wow kazi nzuri sana sana sana. nimependezwa. ila niruhusu kidogo nishauri kidogo, vitu mtakavyo fanyia kazi na kazi itakayofuata itakuwa nzuri zaidi. 1) Costumes- movie out fits 2) audibility - sound katika sehemu nyingi Kuna sauti zimesikika za watu wengine zaidi ya waigizaji. 3) Lighting also improve. but I give you thumbs up👍👍👍👍👍👍👍👊💪
Kazi nzr but kuna baadhi ya vitu vidogo vya kurekebisha, ukiangalia huyu dogo ambaye ni muhusik mkuu na huyo haliempeleka katika kazi za ujambazi ambaye ameonesha kumshaangaa mwezie baada ya kumkuta anauza maji anaeonekana kavaa rafu kama maskini ni huyo halieonesha kumshangaa mwezie kuwa anauza maji
Yap inabdi paonekane if there's some different kati ya aliye na maisha bora na masikan hapo tasnia ya filamu zetu zitakuwa zimepaa juu chukulieni mfano movie za akina The Rock, Vin Diesel finishing inaeleweka wanaenda kuwa after mapambano ya kukomboa au kukomboana
Labda niwarekebishe kidg kiukweli mnajitahdi lakini kuna sehemu mnafeli sanaaa, hebu kwenye kumalizia ielewek kdg tujue huyo mpelelezi katokaje hapo na mke wake na aliumizwa katibiwa au kadedi pawe na kumalizio basiii🤣🤣🤣
wow kazi nzuri sana sana sana. nimependezwa. ila niruhusu kidogo nishauri kidogo, vitu mtakavyo fanyia kazi na kazi itakayofuata itakuwa nzuri zaidi.
1) Costumes- movie out fits
2) audibility - sound katika sehemu nyingi Kuna sauti zimesikika za watu wengine zaidi ya waigizaji.
3) Lighting also improve.
but I give you thumbs up👍👍👍👍👍👍👍👊💪
Ushauri mzuri hakika
nimewapenda kazi nzur je naweza kuwatengenezea story
Unapatikana wap
mamb vp
Very nice Kwa kazi nzuri
Jameni nahitaji kuwa mwana sanaa
Karbu
@@kingmediatz5243 niko Na filamu kama tano ambazo niliandika mwenyewe
Upo wapi text me on ma e-mail address
Move poa sana hii mambo na maisha yani na nivitu viko kwa maisha haya ya sahi
Kali sana
Kazi nzr but kuna baadhi ya vitu vidogo vya kurekebisha, ukiangalia huyu dogo ambaye ni muhusik mkuu na huyo haliempeleka katika kazi za ujambazi ambaye ameonesha kumshaangaa mwezie baada ya kumkuta anauza maji anaeonekana kavaa rafu kama maskini ni huyo halieonesha kumshangaa mwezie kuwa anauza maji
Asante kwa mawazo
Yap inabdi paonekane if there's some different kati ya aliye na maisha bora na masikan hapo tasnia ya filamu zetu zitakuwa zimepaa juu chukulieni mfano movie za akina The Rock, Vin Diesel finishing inaeleweka wanaenda kuwa after mapambano ya kukomboa au kukomboana
Kosa jingine huyu jamaa kumbukumbu zimepotea hila kafika kwake na amemtambua mke wake kwa jina
Big mistake. Probably wangetengeneza mazingira kwamba alikuwa anawafanyia drama wale jamaa, ingesaound good
Nawapa pongezi kubwa kwa kazi yenu nzuri👍👊
Movies inaboa kweli yan staring wa mchezo anapigwa hadi movie inatia usingizi 😂😂😂😂😅
Keep moving forward 📌📌📌📌
Mke mwema kumpata ni kazi
😂😂😂😂😂 NIMEPENDA apo,Kwa kujuana na kipigo waah
Usilipue kube hiyo msemo iko mpaka uko tz dur😮
Gosto muito do vosso trabalho👌, amei ❣️
Labda niwarekebishe kidg kiukweli mnajitahdi lakini kuna sehemu mnafeli sanaaa, hebu kwenye kumalizia ielewek kdg tujue huyo mpelelezi katokaje hapo na mke wake na aliumizwa katibiwa au kadedi pawe na kumalizio basiii🤣🤣🤣
Sema punguzeni bagi maliazia story😂😂😂
Kazi nzuri ila kamera yenu mbovu+ editing yenu sio,,, yawezena kwenye ima kamera ama location
Movie.nuri.ila.stering.mubadilishe.huyo.hafai.amelegeea.sana.anapigwa.pigwa.sana
Eeeee hiii Kali Sana
Hongeren ilahaya matangazo
Mke wema jamani....kumpata matanga
Watching 2024 from kenya
Very good
Huyo star anapigwa mpka Radha ya movie inapotea
Wanjala comedian e
Hii kali sana
Nice movies are got from Africa
good
Movie kali bro ap umechez
❤😂🎉
Masanja
Very pain
Move zenu ni nzr ila stealing anapigwa weeee jifunze kwa j white yule mmarekan au skot au don yen
❤
Saikt
Safi sana
😮😮😮😮
Bonge la move
Gosto muito do vosso trabalho👌, amei ❣️
Very good