MUUMINI AIBUKA! "Nimenyanyasika Mno Kwenye NDOA, Nakata Mauno Sana"
Вставка
- Опубліковано 29 сер 2024
- MUUMINI AIBUKA! "Nimenyanyasika Mno Kwenye NDOA, Nakata Mauno Sana"
Mwanamziki Mkongwe wa Dansi nchini Mwijuma Muumini amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusiana na maisha yake ya ndoa na changamoto za kunyang'anywa mke wake.
Mwijuma ametangaza rasmi kurudi katika Muziki ambapo amedai kuwa mashabiki wakae mkao wa kula kwani katika kazi zake hakuwahi kukosea.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY: bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltv... - Розваги
Nampenda sna uyu mumini juma
Mungu atakupa Marshall matefu Kaka yangu
Dah still you looking good bro..nimeimba sana nyimbo zako since 2001 ,.Fanya urudi
Asante muumin nakukubali sana swahiba.
Ally choki,bad bakule,waziri sonyo,Banza stone,Muumin Mwinjuma,Papii kocha,ndanda kosovo na wengine hii kizazi ilikua shida mziki wa dance ukiacha wale wazee wa msondo na skinde
Kweli kwa kuimba muumini unaweza kuimba sana mungu akusaidie akusimamie
Pole, sana uyo mbunge alikua nani? nimlaani tena.
Daah Wejama Unaongea Ukweli Sana Kiukweli Mana Wangekuwa Wengine Hapo Ataulaya Wangesema Wameenda Nakufanya Biashara Rkn Ww Unanyoosha Ukweli Halisi Hongera Sana Aisee Pambana Utaludi Blazaa
Hongera sana kaka ulikuwa unajua
Nilikua naipenda sana mkilima kala mbegu,mungu akusimamie,usikate tama
"Ndani kwetu ameingia nyambizi tujihadhari tutauawaa"....... daah ee bhna huyu jamaa namemkumbuka sana noumaa
Francis Mkenda hicho kibao kilikua kikali sana henzi hizo
Good good goood 🖐🏽🖐🏽🖐🏽🖐🏽🖐🏽
Kiukweli mimi ni shabiki wako hadi naumwa nikisikia nyimbo zako kama kisiki cha mpingo ,mgumba, tunda special na nyimbo zako nyiingi na nilijua haupo duniani but utainuka kamanda tuko pamoja nafurahia sana kukusikia Kaka 💪💪💪🙏
Kaka mwijuma Mimi ni kijana wa miaka 35 sasa lkn nakukumbuka sana kwa wimbo wako mkulima kala mbegu daaaa kaka ludi tuko na wewe brother
Amani Kuntamya kocha dunia
Kocha wa dunia
Hakika ww ni msanii mkubwa uko vizuri sana kama walikuroga bac dawa zawa hazina nguvu
Nampenda mumini kuliko maelezo, ludi jamaa yetu.
Mi nadhani ungeachana na bendi,fanya Kama solo artist...toa single zako,mambo yatakaa sawa
Hii sawa kabisa
Upo sahihi
Pamoja sana
Tatizo muumini nyinyi mukianza kuinuka tu munaanza kuwatukana wanao wainua. 😊😊chuma yenu
Huyu sio Mkongwe yeye bado kijana sana ila amejipoteza mwenyewe
Jamani tunda .mgumba .rudi kwenye game kaka
Khaaaa zamani sana ila tam
safi sana broo umekuwa mkweli ingekuwa wenzetu waleee ungeskia sasa hiv nafocus kwenye biashara. tusubiri mzik mzuri sooon
Zuber Salum nitumie ya kwako nitakupigia bro
Duh we jamaa nakukubali sana aiseee frash yangu haiwezi kosa wimbo wako kwakweli
Pamabana shekh wangu uko vizur sana kama Dada wanpenda kaninunulie zeze
Umenikumbusha miaka 30 iliyopita tukiwa wote Butiama,komaa usikate tamaa
Duuuu jamaa kapotea nilipenda Sana nyimbo zake
Nimempenda Sana mwandishi,,unauliza vitu unavyovijua..big up
Nilichoelewa
Huu ni ubao na tuusome vizuri.
Come back please bro hichi ni kipaji ambacho tulikimiss mno
👍
Shemu wetu wa tanga sada saleheee mtt wa chumbageniii💃💃💃💃enz hairud jmn rudi shemu wetu wa zaman wa mkoa wa tanga
RUKIA Mohammed 😁😁😁
Inaitwaje hiyo nyimbo
Nyie wanawake watanga ndiyo mlianza kusababisha kuyumba kwa muumini hasa huyo sada aligeuka kuwa mwiba kwa huyu jamaa.
@@georgekimasa7393 🤣🤣🤣tatizo muumin alikurupuka kumuoa yule sada salehe mtt wa chumbageniii💃💃ndio maana ndoa Yao haikudumu
Ujafulia bwana, omba uzima tu. tunakukubali sana.
Amtafute mzee yusuf warudi kwenye gem
Haaaa Muumini!!! Ambayo badala ya ambaye!¡!!! umeniangusha,Ila nakukubali Sana katika utunzi na uimbaji
Nilipo kua mdogo,,,😄😄😃😄😃😄😄😄😄😄😄😄mle mle baba lao, karibu sana, tuna hamu na wewe sana.
Utasimama tu Kijana usikate tamaa kaza buti Mungu atakusaidia.
Steven Steve hiyo ni kweli kaka! Bidii, jitiada na nidhamu ya mtu ndo mafanyikio yake!
Nakukubali sana
Umejichekesha mno..eti umefulia..🤣🤣🤣bora umekubali
Jomaniii nimekukuka sanaa toka juzi nIsikiliza nyimbo ya tunda
Nyimbo zako zilikuwa tamu sana mwe tumezicheza sana hasa nyambizi
Bora umerudi utukumbushiee mikaa
Mzaramo una maneno wewe!
" Nilipokuwa mdogo mwinjuma mm , nilikuwa sielewi Nini maana ya mapenzi " huyu aliteka dunia aisee
Global TV ambieni Muumini namtafuta.
Mi shabiki yako Muumini tunasubiri hiyo Album
Ebabaaa bado upoo sanaaaaa kochaaa
Aixee axeee mwinjuma mumini hatari sanaaaa cntakusahau kamwe maana umefanya makubwa kwenye mziki wa dance nakuheshimu mm shabiki yako. ...kimuziki ulimpeleka puta Ali choki had nilkuw nafurah. ..rudìiiiiii kweny game
Yumekumic walah ludi kwnye gem
Kocha wa kitongoji duuh umetisha fundi wa sauti bongo
Kaka mkubwa. Dah missing much
🤗
mzee wa zing zong
Mmh
Maisha ni msongamano wa tabu nyingi sanaa zilichanganyika na chembe ndogo sana za raha ambazo haziwezi kuyeyukaa aah Yusuph Mmbwana alisema😀😀😀 wahenga mnakumbuka hii mistari ya Muumin na bend yake
Francis Mkenda 😁😁😁😁hata sisi tuliozaliwa 2000 mnatutenga
Francis Mkenda ......Ukila Leo wali kuku.....usisherehekee ....chemsha bongo ujue kesho utapata VIP....mstari wa badi bakule huo
Duuh mbona mmekua kijana zaidi kweli kafulia au kaamua? Hee kumbe me mkubwa Miaka 18 iliyopita? 😳😳😳😳😳
Ukipiga mzki wa bend kiingilio bia apo lazima utapotea epuka kupiga muziki kiingilio bia.
Rudi kama zamani tafadhali.Tumekumiss tumekosa mikasi mingi na sauti iliyopakwa mafuta
Mtangazaji jiongeze jitume utafika mbali sana. Tunategemea ufanye presentations, voice over kwenye documentaries na nipe program yako ambayo itakuwa identity yako. Unafaa utangazie mashirika makubwa makubwa kama DW, BBC n.k
Daaah,hivi huyu jamaa ataweza kweli kutunga Mashairi ya kututoa machozi?
Sema
Hahahahaaaaaa😂😂😂😂😂😂 Rapa huyo noma
Kila la heri kocha wa kawaida inabidi ukaze huu usawa sio
Usijishushe bwana mwinyijuma wewe ni mwanamziki mkubwa, sema mziki wenu umekutana na changamoto za muda mfupi za promotion kwenye vyombo vya habari lakini washabiki wa dansi bado tupo na tunaimani iko siku dansi itarudi tu kwa uwezo wa Allah
Kwel
Rudi baba na utarudi tu kwenye ukocha kama papii kocha
Media za bongo zinaua wasanii wa kweli zinawabeba vilaza kwa ajili ya maslai yao,na wewe mtangazaji jifunze kuuliza maswali ya msingi habari za wake wa mumini ni mambo yake binafsi, sis tunataka kujua kuhusu muziki wa dans na masuala yake ya sanaa na kwa nn muzik wa dans umepotea,🙄
Kabisa yani wala sio uongo
Muumini hebu mrudie yule mtaalamu wa bagamoyo ambae mliahidiana lakini ww ulikiuka makubaliano nae alijitokeza ktk vyombo vya habari kua ww kama hutarudi ktk makubaliano huo utakua mwisho wa ustaa wako watanzania tulimpuuza huyo mtu lakini sasa tunaona yaliosemwa yanajionyesha sasa hebu nenda katimize ahadi urudi kwenye ustaa
Mambo hayo kaulize ustawi wa jamii
Unge tubu tu miaka 20 sio kidogo kaka
hapo.kwa sumuni.safi.mkongwe huyo
Sasa unawapenda kweli,lakini sasa wanakukomesha,sio kila kizuri unacho kiona kizurii sio kinafaa kwa matumizi.
Zile nyimbo zote za kwako zirudie upya bado zipo moto.
Dah hazeeki huyu jamaa
Huyu sio video ža ngono Aližosingižiw ngwajima mbona kafanana
Rudi kaka kipaji unacho cha kutosha tunakumiss
Muumin nakukubal ninandoto one day tuonane
Bora hata aliondoka maana atakuwa amekuepushia maradhi
Muumini mwinjuma ama umepotea mpaka tumekusahau du jamani
Nice
Wapi mzee wa jamani tundaaa
Wapi mzee wa jamani tundaa
Upo vizr mzee baba
Michele WA mawe upo vzr
Mgumba Sasa amezaa ..mkulima kala mbegu
Bado anaonekana kijana
Rudi swahiba...
Usikate tamaa jipange upya muombe mungu
Ludi mwijuma
Baba Mwalami
😂😂😂😂😂😂😂
Uchawi tu
Acha mambo ya kuimba wewe. Rudi kwa Mola wako, muda bado unao
Othman Haji Mziki ni kipaji na kazi alichopewa na Mola wake, unataka aache mziki ili afanye kazi gani ndugu! Na familia itaishije?
@@constantineclement8990 Afanye kazi nyengine iliyohalalishwa na Mungu wake. Kuimba kumeharamishwa na Mungu wake na kipato chochote kinachotokana na kilichoharamishwa nacho huwa haramu. Mungu wake huyo ndie aliyechukua dhamana ya kumlisha yeye na familia yake. Yeye wajibu wake atafute njia halali tu za kupata riziki yake.
Muumini ni Muislamu, anafahamu niliyoyasema kuwa ndio mafundisho ya Dini yake.
Ukirudi kwenye gemu hakuakikishia akuja kusapoti.
Duuu
E E
Sema ukweli dawa zimeisha nguvu
Hahaha we jamaa Mungu anakuona
Mungu mwema utulie sasa na mke mmoja