Yani watu wanaomba Dua yeye ananuna yeye mwaka hajana na mwaka juzi si alikataa hebu makiza miaka yako miwili utuajie Simba yetu ww uende Kwa otopolo😮😮😮
Tatizo mnaletaga siasa kwenye mpira wakati mpira ni mchezo wa wazi, ulipo tukela kumleta manzoki na kutuaminisha ili upite kwenye uchaguzi hapo tu, hatuna imani na ww
Mangungu linda wachezaji sana ,heshima yako itarudi.
Simba nguvu moja
😂😂😂 Wavaa Sanda wamekutana
Ni Jambo njema kutanguliza mungu kwa kila njema kabla hujaanza kufanya mungu atupe uwepesi msimu huu nawa
Huyy mzee hana ushawishi wa uongeaji.
ubaya ubwela kombe tunachukua kombe next season
Mwandishi Mbona hujauliza kuhusu Mpanzu hapo umebugi
Simba nguvu moja UBAYA UBWELA
Yanga SC
Mimi huyu najisikia kichefuchefu niki mwona
Tarehe 8 tukutane kwa Mkapa
Nimefurai sana kwamlichokifanya mama huu atakae subutu kutuangusha mwaka hu anacho
Simba ndio wachawi wakubwa waliroga hadi kule south kwenye mechi dhidi ya Orlando Pirates sasa sijui anayewafanyia ubaya ni nani,mtaumia wenyewe.
@@aminaomari2312 na waliomtumia majini Mayele ni nani😅😅
Siukalime mzee kwani Simba Ni Dini adi usitoke utumbo tuu ATA kuongea alijuii😅😅
Yani watu wanaomba Dua yeye ananuna yeye mwaka hajana na mwaka juzi si alikataa hebu makiza miaka yako miwili utuajie Simba yetu ww uende Kwa otopolo😮😮😮
Ili simba ipate mafanikio ww lazima uondoke..Acha kujisafisha
Simba Nguvu moya
Chezea mangungu nyieeeee, huyo siyo wakuchezea.
Tatizo mnaletaga siasa kwenye mpira wakati mpira ni mchezo wa wazi, ulipo tukela kumleta manzoki na kutuaminisha ili upite kwenye uchaguzi hapo tu, hatuna imani na ww
Mzee wahachie timu yao Kwa amani hata ukifanya mema ni Bure hawakupendi wanachama na washabiki wa simba
MBONA ILICHEZEA GOLI 5,MUNGU SIO WA UPANDE MMOJA
Acha ujinga weww hata yanga alifungwa sita
MZEE UKISEMAA KILA ANAE KUKERA SIMBA AONDOKE, SIMBA UTABAKIA WEWE PEKE YAKO, MAANA KARIBIA WANASIMBA WOTEE UNAWAKERAA
Hutakiwi
Kifup jua kusame ata ss tumekusame
Ni Jambo njema kutanguliza mungu kwa kila njema kabla hujaanza kufanya mungu atupe uwepesi msimu huu nawa
Dua sawa lkn hauendani na Mambo ya mipiraaaa
Simbaa nguvu moja