@Kambi Shabani apo umenena ukweli mtupu.Kwanza kuzua vurugu na kumgombania mtu aliyekuacha ni kama kujidhalilisha na kujishusha hadhi na mwisho wa cku unaonekana uko desperate kula bata mpk kuku aone wivu
@Suzie Jamila ya nn hayo yote MUNGU anamalipo yake.Mi nmejifunza kumuachia MUNGU mambo maana kulipa kisasi ni kama kujidhalilisha na kujishusha hadhi ila yupo MUNGU wakutulipia vizazi,mm mwenyewe nshamuona akinilipia.Malipo hua ni papa hapa duniani,akhera inakwenda hesabu tuuu
Ebitoke umejua kunifurahisha natamani nikutafutie mwalimu wa ngumi ili uzidi kuwa ngumi jiwe msuli nyau ,ili uzidi kutufundishia huyu mkoma saizi ya mwisho a.k.a wakulelewa
😂😂😂😂😂😂jmn huhuu aibu aloipata tuu mlela inatosha tena ungeanza na yy maana huyo Dada kwa upande mwingne na yy alitongozwa tuu kama ww huwez jua aliambiwa nn juu yako ungechanachana viwembe li uso la mlela
Leo nimekupenda sana ebitoke umenikosha balaaaa huo moto sio wa nchi hii 😂😂😂
Khadeja Rajab haaaahaaaaaa
Ebitoke ana nguvu angekuvimbixha sura wew dada
Wawoooooooooooh mlela lako ilo upo nyonyooooo👌👌👌👌👌
Dollar 500 si million huko.... ebooooo hapo si zmetoka nat tu 😂😂😂
Hilo limlela HalijielewI Kbsa
Mlela utaerewa tuu dunia inavyoenda😁😁
Safii akalipe huyo mlela amemtapel sana ebitoke hela zake,akome kuzalilisha wanawake.
Duu huo siyo ustaarabu hata kidogo ungeenda kufanya fujo nyumbani kwake, shule nayo inasaidia jamani.
safi sana acha mlela alipe
Ebitoke Leo vidio live sio cha uongo hongera.umua swahiba nywele ya mchina
Alipe mlela uyo si umekula ela za ebi nyingi alipe apo
We nae i😂😂😂
Ndio alipe huyo tapeli wamapenzi
Hemed anavoshangaa😂😂😂😂jmn
Aya ss dola mia 500 mkanunue meza ya watu ss mastaaa mnamapya kila kukicha 😂😂😂😂😂😂😂
Uyo mlela Kajua kwamba ana makosa kasimama wala haamulii chochote.
Safii sana akome uyoo mbwaaa naalipe ivo vitu paka uyooo
Acha tamaa meza hyo sio milioni miatano!
Anawazim dola miatano nawakati misumal mia tano fundi Mia tano wamlipa tayar elfu moja dola miatano yann nyau ww mwambie mlela alipe asingekuwa yy ebi angekuja hapo
Umalaya kazi
Dem wa mlela anachezea kipigo kutoka ebi mlela kasimama tyu afu hapo uyo dem akitoka hapo mlela akimwambia baby pole nae atajibu asante baby🤣🤣🤣🤣🤣🤣
yani ebitoke ungeenda na viwembe uanze na Yusuf mlela then demu
Ebutoke alipe hapo alikuwa anatafuta kiki
Sf sn alipe yy uyo mwanaume muharibufu sf sana ebitoke myue hasara kila ck
Mlela alipe yeye ndio alieyataka
@@kambishabani3296 sasa wew hujamsikia huy meneja alichosem mlipaji ni mlela si ebitok
@Kambi Shabani apo umenena ukweli mtupu.Kwanza kuzua vurugu na kumgombania mtu aliyekuacha ni kama kujidhalilisha na kujishusha hadhi na mwisho wa cku unaonekana uko desperate kula bata mpk kuku aone wivu
hiyo umbwa mlela alipe na hiyo malaya yake ningekuwa ebotoke na muchoma na acid
@Suzie Jamila ya nn hayo yote MUNGU anamalipo yake.Mi nmejifunza kumuachia MUNGU mambo maana kulipa kisasi ni kama kujidhalilisha na kujishusha hadhi ila yupo MUNGU wakutulipia vizazi,mm mwenyewe nshamuona akinilipia.Malipo hua ni papa hapa duniani,akhera inakwenda hesabu tuuu
Yaan mawazo yko km ya kwngu💪💪.. ningemuonesha show mammaeeeee😏😏😢😔..
Anacheza na mioyo na hisia mpuuz sana uyu
Safi sana alipo mpuunzi mlela
Ebi hausiki huyo play boy ndio alipe na huyo mly wake 👆
Garama inazidi nauli ya kwenda Marekani daaah
Shenzi tp ukipenda kulelewa faida ndio hiyo mlela kibenteni,juma lokole uko wp?
Nataka kumsikia walai
🤣🤣😀😂 leo lokole apate nini
Aje amchambe tuuh huyu naalipe tuuh
Mlela upo meza ilohalibika dora 500 sawa na milion 1 na laki 3 sasa utakata mapumbu yako ili ulipe😏😏😏
Jaklini Faustini amchune huyo alie nae ili alipe sababu kazoea kuchuna😀😀😀
Ebitoke umejua kunifurahisha natamani nikutafutie mwalimu wa ngumi ili uzidi kuwa ngumi jiwe msuli nyau ,ili uzidi kutufundishia huyu mkoma saizi ya mwisho a.k.a wakulelewa
safi sana ndo alipe ss
HAlina hata hya huyo mlela jitu zima hvyoo
wale wa kusoma comments tujuane hapa😂😂Ebii hongera sana lazima wakomeshwe maplay boy😂😂
Daaah maisha haya jamani duuuuuuh
Yani wabongo nyoko kweli eti Dollar 500 hike kuwa Euro kwa Dollar 500 nikama Euro 454 🤣😂🤣😂🤣😂😂😂🤣😂😂😂🤣😂🤣😂@bossholland 😂😂🤣😂🤣😂😂
Ety dola 500 wabongo kwa kuongeza zero
🤣🤣🤣🤣🤣🇬🇧
😂😂😂
😁😁😁😁
Safi sana Mlela anatakiwa kulipa
@@kambishabani3296 kama cyo Mlela hayo yote yangetoka wap
@@kambishabani3296 huo ni ufujaji wa wa mwanamke
@@kambishabani3296 kala vyawatu achaalipe
@@kambishabani3296 apo kapata funzo, mwache amfundishe kwanza adabu
Ebi we noma angevunjika uyo Dada na ayo maskonkiko yake
hela za ebitoke zinarudi kihivyooo yan
Kweli papa ume ongeya vizuri
Akulipe
Hahaha hiii nikik bbn
Mlela alipe bwege huyo mshamba wa mapenz😏
Dola 500 ni milioni moja na laki 3😂😂😂😂 mlipe pumbavu
Meza ile $5oo hiiii hatari
Jmn lakooo utalipa mlela n kama mahari hiyo ya ebitoke
Ndugu yangu nifundi walete aka chomee hapo wanampa teni tu
Mlela alipe bilioni kabisa mpuuzi huyo anajifanya kijogoo msenzi yuooooooo
Wao dollar 500,ml 1 na lk 3?Au nimesikia vibaya mm
Huyo meneja nae ache tama hicho kimeza kimebanduka tu anataka milioni
Ona sasa unatakiwa kulipa dola mia 500 kisa kumgombania mwanaume ambae hajakuoa angekuoa je sijui ingekuwaje😏
Mlela ndo aliyefanya booking! Kwhyo risk ni yake,
Mlela ndo mlipaji
Huhuhuu akome
Loveness Richard mlela analipa sio ebitoke
Kwa kweli malipo n hapa hapa duniani
Mmmh motto
Wahenga walisema
😂😂 dola mia 500 duh hatari hili nalo bonge la kiki
Aliyeona ebitoki anamzidi nguvu baunsa mkono juu hahaha
Hahahaaa #Mlela malizana nao hao
Mlela inakaa ulimpiga ebitoke miti ya adabu ulimkuna vizuri 😂😂😂 mpaka akachizi alafu vilenikadogo dogo ulikakuna vizuri
Kiki zitawaweka mahara pabaya shwain
Nimependa zaid ila naomba haongezewe Dolla 500 zingne ziwe dolla 1000 naona iyo ni ndogo mavivu wakufikiri hao
Hahaha kma nimeona ebitoke kja na broo wake anataka amkute mlela mlela anamnyooshea kidole km anataka wazichape
Alipe mlela ndiochazo
Muandishi jaribu kubalance habar
Mulla in mbwa
Huyo mwanaume alipe
Five hundreds USA dolar?duuu....kwan wametafuna meza au ni nati tu zimefunguka?waigizaj wamekuj kutengeneza kiki,manager wa ukumbi nae kiki
😂😂😂
Mlela hata kuamulizia wanaume bwana
Mlela muoga
hiyo meza si wamtafuta fundi tu ywafix hhhhh
dollar 500 sio mcheza duh!!
😂😂😂😂ebitoke ana nguvu lakini hahaha
Chezea wahaya
😆😆😆😆
Huyo meza sio 500.
😂😂😂😂😂😂jmn huhuu aibu aloipata tuu mlela inatosha tena ungeanza na yy maana huyo Dada kwa upande mwingne na yy alitongozwa tuu kama ww huwez jua aliambiwa nn juu yako ungechanachana viwembe li uso la mlela
Mh makubwa
Kumamake ibitoke ugekwenda na yai viza hapo ukapiga nalo LA USO nyoko huyo
👈😃👈👈👈👆👆👆👆
Alipe huyomlela saf sana
Yani waandishi wa habar ndiyo munakuza haya na badae munajiweka pemben maku nyinyi
Tena wachochezi wakubakubwa
Hemedi ashangaa kistaa😀😀😀😀😀 hataki kutoka jasho
Omantel Omantel hahahahahaha kabisaaa
alipe mlela ili aone uchungu si kala hela za mwenzie
Mungewaacha kidogo wakafundishana
Tatizo mlela ajitambui alipeyeye
Uwiiii😂🙃🙃
KIKI ZIGINE HAZINA FAIDA
HUYO MLELA ANATIA AIBU SANA.
Wangewaacha 2one mkali nan
Godliva jonathani wamenikire kumtoa ebi
Eb mkali weeee
Hamna meza ya dolla500 hapo we nyonyoveeep
Alipe tuu jamani sokwa uchafuhuo anaoufanya
Hakunaga mapenzi yakugandana hayo ni ya zama za kale pamban ebi temana na huy plyboy
Temana lakin huwez jua labda kamlela kamekula hela ya ebitok ndo maan ana hasira
Vulugu afanye ebipoo yusuph alipe sio sawa
Yeye sindo kachukua iyo hotel
Wao wa hotel wanachokiangalia ni yule aliefanya booking ya ukumbi ayo mengine wao watamalizana wao
Just singing..”majangaa mbona majaangaa😂😂😂😂”
Hizo hela za ebi alizokula zinamtokea puani alipe meza ya watu hahahaa jinga sana
Mlela ndokafanya vurugu hatasio eb
PHD BUTWAHAAAAA KAMALOTE
Kiki iyo
😂😂
Team EBITOKE SAFI!!!
yani ilo ri mlela rijinga saana rimezowea kurerewa lisauti la bure kumbe ri,mario
Mlele utakoma ripa kama jeuri unayo
Nakunya apa akiweza kulipa labda amwobe Ebi amsaidie
@@linahchuwa4506 hahaaaaaaaaaa uwi yani huyukaka sawa nakopo liloisha mafuta
@@aishaawadhimalokimaloki9953 😂😂 kopo la chooni mbna hapo umemstili
Meza dola 500? Rubbish.
Ndio alipe
ua-cam.com/video/4UFLHr1VegM/v-deo.html
Namaana hapa anayelipa hizo dola mia 500 ni nani??
Anastazia Dakho huyo bwana mwenye chachandu mlela
Analipa mlela
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kiki za kijinga hizi
Alipe uyo mlela iyonifu ndisho tosha kwake
wacha agaramie ujinga wake ndio ashike adabu. apo sawa sana maneja. ebi ulifanya poa zako zenye ame kula wacha alipe hapo kwa uharibifu.🙄🙄🙄🙄🙄
Yaani misumari tu $500. Haman Mona WA tz mwapenda kiki
Hahaaaa ebi .aka. toka.mlela.mle rahaaaa.aya lipa sasa.na msisau io kiatu ya red apo chin n dollar mia sita pia 😆😆😆😆wigi dollar gapii?????
Sasa hyo mwanamke wke mpya mlela apo alikuwa ana umhmu gn lbda!