.......so kwmba haiwezekn kupik biriani na mchl wa kawaida inawezekn sana tu na inakua tamu hatri..sema tu lbda ule muonekn wa mchele hautakua pow coz pishori unakua mrfu afu unachambuk vizur...ila yote na yote ni upishi wako tu ila mchele wa kawaida unawezekn sana tu...ukisem haiwezekn kun sehm zingne basmt hauptkn na mtu anaanglia kipnd anatmn kupik birian anakusikia unasem mchel wa kawaid hauwezkn unamktisha tamaa...mpishi mzur lazim awe na option...ila unapik vizur chef keep it up...
Ungekuwa unatuonesha jamanivitu kama hivoNdani ya Sufuria unatuonesha inakuwaje na pia Hiyo rangiwenngine tutaweka rangiza Mikeka tuoneshe chupayake Nilitamani kuonandani ya sufuriajamani aweew navoipenda bilianiNaje kama sina Nazi naweka nini jamanii
.......so kwmba haiwezekn kupik biriani na mchl wa kawaida inawezekn sana tu na inakua tamu hatri..sema tu lbda ule muonekn wa mchele hautakua pow coz pishori unakua mrfu afu unachambuk vizur...ila yote na yote ni upishi wako tu ila mchele wa kawaida unawezekn sana tu...ukisem haiwezekn kun sehm zingne basmt hauptkn na mtu anaanglia kipnd anatmn kupik birian anakusikia unasem mchel wa kawaid hauwezkn unamktisha tamaa...mpishi mzur lazim awe na option...ila unapik vizur chef keep it up...
....alaf da zama mbona anaye shuti hashut kweny sufuria tuone jmni ye anashut tu mpishii ndo nini..tunatakiwa tuone chakul ndni ya sufuria kinavokua...mnatutesa jmni watazamaji sie...
Kwel asee aoneshe vinavyopikwa
Mashallah, tapima leo kupika Biriani 👌👌👌
Hata Michele was kawaida unaweza upika ukipata grade one, na mtamusana
manke sijaelew ivo vitu ulivo weka
Chef himself
Niceeee
Unagonga sufuria sana mpishi
Shukran chef 👨🍳 fundi wa jiko fundi wa taifa 😘😘😘😘
Chef nimekuelewa
Kwaio iyo ndo birian..
Je unaweza ukapalilia kwa juu na makaa ya moto
Mimi ninachojua biliani ni losti ndio inaitwa biliani ila uwo wali ni raisi kupika so why upike walitupu kaka bila kutuonyesha mchuzi wake
Thanks
Nan mwingine kaona mfuniko wa sufuria hauna mshikio cheaf anaungua mkono
Hahahaha
👏👏👏👏👏
Naomba kuliza ainagani ya mchele unaopika biriani au unaitwaje huo mchele
Kwaiyo hiyo ndio biyani👀👀
Sem hpo unakoroga kam mboga mweeeee ila hii birian ni rahis nshaipenda
Mbona Amepika tu wali peke yake tunaomba aonyehe jinsi ya kupika kuku au nyama kulia huo wali wa biryan
Ungekuwa unatuonesha jamanivitu kama hivoNdani ya Sufuria unatuonesha inakuwaje na pia Hiyo rangiwenngine tutaweka rangiza Mikeka tuoneshe chupayake Nilitamani kuonandani ya sufuriajamani aweew navoipenda bilianiNaje kama sina Nazi naweka nini jamanii
kennedy wanjara 🤣🤣🤣eti rangi ya mkeka
@@halimamusa2797 😂😂😂Waanikweli
Uko vizuri, lakini camera ipo sehemu moja napenda kuona ndani ya sufuria au pale unapochanganya rangi vile ukipindua inakuwa
Iv unatakiwa ukauke kabisa
Mimi najua biriani ni mchuzi ,mbona hapo ni wali tupu
ayo madude uloweka km ya rngi yakijani ni kit gn
hakupika sosi ya birian
Zamarad mwambie kuna huyu Nasma Farms LTD kaz yake kulima alafu yeye atakua anapika au kaesha oa jàmàñ
Hakuna mpishi hapo
Kwanini?
Pia ukichuja maji Kam Hun tuwi la nazi utatumia nn au
Huyo mtu wa camera ana shida gani😂
Yaaani... Hata baada ya chakula kupakuliwa, anatuonesha mpishi tuuuu😂
Wali wa nazi huo sio biriani
can anyone tell me :mudalasini, hiriki, in english pls?
Cardamom is iliki
Cinnamon is mdalasin
Mudalasini =CINNAMON
Hiriki=CARDAMOM in English 👍
@@angelbwija9547 thank u dear
Jina la baba lenyew gumu sa ushindwe kujua kiswahili nyarukundo ni wa wasukuma
manke sijaelew ivo vitu ulivo weka