Wakijaliwa kuhama, Fabi na team yako wasaidieni kuwahamisha ili muwatazamie vitu vyao, visivyofaa vitupwe. Inabidi kuwasaidia ni watu wazima, malipo yenu kwa Mwenyezi Mungu, mbarikiwe.
Faby, mimi ningeona hilo banda la zamani libomolewe. Tumjengee jiko la nje na choo. Hilo banda libomolewe iwaondolee unyonge. Mungu atuongezee riziki tuchangie.
Fabi Usisahau Mafundi waoteshe ngazii Tafadhali hapo Mlangon wasipaache hivyo ni Hatari kwa Hao wazeee... Kila Aliye changia Mchango MWENYEZI mungu Awafungulie milango ya kheir na Baraka Pamoja na Uzao wenuu BIIDHINI LILLAH
Fabi hilo banda watakuwa hawalali hapo, wakiacha vitu wataibiwa, nani atalinda. Na pia sio salama kuacha maji au vyakula katika hilo banda, dunia hii ina mambo mengi na sio salama. Wahame na vitu vyao. Hapo ibaki jiko kama jiko tu lakini hata chakula wawe nacho katika nyumba mpya.
Wakijaliwa kuhama, Fabi na team yako wasaidieni kuwahamisha ili muwatazamie vitu vyao, visivyofaa vitupwe. Inabidi kuwasaidia ni watu wazima, malipo yenu kwa Mwenyezi Mungu, mbarikiwe.
Mashaalla fabi na adamu mungu awape kila la hery
Faby, mimi ningeona hilo banda la zamani libomolewe. Tumjengee jiko la nje na choo. Hilo banda libomolewe iwaondolee unyonge. Mungu atuongezee riziki tuchangie.
Masha ALLAH
Allah akubariķ kakaetu Fabi
Fabi Usisahau Mafundi waoteshe ngazii Tafadhali hapo Mlangon wasipaache hivyo ni Hatari kwa Hao wazeee... Kila Aliye changia Mchango MWENYEZI mungu Awafungulie milango ya kheir na Baraka Pamoja na Uzao wenuu BIIDHINI LILLAH
Toa.mawasiliano
Ungeli wajengea baraza nje ya kupumzikia..
Mashaallah
Alhamdulilah
Mashallah
Alhamdulillah Mungu ni mwema
Mashllah
Fabi naomba mawasiliano
0719141723
Asante
Fabiy kwanza ndoo waweke kule hapo watakuwa hawalali kwaiyo bora maji waeke huko mkumbini
we fabi mwambie bibi hiro banda afuge kuku
Huyu bb Hana shukuran anataka kila kitu asemi Asante kwa nyumba😮😮😮
msameh siunajua uzee nao
Si ameshukuru apo jmn ujasikia, ila waja khaaa amkosi la kusema
Na ndoo ya maji yakunywa muache aweke
Fabi hilo banda watakuwa hawalali hapo, wakiacha vitu wataibiwa, nani atalinda. Na pia sio salama kuacha maji au vyakula katika hilo banda, dunia hii ina mambo mengi na sio salama. Wahame na vitu vyao. Hapo ibaki jiko kama jiko tu lakini hata chakula wawe nacho katika nyumba mpya.
Alhamdulilah