TAZAMA WAANDAMANAJI WALIVYOPIGWA VIRUNGU na KUMWAGIWA MAJI ya KUWASHA MBELE ya RAIS SAMIA - NDUKI!
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- TAZAMA WAANDAMANAJI WALIVYOPIGWA VIRUNGU na KUMWAGIWA MAJI ya KUWASHA MBELE ya RAIS SAMIA - NDUKI!
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hakuna haki hapo polisi tendeni haki hayo sio maonyesho yanayopaswa kuonyeshwa kwa wananchi
Nyumbani kwa je!
Kinachotakiwa kuwasikiliza wanchi na sio kuwapiga mabom io sio sawa
kwel kabisa wso wangeacha waje wawasikilize kero zao warud🎉🎉
Wananchi wenye maboksi mikononi mnawashambuliaje kwa virungu na nguvu zote hizo?
Mfano huu ni wa aibu na ni dhahiri ,jeshi la polisi linawaonea wananchi, waoandamana kwa amani bila kuleta vurugu.
Mentality dhahiri ya kidikteta.
Nchi hii viongoz akili zao ndg xana
Sio sawa!!!
Usiwafanye Watanzania kuwa ni wajinga Kam ulivyozoea. Hayo ni maigizo, subiri uhalisia.
Tanzania nchi yangu, R.I.P MAGUFURI
Mh rais oneshe hili sio zuri kwa vile unashabihisha haki za wananch na amani
Tunahitaji kufahamu madhara yanayotokana na mabomu ya machozi hayo siyo tu kuishia kupiga mabomu
Sio kila muandamanaji analeta fujo Bali wanadai haki zao
Kwa hiyo munawatisha waliotangaza maandamano!
Si kawatidhia tu, kawakejeli waliofungwa, tekwa, potezwa, kimbia, vamiwa . Moja kwa moja wote Chadema waliofungwa kwa kuonewa akiwemo Mbowe. Ni kama aliwahurumia na inawabidi wafyate mikia yao. Moja kwa moja imemlenga Lisu , ambaye sasa ni kilema aliyetaka kuuawa kwa kuikosoa serikali. Lema aliyekimbia. Mnyika. Jitafakari sana kama wewe ni mmoja wa hao, raisi anawaelekeza polisi wawashughulikie hadharani kama amiri jeshi. Namngojea ndugu Slaa, Raisi wa TLS, Lisu na Mbowe na maasisi wa makanisa nini watakijibu. Nchi haiko salama. Ni tete sana haijawahi tokea kibiriti kinawashwa dhidi ya raia.
Mungu epusha haya yote. Juzi mapadre waliombea heri, umoja, amani. Leo ni kiberiti.
Samia halipi mishahara bali wananchi ndo wanaowapa mishahara leo mnawapiga hmko sawa kiakili
Mungu tunusuru tunapoelekea Tanzania siko hata hao wanawake wenzangu wameacha watoto huko Mwisho mpigwe bure 😢😢
Kwa huu upumbavu wa polisi w2 nimewadharau ana
Jesh lina siraha wananchi hawana tupambane kw ngumi muone
Ndani yenu kupitia kitendo hicho hutumia nafasi hiyo vibaya kwakuwadhuru wananchi na unaposema kuwa mabomu Yana lejesha Amani sio kweli kwani mabomu hayawezi kuleta amani
Raidi umewakisea sana watanzania kwa hili. Hakuna sheria nchini isemayo muwaonee na kuwanyima haki watanzania
Police mnatumiwa vibaya kunyanyasa raia, hamna haki za kibinadam tz .
😂😂😂 yaan tanzania Nia yaajabu sanaa sasahiv wameamua kutoa vitisho kwa waandamani ili waogope
Daa inasikitisha mbere yalaisi watu wanapigwa vilungu Hawa wanai haki kwamujibu yamaneno yao Sasa kwanini laisi anashindwa kusimama nakuawauliza jee hio haki munayo itaka niipi ,mungu asaidie taifa ra tazania
Nikazi ndogo na rahisi cna kuwatuliza hawa pale tu mnapo wasikiliza wanataka nn
MC wa hii kwata hajui kunogesha
😂😂😂 raia wanataka haki zao, wanapokelewa kwa vilungu na mabomu.... ndugu mmoja amewahi kusema jeshi la polisi lipo kwaajili ya watu na mali zao. sasa mwezangu na mimi usiye na mali jeshi gani litakulinda 😅😅😅
Mh kumbe wahitaji haki ndowanaolengwa na virungu na risasi?
Kiukweli ngojatuone
Iko siku
Tanzania mmempoteza raisi makini sana cjui kma tutapata raisi kma magufuli
Hiyo ndio ina maana gani wakuuu😢😢
Hizo kwata mkuje mpigie gen z muone
Kuna fujo au ghasia hapo naomba jibu ..mabox yenye maandishi nakuimba kutaka haki zetu ..ni ghasia kwa wengine sio..
Mbona akili yenu n duni kufikiria!!! waandamanaji ni haki yao kuandamana na mnafaa muwapatie ulizi s kuwapiga bila kuwasikiza hoja zao.
Yaan mupo mnaendelea kupiga propaganda n kutisha watu nyiny ndio mnaovunja katiba y tanzania uchawa tu mwingi
Mbona maisha mazuri Tz hawa wanaandamana na nini??
Mnatuonesha watu wanaandamana kwa amani,wanataka haki zao na wanasema,nyie mnatuonesha mnajipanga kupambana nao,mpaka silaha za moto,,mbona aibu hiii!!!? Mnatuonesha nini,wanasema hawatendewi haki,,amani itarudi kwenu?
Kuna akili kweli hapo...wananchi wamebeba ujumbe wa malalamiko yao..hawana hata fimbo
This is not acceptable at all, waandamanaji kama hawana silaha hakuna haja ya kuwapa
Mnafanyag hivyo afu mnaenda kummalizia
Mbona sasa mnawaachaga wanafia selo
Haya ni maigizo mzee watu wakiwa wechafukwa ni mawe yaani askari wenyewe wanakuwa nao wanajificha
hayo maigizo muda ukifika mnyonge akachoka hapatakalika
hao ni waigizaji wanafanya maonesho kama hamjui
Hawa ni wandamanaji au wafanya fujo?
Kinacho onyeshwa hapo kunamtu anatishiwa nyau
Hamututishi
Kumanisha nini sasa 😅
Ipingwe kwa nguvu zote.
Haya si smbayo tunayataka Tanzania. Hasa kuyaonyesha mbelevya Raisi naye kukaa kimya. Inamaana Samia anabaruki hizi ghasia za polisi. Ni kinyume cha sheria za nchi. Jeshi, ccm na Raisi haya mnayoyaleta na kuyaonyesha ni kinyumr cha katiba yetu na sheria zetu. Polisi inabidi wawe walinzi tu. Loooo
😅😅😅 𝔨𝔴𝔞𝔥𝔦𝔶𝔬 𝔫𝔡𝔦𝔬 𝔴𝔞𝔪𝔢𝔨𝔲𝔧𝔞 𝔫𝔞 𝔥𝔦𝔦 𝔪𝔟𝔦𝔫𝔲 𝔩𝔞𝔷𝔦𝔪𝔞 𝔱𝔲𝔞𝔫𝔡𝔞𝔪𝔞𝔫𝔢😅😅😅
Huondio utawalawamama
Utawala wa mabavu.
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂