UNAOMBA AU UNASHITAKI? MCH. PETER JOHN.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 55

  • @Pauli-fr9id
    @Pauli-fr9id 3 місяці тому +1

    Mwenyezi Mungu alibariki sana.

  • @DeborahKatungu-i2d
    @DeborahKatungu-i2d 7 місяців тому +1

    Amen dady

  • @nancymakenya917
    @nancymakenya917 Рік тому +2

    Amen mchungaji unanibariki Sana Sana kwa mahubiri yako,ila hii ya kugeuza mtoto mende nimecheka Sana na nilikuwa na watoto wangu tunasikiliza wamecheka Sana pia

  • @IsabelaChristopher-i4l
    @IsabelaChristopher-i4l 3 місяці тому +1

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @MacklinaWilliamu
    @MacklinaWilliamu 11 місяців тому +1

    Amen 🙌🙏🙌

  • @MatiJulius-m3o
    @MatiJulius-m3o 3 місяці тому +1

    GOD bless you

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 Рік тому +2

    Amen naomba maisha marefu,
    Na kujenga nyumba yangu.

  • @graceamran326
    @graceamran326 Рік тому +1

    Ameen baba mtumishi wallai tunafraiya somo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏ubarikiwe sana mtumishi

  • @loycemgonja2634
    @loycemgonja2634 Рік тому +2

    Barikiwa Mchungaji Roho Mtakatifu atusaidie tuliweke ktk vitendo

  • @InnocentDominoes-nc3kz
    @InnocentDominoes-nc3kz 2 місяці тому

    Amina

  • @rehemajosephat6501
    @rehemajosephat6501 Рік тому +1

    Ahsante mtumishi wa mungu hili son limenikumbush kitu juu ya mung wangu na min naungan nq wanafunz wa yesu nifundishwe kuomba

  • @Annie-mg7sz
    @Annie-mg7sz Рік тому +3

    Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu ya afya . Hakika kazi unayoifanya ni kubwa sana.

  • @fumoke3705
    @fumoke3705 Рік тому +1

    Amen, neno zuri

  • @SimbaArnolduwezo
    @SimbaArnolduwezo 5 місяців тому +1

    Mungu awe nawe paster nakupenda sana

  • @sadickmanyengule
    @sadickmanyengule Рік тому +1

    Mungu akubariki sana pastor kwa mafundisho yako mazuri 🙏
    Japo kuwa nimekufahamu kwa siku za hivi karibuni KIHONDA NET EVENT

  • @AnnaMgani
    @AnnaMgani Рік тому +3

    amen 🙏 pr peter John ☀️

  • @EddaYohanis-u8z
    @EddaYohanis-u8z Рік тому +2

    ❤Asante sana pita

  • @kaungemuhiya7296
    @kaungemuhiya7296 Рік тому +1

    Barikiwa pastor

  • @graceamran326
    @graceamran326 Рік тому +1

    Ameen nakuelewa sana

  • @JonasJonathanJulius-tk9oq
    @JonasJonathanJulius-tk9oq Рік тому +1

    Mungu akusadie pr naelewa mpk bac

  • @ElzabethAbel-ym3lk
    @ElzabethAbel-ym3lk Рік тому +2

    Barkiwa mtumish wa mungu Kwa mahubr yako mazur

  • @pendoseburuka8457
    @pendoseburuka8457 Рік тому +1

    Mimi kwa nini sikukufahamu mapema,Mungu akutunze na akubariki sana mch Peter.nafuatilia toka Dodoma makole kituo cha Afya

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 Рік тому +1

    Nimekuelewa vizur sana mtumishi waMungu, Mungu akubariki sana.

  • @johnsonmisheto9422
    @johnsonmisheto9422 Рік тому +1

    Barikiwa ujumbe huu unagusa wengi ni pamoja nami

  • @lydiamajula5083
    @lydiamajula5083 Рік тому +1

    Pastor hata mm najion sijui kuomb naweza kujua namn zuri ya kujua kuomba

  • @ruthmagare8725
    @ruthmagare8725 Рік тому +8

    Nimegundua huyu mchungaji siku chache zilizopita na nimependa sana mafundisho yake. Mungu akubariki sana mtumishi.

    • @johndeogratias2543
      @johndeogratias2543 Рік тому

      Hata mimi Yani nimempenda sana

    • @tumainimbwambo2402
      @tumainimbwambo2402 Рік тому

      Pendeni mafundisho yawabadilishe muandaliwe kwa uzima wa milele mana yeye pua nimwanadamu na anaweza akanguka

  • @JafarMohd-su6ss
    @JafarMohd-su6ss Рік тому +2

    amina pasta peter

  • @GAUDENSIAKIMARIO
    @GAUDENSIAKIMARIO Рік тому +2

    Amina mchungaji

    • @pambacharles8149
      @pambacharles8149 Рік тому

      Amen, ni kweli wengi wetu hatuobi ila tunalalamika TU na kushitaka,SoMo hili ni nzuri na litufundishe jinsi ya kuomba

  • @fadhiliekson5517
    @fadhiliekson5517 2 роки тому +1

    Amen

  • @johnsonmisheto9422
    @johnsonmisheto9422 Рік тому +2

    A good road does not make a good driver ,naguswa kwani unanigusa kiroho barikiwa mno

  • @MagangaPeter-fh4vf
    @MagangaPeter-fh4vf Рік тому +1

    We jembe

  • @pendoseburuka8457
    @pendoseburuka8457 Рік тому +2

    Ila nimecheka sana ushuhuda

  • @leonidafatson882
    @leonidafatson882 Рік тому +1

    Maombi ni password ya kumruhusu Mungu atumie mwili wangu kutimiza makususudi yake hapa duniani📌🙏.
    For the first time nimemsikiliza huyu mtumishi na mimi sio msabato ila nimebarikiwa Sana na mfundisho yake. Kuna mahali amenivusha. Mungu aendelee kumtumia zaidi 🙇🙌🙏

  • @sarahmbilinyi8504
    @sarahmbilinyi8504 Рік тому +1

    Huyu mtumishi namuelewa mafundisho yake yananifaa mengine hayanihusu

  • @gagatv9175
    @gagatv9175 Рік тому +3

    Natamani nipate namba ya huyu mchungaji

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 3 роки тому +2

    Nimebarikiwa na somo Hilo nayaweza mambo yote ktk yeye anitiaye nguvu

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 2 роки тому +1

    Je utatu ni fundisho la biblia msaada wapendwa

    • @MARYCIANAWILLIAM
      @MARYCIANAWILLIAM Рік тому

      Mungu akubariki Sana mchungaji maana umekuwa mbaraka mkubwa sana

    • @ruthnyanza1887
      @ruthnyanza1887 Рік тому

      Nakuelewa Sana mchungaji watu wengi wanaomba kwa kama shairi masaa 3 kumbe tuombapo tayari Mungu anajua hitaji lako unapaswa kumshukuru tu hakika nabarikiwa Sana na SoMo hili Mungu akubariki

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk Рік тому +1

    Amen

  • @fumoke3705
    @fumoke3705 Рік тому +1

    Amen

  • @BethuelKiptoo
    @BethuelKiptoo 9 місяців тому +2

    Amen

  • @mariaamabwi1854
    @mariaamabwi1854 4 місяці тому

    Amen

  • @MatiJulius-m3o
    @MatiJulius-m3o 3 місяці тому

    Amen