SERIKALI YAJIBU KUHUSU KATAZO LA TRUMP KUSAIDIA AFRIKA NA ATHARI KWA WATUMIAJI WA ARVs

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 197

  • @WilliamSosiende
    @WilliamSosiende 3 дні тому +2

    In the Name of GOD we are going to over come All mighty GOD bless Tanzania

  • @mdl6463
    @mdl6463 4 дні тому +2

    Mimi nashukuru marekani kwa kutujali sana na kama upelelezi wenu wamarekani wamefanya ni sawa itakuwa wameona AFRICA ya 20200 ijayo kwa hiyo basi wezetu waga hawakulupuki kuamka tu kitu kimepanda bei wazo la mtu mmoja linafanyiwa kazi tupambane tuwekeze kwenye kilimo tuondoe njaa

  • @msambalamjukuu3866
    @msambalamjukuu3866 5 днів тому +36

    Trump ndio rais ambae anatupenda sana wafrika ili tujitegemee

    • @WardaYousuf-g2n
      @WardaYousuf-g2n 5 днів тому +1

      Ss hatutaki tegemea watu wa nje tunataka ss wenyewe watanzania tujitegemee

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 5 днів тому +2

      Ukikamata waganga woote wa jadi na madaktali tanzanianzima na kila mganga abebe mahoka yake .. wafungie ndani wape mwezimoja bila ombi ni lazima.. AMINI KWAMBA WATATENGENEZA DAWA ZOOTE NA ZITAKUA NA UBORA MKUBWA ✅💯

    • @nuraansuhail2578
      @nuraansuhail2578 5 днів тому

      ​@@jostamzxkaole3113 😂 jichanganye 😅

    • @DanielSinavangi
      @DanielSinavangi 5 днів тому

      Hakika ndugu niwakati wakuamka wa Africa tuache utoto🙏

    • @PasserbyMan-ju8ky
      @PasserbyMan-ju8ky 5 днів тому

      Sio anatupenda ila mifereji imeanza kubana lazima itoe maji kidogo 😂

  • @DevineVoices
    @DevineVoices 5 днів тому +4

    Swali nzuri limejibiwa kirahisi sana. Bila shaka hakujiandaa kujibu swali la namna hiyo/ Inasikitisha.

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 5 днів тому +7

    Ni vizuri tujitegemee wengi tunapenda sana vya bure

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima 5 днів тому

      Na vya Bure wengi wananufaika sana 😂😂😂

  • @KEFRINEENOS
    @KEFRINEENOS 5 днів тому +11

    Na Bado tunampenda Trump 🎉🎉🎉🎉

    • @SylvesterKameo
      @SylvesterKameo 5 днів тому

      Kwa nini tusimpende? Kwani Tanzania ni koloni la Marekani. Tumeshindwa kujitegemea, tumekubali kuwa tegemezi na ombaomba halafu tumchukie jirani kwa kutunyima ugali wa watoto wake? Akili ya wapi hiyo?

  • @EradiusB.kashabano
    @EradiusB.kashabano 2 дні тому +1

    Niaibu kubwa sana tz kutegemea misaada , si tuko himara sana tunajiweza Trampu ahasante kukutuachisha utegemezi ,Muheshimiwa Tramp Asante

    • @nicolenyerere
      @nicolenyerere 2 дні тому

      Kwa kweli, hili ni jambo la kushukuru.
      Na kuhusu ARV, mimi mama yangu mzazi aliishi miaka zaidi ya 20 akiwa muathirika wa Ukimwi bila kutumia ARV... BABA yangu mzazi alikuwa anazitumia na alifariki miaka 15 kabla ya mama yangu.
      Vitunguu swaumu vilimsaidia sana kuboost immunity... Ni story ndefu lkn tangu mwanzo Mungu aliumba mimea kwa ajili ya tiba.

  • @muddyramadhan3255
    @muddyramadhan3255 3 дні тому +1

    Hii nae iwafunze maan viongoz waafika wanapenda utegemez zaid kulko kutaft namnagan watajiendedha

  • @HaradiHongo
    @HaradiHongo 5 днів тому +4

    Mmmmh akuna majibu apo mtajipanga ad lini tutamkumbuka magufuri hili la Sasa hv tusingewaza angekuwepo masiasa tuuuuu kutekereza akunaaaaa 😚😚😚

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 4 дні тому +1

    Mheshimiwa Waziri Mkuu

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 5 днів тому +14

    Bahati mbaya waziri mkuu hakujiandaa na hili swali.
    His body language speaks more than his verbal delivery

  • @WilliamSosiende
    @WilliamSosiende 3 дні тому

    Very good sir

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 5 днів тому +1

    Hakuna kitu kinatia hasira km kuona wana siasa wa tanzania, haya asante mama kwa pumzi ya leo

  • @EradiusB.kashabano
    @EradiusB.kashabano 2 дні тому +1

    Muheshimiwa waziri mkuu naimani sana nawewe kama niliyokuwanayo kwa Rais Magufuli, alidhubutu akaweza mukiwa wote Ivo utaweza natutasonga mbele tutabaki kujiuliza tulikuwa wapi mda wote ,

  • @Missionary_work
    @Missionary_work 5 днів тому +2

    Answer the questions direct. We need specific answer.

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 5 днів тому +3

    Zenu mnaiba mnategemea misada pooor

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 5 днів тому

    From #EconomicallyGrowthMusicians badala ya kubuni vya kwenu muishi maisha yenu na uhuru wenu mnalalamikia misaada ya Trump😢 Ondoa Utegemezi...
    Asante sana Dkt Majaliwa🎉🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @deniseliuter3002
    @deniseliuter3002 5 днів тому +5

    Mimi nakushauri waziri mkuu stopisheni matumizi makubwa ya serikali hasa upande wa magari,mikutano isiyo ya lazima,safari za nje ya nchi barozi ndo zitoe hizo huduma uko,uko nje lkn idadi ya majimbo ya uchaguzi mpunguze maana ni unnecessary lkn la mwishoni mpingazeni na ubadhilifu wa mali za umma kupita kiasi yaani africa wanasiasa ndo wanakua matajiri

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 4 дні тому +1

      Sahihi kabisa na zaidi wabunge wa viti maalumu wafutwe wale wa majimbo wanatosha. Hao wanawake wanaopewa nafasi za upendeleo sasa inatosha nao waende majimboni mbona wapo wanawake wanashinda majimboni? Hao viti maalumu wa nini tena na wengi wao ni wake za wakubwa na mabinti wa vigogo. Tupunguze rundo la watu bungeni.
      Posho za vikao bungeni zifutwe kwa sababu kuhudhuria vikao ni kazi yao na walipwa mishahara kwa kazi hiyo.

    • @CentRidah
      @CentRidah 2 дні тому

      Hili nalo neno

  • @paulsimon9871
    @paulsimon9871 5 днів тому +15

    Swali limeulizwa zuri jibu linatolewa kisiasa hatari sana

  • @starjay3052
    @starjay3052 5 днів тому +4

    trump ndio raisi wangu bola wa muda wote ✈️🇺🇸🫂✅🙏🙏

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 5 днів тому

    Bwana.Yesu tusaidie

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 5 днів тому +10

    Kutajwa tu samia mikofi kibao mezan kwaaaa kwaaa kwaaa kwaa pmbvu😢

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 5 днів тому +7

    Umizeni vichwa kuhuc Taifa, na sio kusifiana tu kweny akuna😐.
    Magufuli aliliona hili mapema sana akataka kuitoa nchi kweny misaada coz aliamin juu ya maliasiri na rasilimali tulizonazo

  • @PeterBaton-x7b
    @PeterBaton-x7b 5 днів тому

    Tusiishi Kwa Mazowea good Trump 👍👍

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 5 днів тому

    Ajajibu swali,

  • @Zanzibar0001
    @Zanzibar0001 4 дні тому

    Ukweli Usemwe Nchi kama Tanzania Ilipoteza Dira Mapema 1998

  • @joysekiza3944
    @joysekiza3944 4 дні тому

    Mimi ndomaana nilimpenda mag alipambana sana tujitegemee asala za kutegemea tutaburuzws

  • @MachotaMachota-w6c
    @MachotaMachota-w6c 3 дні тому

    Yesu namaria msemowa wachaga jiwerimetupwagizani

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 4 дні тому

    Yaani serikali ya Tsnzania kila siku nasiaga bado mnaendelea kujipanga nakujiimarisha ,Bora Mimi nipo serikali ya mbinguni na mfumo wa mbinguni Hii serkali ya huku ilishanishinda kabisa ,Raisi wangu ni YESU KRISTO ,waziri wangu ni ROHO MTAKATIFU wabunge wangu wangu ni malaika wala sina shida

  • @anoldkedmon4197
    @anoldkedmon4197 3 дні тому

    Hajajibu bhna😊😂

  • @twinsbrothers6728
    @twinsbrothers6728 4 дні тому

    Mh. Ndio mnagundua Leo tuna nyenzo?

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 День тому

    Swali kauliza nzuri majibu yake da balaa kabisa siasa nyingi chenga chenga sana

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 5 днів тому +1

    Nchi ina kila kitu bado unategemea misaada badala ya kujisimamia mwenyewe

  • @HusseniMadebe
    @HusseniMadebe 4 дні тому

    Mmmmmh! Cjui km Tanzania bila misaada tutaweza kutoboa,

  • @rabankisusi
    @rabankisusi 4 дні тому

    Majaliwa nakuamini sana ila kwa hilo umepuyanga vibaya mnooo!!/inasikitisha

  • @ProsperUlungi-p3t
    @ProsperUlungi-p3t 5 днів тому +1

    Hapa tanzania wapo madoctor waliosomea kutengeneza hayo madawa ya arv lakini serikali haitoi pesa ya kuwawezesha wao wanasubili vya bule vya kupewa huku wao wakiiba mabilion

  • @kabomaskabomas
    @kabomaskabomas 5 днів тому

    Tuache kupeana moyo wananchi sisi ndotulioanza kukataa sera za njee za marekan kwetu kukataa misada yao inayo tupa masharti yakijinga kwahiyo hiyo ni propaganda tu ya marekani ili ijione super power lakin sis tulisha kataa kitmbo tutembee kifua mbele

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 4 дні тому

    mh yani iweje umeoa unanyumbayako unakiwanja chako umtegemee mme mmwingine ingali unakila kitu mbona sielewi tutajifunzalini Jamani mbona aibu sana tunakila kitu apa kwakweli naona tunaitaji mabadiriko kabisa ya uongozi inakela sana

  • @PatientMujigito-xs4cr
    @PatientMujigito-xs4cr День тому

    America is not helping Africa with anything. It's Africa helping America with Everything

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 5 днів тому

    Bora iwe hivyo maana magari ya kijani yamezidi uku

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 5 днів тому

    Yesu ingilia kati

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 5 днів тому +1

    Hii umeenda..

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa День тому

    Viongozi wenyewe walishawasahau wananchi wake Zahanati na vituo vya afya hakuna madawa lakini wao wanatibiwa nje kwa pesa za Serikali tutajiimalishaje sasa wakati kuna tabaka mbili Taifa Moja

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 5 днів тому

    Mimi naenda irimladi kumekucha😂😂😂

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 4 дні тому

    Nimependa sana majibu ya PM
    INAWEZEKANA

  • @SadockMsafiri-d3u
    @SadockMsafiri-d3u 3 дні тому

    Huwezi jibu kirahisi hivyo

  • @TeddyTz-r9m
    @TeddyTz-r9m День тому

    Sasa tumejipanga kuzalisha izo dawa au unajua apo jibu halijawekwa sawa kuhuusu dawa ya VVU

  • @JohnChami-nk3we
    @JohnChami-nk3we 3 дні тому

    Ni kwa namna Gani Sasa tunaomba mchanganuo unaeleweka waziri

  • @brownmoses9543
    @brownmoses9543 4 дні тому

    Wakati mnajiimalisha hawa wahanga wanaishije??

  • @SadockMsafiri-d3u
    @SadockMsafiri-d3u 3 дні тому

    Acheni uongo bhana

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 5 днів тому

    Majibu ya kipuuzi

  • @EricaJackson-r7v
    @EricaJackson-r7v 4 дні тому

    Apo mwamba umechemka😂😂😂😂

  • @Emanuelbalama
    @Emanuelbalama 4 дні тому

    kwa kauli hii ya Trump, natamani mwamba JPM angekuwa hai!!!

  • @ZainabMohammed-d7c
    @ZainabMohammed-d7c 2 дні тому

    Jibu la ARvs wataweza kwel???

  • @BlackKing89-l1u
    @BlackKing89-l1u 4 дні тому

    Mkajipange sasa!!! Pesa za posho hazipo

  • @BrightonIssack
    @BrightonIssack 4 дні тому

    Marekani akiacha kutoa hii misaada ni sawa na kuleta vita kuu ya tatu ya Dunia make waafrika akili ndogo!!!

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 5 днів тому +1

    Mabunge wetu wanafiki sana
    Wanapitisha sheria za kuumiza taifa letu na vijazi vijavyo
    Tubadirike

  • @ErickbahatiBizwazwa-d3h
    @ErickbahatiBizwazwa-d3h 5 днів тому +1

    sijawahi kuona mwamba akikosea sema hapa kafeli 😅

  • @Piusprotacemondosonalimuch-i4d
    @Piusprotacemondosonalimuch-i4d 5 днів тому +1

    Amn kitu aaa

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 4 дні тому

    tusipo kubari kujifunza tutafundishwa kwa lazima

  • @VictorLyimo-k5b
    @VictorLyimo-k5b 4 дні тому

    Serikali nayo pia itoe wahamiaji wanoishi bila vibali

  • @MathewMassaka-o4f
    @MathewMassaka-o4f 5 днів тому

    Miaka 48 ya CCM

  • @allychengula3511
    @allychengula3511 5 днів тому

    , yaani jibu vile ambavyo umejiandaa🎉 kujitegemea makofi hayo ni kelele

  • @geofreykatale2204
    @geofreykatale2204 3 дні тому

    Kajitahidi kujibu maana hili swali sio dogo kwakweli

  • @hashimkasimu6050
    @hashimkasimu6050 5 днів тому +1

    Shida ni ninyi viongoz hamna uzalendo na nchi yetu

  • @LEHALEI-w8f
    @LEHALEI-w8f 4 дні тому

    Itasaidia ni hayo mahusiano uo ni ushamba tu

  • @BizzBoy-g9k
    @BizzBoy-g9k 4 дні тому

    Malizenu mnawapa bule vyakwenu nimsada.

  • @mosewhatever3747
    @mosewhatever3747 5 днів тому

    Glomar response

  • @SAMSONMADUNDA-mh6yn
    @SAMSONMADUNDA-mh6yn 5 днів тому

    Tatizo misaada saana tunapenda NAUMIA SAANA lakn one day yes but kujitegemea ndo jambo la muhm saana

  • @godfreyjohn8460
    @godfreyjohn8460 5 днів тому +1

    Mheshimiwa marehemu magumu alisema tusitegemee misaada

  • @GodfreyShirima-t2n
    @GodfreyShirima-t2n 5 днів тому

    Kwani tulishindwa kujitegemea tangia mwanzo?

  • @Zilizopendwa_60s
    @Zilizopendwa_60s 5 днів тому

    Anavyoongea tu....ni wazi.....😢

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 5 днів тому

    Majibu na heading is opp

  • @tekashichannel
    @tekashichannel 5 днів тому

    Tujitegemee jamani daaah

  • @abdallahlibwela9761
    @abdallahlibwela9761 4 дні тому

    Mi nampenda Trump, maana inatakiwa tujifunze kujitegemea. Tutumie rasilimali zetu ili kujiletea maendeleo na siyo kujitajirisha watu wachache. Naomba ufadhili wote ufutwe tena siyo kwa Marekani tu bali mataifa yote wakubwa,ili kila nchi ijitegemee yenyewe.

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 5 днів тому

    Tegemesi kinanizi tuache tupenda kwetu tuingia darasani tuna watu wetuvsio nje Mungu tulinde Tanzania

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 4 дні тому

    Yapunguzwe matumizi ya anasa kwenye mambo mbali mbali

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 5 днів тому +2

    MIAKA 60 ya uhuru bado MNAJIIMARISHA 😂😂😂

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 5 днів тому

    Watu ni rasilimali kubwa

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 5 днів тому

    Africa ndio bara linalo ongoza kwa malaria ilaaa dawa zinatoka ulaya haaaaibooooooo🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾😂

  • @samwelkayanda5204
    @samwelkayanda5204 4 дні тому

    Mh waziri kujiimarisha ni kauli nzur na ni muhimu na ilitakiwa kabla hajakata kutoa misaada mlitakiwa muwe mshakata kuchukua misaada kwao coz hakuna 7bu ya tz kuchukua misaada na ina miaka mingi ya uhuru ina rasilimali karibia zote muhimu ina ardhi kubwa ya kutosha ina maji mengii nyi wenyewe mpo madarakani tangu nchi kupata uhuru nchi ina miaka mingi mlifanya juhudi gani ndo mkiambiwa maendeleo hayahitaji kusubur nyi mnatoa macho kumbukeni Rais wa awamu ya tano alivokua mtu wa kuthubutu mkawa mnamuona mwehu

  • @AnimalsandFood-f1d
    @AnimalsandFood-f1d 5 днів тому

    Misaada itawaua

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 5 днів тому

    Tusimame mwenyewe maswala ya msaada mfike mwisho tunauwezo ndio muda wetu sasa

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 5 днів тому

    TRUMP ni mzalendo wa kweli hata ningekuwa mimi waafrika nisinge wasaidia wala kuruhusu wakae nchini kwangu hawa mchango wa kimaarifa na nihatari kwa vizazi vya marekani kuchanganyika na watu wenye I,Q ndogo

  • @Sajidakagimbo
    @Sajidakagimbo 5 днів тому

    Majaliwa kaniangusha leo kajibu kisiasa sio kisayansi ukweli tuna hali mbaya nkasema neno Uwezo mkubwa lakin uwezo wa Tanzania bado huonekani mahusiano tuliyonayo bado ni ya Utegemezi

  • @EvansiEvansi-oi8or
    @EvansiEvansi-oi8or 5 днів тому

    Kilamtu atumiechake mnakusanya Kodi mnaishia kuziiba Tena afute kilakitu

  • @pastorAsajilemasisi
    @pastorAsajilemasisi 4 дні тому

    Shida viongozi wetu ni waongo

  • @oscarakyoo4641
    @oscarakyoo4641 4 дні тому

    Kwani mwanzo mlikuwa hamjui kuwa mnarasilimali kwenye nchi yenu

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 5 днів тому

    Haya Waarabu wa Tandale tuleteeni Ndugu zenu watupe msaada,Mara ooh Marekani mashoga,magaidi,Waleteni wavaa magauni wa kiarabu wawasaidie.

  • @VictorLyimo-k5b
    @VictorLyimo-k5b 4 дні тому

    Serikali itoe kibali kwa watalum watiba za asili kutengeneza dawa ya ukimwi

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 2 дні тому

    Hivi huyu waziri mkuu siye yule alieteuliwa na magufuli?na siku zote magufuli alipenda tujitegemee na inawezekana hawa wabongo ni shida wacha trump awafundishe

  • @ignassindabaha1813
    @ignassindabaha1813 3 дні тому

    Swali fupi,majibu imekuwa insha ya wasifu na hoja,na hamna jibu lililopatikana😂😂😂😂😂😂😂

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 5 днів тому

    Ni muhimu kuanzisha mfuko wa afya kama ilivyo mifuko ya Barabara, maji, REA. Tulinyimwa ufadhili wa umeme tukatafuta njia yetu ya tozo na tumefanya vizuri zaidi. Afya ni suala la msingi Sana hivyo ni lazima tutafute jinsi ya kuigharamia wenyewe. Bima za afya ni ghali au pia watu Huwa Wana hulka ya kutopenda direct tax or charges. Ukiweka tozo na kufanya direct charge iwe token utapata fedha nyingi Sana.

  • @HassanRubota
    @HassanRubota 4 дні тому

    Hapa dawa na sisi tuwanyime madini yetu mbona Bunaafaso wameweza cc tunashindwa wakati tuna Mali nyingi ifike Sasa tuwe wajasiri pia tuache anasa kwenye fedha tusimame na mambo ya mhimu

  • @leebronkasianh5296
    @leebronkasianh5296 4 дні тому

    Tujipange tuache kutegemea misaada,rasilimali tunazo tatizo usimamizi ndio mbovu,miaka 60 ya uhuru bado tunatemea misaada

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 днів тому

    Yaani hapo tunajifunza unapoiba chako na kutegemea cha jilani utajua madhala yake

  • @Josephmkutu13-zo7qd
    @Josephmkutu13-zo7qd 4 дні тому

    sasa huy waziri mbona hajibu swala kimkakati a naongea simple simple tyu

  • @BensonTegambwageDecordesign
    @BensonTegambwageDecordesign 5 днів тому

    Huyu Songore kauliza 1+1=?,kajibiwa 1+1=11

  • @Mzitomatelephone
    @Mzitomatelephone 5 днів тому +2

    Wanaosema tozo itaongezwa kwa asilimia kadhaa gonga like apa

  • @franssmoses6791
    @franssmoses6791 4 дні тому

    Siku zote mlikuwa wapi nyie