PART3:TAJIRI MCHAWI /NILITUMWA KUMPELEKA MSANII HUYU KUZIMU BAADA YA KUKATAA KUENDELEZA MASHARTI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 44

  • @AllyGibu-cz2vo
    @AllyGibu-cz2vo 12 днів тому

    Davister wewe sio professional kwenye kuhoji na pia unaboa unatoka Kila mara kuongea na simu umeharibu kabisa.

  • @jacobmwaseba9142
    @jacobmwaseba9142 4 місяці тому +1

    huwa nampenda sana lwanda magere,mzee wa skadi kwa sababu wanajua sana kusimulia yani wanakutajia tukio mpaka unahisi kweli lilitokea, wanataja location, mwaka, hata davista matta anakosaga maswali ya kuuliza

    • @hamisSaid-y3m
      @hamisSaid-y3m 4 місяці тому

      Nikweli Rwanda magere, Musa chesa, Zabron nimewakumbuka

  • @AshaSaid-q6z
    @AshaSaid-q6z 4 місяці тому

    Karibu sana kaka davista

  • @HarriethAdramKahwili
    @HarriethAdramKahwili 4 місяці тому +1

    Kaka simu zinadisturb sana interview

  • @bahatywasofia4155
    @bahatywasofia4155 4 місяці тому +5

    Brothers jitaidi kuwa nauliza date of events mwaka and location

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 4 місяці тому

      Location za nini au tarehe 😂ww sikiliza na jifunze.unapo uliza Location unakuwa wahitaji waganga uwende😂😂😂😂

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 4 місяці тому

      Ya4

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 4 місяці тому +1

      Unataka tarehe au location za Nini kenge wewe

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 4 місяці тому

      ​@@zulekhasaud483kweli kabisaa

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 4 місяці тому

      @@Peterchila-un2lx 🤣🤣🤣🤣

  • @rosemilingi7860
    @rosemilingi7860 4 місяці тому +1

    Mbona anahema sana shida ni nn au hayupo sawa kiafya??

  • @michaelvonsider3412
    @michaelvonsider3412 3 місяці тому +1

    Host unaboaaaa hauko professional

    • @jkkim3848
      @jkkim3848 3 місяці тому

      Lazima aset camera kulingana na dakika

  • @hydratz9750
    @hydratz9750 4 місяці тому

    Hivi kaka davistar ile stori ya kijana Chogo mmeifuta?

  • @florencerose859
    @florencerose859 4 місяці тому

    Mr facts usipotee sana hivio

  • @SelemaniRingia
    @SelemaniRingia 4 місяці тому

    Jamaaa anapumua kama basi lamkoa au scania😂😂😂 au akikumbuka machungu yanazidi mzee😅😅😅

  • @KhadijaMwenda
    @KhadijaMwenda 4 місяці тому

    Shetan aananzia mbali sana kumtafuta mtu hii story inafanana na yangu ila sikufika huku namshukur MUNGU aliniokoa mapema

  • @OmanCity-i2l
    @OmanCity-i2l 4 місяці тому

    Mmmmmm kazi ipo

  • @sukisa1234
    @sukisa1234 4 місяці тому

    Nakukubali davistar

  • @annkim2690
    @annkim2690 4 місяці тому

    Kwani mgeni hasikii vizuri mbona ana hema hivyo juu Kwa juu

  • @MiriamLaurean-k3v
    @MiriamLaurean-k3v 4 місяці тому +1

    Simu zako zinatuboa na zina mboa mpenz msimuliaji

  • @Mainda-q5b
    @Mainda-q5b 4 місяці тому

    Inachelewa sana

  • @furahaedmundi2302
    @furahaedmundi2302 4 місяці тому

    Mbona anahema hema sana.😊

    • @hunterevents9132
      @hunterevents9132 4 місяці тому +1

      Ni kwasababu ya mionzi mikali ya camera.....

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc 4 місяці тому

    Wa pili 🎉

  • @PascalChiume
    @PascalChiume 4 місяці тому

    Jamaa bana anasimuliwa story yeye mwenyewe hayupo anaongea na simu pembeni.

  • @isaacmligo9187
    @isaacmligo9187 4 місяці тому +3

    Asee mbona vpande saiv vmekua vifupi sana

    • @rachelmsekena603
      @rachelmsekena603 4 місяці тому +5

      Sio vifupi tatizo msimuliaji anasimulia taratibu sana yani hapo anahisi kama anamsimulia Davista pekeyake kumbe tupo wengi

  • @josephjames4587
    @josephjames4587 4 місяці тому +1

    Watu tulikuwa tunangojaa

  • @salimjuma6858
    @salimjuma6858 3 місяці тому

    Davistar umekua wa hovyo siku ivi....poor very unprofessional..... Yani unathamini simu kuliko story?? Kulikua na haja gani kumualika msimuliaji

  • @athumanmbelako4317
    @athumanmbelako4317 4 місяці тому

    Inacherewa san

  • @tututz100
    @tututz100 4 місяці тому

    J.B.B.1999

  • @saleemsuleiman2220
    @saleemsuleiman2220 4 місяці тому

    KAKA DAVISTA UMEWEKA FUPI SANA LEO

  • @AngelaLyimo-d7x
    @AngelaLyimo-d7x 4 місяці тому

    Nilijua tu ni jini

  • @jamesgachigua8329
    @jamesgachigua8329 4 місяці тому

    Davista vol Iko chini sana fanya mabo bro..

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 4 місяці тому

    Saut ipo down sana

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 4 місяці тому

    Vipande vifupi sana