ANNOINT AMANI - NABII FEKI KULA CHUMA HICHO ( OFFICIAL VIDEO )

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • #nabiifekikulachumahicho#annointamani#
    Lengo la ujumbe huu ni kwaajili ya kukemea wahuni wote, wanao harbu kanisa kwa kujifanya watumishi wa Mungu kumbe ni wahuni tu wanaotqka kujinufaisha kupitia Injili🙏
    Song,Nabii feki kula chuma hicho
    by Annoint Amani
    👇
    Tiktok,Annoint Amani tz.
    👇
    instagram,Annoint Amani tz.
    Whatsapp & call
    +255767240181 = +255755099942 )
    👇
    Video directed by Meddy
    audio ,A.E.A TONES prod by Meddy & Tito )

КОМЕНТАРІ • 925

  • @OmbogoEverlineNyanchera
    @OmbogoEverlineNyanchera 3 місяці тому +34

    Team strong wenye twasema na akina waigiru iko wapi like ya Anoint from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 like plz

  • @professor1992
    @professor1992 6 місяців тому +226

    From Kenya sijawai pata likes Kwa nyimbo zako😢 am ohangla gospel rhumba kazi safi my brother nipewe likes mukinifuata youtube 😅😅😅😅

    • @jjkinara6576
      @jjkinara6576 6 місяців тому +3

      Pia huku mko

    • @AnnaAnna-tb7rf
      @AnnaAnna-tb7rf 5 місяців тому +3

      😮😂❤ 🎉🎉🎉🎉🎉❤

    • @Niceboys456
      @Niceboys456 3 місяці тому

      ​@@jjkinara6576 every one is an ambassador 😂😂😂😂 tunawakilisha kila pande mkuu

    • @MosesKamakia
      @MosesKamakia 27 днів тому

      I will follow you

    • @MosesKamakia
      @MosesKamakia 27 днів тому

      🎉🎉🎉❤❤ Gods work iendelee

  • @lovely-i5i8t
    @lovely-i5i8t 2 місяці тому +7

    Nabii mtapeli hio ni ukweli sikuizi wanatumia kazi ya mungu vibaya wambiee waskie nimebarikiwa

  • @abisaichristian1053
    @abisaichristian1053 6 місяців тому +39

    Kiboko cha wachawi kula chuma icho😊😮😮😢😢😢

  • @mujwasteven
    @mujwasteven 6 місяців тому +95

    Mi sijawahi kupata Like hata Moja

  • @AsifiweTweve-y8h
    @AsifiweTweve-y8h 5 днів тому +2

    Anton Safi nimeipenda hii 🎉🎉🎉

  • @curtischaka7089
    @curtischaka7089 4 місяці тому +10

    From kenya, naomba utuletee zaidi nyimbo kama hizi zinafunza mengi na mungu akulinde

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 6 місяців тому +6

    Wee na unaimba sana Jitu la Mbinguni 😅

  • @ZebedayoSanga-i1g
    @ZebedayoSanga-i1g 15 днів тому +3

    nyimbo nzuri saana ila nashauri mauno yapungue au yaatolewe Bro ❤

  • @DOREENCHARLES1995
    @DOREENCHARLES1995 9 днів тому +1

    Anointing Aman King of Gospel...Watanzania na wakenya nipitieni twende UKAMBANI❤❤❤

  • @user-qq7pg6jk
    @user-qq7pg6jk Місяць тому +3

    Nipeni hata Mimi like jamani, Kula chuma hicho

  • @ezechieljacques9320
    @ezechieljacques9320 6 місяців тому +32

    What a wonderful song . Jameni nipe like zenu ndugu zanu wa kenya . Sisi tuko south Africa 🇿🇦 tunawapata

  • @ShabanMatimbwa-k9w
    @ShabanMatimbwa-k9w 4 місяці тому +6

    Wimbo mzuri San Kwa nabii wa uongo🎉🎉🎉 pokes Maua yak mtumishi🌹🌹🌹🌹

  • @SurprisedLabrador-uo5zb
    @SurprisedLabrador-uo5zb 6 місяців тому +88

    Walioingojea video kwa hamu gonga like

  • @edwinah-r2w
    @edwinah-r2w 2 місяці тому +3

    Yaaaah good job,nitakutaf

  • @BonfaceBon
    @BonfaceBon 4 місяці тому +4

    Loving you from Kenya 🇰🇪 🇰🇪

  • @thomaspollerspock3511
    @thomaspollerspock3511 Місяць тому +4

    Hata hapa Germany tunakwenda kabisa barikiwa Mtumishi
    Florence ❤❤❤❤❤❤

  • @JoyceMumbe-zb6oq
    @JoyceMumbe-zb6oq 18 днів тому +2

    Mungu asante Kwa kunifungua macho ya kiroho ...tusome bibilia jameni ..yaani unapata watu wako brainwashed hawezi wskajua ukweli...asante yesu.

  • @018crewtanzania3
    @018crewtanzania3 5 місяців тому +36

    Wale tumeletwa kutoka Facebook tukutane hapa😂❤

  • @edinamtote8338
    @edinamtote8338 4 місяці тому +3

    Hongela kijana ujumbe mzuli Sana

  • @msebukwatv1
    @msebukwatv1 6 місяців тому +65

    Umeimba vema mkuu wangu sema nashauri kwa nyimbo za kuonya kama hizi za kuonya hivi wanawake usiwavalishe suluari nimaoni lakini mkuu ila hongera nime like nimesabscribe pia

    • @msebukwatv1
      @msebukwatv1 6 місяців тому +2

      Ila nisamehe kama utanielewa vibaya na nikupongeze yaani umeiba vyema na mfano mzuri wa senga na anavyo jua kuekiti basi umepatia nadhani ujumbe wako wameelewa wengi wale manabii wakigaili hela za mboga wanawaza kua manabii basi wamepata ujumbe

    • @pomyale2952
      @pomyale2952 6 місяців тому +1

      Pia kwa nyimbo za kukemea tabia mbaya za manabii asingeingiza na kumsifia nabii wake humo maana anafanya nyimbo ionekane ni ya majungu na siasa

    • @LenathaCholobi
      @LenathaCholobi 5 місяців тому +1

      Bora wavae surual kuliko vmin maana hazjawabana

    • @reginafidelis3517
      @reginafidelis3517 5 місяців тому

      Wavae nguo za heshima sio kimini Wala suruali

    • @godsvoiceintheworld1362
      @godsvoiceintheworld1362 3 місяці тому

      ​​@@pomyale2952Hao aliowataja ndo waanzilishi wa mitume na manabij Tanzania ,Wamejitaidi kulinda ukrsto ndo maana amewatolea mfano 🙏

  • @Teavyn
    @Teavyn День тому +1

    Lit🔥👏

  • @Magoo1-1
    @Magoo1-1 6 місяців тому +145

    From Kenya,Likes za Wakenya 5000000

  • @JustinMusabireBukere
    @JustinMusabireBukere Місяць тому +2

    Ubarikiwe sana kwa nyimbo nzuri.

  • @Dianamo-u4k
    @Dianamo-u4k 6 місяців тому +14

    Finally wimbo wa manabii feki inaendelea kuwafikia kwao,,barikiwa sana mtumish point taken ❤❤

  • @Mygirl_1032
    @Mygirl_1032 4 місяці тому +4

    Jamani huu wimbo unaupako hakika Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Luckyseed138
    @Luckyseed138 4 місяці тому +4

    Nakubali mwanao kazi iko nzuri mama
    Mungu ndio Jina lake 🙏🙏

  • @fionafavourofficial509
    @fionafavourofficial509 Місяць тому +2

    Kula chuma hicho,hiiii imeeenda😂😂😂😂 Anoint Amani hebu akuje kenya

  • @ShazCay-official
    @ShazCay-official 6 місяців тому +16

    Imeandikwa kuwa nyakati za mwisho kutakuwa na nabii feki na Wakristo watakimbilia miujiza kwa nabii feki kuliko kufuata njia sawa. Matthew 7:14-15.

  • @zephaniasirikwa7495
    @zephaniasirikwa7495 5 місяців тому +8

    Wape vidonge vyao.wamezidi kuwatapeli watu wa Mungu.keep it up!

  • @sporahlazaro6619
    @sporahlazaro6619 5 місяців тому +3

    Maboya tena.hakuna kitu pale .wote ni wale wale tu.

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 5 місяців тому +2

    Jamaaniiiiiii😂😂😂😂 ameze kabisa hâta kikiwa chamoto❤❤❤❤❤❤❤

  • @mercyjames3364
    @mercyjames3364 6 місяців тому +11

    From kenya ii nayo imeenda 👏

  • @HaUe-eo4yg
    @HaUe-eo4yg 5 місяців тому +2

    Wamejaa kila mahali sadaka ndio wanataka wakule😂😂😂😂😂😂😂washindwe mungu yuko karibu kurudi😢😢😢😢😢😢

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 5 місяців тому +6

    kulaaa chumaaa ichooo kibokoo ya wqchawiii

  • @musyokafelix88
    @musyokafelix88 6 місяців тому +9

    Fact be told,,Annoint wewe ni mtoto wa mungu. Barikiwa milele. Ishi kumtukuza mungu na usibanduke kamwe. Maanake kitakuramba. Tunakupenda sana.

  • @tanuijoelk93
    @tanuijoelk93 4 місяці тому +3

    Hongera❤❤ hongera❤❤❤ hongera msanii❤❤

  • @KingCell-d4n
    @KingCell-d4n 6 місяців тому +17

    Ukweli nabii fake wakule chuma hicho😊🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @tanuijoelk93
    @tanuijoelk93 4 місяці тому +5

    Mungu akubariki msanii❤❤❤❤uishi miaka mingi kwa hii dunia❤❤❤🎉🎉🎉

  • @LydiaMutheu-u6x
    @LydiaMutheu-u6x 3 місяці тому +2

    🥰🥰🥰aky hii wimbo n smart kama mwenyewe

  • @simeonmogire6131
    @simeonmogire6131 6 місяців тому +9

    Wapii like za pastor kanyali na fimbo yake, hell is becoming hotter and hotter because of some prophets living under the sky

  • @StephenMoturi-z7v
    @StephenMoturi-z7v 2 місяці тому +2

    🎉🎉🎉🎉 good 👍😊 work

  • @kamwanacommedy4935
    @kamwanacommedy4935 5 місяців тому +4

    Kazi yako ni mzuri kab😂😂😂nakupenda bro 🙏🙏🙏

  • @KennedySaidi-l6j
    @KennedySaidi-l6j 3 місяці тому +2

    Congrats wakule chuma hicho manabii wa uongo

  • @pontienadolphe9788
    @pontienadolphe9788 5 місяців тому +3

    Bwana Esau, hongela sana. Kwa Wimbo huu!

  • @SophieMogiti
    @SophieMogiti 3 місяці тому +2

    Wimbo mzuri sana,,,Nawependa sana kutoka kenya Maua yangu ndo hiyo❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤🎉❤🎉🎉🎉

  • @joybiliah
    @joybiliah 6 місяців тому +3

    Kwa hakika hii imeenda, mtumishi pongezi sana kwa wimbo mzuri sana

    • @annointamani3285
      @annointamani3285  6 місяців тому +4

      AMEEN MDOGO WANGU MZURI 🙏WALIO WA MUNGU WATAISIKIA SAUTI YA MUNGU 🙏

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 6 місяців тому +2

    Ilitakiwa aanze kula chuma yeye kwanza kabla ya hao manabii feki hana tofauti nao

  • @edwinmarienga8051
    @edwinmarienga8051 6 місяців тому +4

    Amen 🙏 umenigusa waaaaaaaaa hatari mungu akubariki Sana akutende mema siku zote wakenya wapi like 🎉🎉🎉

  • @MariamMariam-x6g
    @MariamMariam-x6g Місяць тому +1

    😂😂😂😂Nimecheka na wenye sare anayefatwa naye kafata mwendzie..aki baba halima mauwa🎉🎉🎉🎉 chukua

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 6 місяців тому +5

    Mungu akupe kibali katika kazi ya kwako🎉🎉🎉

  • @roseingashani8070
    @roseingashani8070 6 місяців тому +4

    Safi sana Annoint much love from Kenya

  • @mouldykomba1852
    @mouldykomba1852 5 місяців тому +3

    Ni kweli siku izi manabii wengi hawakemei dhambi wanajifanya wanafanya miujiza wanapotosha watu hawasemi ukweli

  • @Kasaybaraka
    @Kasaybaraka 6 місяців тому +3

    Huu wimbo ume nikumbusha istoria ya nabibi kijana n'a nabibi mzee mimi ni Kasay Baraka from Beni town Dr Congo

  • @MedrineAnyango
    @MedrineAnyango 6 місяців тому +4

    Hii nyimbo iko namafusho kweli mm natoka kenya likes.song

    • @RaphaelSikalengo
      @RaphaelSikalengo 3 місяці тому

      Kaka tatizo moja2 unaka mauno wewe umeokoka cheza kwanizamu

  • @RajabJr-r6y
    @RajabJr-r6y 6 місяців тому +2

    Nabii wa buza kiboko ya wanga kula chuma hicho ! Mzee wa kawe alimaarufu mwamposa nawe kula chuma hicho ! mezen hata km cha moto dadek zenu hii imeenda

  • @elizabethclipperofficial811
    @elizabethclipperofficial811 5 місяців тому +3

    Hii moto kabisa. Go go go go goooooo...... Nabii fake Kula Chuma hichoooo

  • @LodvolaLameck-jl5vs
    @LodvolaLameck-jl5vs 6 місяців тому +4

    Wimbo una ujumbe mzuri ila uwasilishaji wa shetani, Mungu hawezi kuwa radhi na wakata viuno na secular dance

    • @JoviniFaida-uj5qb
      @JoviniFaida-uj5qb 6 місяців тому +1

      Sawa kabisa

    • @Mchiwalalatz
      @Mchiwalalatz 6 місяців тому

      Kabisa yani ...ujumbe hauendani na uwasilishaji wake
      Hivo viuno vya nn kwenye kazi ya Mungu.

    • @K-go1qj
      @K-go1qj 6 місяців тому

      Anamtukuza shetani

  • @efraimkalinga8066
    @efraimkalinga8066 6 місяців тому +4

    Wale chuma icho wamezidi amina mpendwa kazi nzur ubarikiwe

  • @RoberthJasesa
    @RoberthJasesa 5 місяців тому +1

    Hamna tofauti ya mwimbaji pamoja na nabii wa uongo yote matapeli tu unanengua kumzidi cofee

  • @nicholasmutua212
    @nicholasmutua212 6 місяців тому +3

    am apostle Nicholas Mutua Kenya Nairobi naipenda Sana him huduma yako Kaka barikiwa sana

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 6 місяців тому +9

    Naomba uwe unanyoa vizuri na wanawake wasivae suruali

    • @neemachomo9101
      @neemachomo9101 5 місяців тому +1

      Hakika,wakivaa magauni mazuri itapendeza zaidi

    • @Azizi-f1u
      @Azizi-f1u 4 місяці тому +1

      Kweli anyone vizuri sio nywele fup na ndefu kama wakala wa shetani,..nyimbo nzuri,ujumbe mzuri"

    • @msebukwatv1
      @msebukwatv1 3 місяці тому +1

      @@ryobanchagwa2499 safi kabisa mkuu na mimi nilimshauli hivyo lakini naona kunawatu wanakuja inbox kwangu wananigombeza kweli binadamu sisi tumehubili tu kama wao walivyo hubili kwa nyimbo

    • @msebukwatv1
      @msebukwatv1 3 місяці тому

      @@Azizi-f1u nikweli kabisa jamani nimependa maoni yenu sana mimi mwenyewe nilimwambia ameimba ujumbe mzuri suluari sio vema sana kwa mwanamke anajifananisha na ambao hawamjui mungu

    • @ryobanchagwa2499
      @ryobanchagwa2499 3 місяці тому

      @@msebukwatv1 ni muhimu azingatie Yale anayoambiwa

  • @donathawilliamssulle1769
    @donathawilliamssulle1769 6 місяців тому +4

    Ukisikia chuma ndo hiki sasa,mtumishi chukua maua yako🎉🎉🎉🎉

  • @victoriadaizy5277
    @victoriadaizy5277 5 місяців тому +2

    Raha ya milele umpee Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie Apumzike kwa Amani . to soon marko😢

  • @MargaretAtieno-xx7ys
    @MargaretAtieno-xx7ys 6 місяців тому +5

    Amen amen 🙏🙏 daddy wangu wakipeke 💃💃💃 lakubaliana na wewe daddy uko juu

  • @karenngugi9831
    @karenngugi9831 6 місяців тому +2

    Danieli mgogo 🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣 abarikiwe kutoka Kenya.

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 6 місяців тому +3

    Imeenda kabisa paka uku Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉

  • @AidaErasto
    @AidaErasto 6 місяців тому +2

    Waambie Hawa matapeli labla watabadika jaman mungu atuepushe na Hawa wadudu

  • @princessvimala1424
    @princessvimala1424 6 місяців тому +7

    ❤❤ hallelujah 🙏🙌 ujumbe umefika huku Europe 🌍😊

  • @obadiakigocha7463
    @obadiakigocha7463 6 місяців тому +2

    Hongera Sana rafiki yangu kazi hii nimeielewa

  • @glorymuthuri5139
    @glorymuthuri5139 6 місяців тому +2

    Wakenya kujeni 💕💕💕💕💕💕💕💕 hii tumekupatia tic

  • @margaretonderi3931
    @margaretonderi3931 6 місяців тому +2

    Wow so amazing and wonderful message 🙏🙏🙏🙏Wasikie sasa manambii

  • @kenkijana350
    @kenkijana350 6 місяців тому +4

    Nice one hiyo niukweli

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 6 місяців тому +2

    Hila senga jamani😂😂 me nakukumbali san❤❤

  • @MargaretAtieno-xx7ys
    @MargaretAtieno-xx7ys 6 місяців тому +5

    Nani kaka wewe wooooow🔥🔥🔥🔥🔥 wachome kabisa daddy 🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @chancemanyo9915
    @chancemanyo9915 6 місяців тому +2

    From Congo 🇨🇩 ♥ 100.000.000.000

  • @mosesndimgwanko1079
    @mosesndimgwanko1079 6 місяців тому +8

    Mtumishi punguza kukata mauno, watu wakiangalia nyimbo zako waingie rohoni cyo kuangalia mauno

    • @faustinemillanzi2899
      @faustinemillanzi2899 3 місяці тому

      Bora umekuwa mkweli kuliko kuwa mnafiki! Dunia ya Sasa ni kuambiana ukweli ili mtu akatae mwenyewe kubadilika!!

    • @BeatriceMatrinah-lw9yl
      @BeatriceMatrinah-lw9yl Місяць тому

      Haja akatie mungu mauno kuliko shetani ,daudi alichezea mungu hati nguo zikarauka ebu kata mauno hati mwili ipungue

    • @RedentaMahessa
      @RedentaMahessa Місяць тому

      Yani nyimbo zako ziko kimwili zaidi kaka. Acha kukata viuno mtumishi wa Mungu. mbona abiudi misholi aki imba akati viuno. Mbona sedekia aliimba akukata viuno. Yani wewe viuno kelele nyingi. Imba mtu azame kiroho.

  • @josephinemichael1514
    @josephinemichael1514 6 місяців тому +2

    Injili yake na baba yangu Mwingira kweli haifanani😂😂😂ale chuma tu nabii wa uongo

  • @Bagay1335
    @Bagay1335 6 місяців тому +3

    Ongera mwanangu we una tisha balaaa.nazipenda mimiii

  • @MoreenNyanchoka
    @MoreenNyanchoka 6 місяців тому +2

    Yaaa Kasi njema wambie awasikii❤

  • @emanulmwaitege5531
    @emanulmwaitege5531 6 місяців тому +2

    Aman hongera sana mungu AKUPE MAISHA marefu

  • @samuelbaraza7447
    @samuelbaraza7447 6 місяців тому +2

    Wimbo tamu sana 💯 💶 💯 💶 💯 💶 💯

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa8695 6 місяців тому +3

    Wazanzibari wapi like jmn

  • @marywafula2858
    @marywafula2858 6 місяців тому +1

    Ati nabii vimacho kama nn weeuh 😂🔥🔥 Kenya 🇰🇪🇰🇪🥰❤️🥰

  • @user-Ambani
    @user-Ambani 6 місяців тому +3

    Can i prophesie😂😂😂 mungu akuzidishie mtumishi wa mungu

  • @MargrethMloka
    @MargrethMloka 6 місяців тому +2

    Kweli Kaka barkiwa Sana mno

  • @Amani-k9d
    @Amani-k9d 6 місяців тому +32

    Wakwanza from south African ongera sn mtumishi wamungu

  • @SalmaMakilika
    @SalmaMakilika 6 місяців тому +2

    Nimependa saana.mungu nimmoja kaimba kwaniaba yawote.WALE CHUMA HICHOO

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial 6 місяців тому +3

    Umeidance Vizur nimependa video iko highlights

  • @ChristinèMonchari-e1s
    @ChristinèMonchari-e1s 6 місяців тому +2

    Kwanza hapo vile umesema mgogo wewe umeweza kabisa enyewe hii imeenda

  • @yusraadan6928
    @yusraadan6928 6 місяців тому +5

    Ameen Ameen Ameen from Kenya 🇰🇪

  • @SabwimanaPascal-e8o
    @SabwimanaPascal-e8o 8 днів тому

    Waaaoo nukuri urampimbara ahubwo uzuze muhira unyigirize abana

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 6 місяців тому +3

    Barikiwa sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @julitamwadime5073
    @julitamwadime5073 2 місяці тому +1

    Hongera mwanangu.unanibariki..kutoka kenya

  • @marthachimulimuli3875
    @marthachimulimuli3875 6 місяців тому +3

    My favorite songs annoint unajua bhana

  • @ElizabethKathini-m7t
    @ElizabethKathini-m7t 3 місяці тому

    Hongera 🎉🎉 moto moto wimbo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ImaniTinda-h6x
    @ImaniTinda-h6x 6 місяців тому +4

    Goooooooooood !!

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe 6 місяців тому +1

    Nyimbo nzur ila kuna watumishi baadhi umewataja humo na wenyew injiri zao ni za hovyo, maboya, mwakasege, na mwingira

  • @philipndeche3564
    @philipndeche3564 6 місяців тому +3

    Hiyo verse ya mwisho 🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️

  • @GraceBernad
    @GraceBernad 6 місяців тому +1

    Jmn anoint namkubali sana simu yangu imejaa nyimbo zake ubarikiwe. Na Mungu