EXCLUSIVE; ALIENDA KWENYE MKESHA WA MWAMPOSA AKACHUKUA MAFUTA NA MAJI / NILIMKUTA NDANI AMEKUFA
Вставка
- Опубліковано 7 жов 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Mtu mwenye dini ya kweli na kamshika mungu sawasawa, hawezi kumsogelea mwamposa! Giza na nuru hazikai pamoja!
@@danieljoseph1610yakikukuta utapatafuta,hayajakukuta.
Mungu atusamehe atujakamilika mungu aipumzishe roho yake kwa amani
Mtakufa sanaaa jaman tumuamini Yesu peke yake anaweza yote achaneni na hawa manabii niwauwaji hawa
Huyo muuwaji mwenyewe ana muubiri yesu
Hata Yesu alikuja na watu hawakumuamini so Yesu anapitia kwa watumishi wake
Ni kawaida ya binadam kila kitu kwao ni kusema, Luka 11:14 hata YESU Kristo walimsema, baada ya kumtoa mtu pepo mchafu na yule pepo alipomtoka na kuanza kuongea wakashangaa na wengine wakaanza kusema Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa beelzebuli, Yule mkuu wa pepo wachafu wote,
Vidonda vya tumbo na tibii haviui????acha uongo .Mbona watu wanakufa wakiwa hospitalini?!!!!!! MWAMPOSA anakosa Gani hapo.Tubu.
Mwamposa Mungu anamuona .Kuwadanganya watu siyo unabii 😢😢
Kwan amekufa kwa Mwamposa au mwamposa anasema usile !? Why unahukumu mtumishi wa Mungu epuka laana zisitokuwa na ulazima
@@martinamahenge4476mtumish gan ww chz nn
Ekufa kwa matatizo yake siyo kwa sababu ya MWAMPOSA.Hata hivyo hujielewi
@@martinamahenge4476wanaropoka tu.
@@martinamahenge4476Wewe mtumishi wa tembo au?
Tukumbuke tu yakuwa yesu alisema omba utakalo kwa imani naye atakupa that means unaweza kabisa kujiombea mwenyewe kwa imani yako mwenyewe ukafanikiwa. achaneni na hawa mabii wauwongo jamani ,yani wakristo tumekuwa kama mbuzi wa mnadani ,kila soko jipya umtaka kwenda kama umechoka kutulia kwenye zehubu lako tulia nyumbani sali kwa imani yako mwenyewe .
Nyie hamjui tu MwAmposa ni wakala wa kuzimu anawatoa kafara yeye amazon di kujaza watu
Kwani yeye ndiye amemuua?/?????acha hizo.
Sasa kufa kwake na mwamposa vnauhusiano gan???
Ninachoona huyo vidonda vilikiwa vimepasuka!
Kabisa
Mama pole sana sana mungu akutie nguvu mungu ampumzishe kwa amani
Siku ilikuwa imefka achane kuchafua majna ya watuu
Huyo mama achunguzwe vizuri . Mkavuu anatoa maelezo vizuri kabisa
Kamuuwa tu kaka wawatu kwenye interview ya kwanza alisema ana watoto 3 nahuo marehem now anasema hana mtoto nawe dah
Kifo kipo acheni ujinga
Mwenyezi Mungu ampokee mja wake. Pole bi mkubwa kwa msiba.
Pole sana mama
Barikiwa mama
Pole mama angu
Pole Dada Mungu awatie nguvu 😂😂😂
Mafuta hayo unakunywa ??? daaah watu wangu mtaangamia kwa kukosa maarifa
YESU KRISTO ndiye mponyaji wa kweli
Mhiiii hyu mama jamani mbona mtu mzima sana yaani nisawa na mama ake mkubwa😮😮😮😮😮
Hii😢
Jamani Kama mtu anaogonjwa unaomsumbua aende hospitalini maana Kama Ni maombi nenda huku ukiendelea kutimia dawa za hospital
Hujasikia alikuwa na dawa pia za hospitalinii,mafuta hayo ya kuzimu ndo yanawanyonga.
@@odilomwemeziernest646hakuna mafuta yanayonyonga mtu achen zenu jmn Kila mtu atakufa tu
@@PaulinaSemindu-ob3de wewe huna unalolijua ukae kmya juu ya hayo mafuta.Mimi ninajua nilikuwa wapi na niko wapi maana hao matapeli tuliwapa sisi mafuta kabla hatujaokoka,ila namshukru Yesu kwa kifo cha msalaba.
Huna Imani wewe yesu anaponya magonjwa yote usjichanganye hospital na yesu
Kwani wanaokwenda hospitali hawafi ????!!!!! Kwani alikuwahanywi dawa!!!!.
Kama mnasema mwamposa sio kweli kama nikufa ningekufa mm nimeenda kwa mwamposa sana tu nina miaka nakwenda naenda popote penye uduma ya kiroho uyo siku yake imefika bc tu usisingizie mwamposa
Sio imefika kaifikisha yeye na ndg zake sasawanajua anavidonda halafu eti wanaandaa uji anauwacha bila kumpa kweli mnapendana au Giza sema watu wa kaskazini bize kusaka noti na wengine mnasahau kula mimi toka nijue nina vidonda kula lazima yaani msosi kwanza hata km sijaingia class yaani nakula madent ndio watasoma na maombi napiga yaani watumishi nawafuatilia ,watumishi hawajasema tusile jamani pigeni msosi yaani menu mpaka tumbo liite mmaaa
Kala cream mama
Hapo mwamposa anahusikaje, siku imefika,hakuna awezae kuizuia,si Lutheran/mwamposa tupo sokoni ukifika bei unaondoka,ukiacha dawa ujinga wako,alikua snatafuta kupona,likikufika ndio utajua
Good point
Kama anamadonda ya tumbo ni vimbaya sana kushinda ajala pia inachangia pole kwa family
Nilijua tu mawazo ya wtz washahamishia kwenye imani ya alikokwenda kukesha mbona wapo wanaofia baa wengine gesti wengine kwenye mabasi wakisafiri hua mnawazaje hao nao wametolewa kafala na wenye hivyo vitu? kila mtu na siku yake hata asingeenda dar asingevuka sikuhiyo.
Aiseee ni nooma ni mke?nilijua mama ake mzaz
Kufa kupo tu, kwasababu ninjia ya kila aliye hai kurudi kwa Mungu wake
Kila mkutano wa mwamposa lazima watu wafe, dadeeki ,. lazima atoe kafara, watu wakae kwenye makanisa yao jamani, mtakufa hadi mkome
Hujui unachoongea ww Kaa kimya ujitambui
Watch ur mouth mwamposa hajawahi kumwambia MTU aache dawa siku yake ilifika tu acheni kujibebea laana
Kama huna chakucoment siukae kimya jmn,achen kumuhuhukumu mwamposa kahusikaje hapo kwenye vdonda vya 2mbo
Yoyote anaongea Mwamposa vibaya ni mchawi but hamutamuweza msipobadirika mtakufa
Rip
We mama muongo si ulisema kipindi ulipo hojiwa mwanzo ulisema unawatto wa 3 umezaa nae alafu unaongea ukiwa mkavu
Jamani wacheni kumharibia mwaposa kama kufa nigekufa mimi maana mimi mfuta ya mwaposa nakunywa kila siku siku yake irikuwa imefika tu mwaposa mwachini jamani
Comment nyingi kuna mtu ka Comment hapo ni ndugu yao alikua na TB
Tuende hosiptalini wakati tunatumia maji, mafuta ama chunvi ya imani
Inaonyesha alikuwa mugonnjwa uyo kaka RIP kaka wawatu kutapika damu dalili ya TB imesha mumaliza
Kwani mim xijaelewa huyo baba aliekufa mwamposa ndokamuuwa au ni mungu tu ndokapenda amchukue kwanialiewambia kuwa mtuakienda kwamwamposa hafi Ninani jmn me najuwa kifo tumeumbiwa sot jmn akipenda yey lazimatuf hakuna awezae kuziwia kifo kinacho tupasa tumuombe mung atupe mwixho mwema
Mwamposa ni mtumisi wa mungu, kama unaenda kwa Mwamposa tena unaendelea kufanya maofu utaesa kufa kama uchawi na kuua, mimi sijawai fika kwa Mwamposa ila natumia youtube na tuko mbali lakini tunapokea ,waja kuongea Mwamposa vibaya, wachawi wafe wametusumbua
Pumzika kwa amani hiyo nimipango yamungutu wala sio mafuta yamwamposa
Jamani huyu ndugu yetu alikua na tb na alikua na dozi ikaishA ila tb haikuish
Huyu kafa kwa njaa bwana au maradhi ya TB,au vidonda tumbo jamani tule tutalaumu watu bureee,hata mimi nina vidonda vya tumbo kanuni tunza muda wa kula sasa mtu unakuta anakunywa soda afya,pepsi andazi unaongeza chemical mara bia sasa tumbo halipati msosi jamani maombi na kula sasa mchungaji unataka awakumbushe kula nyie mnaouguza pia muwajali wagonjwa kuwapikia msosi wale washibe walazimisheni sio mnawaacha bila kula
Jamani hebu tuelezeeni vizuri. Mwaposa amehusika vipi na kifo cha huyu mgonjwa.
Ww mtangazaji acha kuchafua mtumishi wa mungu kufa na mwaposa kunausiana na nn acha ujinga na kumuusisha hata mtangaze namna gan mwaposa baba yao walikutuma wambie wajipange
Upya
@@GilgariMinistryTanzania yep!!!!👏👏👏👏Tena ajitathimini yeye na MTUMISHI WA MUNGU MWAMPOSA.
Unaonekana huo mama kamfanyia kitu ukisikiliza kwenye interview ya kwanza alisema anawa wtoto 3 namalehem hapa anaulizwa kama ana mtoto nae anasema hapana Mungu atakuumbuwa
Yesu alitukanwa na kutemewa mate lakini,,,,,,kunasiku walimpigia magoti
Mwamposa haja sema uki umwa usinywe dawa!!!Acheni kuchafua jina la mwamposa
HIVI HUYU NI MTU WAKWANZA KUFA MBONA KAMA MNAFANYA KITU KIWE KIKUBWA WAKATI NIKAWAIDA
Wapi wewe tulia na utamtafuta huyo huyo anayesema vibaya akusaidie
Acha kumchafua mwamposa uyo njaa imemwua
Hihi chaneli ni ya kumchafua mwamposa
Halafu wameandika kichwa cha habari ili kuinua hisia za watu mwamposa anahusikaje hapo😢
Kweli kabisa mbona machaneli yote atuon tunaona cheli III
Mbn makasilik jaman Kwan mwamposa ndy mung mpak azuie kif Cha mtu kufa kup tu msitumie Kam Ako ndy katiket kakumchafua mtu lakn Kwa mwamposa ndy atuach😂😂😂.
🙏🙏
Mm namashaka na huyu Mama mbona naona kama kuna kitu kimefanyika
Wewe mtangazaj unatafuta tu mtumishi wa Mungu umuhusishe na hii ishu aisee maan uliza yako ni ya mashaka
Anataka na yy sadaka alizopata mwamposa
Katumwa uyo amualipia
Acha kudaganya watu kufa kupo yeye sio mtoa roho adi imefika km mmempa ela kiss Mwamposa imekula kweli sis waumini wa Mwamposa bado tupo nae San sis tunavyo juu kufa kupo wawaojin osptal mbona wanakufa
Huyu mama mbona kama mkubwa
No tu my dear mkubwa Allah
Me atanilifikilia ni mama ake duuh
Ulitaka aoe mtoto!!
Ulitlaka awe mdogo
Alikuwa anaumwa mda mrefu, sema tu hakujiongeza kwenda hosipitali, na siyo kafara wala, ila mawazo na imani zenu tu
Eti mafuta ya upako majinga nyie acheni upuuz mtakufa nyie majinga ya akili mafuta mafuta haya kamuua sasa asee mtuwawatu
Alikuwa anaishi mashangaIziiiaa
Yani huyo dada mfiwa kweri mbona aonekani kama kafiwa macho makavu
😂acheni zambi uyo mwamposa anahusikaje,mtu afe na ahadi yake eti mwamposa anahusika
Huyo alikuwa anaumwa TB hamkujua tu
Yaani nnavyoona huyu muandishi anamuhoji Kwa udadisi huyu dada Bila Shaka wanamdhania huyu dada kamuekea kitu labda kwenye chakula ama kafanya lolote Khusisha kifo cha huyu kaka. Kuna watu hawana imani na vifo vya ghafla kufa ghafla wanajua mt kauliwa ama vyovyote. Kufa C lazima umwe au update ajali au unyongwe mauti hayana ivo unaweza kua mzima sasa iv ndani ya sekunde 1 to ukaondoka duniani.
Yaani me nilijua mama wa marehemu ndo anahojiwa kumbe mkee 😂😂😂dunia imeisha jmn😂😂
Sasa unacheka nini kama kahaba
Nop mama mkubwa yupo Moshi mm mdg ake
Umri huo bi mkubwa mtoto labda wa miujiza ya mwamposa
mwamposa wakala wa giza jiadharini naye
Vumbi hilo la machimboni
Mhiii hyu kweli m bibiii yaani kafiwa lakini bado kapata Nguvu ya kujikwatwa jamanii anavyo jieleza utasema ni jirani hata choziii allooh 😂😂😂😂😂😂😂
Usihukumu usije ujekuhumiwa mwenyew Kila Mt angalie dhambi yake mwaposa Kila siku mwamposa mwCheni mtumishi wa mungu Kam mda umefika umefika ty tujihadhalin na kutubu dhambi zetuuu
Wajinga ndo waliwao
Acha kupanga watu we muache aposo wetu mbona uwendi kuoji osipitali Kila siku watu wanakufa unaunacho kipata umona mazuli anayo yafany mmulushi
Acha kumchafua mwamposa
Tena akome.
Mwacheni baba yetu wa upako,,,ck yake ilikua imefika tu, nyie mnaomsema mtumishi wa mungu mungu anawaona nyie na ushetani wenu