Unajua unachokifanya na kukisema kuwa sio kweli ni uongo na kuwapeleka watu wa Mungu kuzimu ninakushuhudia leo acha kumtumikia shetani. Mpokee BWANA YESU LEO uokoke na hasira ya MUNGU inayokuja
Yaani we mganga miti shamba Mwongo mkubwa!! Eti vitabu vya Mwenyezi Mungu vyote viliteremshwa Mwezi wa Ramadhan Adamu, Nuhu, Ibrahimu, Musa na manabii wote hawautambui mwezi Ramadhan wala mwe Ashuraa ambao ndiyo mwezi Wa Ramadhan kwa sasa
Nakuamini sana shekhe wangu
Mashallah ustaz
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh .Sheikh,ttunatoaa vp ?.
Masha Allah🙏🙏🙏
Unajua unachokifanya na kukisema kuwa sio kweli ni uongo na kuwapeleka watu wa Mungu kuzimu ninakushuhudia leo acha kumtumikia shetani. Mpokee BWANA YESU LEO uokoke na hasira ya MUNGU inayokuja
Sihsi yhliko military?.
Asalam alykum warahmatulahi wabarakatuh..Hii ndio M.pesa ama mm nko Saudia lkn pesa yngu ni Kenya?
+255710800700 ni tigo pesa
Hv hakuna dua ya kuombea watt wae na ufahamu mkubwa darasani
Dua hii ya fatar uljasadi inafanyika lini na inafanyika mkoa gani?
Mwamposa wa Waislamu 😂😂😂
Hakuna dua ya kumuomba mungu shetani asifunguliwe Tena?
Mbn hujaja kigambn
Asalam alykum shekhe nina shida nawew shekhe umekuja kwenye ndoto zangu zaid ya mara tatu nataman nkutane nawewe nkueleze wew kama wewe
2:11 2:14 2:14 2:14 2:15 2:15
0:51
Nyinyi nimatapeli
Yaani we mganga miti shamba Mwongo mkubwa!! Eti vitabu vya Mwenyezi Mungu vyote viliteremshwa Mwezi wa Ramadhan Adamu, Nuhu, Ibrahimu, Musa na manabii wote hawautambui mwezi Ramadhan wala mwe Ashuraa ambao ndiyo mwezi Wa Ramadhan kwa sasa
Hivi unafikiri ma nabbi wa kabla ya MUHAMAD walikuwa hawaswaumu
N'a jambo lingine elewa kwamba RAMADHANI ni mwezi kama miezi mingine,
Asante sana shekh allah akulipe kheri usichoke kutupa vitu vizuri
Kabisa sheikh umesema ukweli.Allah akulipe kila la heri.tunakuamini mnooooo
Endelea kutupa madini
Tatizo msg hujibu.
Wewe wataka pesa hauna lolotte wala dini haikuhusu
Dahh😂😂😂😂😂😂😂