Wacha kudanganya watu wa tanga umepewa mke na chama ruzuku yote chama unakula mwenyewe subiri watu watakuachia chama na family yako ya wamachame wenzako siku nyingi lisu ataondoka
Mimi kila siku nasema huyu mtu hawezi kuhutubia bila ya kutoa suluhisho la namna gani wao wanaweza kutoa watu katika hayo matatizo wanayoyahubiri kila siku bila ya mafanikio kwa sababu kiu yao kubwa ni kuona kuwa ccm inapokwadaraka na cdm naukiangalia utaona kuwa ni wivu tu hakuna la maana wanalolihubiria waache ukuda .
Wacha kudanganya watu wa tanga umepewa mke na chama ruzuku yote chama unakula mwenyewe subiri watu watakuachia chama na family yako ya wamachame wenzako siku nyingi lisu ataondoka
Tujitambue kama wakenya tuandamane waraabu waachane na bandari zetu
Kwenu Moshi Urisini Mlima Kilimanjaro Hakuna Bandari
Mbona wamama nyuso nizamasha namshangao kwa nkurunziza??🤣🤣
Onyesha mfano wa ulichokifanya kwenye Chadema basi tuige mfano wewe Mwenyekiti wa Chama wa Milele
Wewe DJ acha uongo ruzuku unapewa Kila mwezi sio Kodi yetu??
Ccm hii inatutesa sana elimu hovyo, ajira hakuna, elimu mbovu, matozo mengi, Tuikatae ndani ya sanduku la kura 7:19
Wajinga ninyi sio mupogane ikataeni ccm. Tuanze upya
Mmmmh mbowe kwahiyo nasi tupigane
Mbowe karibu Kanda ya KUSINI na hsa kwetu Namtumbo na Tunduru
Ooiooo😊
Mwenyekiti wa kudum
Mimi kila siku nasema huyu mtu hawezi kuhutubia bila ya kutoa suluhisho la namna gani wao wanaweza kutoa watu katika hayo matatizo wanayoyahubiri kila siku bila ya mafanikio kwa sababu kiu yao kubwa ni kuona kuwa ccm inapokwadaraka na cdm naukiangalia utaona kuwa ni wivu tu hakuna la maana wanalolihubiria waache ukuda .
Wewe ni zigo linalo subiri kuja kusombwa na mafuliko😂
WEWE NDIO CHANZO CHA WANACHA KUTOKA UMEKAA MNA KWENYE WENYEKITI WAACHIE NA WENZIO HICHO KIMEKUWA CHAMA CHA CHA FAMILIA
Kwahiyo Uwenyekiti wake ndio sababu ya mafisadi na majizi wenu kuuza Rasilimali za Nchi yetu au nawe ni imbecilization ulie tengezwa na ccm!
Kwahiyo wewe utashusha
Huna jipya wewe wewe mwenyewe nidikteta kwenye chama chako
Ya kuambia changanya na zako, acha kuwa zigo na imbecilization wewe!