Billnass - Tatizo (Official Music Video)
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- #Billnass #Tatizo #SlideDigital
(C) Nenga
Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/billnass
Written & Performed by Billnass & Ril Vin
For Booking : billnass16@gmail.com
Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
Follow Billnass on:
/ billnass
/ bill_nass
. BillnassTZ
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Nandy kafanya tunasikiliza ngoma kali sanaaa💔💔💔
Dude fulani la kinyamwezi 🔥🔥🔥.....
Sijui tatizo inakuwaga nn ngoma zetu hazipenyii mbali 🚀🚀
🇹🇿
Dope track
Kam umeirudia mal 3 km mim nipen like zen , tukisem hit song ndo hii respect xn nenga hujawai nianguxh cku zot nakubal
Kuna demu aliwau kunifanyia huu upuuzi ila Leo kwavile anaon Nina ndinga yangu et ananipa hai hai zake za kinafik nishaa mkunjia looh sipo uko Tena kupasha vipolo
Nitakuwa mchoyo wa Fadhili nisiposema hii ngoma ni kali , Billnass tulikumiss kwenye hizi flow sana hizi ndo njia tunakuelewa
Umeturudisha kwenye good music nenga this is real you kumbe kuimba ngoma kali ni mpaka uwe na stress bac kama vp kula mjani ili uwe na hisia za ngoma kali tu daily utuletee maufundi yote we love your music Ariff
Nyimbo nzuri mnoooooo nenga pambana wanawake atuliziki ulimvumilia ila leo anaona huna maana
wanaume tukiachwa tupambane tutafute hela ngoma kali
Hii Ngoma mbona nimekuelewa...Kazi nzuri Nenga...respect from 🇶🇦🇶🇦
Mambo boss wangu naomba namba zako
@@mohdloushmoney9994 +97470377358
Wangap tumerudia kuangalia zaidi ya 10
Mapenzi ya kisanii bongo hamyawezi, muachieni beyonce na jayz
Mtaimbana sana
Ila ngoma kali, big up nenga
😆😆pamoja na navy kenzo
Ingekuwepo kuna tuzo za BITI HILI BITI LINGEBEBA TUZI BITI KALI SANA NI 🔥🔥🔥🔥
Hii nyimbo ni nzuri sana jaman,nyimbo kama hizi hunipa hamasa yakuzidi kupambana na maisha maana madada zetu wasikuizi wanaxhoangalia ni pesa tuu hivyo ni Bora kuwa napesa kwanza afu ndo uanzishe mahusiano bila hivyo pressure itakuhusu. Nyimbo hii naifanananisha na REASON WITH ME ya RUDE BOY.
Kweli AFRICA twafanana maisha.
Big up sana kaKa. Nimeipokea hii kazi Kwa roho moja.
Kweli kabisa #Tatizo
Hata wenye Pesa mapenzi yanawaumiza. Acha usiombe
Ngoma kali 1000% toka jana ndo nyimbo yngu nshairudia mara 200
Tatizo nimeanza na ukurasa mpya
Enyewe wanaume twaumia sana acha tutafute hela🇰🇪 in the building
We jamaa unajua atare sema wabongo hatujuagi kumwmbia mtu ukweli akiwa hai tunasubiri afe ndo tuseme ila mim kwaupandewangu nimramia kusema na pia nimuumini wa mziki mzuri
Nakumbukaa siku una mpa petee tena unapiga na magoti ilaa hawa watt wa kikee bn shenzii sanaaa big up bro tafutaa wa sizee yako kama huyo anajikutaa sukariii 💪💪💪
Me nilijua tu we et mama ake anaulizwa una mshaurije binti yako mbele ya camera anajibu na mshauri asiolew kwanza kwel jaman mama kama mama
Tatizooo ni kwambaa nimeanza na ukurasaa mpyaaa🔥
Yanii ni 🔥🔥🔥 kama umeirudiya mara mbili ka mm like hapa
Binadamu wengine sijui wana roho zipi...Achana naye mdangaji yule...Uku 🇰🇪 tunakupenda bro
Wapi Kenya Sasa Nyie ndio mtamtoa loho na pumzi HAAAAA NYINYI
Tatzo n kwambaaaa...nimeanza ukurasa mpya na reason n kwambaaaa NANDY!!!!
Yani Wewe jamaa mimi ndio mama nakupendaga tu ujawai kuongopa🙌🙌#Mafionso
Naona leo umeamua kuparusha mtaa uliotukukuza kinondon Moscow salute Homie
Ww na jux mnaimba nyimbo za maisha ya watu big up mamen bill nenga
hii ngoma ukiisikiliza kwa umaki bonge moja nyimbo billinass uko vzr jenifa tulikumic san
Daaaaah!!!!! Mbona Kama nyimbo imenigusa Mimi kabisaaaa...... Daaaaah!!!!!
Mimi kanigusa kabisaa kila konss
The level of maturity in this song is amazing,#mwanangu nengaaa umekinukisha Kaka🔥🔥🔥🔥
Ukaniacha ukaeda na masonko,,,,hataliiiii from 254 nengaaa weeee nomaaaaa watajirudixa tu wenyewe tulia
Huyu jamaa anajua anchokifanya.kama umetambua hilo gonga like hapa👍👍👍
Hii ngoma ni 💥💥💥 hakuna wakubisha na huyu ndio Nenga tunaye mjua. Big up sana mdogowangu
Tatizo mapenzi yalikuzidi fanya kazi unaweza bro wanawake tuishi nao tu lkn ni tatizo pole sana ujachelewa
Sijawah kufikili kama nenga utaimba nyimbo tamu nzuri kama hii ina kila aina ya mafunzo kwa madanga wa sasa honger sana big up sanaa
hujawai angusha mashabiki wako ...this is a great hit io instrumental💯
Ngoma Kali balaaa....for the first time nimejua kijana sio wa kawaida huyu.....
Bonge moja la ngoma nenga umetisha sana 🙌🙌🙌.
Ngoma kali sanaa, Billnass anatakiwa hii ngoma aifanyie promo nje ya tz. Aende Kenya, Rwanda na Uganda.
Kaniacha kwenye msoto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🏹umeua kinoma hii NGOMA sichoki kuicheki
Nenga Kama Nenga Mafioso Tangu Nakujua Haujawahi Kutoa Boko Keep It Up Mzee Baba 🔥
Nani kaja kusikiliza hi ngoma kali baada ya kumwona NENGA NA NANDY KWENYE JUKWAA MOJA KAMA MM tujuane na likes 🇶🇦.
Ngoma tamu 😘😘i see Tatizo kweli Kenya twakupenda Nenga😍😍😍
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🔥🔥🔥🔥
#billnas unajua japo kuna keng kasema
Et umeimba kam taarabu🙆♂️ila kiukwel bong la song🔥🔥🔥 like zake nenga 👇🏻
Mafiosoooooooooooooooooo nakuita brothr 🙏
Wewe nenga una balaa la peke yako haki kama upo na mm like mingi💪
Pole sana mtoto mnzuri kama uyo unafikili angekubali udumu nae bila pesa lakini hongera kwakulejea ufaham wako hivyo basi pambana utatoka achana mastaa wanawake wakibongo machangudoa hao wanajiuza wanasamini pesa kuliko untu wanakazi yakutoa toa kwawanaume wenye pesa utapataje mapenzi ya kweli wezio wanawaza pesa sio mapenzi
Nenga nakukubali Sana ushauli wangu km kweli umeachana na nandi komaa usirudi nyum, km ni Kiki tu ili wimbo uwende baridi tu, ngoma Kali, tunapambana tukupandishe
Much love to you bilnas
Kaza buti ucrudi nyuma ili heshima ishukue mkondo wake
Nenga New Chapter Kama Umemuona Jennifer Jua Kua Tuko Pamoja Kama SAMAKI na MAJI 'NENGAA'.,✍📖🎙🎶🎷🎧
Mwotoo
Jenifa kanumba eee
Kweli umaskini ni tatzo🎉🎉
aissee umasikini unadhalilisha mnoo😢
Sio poa umasikini utadharaurka sana
😢😢Imenigusa hii inaujumbe mzuri sana mm ndomana nilishaga kufa ganzi ya moyo nataka iendelee tu ganzi isiishe
😁 😁 Njoo kwangu
👍
Sasa huyu ndo Nenga wa miaka miwili nyuma🔥na hizi ndo swagg zake✊🏾kazaa bro☝🏾
Kweli kbs 🔥🔥
Kumbe wew umeona
ua-cam.com/video/J6z9r4VR6hE/v-deo.html
wale wote walio dislike tumeshawajuwa mmetokea kwa yule wa kono la mavu 😕😎 kwendeni zenu ngoma kali mno hii #Tatizo billnenga 🔥
Tukiwa 2024❤❤❤
Mafioosooh ujawahi kuniangusha kila ngoma ni jiwe tangu ligi ndogo
Huyu ndio nenga sasa achana na yule nenga wa do me!broo welcomeback to the reality music
Hii ni ngoma ya kwanza kuisikiliza siku nzima ngoma kali sana broo
Wapi bb levo nakupenda sana
Producer wa hii ngoma alitisha sana kwenye hio instrumental👐
I love you nenga no matter how .. nimeumia kuachana na nandy daaaa 😓😓
We are always up pitisha like hapa kam we ni team nenga
Brooo umebadilika sana umu big up sanaaaaaa
Tena huku Mombasa tunakupenda kinoma Mimi na my best wangu bably✅✅✅✅💯💯💯💯 billnas
Tatizo humu nacoment lakin like hamnipi🙈🙈🙈 tatizo hilooo 🤣🤣🤣
Hhhh nixhakupa
Shemiji yangu kipenzi wa dadangu African princess umeua
Keep it bro mungu anakuon na atakufikisha inshallah
Bonge la song, jtaidin muwe mnatafuta wanawake wenye hofu ya Mungu ili kama umeimba ukweli, muepushe matatizo.
Wee Nandy ww haya mashair huyasikii au!!!!....
Tatzo imekuwa Tatzoo.. ukurasa mpYa.. punch line
Bill nenga upo vzr my bro bonge la ngoma unajuwa sana kuimba
Oliver bilinass nikweli wanangu💪
@@zuberjuma2541 p
Baada yakuwaona pamoja nimelejea hii ngoma 🔥🔥🔥✌️
Aise mwamba katishaa kinomanoma wale ambao mnaanza new page tujuwane basi
Mwanangu umeuwa kinomaaaaa aya twende tukaanze ukurasa mpya na like nangu
From 254 Mombasa kubwa sanaaa 🅱️🔥🔥🔥
ua-cam.com/video/R2Ge-qzZzLs/v-deo.html
Tatizooo.nimeanza na ukurasa mpya bonge la..,mbona imejificha hii nyimbo❤❤❤❤
Sanaah tuuh...Billnass✌
Billnass mkali wa hit
Tuna kubali Ngomma kaliii sana
😂😂😂😂kuachana umepata content .. Kali
I love it
♥️♥️♥️🔥🔥
Hit song
Yanii humu nimependa kila kitu bonge moja la pini
No 1 ❤ kama imetoka leo every day 🇹🇿🌍
Baba harusi kama baba harusi
🔥🔥sinaneno laaha tupu💃💃ila napenda Sana goma Kali🎶
KILA NGOMA YAKE INAGUSA MAISHA🙌🏽🙌🏽
Hii ngoma itakua moto kwa mda wote maana matatizo kila siku yapo,,,
TATIZO
Hii ngoma imenigusa sana...daaah
Wale wako hapa kwasabu King Kiba alipost wimbo huu Instagram👍👍
NENGA MBONA KAMA MOVIE VILE
EBU NIRUDIE TENA NA TENA KULA BEAT, VOCAL, MESSEGE, MELODY and all staff like that..
UMEUA
Nakukubali Sana Nengaaaaa 🔥🔥🔥🔥💃💃💃🥰🥰🥰
Team BILLNASS
We missed you mzee wa maversee🔥
Mamboo tunayoyapitia mtaani kila siku
Duh,!!!! Gud song nenga unawezaaa 👏👏👏👏👏👏👏bt nandy mbona mnaendana tuuuu fanyeni tu mrudiane
Ngoma inamzuka wak🔥🔥ewa kian
#Nenga unaimbia mitaa boy.. Unaimba maisha yangu 😓😪
Kaka umeua kwa hili dude
Much love from kenya
🔥🔥🔥
Daaahhh!!! Wengne tunachomwa kwa petroleum sio kwa Corona tena kwel kifo hskichagui hata mapenzi. Yanau
ilipaswa kuitwa ukurasa ama ukurasa mpya bonge la ngoma aseee
Billnass Kaka Unajua sana Kazi Nzuri More Bless more Heat
Jamani nimesoma nenga nyingi nikawa najiuliza nenga ndo nini....duuu kumbe bill nenga hahahaaa walokuwa hawajaelewa kama mm tu like
katendwa nanandi
Naupenda wimbo sana
Ngomaaa kali saaaaana 💯💯💯
Daah sema song Kali sana mwanangu bill keep movin achana na huyoo ms**n fanya miziki mnene
Jipatie kipato kwa kudownload application hii!! Tumia simu yako na bando lako likufaidishe
affiliate.iqbroker.com/redir/?aff=154228
HUYU BINTI ALIOIGIZA KAPATIA Sana Naombeni Likes Zake
Ngoma Kali saaaaana, tatizoooo tumeshawahi kukimbiwaaa..... Mkwanjaaa fubaaaaa hawajali hisiaaaa bila notiiii