Nilikuwa Muislam Yesu akanitokea na kuniokoa|USHUHUDA WA MCHUNGAJI WA WALIOKUWA MAKARASHIKA BURUNDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 сер 2023
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 94

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 11 місяців тому +3

    Yesu hanatowa watu mbali Sana mungu ndiyo hadiyaye nguvu mwanadamu. Shatani hawezi lolote shida zako sikitu kwa mungu asente Sana jactan Msafiri kwa ushuhuda zuri

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv4935 11 місяців тому +4

    huyu mchungaji anamacho sana ya kiroho , Mungu ambariki sana

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 3 місяці тому +1

    Ndio Bwana

  • @tabithajeremiah4589
    @tabithajeremiah4589 Рік тому +5

    Ushuhuda wa kujenga sana,mtumishi wa Mungu ni mnyenyekevu sana.Mungu aendelee kukutumia kwa viwango visivyo vya kwawaida

  • @kissabrown4349
    @kissabrown4349 4 дні тому

    Amen 🙏

  • @JafarMwinyijuma
    @JafarMwinyijuma 19 днів тому

    Mungu ni mkuu sana

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 Рік тому +5

    We thank our Lord Jesus,for this testimonies, they are teaching us very important lessons

  • @dantez8775
    @dantez8775 5 місяців тому

    Thank you jactan for always sharing their contacts. God bless

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 11 місяців тому +1

    HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏👏👏📢📢📢📢📢📢📢📢📢

  • @Jackline-ki7zl
    @Jackline-ki7zl 6 місяців тому +1

    Wokovu huo aliokoka huyu mchungaji na Mimi niliokoka wokovu WA namna hyo .lkn kwakua nilkua shule akili yangu haikuamua kumtukia yesu .lakin Sasa nimerudi kwake Baba (yesu kristo)

  • @wambuimanyara6978
    @wambuimanyara6978 11 місяців тому +1

    Ushuhuda wa kujenga sana.Mubarikiwe Promover. Tunasubiri part 2

  • @shamim6606
    @shamim6606 11 місяців тому +5

    Unyenyekevu umejaa ndani yake mpaka sura inaonesha

  • @davidgitau1162
    @davidgitau1162 11 місяців тому

    Shukran Sana kwa ushuhuda huu Ningelipenda Sana kutazama shuhuda za hao mabinti waliokuwa watumishi wa shetani tafadhali.

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Рік тому +2

    Amen

  • @zakn2001
    @zakn2001 Рік тому +4

    Mungu awabariki sana!

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Рік тому +1

    A very uplifting testimony,God bless you,men of God.i decree psalms 91 to whoever watching this testimony.🙏

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 11 місяців тому +1

    Ama kwa hakika kwake Yesu kila goti litapigwa.

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Рік тому +2

    Amina

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 11 місяців тому +1

    Good job

  • @issachege5606
    @issachege5606 8 місяців тому +1

    Jesus hv mercy 4 us, the rapture is abt to come very near bt humanity don't believe it😢

  • @drmaryjohnmponda3484
    @drmaryjohnmponda3484 Рік тому +1

    AMEN

  • @andrewmhagama9816
    @andrewmhagama9816 11 місяців тому +1

    Hakika Mungu ni mwema kwa kupitia Yesu Kristo aliyehai ndio tunashinda ulimwengu,kinacho takiwa ni kushinda majaribu yote ya dunia hii ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @favourndila8474
    @favourndila8474 Рік тому +1

    Halleluya

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g 11 місяців тому +1

    Mungu Anatafuta condoo wake

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Рік тому +2

    Kwakweli Mungu ni mkubwa,na ngojea mwendelezo

  • @BILLSHAFT
    @BILLSHAFT 10 місяців тому

    🙏🏼🙏🏼

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 11 місяців тому

    Mnachelewesha sana jamni maelezo meeeeeengi mpk yanaboa hebu muache mtu atiririke

  • @Queenrinna98
    @Queenrinna98 11 місяців тому

    🙏

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Рік тому +3

    Mwenyezi Mungu hakuumba dini yoyote ile,uhusiano wako na Mwenyezi Mungu ndio itaamua hatma yako kama utaingia jehanam ama mbinguni.😢

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 Рік тому +2

      Pongezi kwa ufahamu huo wenye upeo,maana waitwao Ni wengi lakini Wateule Ni wachache. Yaani wengi wanaabudu dini,dhehebu badala ya Mungu.

    • @josephinemsongole4315
      @josephinemsongole4315 Рік тому

      ​@@kakawamashariki89781:16

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Рік тому +3

      Dini? Bĩblĩa inasema mimi ni Njia ya kweli na ũzima,mtu hawezi kwenda kwa baba pasipokupitia kwangu(kwa Yesũ) achana na dini twende zetu na Yesũ kristo

    • @queenesther8505
      @queenesther8505 Рік тому +3

      @@UsafiMichael-mc8kt exactly,Yesu kristo ndiye njia na uzima wa milele,hakuna atakaye enda kwa Baba ila kwa njia ya Yesu Kristo tu,Yeyote amkataaye mwana amekwisha laaniwa na Mwenyezi Mungu hayumo ndani yake.🙏

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 11 місяців тому

      ​@@queenesther8505kumbe Kuna mungu na mwanae mungu

  • @MireilleEspoir
    @MireilleEspoir 11 місяців тому +1

    Tunasubiri part two…😢😢

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 11 місяців тому +1

    Wakristo mwapenda kiki nyinyi mmh yaani huyo yesu uko aliko yuwashangaa kila uchao huyo akijiuliza nsiku ipi alio mtokea mtu...kama c njaa zenu wakristo na utapeli mbona usitokewe na mungu uwe unamtukuza tu mwanadamu mwenzako alikuwa tu nabii wala sio mungu

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 6 місяців тому

      MUNGU AKUTHIHIRISHE YESU KRISTO NI NANI NA UPATE WOKOVU KWA JINA LA YESU

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 11 місяців тому +1

    Jactan part 2 iwapi?? umekawia sana

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  11 місяців тому

      Part2 itakawia sana,ni mpaka mwakani

  • @annachachage4931
    @annachachage4931 11 місяців тому

    Mathayo 12:6

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 11 місяців тому +2

    Kila Mtu anatokewa na yesu siku hizi na ile Nukta ya Kuigiza Ulemavu
    Naona siku hizi sio kivileeeee !!!
    Haya bana ngoja inyeshe

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 11 місяців тому +1

      Ramadhani hawa jamaa siku hizi kiki yao kubwa Ni kusema walikua waislamu wakatokewa na yesu

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 11 місяців тому +1

      Muongo sana wewe,hata Yesu akija leo mtakataa kwasababu ya misimamo ya dini yenu, Mungu anawachagua walio wake wewe endelea na misimamo yako ya dini.Huyo Muhammad mnayemeamini alikufa anasubiri hukumu tu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 11 місяців тому

      ​@@badruseif1318kabisaa.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 11 місяців тому

      ​@mwassamwassa7264 Muhammad ni binaadamu. Sasa kwa nini asife. Asiekufa ni mungu. Hata yesu alikufa.
      Yohana 17:3

    • @andrewkissavah8272
      @andrewkissavah8272 10 місяців тому

      Waislamu naona mnakeleka sana jinsi YESU anavyo okoa

  • @samjosh12
    @samjosh12 11 місяців тому +1

    Anaongea kwa utulivu sana na lugha ya Kiswahili anaiongea kwa ufasaha sana.

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 3 місяці тому

    Kwanini waislam wanaroho mbaya kwa ndugu zao ambao wameokoka?

  • @nduwayezutadsonchannel4084
    @nduwayezutadsonchannel4084 Рік тому

    Kwani❤katakela alikuwepo buyenzi?

  • @jesusnametv4935
    @jesusnametv4935 11 місяців тому +1

    wale manaitwa waislamu ndo mjiulize mpo sehemu sahihi ?au mnakwenda kuzimu ?

    • @user-un2td1no5f
      @user-un2td1no5f 11 місяців тому

      Kweli kabisa wajiulize maana kila anaeshuhudia anasema kua majini ndio maisha ya Muslim wakubali kuokoka wampokee Yesu

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 6 місяців тому

      Yani Acheni ushangae wao wanajiona wako sahihi sasa ikeja kwenye kuwa chukia wakristo na kuwa ona makafiri na kuwambiwa wasike karibu na sisi embu Angalia KWERI MUNGU TUNAYR MUABUDU WA DUNIA NZIMA AMETUACHIA UPENDO ILA SISI WENZETYU WANA TUCHUKIA NDIO UNAPOONA KUNA SIRI INAYO ENDELEA KWAO PASIPO WAO KUJIEREWA

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Рік тому +1

    watafutaji pesa kwa njia ya jina la Yesu

    • @patrickmunishi2277
      @patrickmunishi2277 11 місяців тому +2

      Mungu akusamehe maana upo kwenye chungu, na unaitaji msaada

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 11 місяців тому +1

      @@patrickmunishi2277 kesho utamkuta anafungua kanisa ukishawaona wanajitangaza hivo wakijulikana tu imetoka

    • @8pistons194
      @8pistons194 11 місяців тому +2

      ​@@sabihaibrahim143okoka na ww ufungue kanisa kama ni dili

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 11 місяців тому +1

      @@8pistons194 hahahaaaaaaa mimi nimefungua biashara nyengine

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 11 місяців тому

      ​@@sabihaibrahim143mwaipopo mliyemnunua analia njaa huko mnamtunza kwa ghalama kubwa lakini roho inamsuta kuiacha njia ya Yesu

  • @badruseif1318
    @badruseif1318 11 місяців тому +2

    Mnaona njia nyepesi ya kupata Kiki Ni kusema ulikua muislamu

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Рік тому +2

    Kwa nini kila mtu anakimbilia kuwa mchungaji; kuna nini ktk huduma hii?

    • @christinaisanguisangu2974
      @christinaisanguisangu2974 Рік тому +1

      Wito wa mtu sio kukimbilia tu nafikiri ndo nafasi wanaoitiwa na mwenye kazi

    • @jesuspower2390
      @jesuspower2390 Рік тому +7

      ulitaka awe mganga wa kienyeji?

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Рік тому

      @@christinaisanguisangu2974 umejibu vizuri mpaka nimependa kama ningekuwa na namba yako ningekutumia hela ya kununua GB 1,tunataka watu wenye ufahamu na uelewa kama hvyo

    • @pastorpetermageta6833
      @pastorpetermageta6833 11 місяців тому

      Hata wewe ukitaka unaweza kuwa

    • @CliffordKimani
      @CliffordKimani 11 місяців тому +4

      Luk 10:2 Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 11 місяців тому +1

    NGUVU KUBWA INATUMIKA KUPOTOSHA WATU,,KUMBE UKO KWENU KUMUONA YESU NI RAHISI HIVYO..HUKU KWETU HAKUNA KUTUNGA

    • @8pistons194
      @8pistons194 11 місяців тому +5

      Ni rahisi maana tuna imani na tunaemwabudu.Mohamed alikufa akafa hamtokaa mumuone tena

    • @aliemdogo
      @aliemdogo 11 місяців тому +1

      mukija Ku
      Muaona marehem Mohammad nikuzim mkiwa mnachomwa wote

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 11 місяців тому

      ​@@8pistons194Muhammad si Mungu. Asiyekufa ni mungu. Hata yesu alikufa.
      Yohana 17:3

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 11 місяців тому

      ​@@aliemdogothubutuu

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 6 місяців тому

      YESU ALIKUFA BURE MAANA Alisurubiwa kwa jile Yetu akafa Akafufuka sasa ni yuhai yuko Mawinguni Akatuachia msaidizi Wake Rohomtakatifu Yaan Tumebarikiwa Mnoo MUNGU NI MKUU​@@Catherine-mh8sw

  • @GeorgetteNzeyimana-fi6ln
    @GeorgetteNzeyimana-fi6ln 11 місяців тому +1

    Amen