nakusubili Kwa ham,naomba pamoja namapungufu yanguuuh oooh napendwaaah hatamkiniachaaaah,siogopi ananiliiindaaah,haujawah kunichokaaaah,ananipendaaah. voko inapanda. wasaliti Niweeengiiih ila yeye hakuniaaachaaah.weeeeh ebu Lete huo wimbo nimeikubali Sana Sana big up Kaz nzur
Kama Unausubiri kwa hamu weka like na comments hapa
❤❤❤❤ yan aukoseagi kak mungu azidi kukutumia zaidi
nakusubili Kwa ham,naomba pamoja namapungufu yanguuuh oooh napendwaaah hatamkiniachaaaah,siogopi ananiliiindaaah,haujawah kunichokaaaah,ananipendaaah. voko inapanda. wasaliti Niweeengiiih ila yeye hakuniaaachaaah.weeeeh ebu Lete huo wimbo nimeikubali Sana Sana big up Kaz nzur
Ubarikiwe
Wimbo mtamu sana you're blessed bro
Good music ❤
Kila atakae like hii comment atakuwa ananikumbusha kwamba natakiwa kurudi hapa tena na tena kumsifu na kumshukuru Mungu ❤😊🎉💃💃💃
Mimi wa pili toka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania wapi like za chilambo weka hapa zote sijawahi. Weka like hapa zote za chilambo
Kaka mkubwa
Nouma zaidi ya Nouma,yaani Kali sana
Kama unaamini unapendwa na mungu gonga likes za kutosha hapaaa
Kama umebarikiwa basi ngonga apa 😢😢😢
Your biggest fan from +254..nasubiri kwa hamu😊
Mie wa tatu kuiona hii wanao mkubari Cholambo tujuane hapa
Nani mwingine anazurura kama mwehu kusubiri hii nyimbo😊❤
Mmmmh 😮 ,tuombe tulale iii nikesho dear
Aaah jamn Ata like moja tu ntakosa kwel
AMEEEN ,naamini ninachakwangu kwa ujumbe huo
Wenye tume survive 2024 ki mungu... taking with us nothing but Godly faith,hope & courage to 2025
Barikiwa na na mungu mtumishi wa mungu zidi kumuabudu mungu hivyo hivyo mkumbuke mungu San ❤❤❤❤
Walter ..walter...walter...nimekuita mara ngapi??? Iv been your biggest supporter since day one ....big up broo
Asante sanaaaaa
Mimi pia sijawahi ona Mungu kama wewe wallahi Mungu ananipenda!! Nyimbo zako hunitia moyo sana walter 💪💪# your biggest fan from +254
Wakwanza like zenu wapendwa
sijawai ona
Jamani nimekimbulia uku chap niusikilize wote😂😂 kumbe bado
Sijawahi ona, imekuwa km remix ya ule wimbo wa sijaona kama wewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe sana mwana wa Mungu
Glory to Glory Mungu wangu hashindwiii
Gonna like hapa kwa ajili ya huu wimbo 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤nakupnda xn Walter mungu azidi kukuweka
Ubarikiwe kaka 🙏
Nice song 🙌🙌🙌
Nakumbali sana utendaji wa kazi wa chilmbao,mimi ni wa kwanza kutoka Congo 🇨🇩, nampenda sana
❤❤❤❤❤❤❤pokea mapenzi kutoka Kenya
Kazi nzuri,my broo,Mungu akubariki
Maisha niya Mungu🙌🙌🙌
Pamoja kaka.... 😊😊
Asante sana kupenda mungu Walter naeatakupenda daima
Mungu Akubaliki nakutakia maisha mema asante Yesu
Sign hapa 👇⬇️ Kama unamkubali Walter Chilambo kuwa mtunzi bora
🔥🔥🔥🔥🔥
Fundi wangu mwalim wangu lolomodo wangu ctochoka kujifunza kwa fundi wangu laiki ako apa my brother 💌💯🔥🔥🔥✈️
Aise nakupenda ndugu yangu. Salamu kutoka Nairobi.
Dah kipaji chako kikubwa sana, Mungu azidi kukupaisha viwango vya juu
Mimi na Mungu tunajambo letu💪🙏🙌 God bless you bro
@walterchilambo ni fanye je ili Siku moja ni ku one ata uso tu. Ndito yangu ni kwamba Siku moja ni imbe kama wewe.
Amazing song 🎶 😢 glory be to God🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼🙏
Powa sana uko vizuri sana
sasa kwanini tusisikilze gospel biti nzuri maneno mazuri good work done by you
Sijawahi ona Mungu kama wewe🎉
Ngoma kalii snaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
This song is very massive full of God`s Word, kama wewe ni msomaji wa Bible, This song is full of biblical verses... GOD BLESS YOU MAN OF JESUS
Bonge la wimbo binafsi nimebarikiwa sana sijawahi ona Mungu kama wewe! Mungu wa namna hii
Yes the Marioo vibe in praise...God bless you MOG.I love the song🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umetisha Sana 👏
Broo!! Unajua sana
Nakupenda sana walter chilambo hakika unanikumbusha umuhimu wa Mungu kwangu
Amen Mungu akubaliki kaka nakubali🙏🙏🙏
Kazin yako ni nzur bro God bless you
Kazi nzuri anko wa Samrina Mungu aendelea kubariki kazi zako
Jah Bless Bro,Namuona marioo kwa sauti yako wenda nayee atapata neema ya kuimba injili siku zijazo
Baba unajuwa heshima yako 10000
Hivihivi nilivyo Mungu anAnipenda
Kazi nzuri bro... Mungu anakupenda. More grace
🎉🎉🎉🎉🎉Halleluyah Amen...sijawai ona mimj
akisema nakubariki hakuna wa kuzuia🔥
Nyimbo nzuri tumeipokea vyema hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Love you so much its my first time watching ur music and am so blessed.Ur music is such a blessing from kenya
Huu ujumbe wako umenifanya nikosane na majirani sababu ñimeupiga sku tatu mfululizo bila kubadilisha nyimbo nyingne Ubarikiwe Sana mtumishi
Nimeipenda,kazi safi sana,mungu akuongezee
Kaka umetisha sana 🔥🔥🔥🔥
Unatuchelewesha sasa
Wimbo wa baraka sana
wakwanza Leo naombeni 20 likes zangu 🙏🏼🙏🏼📖📖🙏🏼🔥🔥🔥 God bless you my brother
Ubarikiwe bro
Napend kaz zako♥️♥️♥️
Is a enought
Sijawahi ona
Walter Nyimbo zako huaga za nitia moyo .....me nachekwa huku mtaani kwa sababu me ni mrefu ...najua mungu ataniheshimisha siku moja❤😊
@walter chilambo songs always on 🔥..my favourite
Love music the best 🇹🇿
Kakakaaaaa
Nakukubali 100%
Sijawah ona Mungu kama wewe 😊
nakosaje ujasili ndani nimebeba mtu wa maana 😀
Nyimbo flan hiv nice gospel and inspirational song
Brother unajua hundred percent
I love it ❤
Asante sana for the english translation🙏
Mungu akubariki🙏
MUNGU akubariki sana kakaaa,,, hakika sijawahi ona
Mungu ana nipend
Sijaumbwa kwa bahati mbaya ❤❤❤
Walter giving the Marioo vibes ♥️😌
I'm so excited Mtu wa Mungu. Release it soon
Kaka ulisema nitafute 20 uniagizie tishet Sasa nimepata pesa unasema kigoma nimbari auagizi kweli sijapenda
I really like your music God bless you
Walter chilambo ni mmoja tu
❤❤ makopa kopa kwako my brother God bless you
Be blessed mtumishi wa Mungu🙏
KIGALI,RWANDA🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nice song I like ut❤❤❤
Kweli kabisa mungu ananipenda❤
Mungu wangu ananipenda sanaaaaa 🙏
Mungu akubariki sana I do love your songs broo
This is a top notch I can't stop repeating listening to this song again and again good work
Dear God its me again 🙏
Huyu ndye walter Safi sana bro
Mungu Akupe Maisha Marefu🤝
Nice songs ❤❤❤🎉🎉
Feeling so lonely 😒doesn't mean ur alone 😇😇...GOD is with u all the time🙏🙏🙏🙏🙏
Dacord brother 🎉🎉🎉