huku wakiomba msamaha.

КОМЕНТАРІ • 326

  • @bd-no9ti
    @bd-no9ti 3 місяці тому +65

    Endeni mwanzo mfufue walioulia alafu muombe msamaha.Nyinyi bado ni wauwaji na hatujasahau

  • @doubles4945
    @doubles4945 3 місяці тому +43

    This country must be fixed, kila mtu asalamiwe, lazima

  • @Redcatek
    @Redcatek 3 місяці тому +51

    Tafadhali naomba wakenya, never ever! Ever! allow these stupid politicians to come n talk to u!! May the spirit and blood of the young guys that were killed coz of just asking to be heard snc they were hungry haunt all these politicians and their families.. May they never have peace!!

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 3 місяці тому

      😢😢😢😢😢

    • @margaretmacharia8919
      @margaretmacharia8919 3 місяці тому +2

      The blood of our young people cries out to God like the blood of Abel, and this is what The LORD says;
      It is mine to avenge; I will repay. In due time their foot will slip; their day of disaster is near and their doom rushes upon them." Deutronomy 32.:35.

    • @MosesThuoThiongo-d2q
      @MosesThuoThiongo-d2q 3 місяці тому

      True

    • @abdullahkazungu4025
      @abdullahkazungu4025 3 місяці тому

      True

  • @samsonmuisyo6990
    @samsonmuisyo6990 3 місяці тому +68

    Wamalize waende..no apology.

    • @nehemiakiprop8878
      @nehemiakiprop8878 3 місяці тому +3

      I agree 💯 with you, 2027 we do the necessary, but hii story ya kuresign itatuweka mahali mbaya kama taifa

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 3 місяці тому +1

      Walifanya watoto wetu kuliwa 😢😢

    • @nehemiakiprop8878
      @nehemiakiprop8878 3 місяці тому +1

      @@lucymwai7645 it's true dear, they have done wrong to the nation, but let's calm down for the sake of young souls and we sent them home 2027

    • @Follow.TruelightJC
      @Follow.TruelightJC 3 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @lecogotze5209
      @lecogotze5209 3 місяці тому +1

      They should leave the office that's the only way watoke kwa izo offisi atutaki watu waku bribiwa

  • @yohanalemaiyan3076
    @yohanalemaiyan3076 3 місяці тому +15

    We're no longer stupid!to hell with this government!...they knew what they were doing!....

  • @annewanjiru818
    @annewanjiru818 3 місяці тому +31

    They should first and urgently return the money they greedily enriched themselves with.
    This is the condition for partial forgiveness, otherwise watoto wetu wataendelea kuwasalimia

  • @eliudjuma9626
    @eliudjuma9626 3 місяці тому +68

    Twawangoja huku mashinani tuwasalmie

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 3 місяці тому +21

    Hawa ni mangaa , wakuje ground watusalimie , lazima tuwarekebishe , chuma chao ki motoni , never go against ur boss adhabu ya msaliti ni

  • @beatriceokello3276
    @beatriceokello3276 3 місяці тому +9

    Forgive them ONLY if they bring back to life all the youth who died because of them. Had they listened to you, these youths wouldn't have died.

  • @cleo4782
    @cleo4782 3 місяці тому +4

    The same guys who later on voted for KDF to be deployed on the streets....smh

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 місяці тому +3

    Watoto wetu mwenye Alikufa, Mungu iwekewe Roho zao pahali pema peponi. Walikufa kama Babu zao wa Freedom fighters. We salute them. Even if we're not okay. Nyinyi politicians mukijua vile roho zetu ziko na mchunguu.

  • @AzizaJuma-p7x
    @AzizaJuma-p7x 3 місяці тому +12

    Lazima wasalimiwe wapate funzo

  • @josephkimondo1315
    @josephkimondo1315 3 місяці тому +12

    Na wale mmeua nayo tutamusamehe aje sasa malizeni muende

  • @RobinOyie
    @RobinOyie 3 місяці тому +16

    Genz power 💪💪🔥

  • @labolabo8875
    @labolabo8875 3 місяці тому +13

    Ni salamu hakuna kitu ingine

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 місяці тому +11

    Gachagwa waache hao wanaviburi waendw kabisa

  • @robertmarwa2750
    @robertmarwa2750 3 місяці тому +8

    It's too late for them.

  • @Hellisreall-g8o
    @Hellisreall-g8o 3 місяці тому +11

    Msamaha wa nini?
    Waishi Nairobi .

  • @denisruno6028
    @denisruno6028 3 місяці тому +12

    No more dirty games😅😅😮

  • @bwari01
    @bwari01 3 місяці тому +1

    They did not listen to their constituents! They have never listened. They should step down!

  • @filexingutia3620
    @filexingutia3620 3 місяці тому +29

    Lazima Emmanuel Wangwe, Ikana na Aseka wasalimiwe😂😂😂

    • @Follow.TruelightJC
      @Follow.TruelightJC 3 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @flilechi
      @flilechi 3 місяці тому

      Hapo sawa kiongos

    • @wafulacollins6010
      @wafulacollins6010 3 місяці тому

      Unasahau Malulu Injendi😂😂

    • @filexingutia3620
      @filexingutia3620 3 місяці тому

      @@flilechi Ambieni MP wa Lurambi Bishop Khamala Niko na KDF yake 💪💓💓💓

    • @filexingutia3620
      @filexingutia3620 3 місяці тому

      @@wafulacollins6010 Hawa ndo watu tutamulika 2027... Aah Wangwe kiboko yake alikuwa Hayati Hamisi Muganda

  • @mumbiwachira9397
    @mumbiwachira9397 3 місяці тому +8

    Voters are not foolish no one needs you right apologies .. The ship has already sank poleni sana

  • @henrythiongo8297
    @henrythiongo8297 3 місяці тому +11

    Mtatusikiza vizuri 2027

  • @mumbiwachira9397
    @mumbiwachira9397 3 місяці тому +17

    😅😅😅 let them stay in hotels

  • @JOHNSONNYAGAKA
    @JOHNSONNYAGAKA 3 місяці тому +3

    THE BIG QUESTION IS, WHOM DO THEY REPRESENT IN PARLIAMENT? KENYANS DONT BE LIED TO! OUR COUNTRY IS ROTTEN IN THE HANDS OF THESE LEADERS! A CHAMELEON REMAINS A CHAMELEON

  • @samsonmutwiri4888
    @samsonmutwiri4888 3 місяці тому +12

    No apology

  • @janendegwa5462
    @janendegwa5462 3 місяці тому +3

    gachagua should go home with his boss he keeps annoying us by singing about him and he massacred women girls children in githurai hiding bodies to hide evidence we want justice women in the market were not at any maadamano duale must go to icc

  • @susanmugo6570
    @susanmugo6570 3 місяці тому +6

    No apologies they failed us big time.They can't be forgiven at all costs.gikaris awache conmanship

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 3 місяці тому +18

    Hatutaki waende nyumbani na raisi wao

  • @sponsalfaThedjalfani
    @sponsalfaThedjalfani 3 місяці тому +8

    They should resigh 🙄

  • @msamsa1031
    @msamsa1031 3 місяці тому +7

    Hawa ni mangaa , wakuje ground watusaimie

  • @purityvesh171
    @purityvesh171 3 місяці тому +9

    Asente Kwa kutuonyesha Hawa ni km tulikuwa tumewasahau,we gonna deal with them very bad

  • @DanielMwendwa-w4y
    @DanielMwendwa-w4y 3 місяці тому +5

    Msamaha n mbinguni

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 місяці тому +8

    Hatuwezi wasamehee coz walifanya watoto wetu wauliwe. Our Hearts are bleeding 😭😭😭😭😭 Munaua Kizaazi chetu. Manashughulikia tu Matumbo zenyu.

  • @melannalias4707
    @melannalias4707 3 місяці тому +11

    😂😂,ameharibu kabisaa.

  • @farajomar8678
    @farajomar8678 3 місяці тому +3

    Hatuezi sahau wale watu waliuawa kama kuku our fellow gen Z

  • @rogerslubanga5955
    @rogerslubanga5955 3 місяці тому +4

    Hata wewe gachagua hakuna mtu atakupigia kura

  • @leonardseur3717
    @leonardseur3717 3 місяці тому +1

    Ombeni Mungu msamaha, yetu imeungua.
    Sisi tuko site lazima mtii.

  • @mercymulwa8917
    @mercymulwa8917 3 місяці тому +4

    Watoto waliokufa

  • @kilowatts317
    @kilowatts317 3 місяці тому +12

    watu wazima wasamehewe na nani

  • @SylviaGilloh
    @SylviaGilloh 3 місяці тому +4

    😂😂😂Kenya ni filamu

  • @Forhumanity-r7x
    @Forhumanity-r7x 3 місяці тому +4

    Wameaza kuchora cartoon

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 3 місяці тому +4

    Kumbe akili zenu hazifanyi kazi hadi viboko?

  • @samsonmutwiri4888
    @samsonmutwiri4888 3 місяці тому +13

    Na kama atungetoka tungefuckiwa na hiyo financial bill yenu

    • @Spectre-Turner20
      @Spectre-Turner20 3 місяці тому

      Ask those who get a f***. They enjoy immensely. Be decent bro.

  • @bernardoduke5496
    @bernardoduke5496 3 місяці тому +3

    Kenya will change now

  • @Sibabi101
    @Sibabi101 3 місяці тому +3

    Reverse psychology

  • @farajomar8678
    @farajomar8678 3 місяці тому +2

    No apology we want wamalize waende will never forget

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah1429 3 місяці тому +2

    You had your say, let us have our way. We reject you in totality. You have clearly proven to us that we don't matter cos of cheap handouts. Tutawasalimia one by one.

  • @mercyserem1821
    @mercyserem1821 3 місяці тому +1

    Release all abducted young people you have taken.
    Hakuna msamaha , mpaka kila kitu kisawazishwe!

  • @johntoo8867
    @johntoo8867 3 місяці тому +2

    Every decision has a consequence wamalize waende

  • @doubles4945
    @doubles4945 3 місяці тому +2

    Rigathi asking Kenyans to be fair, shame on you, so many innocent soul were murdered like dogs

  • @nebacomedy
    @nebacomedy 3 місяці тому +3

    We can't forgive Since tumbo yenu do inatamaa,,, dustbin

  • @LarryPrimo-i7c
    @LarryPrimo-i7c 3 місяці тому +1

    They should not be apologizing but explaining to the people why they voted yes.This a country apologizing make me feel more disgusted than ever!

  • @kingbornb3174
    @kingbornb3174 3 місяці тому +3

    hawa hawarudi hatuwataki

  • @t.c7915
    @t.c7915 3 місяці тому +2

    Wafanye kazi ama waendelee na wizi? YOU ARE ALL FIRED 🔥!

  • @jacksonmiano3651
    @jacksonmiano3651 3 місяці тому +1

    Sisi sio wajinga...we can see through the lies

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 3 місяці тому +2

    Lazima tusalimiane walai

  • @rukiahajj9913
    @rukiahajj9913 3 місяці тому +1

    Let them go to the parliament and make a vote of no confidence to Batman then we will think to forgive them after that

  • @missbecky-jh7kd
    @missbecky-jh7kd 3 місяці тому +3

    hakuna msamaha hapo, ni kujifanya tu, tupatane mashinani

  • @peterkoinange1904
    @peterkoinange1904 3 місяці тому +2

    Lazima wafunzwe adabu na jinsi ya kuheshimu wananchi waliowapa kazi sio kufurahisha wakubwa wao ambao hawana haja na wakenya

  • @Candys9096
    @Candys9096 3 місяці тому +1

    When Trust is Broken Sorry Means Nothing

  • @mercynatechowekesa
    @mercynatechowekesa 3 місяці тому +2

    Hypocrisy

  • @1_TOONCH
    @1_TOONCH 3 місяці тому +1

    Fool me once, shame on me. Fool me twice, shame on YOU

  • @Theurbanniccurr
    @Theurbanniccurr 3 місяці тому +1

    Too late for them , they shall face the wrath !!!!

  • @AmelliahSimeons
    @AmelliahSimeons 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Majuto Ni Mjuku...

  • @9843ish
    @9843ish 3 місяці тому

    😂😂😂😂wameogopa salamu TU!!!😂

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba7475 3 місяці тому

    Nani alimfanya huyu Sharehoder sanitizer.He is also our problem.

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 3 місяці тому +2

    Bado ruwaida obo watu walamu muache kulala gen_z no way for another chance

  • @wainainarita6759
    @wainainarita6759 3 місяці тому

    Too little too late..innocent lives were lost! An apology won’t do!

  • @tida3727
    @tida3727 3 місяці тому

    Hao wabunge waede kabisa..
    Kwani hawakuwa wanajua wanamaliza wakenya..
    Wakakae statehouse

  • @PrincessAdugo
    @PrincessAdugo 3 місяці тому

    Gen.z.oyee 💪💪💪

  • @sirski51
    @sirski51 3 місяці тому

    They should just resign and go home.. who are they representing in parliament ? .. hii kuburi yao iishe..

  • @henlay8240
    @henlay8240 3 місяці тому

    Hawa watu hatuwezi kuwasamehea. Kuwasamehea ni kuresign kwao

  • @AntonyOkumu-uv2ho
    @AntonyOkumu-uv2ho 3 місяці тому

    They did not vote "here and there," they did vote in parliament; I hear it's called August house or something

  • @PoulineSelina
    @PoulineSelina 3 місяці тому

    Youths tunajuwa ni Game plan 🏃🏃🏼‍♀️

  • @christinemkolo468
    @christinemkolo468 3 місяці тому +2

    wasamehewe nini ,
    Saitan

  • @MwenjeBoaz
    @MwenjeBoaz 3 місяці тому +2

    Lazima wapewe Hi

  • @TremorProductions
    @TremorProductions 3 місяці тому +3

    WE WILL NEVER FORGET !!!

  • @bikosteve6674
    @bikosteve6674 3 місяці тому

    Lazima wasalimiwe. There is nothing like forgiving those fools.

  • @martins.k3359
    @martins.k3359 3 місяці тому +1

    Hakuna cha makundi tayari wameshasema wanacho taka kuteua wawakilishi nikutafuta kumaliza watetezi wa wanyonge kabisa.

  • @christine848
    @christine848 3 місяці тому

    Meeting at Nyayo Stadium with GEN Zs and the 5th Regime accompanied with all MPs who voted YES. Follow the GEN Zs success strategies😂

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484 3 місяці тому

    Wambunge wanaomba musamaha wafufue vinjana waliopigwa risasi la sivyo waache kukijeli wakenya

  • @Omayio
    @Omayio 3 місяці тому

    We demand that the parliament is dissolved then you can be able to seek forgiveness

  • @naishoruamooke
    @naishoruamooke 3 місяці тому

    No No No,You Recently voted for KDF To do the operation, Luckily Our Armed forces are such a discipline and humane force.Gen Z kindly Visit All of them

  • @theoreticalbutfun2816
    @theoreticalbutfun2816 3 місяці тому +1

    Akuna msamaha waende mafisi wao

  • @gilbertchebii6804
    @gilbertchebii6804 3 місяці тому

    Warudishie ruto Hella zake !wasaliti wao!wapy makilap mp wa baringo ?

  • @lucyoyiela6718
    @lucyoyiela6718 3 місяці тому

    Akuna musamaha hapo vile walilipwa 2m kwakila mmoja mbona hawakukataa hizo pesa waende wawalipie wale wenye mahandamano ili wa ffect kenyatta hospital bill , hizo ni pesa za uma nizatumika vibaya . Gez shikilie tu hapo hapo

  • @benjaminosura7665
    @benjaminosura7665 3 місяці тому

    HUYO GASAGWA PIA NI HAKUNA KITU ANAFAA KUTUAMBIA MKORA MKUBWA PRETENDER. HATA ILE ALIKYA ANAJIFANYA ETI WAMEKOSANA NA BOSS WAKE NDIE ATUINGIZE BOX , UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA ENTIRELY KK REGIME ARE THE SAME...

  • @rosenjuki4132
    @rosenjuki4132 3 місяці тому

    Refund the sh2, 000,000 before we accept your apology, to pay for the jss teachers. Stop goggling with our, lives.

  • @user-Doktari7wanywele1
    @user-Doktari7wanywele1 3 місяці тому +1

    Hakuna msamaha lazima tumasalimie kuja nyumbani tutajua venye iko na Genz Z izo matumbo zenu mlipeka kwa president kama yeye ndiye alikuchangua mkasahau ya kwamba raia ndio waliwasidia ukafika apo so kuwa tayari kusalamiwa na Genz Z

  • @geraldngirimo8773
    @geraldngirimo8773 3 місяці тому

    Let the not be allowed in their constituency...Waende wakae Kwa Zakayo sugoi..

  • @jetrocallison530
    @jetrocallison530 3 місяці тому

    Hiyo pole tell your wife children and sidechicks coz come 2027 no more high table. Karma is warming up

  • @monicahnjoroge8168
    @monicahnjoroge8168 3 місяці тому

    They didn't listen to the people in the first place. Pride was too high, they thought power belonged to them. It's sickening to vote for someone to represent you but they ignore you and go ahead and do what favours them as an individuals. Hapa hakuna leaders, tumbocrats too. Bure kabisa

  • @63hdhdbilwo
    @63hdhdbilwo 3 місяці тому +7

    Shauri yaoo

  • @None-d4f
    @None-d4f 3 місяці тому

    A bunch of thieves. Hakuna nafasi watapewa. Ata wewe mwongo kama boss wako tu. Wote nyumbani. Gen. Zs - stay alert. Don’t give them peace.

  • @anthonywaithaka8936
    @anthonywaithaka8936 3 місяці тому

    Shida ni ata apology zao ni uwongo tupu nextweek back to default settings hatutaki. RecallyourMP

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 3 місяці тому

    It is too little and too late. The damage has already been done. A tragic number of young lives have been lost due to the foolishness, arrogance, and obstinacy displayed by our stupid MPs. Shame on you, we will not forgive you.

  • @drdee2012
    @drdee2012 3 місяці тому

    MPs terms should be reduced to 3 years. Warudi waombe kura wajue wanafanyia wananchi kazi sio president!!

  • @barasaraoh8182
    @barasaraoh8182 3 місяці тому

    The problem is expenditure, most share not on productive projects and expect better terms of trade?
    Leave alone that corruption! Really kills us

  • @sarahdeweerdt6792
    @sarahdeweerdt6792 3 місяці тому

    Instead of renovating statehouse, ruto should build extra rooms for them and their families, they'll be safe there