" kombe linatengenezewa heshima yake ili msimu ujao ,wachezaji wakipewa video wajue ni deni kubwa"" I love my team napenda mipango yetu aisee " Risk at starting then enjoy more in future "
Duh!! Itakaa kizazi sana kama ndo hivo ,ni wakati wako Sasa Ally Kamwe kutamba usiiçhezee furaha hii ,iliyo na wakat TU!! Ya yeyuka yaenda upande mwingine ،👏👍 ،،،wanayanga nipen pongez zangu....
Haya maisha haya bas tu mm nafkish miaka 43 cjawahi panda ndege lkn kombe Lina siti yake dah kweli hii dunia Haina usawa hapa nimelela kumekucha lkn usk ckupata usingizi rejesho laki Saba lkn hata laki 2 Sina nataman hata kufa Ila ngoja tumwachie yeye Alie tumba lkn kwa hakili zangu km nimezidiwa na maisha Sina furaha mpka mtu unatamani niwe mkenya nikandamane na niwe wa mbele waniue
@@sylvestercameo6263 koma me sio kolo,, labda we ndo dunduka,, we unafurahia maden au unaleta Usenge? Ukute unajitumisha msg humu ata kadi huna mbwa ww
Kwenye kitengo cha mawasiliano na matangazo Yanga tumefanikiwa sana. Kongole na Hongera vijana wa kazi. Daima mbele nyuma mwiko.👏👏👏👍
Hakika hili kombe ni vile haliwezi kusema tu lakini lina injoy sana kubebwa na yanga halijawah kupanda fuso tangu limekuja yanga
😁😀😂🤣🤣🤣
Kombe limekaa kwenye siti yake linakula raha ya dunia,hongera cn semaji letu kijana mdogo mwenye akili nyingi👏👏👏💛💛💚💚💚
Kombe nalo limekula belt kwenye city yake.hatar sana😂😂😂wana thimbaaa Mletee mdhunguuuu😢😢😢😢😢
Sasa ndugu yangu c umchukue hata yule mtoto wa MUDI uzunguke nae kidogo, aone msemaji mwenzie UNAVYOSEMEA klabu Yako....ajifunze Nini maana ya MAKOMBE
Yaan ili kombe wamelitangaza kuliko ata kombe ka ligi
Kombe zuri sana kama la CAF tujipongeze wana Yanga 🎉🎉
Makolo mbona mnakereka sana na gharama za Yanga ,zinawahusu. Yanga hasara b.1 makolo mnadaiwa b.21 na Mo.
Una madini kichwani, ebu wape machinbo wamezidi domodomo. Hela ya Yanga inawahusu nini?
Mtauwa watuu jaman
Hayo maumivu hatayasahau unakera kijana wetu wanyooshe
" kombe linatengenezewa heshima yake ili msimu ujao ,wachezaji wakipewa video wajue ni deni kubwa"" I love my team napenda mipango yetu aisee " Risk at starting then enjoy more in future "
Nilidhani kombe ujalifunga mkanda kumbe umelifunga mkanda yanga damu
Ally kamwe anajua kuwakera watu, yaani na maisha yao, raha 💚💚🇹🇿🇹🇿
Hengerni vijana kwa kukodi ndege kwa niaba ya Yanga.
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wape wape ally Dawa iwaingie
Kama nawaona vile makolo wanakereka hongera sana semaji langu ally kamwe 💚💛💚💛
Jaman hata hamkumpa semaji la makolo lifti
Ila Ally we huogopi 😂😂😂😂😂
Injinia hersi hongera kwa ubunifu
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu
Hongera semaji Ali kamwe kwa ubunifu
Kweli Yanga ya msimu huu kiboko 🎉🎉🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko is 🎉🎉🎉
Duh!! Itakaa kizazi sana kama ndo hivo ,ni wakati wako Sasa Ally Kamwe kutamba usiiçhezee furaha hii ,iliyo na wakat TU!! Ya yeyuka yaenda upande mwingine ،👏👍 ،،،wanayanga nipen pongez zangu....
Inayeyuka unaiyeyusha ww
Humu tuuu 🤣🤣🤣💐💐💐 makolo apo wanatamani Ata wakuloge🤣🤣
Kwani Jirani yako wanasemaje Kibegi Kilipanda Mtei Bus
😀😂😂😂🤣🤣
Daima mbele nyuma mwiko
Ali Kamwe ni mmoja tuuh
Rais wa yanga 🎉🎉🎉🎉
Tutalogwa san
Yanga raha jamani
🎉🎉🎉🎉injinia hersi rais hongera 😮😮😮
Kombe linakula bata kuliko kibu😅
Yanga raha sana.
😂😂😂kanifurahisha Sana bwana ruban
Ni hatar yanga hii
Daima mbele nyuma mwiko
Haya maisha haya bas tu mm nafkish miaka 43 cjawahi panda ndege lkn kombe Lina siti yake dah kweli hii dunia Haina usawa hapa nimelela kumekucha lkn usk ckupata usingizi rejesho laki Saba lkn hata laki 2 Sina nataman hata kufa Ila ngoja tumwachie yeye Alie tumba lkn kwa hakili zangu km nimezidiwa na maisha Sina furaha mpka mtu unatamani niwe mkenya nikandamane na niwe wa mbele waniue
😅😅😅😅ila Kamwe au basi...😅😅😅you are unbelievable
Uwa Anakula Chakula Gan? Mkuu
Kombe lilotaka kuwatoa uhai zaka
Grut
Kombe nalo limefungwa mkanda
FURAHA KUBWA KWA YANGA TUNAFURAHI SANA KWA HILI
YAANI YANGA...LITAWAKERA SANA AWANA JINSI
Muvibe anaogopa😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Ndugu yangu mungu usi msahau sana kumuabudu. Hapa nisehem ya kupita tuu.
Tukusaidieje! Raha ni duniani! Kaburini hakuna ndege! Tulia
haha mumekwenda serengeti na kurudi, ikirudi inakuwa tupu
Napata hisia hizi ni moja ya sababu za matumizi kuzidi bajeti
Huyo mu sijui nani muoga kinoma😂😂😂
Yani hela zetu wanachama ndo mnazitumia vby hivi😢😢
Umetoa ngapi? CRDB wenye kutoa fedha wala siyo ijichenji wasemeje? Acha roho ya kifukara!!
Halafu mwisho wa msimu deni Billion 2😢😢😢
Kwaio unataka wew??umeombwa ulipie
Mbna nyie makolo hamfanyi chochote na hamna furaha lakini mnadaiwa had pesa za mchicha???😂😂😂😂😂😂
Mo Alishainunua Simba na makolokolo yote ukiwemo wewe! Tangu lini dunduka likajitambua? Achana na matanuzi ya Yanga pam ana na utumwa wenu!
Matumizi yake yanaonekana@mwajayhaxxan5507 kuwa makini usije ukashangaa tanapa katia udhamini wake kwa Yanga
@@sylvestercameo6263 koma me sio kolo,, labda we ndo dunduka,, we unafurahia maden au unaleta Usenge?
Ukute unajitumisha msg humu ata kadi huna mbwa ww
Lakininhakuna msemaji anatumiampesa za timu km huyu jamani hizi sifa zinatumianpesa sana tu
Ingia darasani kwanza...
Ndio utajua pesa wapi zinarejeshwa kwa hilo zoezi
Alafu baadae hizo gharama zisizo na sababu ya msingi mziingize kwq Yanga , na kusema imepata hasara.
Umechangia???
ally kamwe ushba mwingiii
Tuachane na habari za Chama Kwa Sasa hawezi kucheza yanga licha ya playing style yake lakini umri hana kasi
Huuu ni uzwazwa mwisho mwa mwaka mseme mmekula hasara hiyo ni akiri au matope
We kazi kutembea na makombe tu kuna mtu mtandaoni unamriza anakupe urimuadi utaenda nae morogoro ujaenda nae anakuriria