HATIMAE BABA KIRUWASHA ATIMIZA AHADI YAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 278

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 3 місяці тому +7

    Mm nimekupenda shekh kwakukubali shekh bachu yale aliyoyasema simaneno yake bali nimaneno ya mashekh masha Allah nimekupenda bure mzee kwakukubali ukweli. ngoja tumsubiri bachu ajekumaliza kazi

    • @muhammadmbaraka4515
      @muhammadmbaraka4515 3 місяці тому

      Huyu Shekh Hana kibri MAA SHAA ALLAAH.. ikimjia haqi anaifuata tofauti na baadhi ya mashekh wengine

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 3 місяці тому

      @@muhammadmbaraka4515 swadakta anajielewa wallah

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 3 місяці тому +11

    Mm katika hili jambo nimemuelewa zaidi sheikh BACHU nasiamamia hapo.
    Kumtumia jini nirahisi zaidi kumtoa MTU ktk tawaqal kwa Allah na ndio njia rahisi yakuzama ktk shirki bila kujua au kwa kujua hasaaa
    Wallah aalam

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i 3 місяці тому +5

    Baba kiriwasha kumbe wale wanao tumia chuma ulete kumbe Ni jini. Subhana Allah ,,,, Yarrab tuhifadhi waja wako na utulinde na hasad na husda na vitimbi vya kiduniya. ,,, amiiiiiin

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 3 місяці тому

      chuma ulete si jini Wacha kuwazulia watakuja kukushtaki mbele ya mungu

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i 3 місяці тому +11

    As-salam alaykum warahmatullah wabarakatu vip hali zenu vipenz vya Allah. Aya tupo tunackiliza

    • @hamisisaidi9525
      @hamisisaidi9525 3 місяці тому

      Waleykum salam warahmatullah wabaraktul

  • @WaziriShabani-ie3nh
    @WaziriShabani-ie3nh 3 місяці тому +6

    Mimi binafsi shekh bachu nimemuelewa bila kigugumiz

  • @jabirinyoni823
    @jabirinyoni823 3 місяці тому +1

    Mashallah, ilmu ni bahari, usilolijua ni sawa na usiku wa giza, nimekuelewa sana babu kiluwasha, nimemuelewa mohamedi bachu kila mmoja kwa anachojua yuko vizuri. Hizi ilmu zipo isipokuwa hatuzijui tuu. Allah atujalie elimu zenye manufaa fiduniya wal akhera

    • @ommymo
      @ommymo 3 місяці тому +1

      Ameen,hainahaja ya kubishana , kila mtu katika hawa ukiangalia kunakitu kimoja muhimu,wamekigusia, KAMA KUMTUMIA KWANJIA YA HALALI NA WASILA ITAKAYO TUMIKA KUMFIKIA YEYE BASI NI HALAL YAFAA, KAMA MAMBO NIYA HARAMU NA NJIA ITAKAYO TUMIKA NI YA HARAMU BASI NIHARAM,

    • @ommymo
      @ommymo 3 місяці тому +2

      Alafu wengi ktk watu wanaenda kulingana na fikra na akilizao, kwakuwa hajazowea hilo basi yye anaona hata sheria imekataza,
      Kwaivo mtu azingatie, kama madhara ni mengi kuliko faida kwake haifai kutumia, kama faida nyingi na njia atakayoitumia niya halal basi yajuzu, asiambiwe ni shirki

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 3 місяці тому +3

    Mashaallaa Allah bariq mwenyenzi mungu akujaze maarifa zaidi na afya njema ili uzidi kutupa elimu, mwenye akili timamu amekuelewa na yule mbugila mbugila hatokuelewa kwa ubishi wa asili yake.

  • @user-qe9pd9zk8v
    @user-qe9pd9zk8v 3 місяці тому +4

    Kutoka kwa Hafswa bint Omari bin Khattwabi- Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- Kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake- Amesema: "Atakayemuendea mpiga ramli akamuuliza kuhusu lolote, akamsadikisha, haitokubaliwa kwake swala yoyote siku arobaini".
    Sahihi - Imepokelewa na Imamu Muslim

  • @suleimansuleiman7947
    @suleimansuleiman7947 2 місяці тому

    Ma shaa Allaah, Allaah akupe wewe na sisi mwisho mwema , Wew ni sheikh wa kwanza kukuona hauna kibri katika elimu hasa yakumujua Allaah, Sheikh bachu kamalize kazi ili watu waelewe zaidi....Allaah awahifadhi masheikh wetu wenye kusimama katika haki tena bila kuws na vibri

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 3 місяці тому +4

    Eti kuna mwanamke ana swahibu jinn
    Kitendo cha jinn kukaa ndani ya mwili wa mwanadamu tayari ameshakufuru
    Iblis ana njia nyingi sana za kumpoteza mwanadamu Allah atuongoze na kutupa mwisho Mwendo

    • @chinguilechinguile1501
      @chinguilechinguile1501 3 місяці тому +2

      Mimi pia najua hivyo.Kitendo cha jinn kukaa kwenye mwili wa mwanadamu anakuwa ameshakufuru.
      Lugha nyepesi ni kwamba hakuna jinn mwema anayefungamana na wanadamu,majini wema wote wanaishi ulimwengu wao wakimuabudu Allah S.A

  • @hawa6052
    @hawa6052 3 місяці тому +8

    Jamani mimi nazingatia qala llahu wa Rasul hayo mengine mmm sitaki kujua

    • @user-wl3qj2fx8u
      @user-wl3qj2fx8u 3 місяці тому

      Utazifahamu hizo aya au hadithi kama hujapewa tafsiri yake Mbona mkikwamas mnakua waongo?

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 місяці тому

      @@user-wl3qj2fx8usheikh umenifurahisha
      Umeongea maneno mazuri

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 місяці тому

      Kwel kabisaa

  • @AllyHussein-so1hr
    @AllyHussein-so1hr 3 місяці тому +2

    Allah S.W. ndiye kutegemewa, kuombwa na kuelekewa kwa kila hitajio kwa waja wema. Kumhitajia jinni ni kukata tamaa na rehma za Allah na kukosa subra.

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y 3 місяці тому +4

    HAKUNA kutumia majini.MTUME MUHAMMAD hajafundisha.

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 3 місяці тому +1

    Baba kiruwasha nimekuelewa Sana tena mno ndugu yako ktk imani

  • @shawwalmsati3405
    @shawwalmsati3405 3 місяці тому +4

    SHEIKH HAWATAKUELEWA KWA SABABU ULIYOYASEMA NI YA KIELIMU NA SI YA KIFIKRA

  • @husseinbwandu
    @husseinbwandu 3 місяці тому +1

    Allah awazidishie kheri na baraka baba kiruwasha na sheikh bachu mnawakilisha hekima katika jamii yetu.
    Binafsi nimependa hili suala lilivyohitimishwa, kwamba ni vyema kupima madhara na faida ya kumtumia jinni kabla ya kuchukua hatua hiyo.
    Asanteni sana kwa i'lmu.😊

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs 3 місяці тому +3

    Huwa nakuskilizaga kweny mambo y familia endelea na zile mada ;am hiii mada kwkwel naomb tu uachane nayo mwalim wangu

  • @husseinshehuna68
    @husseinshehuna68 3 місяці тому +2

    Shekh Mohammed Bachu hajasema haifai kuwatumia lakini kuwatumia Kuna madhara mengi ... Na kitu hata kama kina maslah madhara yakiwa mengi kinaachwa maalim... Iwe tunatosheka na dalili... Na tumuelewe mtu kile anachokisema... Unarudia Yale aliyoyasema... Lakini je hujui hayo madhara Mzee wetu...
    والله المستعان

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u 3 місяці тому

      Tuwache kuyumia majini

    • @husseinshehuna68
      @husseinshehuna68 3 місяці тому +1

      @@user-es4uf6gj7u Hakika sio jambo zuri... Lina madhara mengi sana

    • @jumaa052
      @jumaa052 3 місяці тому

      Samahan naomba kuuliza nabii Suleiman Ali Fanya shiriki juu ya kutumia majin ?

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 місяці тому

    SUBHANALLAH
    LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 3 місяці тому +2

    Hii madauiache inatuchafula dini yetu chaguenimoja mue waganga au masheikh toka zamani wapo masheikh nawaganga I'ma mkufuri I'ma muwe waalimu, mtachanganya wasiojua kutumia majini niushirikina, Kama sio shiriki wekekeni majini tuyaone nasisi hadharani

  • @Its_me_hanseif
    @Its_me_hanseif 3 місяці тому +1

    حفظك الله ورعاك يا ابو كروش

  • @KhamisDaud-nz3rc
    @KhamisDaud-nz3rc 3 місяці тому

    Mimi namuusia Mzee wetu baba kiruasha akamsikilize tene Muhammad bachu vzr inawezekana hakumuelewa

  • @sabihiathumani6612
    @sabihiathumani6612 3 місяці тому +1

    Madhara ni mengi HAIFAI KABISA na baadhi ya wanaofanya hayo mambo hawajasoma dini vya kutosha. Tafadhalini sana huu mlango msiufungue ni fitina kubwa watu watapotea.

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo 3 місяці тому +8

    Baba kiruwasha kazoea kuongea usiku akiongea mchana anapoteza confiance

    • @SaidShemkieti
      @SaidShemkieti 3 місяці тому +3

      Mada anayoizungumzq imemzidi umri ndomana anashindwa kuwa na cofidence

    • @omaryngole6450
      @omaryngole6450 3 місяці тому

      Ama

    • @mussakantumba9914
      @mussakantumba9914 3 місяці тому

      Yeyote anae amini kuwa kutumia jini inafaa basi huyo ni Mshirikina tu ikiwa binadamu tu yaliyojificha mioyoni mwao hatuyajui je itakuwaje kwa majini viumbe ambavyo hatuvioni? Huyo Baba Kiruwasha ni Mshirikina tu hana jipya.

  • @salummussa-ms6nb
    @salummussa-ms6nb 3 місяці тому +3

    Baba kiruwasha unafeli

  • @user-oo1fs7lp6d
    @user-oo1fs7lp6d 3 місяці тому +1

    Mm binafsi nmekuelewa jaman kama hamuna elimu na uwelewa wenu mdogo msijibu jamani

  • @saidmohd2931
    @saidmohd2931 12 днів тому

    Assalam alykum sheikh baba kiruwasha mimi nimechelewa kuangalia haya maf-hum yako na pia nimeyaelewa vizur tu - tunanukuu maneno ya dr sule alisema inafaa kumtumia jini kwenye mambo ya mali (akuletee mali) katika fat-waah yako hujalizungumzia swala hili na mimi nahis swala hili ndio limeleta mtafaruku mkubwa katika jamii ya kiislam hivyo tunaomba ufafanuz wako kwenye hili pale tu utakapoona hii comment yangu,,Jee inafaa kumtumia jini kwenye mali (iwe kukuletee kwa namna unayoijua ama usioijua) wabillah tawfiq

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zz 3 місяці тому +2

    Allah ukuhifadhi shekh huyo bachu anajua utafungua watu ukweli wataujua yeye kaja kujiweka ujuaji zaidi bila uchanganuz Kama hivo tukanufaika navyo rad hazijengi tunabomoa jaman tutumiane dhana mzur bila jazba kitu wanakijua hawataki kifahamike uzur

    • @AbuuKhafswa
      @AbuuKhafswa 3 місяці тому +1

      Wewe uliecoment kumtupia lawama bachu yakuwa amekuja kujifanya mjuaji sio kwei chukua kauliyake baba kuluwasha mimi natumia kitabu na yeye bachu sio manenoyake anatumia kitabu namwenyewe kasema amepata faida kubwa kwa bachu

    • @idrisaabkar3760
      @idrisaabkar3760 3 місяці тому

      Acha kujizima data

    • @kylesmeight4837
      @kylesmeight4837 3 місяці тому

      Sw Sheikh Nenda kwa mganga

  • @azizihassan1613
    @azizihassan1613 3 місяці тому

    10:55

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 3 місяці тому +19

    Tatizo huwezi jua jini yupi mwema yupi mbaya nikujiepusha nayo tu hatuna imani ya kumzibiti asitukufurishe

    • @AbdillahAlly-fl4vh
      @AbdillahAlly-fl4vh 3 місяці тому +4

      Wew ndio hujui wanajulikana km tunavyowajua binadamu muhimu elimu tu

    • @MkutiNandaja-rz3nk
      @MkutiNandaja-rz3nk 3 місяці тому +3

      Tafuta elimu ndugu Kila kitu kipo duniani ww na elimu yako soma sana

    • @jumafaki2891
      @jumafaki2891 3 місяці тому +4

      kwani ukimleta fundi kwako wajua kama ni mwizi au jambazi au n,k Kwa Nini umpe kazi yako

    • @HamisMagambo-gw6ti
      @HamisMagambo-gw6ti 3 місяці тому +1

      Elimu tu

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u 3 місяці тому +1

      Hakika watu sasahivi wengiwao wana penda shari kuliko kheri kwa nini jlazkmishe jini wakati njia zingine zipo zakufanya kila kiyu ilk kujiepusha nao

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo 3 місяці тому +4

    Hasbiyallaahu waniimalwakiil

    • @user-es4uf6gj7u
      @user-es4uf6gj7u 3 місяці тому +1

      Kama itatoka moyoni hiyo basi hakuhaja yajini wala mtu kila kitu kitakuja wenyewe kwajia anayo I juwa yeye mola

  • @jumangozi2720
    @jumangozi2720 3 місяці тому +4

    Alafu umejikita zaidi kwenye hukmu mubahu mubahu maulamaa wanasema itafaa kumtumia kwaajili ya da'awa kwa wenzie kwa vile tunaitakidi kwenye vikao vyetu vya kielimu wanakuepo sio kumtuma kwenye haja atakuludishia vipi majibu na yeye mpaka akae kwenye mwili wa mtu ndio aongee na huo ni uasi aruhisiwi kuingia mwilini kwa mtu

    • @abdallahhuseinkabale7534
      @abdallahhuseinkabale7534 3 місяці тому +1

      Point ya msingi kabisa..haya watatudishiaje majibu kuwa dawa imefika..kifupi hao viumbe wapo kwenye himaya nyingine tuu..abgalia kipindi mtume swallahalywasam alipoenda pamoja na yule swahaba alimcholea duara asitoke hapo.kisha mtume akaanza kuwasomea ...kwa ile khofu ya yule swahaba ilibakia akidogo atoke.na mtume akameambia raiti angejaribu kutoka njee ya hiyo sehem angeungua..sasa unasemaje kuwatumia hao viumbe kimchezo mchezo...mie nahisi ni kukataa tamaa kukubali uwezo wa mwenyezi mungu....au kama kipindi cha nabii suleiman kipindi alipo taka kile kiti cha malikia. Kuonyesha mwanadam ni bora aliketa kile kiti...kwahiyo wasiwape shavu hayo majini hakika hiko tuendako inaweza kua hatari zaidi

    • @mussakantumba9914
      @mussakantumba9914 3 місяці тому

      Ni washirikina hao wanaosema inafaa kuwatumia majini.

  • @AbasiChigo
    @AbasiChigo 3 місяці тому +2

    Unajivunjia heshima yako unachotetea hakipo bora ukae kimya ujifunze kwa bachu anaeleweka

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 3 місяці тому +1

    Hakuna aya wala hadithi inayoelezea kufanya hayo.
    Kwa nilivyoelewa kwamba kutunia majini wema kytafaa kwa dharura n sii iwe kawaida.
    Mtume swallahu alyhi wassllam ndio aliwasomesha na sio kuwatumia.
    Na ruhisa hiyo itabaki kwa maulamaa waliobobea elimu.
    Sio mashekhe wasasa wamitandaoni,
    Na hili jambo sio muhimu muhimu.
    Hebu watu wakasime yaliokiwa y muhimu yamejaa, tusikimbilie majini.

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 3 місяці тому

    Mtume aliusia kwamba Wana wa Zuoni watakuja iharibu Dini/Watauharibu Uislamu na ndo hayo/ahaya yanayotokea Sasa (Ishara/Daluli) Mwisho wa Dunia umekaribia..
    Mtume aliposema anawakhofia Wana wa Zuoni watakuja iharibu Dini, Mtume hakuwataja Kwa Majina yao hao Wana wa Zuoni na Wala hakutaja Maeneo/MaTaifa watakayotokea/walipo(Wanapoishi) hao Wana wa Zuoni ni Tz, Kenya, ZNZ, Saudia nk.🙌

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 3 місяці тому +5

    Kiliwasha tufahamishe jinsi ya kumpata huyo jini mwema ili tumtumie kwa wema

    • @user-wl3qj2fx8u
      @user-wl3qj2fx8u 3 місяці тому +1

      HUENDA AKAWA HANA HIYO ELIMU ILA YEYE KAZUNGUMZIA SHERIA YA KUA INASWIHI KUMTUMIA JINI

    • @NassirMansour-zx2jd
      @NassirMansour-zx2jd 3 місяці тому

      Hapo sasa

  • @mwechizumbabaraka3273
    @mwechizumbabaraka3273 3 місяці тому +1

    Sheikh SALUM MSABAHA Yuko wap jaman aje a2ambie ukwel 16:10

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 3 місяці тому

    Mashallah nimepata faida

  • @ramagwama
    @ramagwama 3 місяці тому +2

    Sheikh Bachu kaeleza kiufasaha kabla hujajishulisha kumtumia jini unatazama faida na hasara zke ambapo akasema kutumia jini atakuplka ktk shirk moja kwa moja ajil ya maagano yko kati yake vilevile ao majini utawatambuaje kua uyu mwema na uyu mbaya ilhal hatuna uwezo wa mitume kuwatambua vyma.

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 3 місяці тому +3

      Hakika

    • @jumaa052
      @jumaa052 3 місяці тому

      Nabii Suleiman Ali Fanya shiriki juu ya majin ? Nauliza nataka tu kujua 🙏

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 3 місяці тому

      @@jumaa052 huyo ni mtume wa Allah, Allah aliwaandaa mitume wake wawe vigezo na walimuabudu Allah kwa yaqini ya kweli wala hawakumshirikisha na chochote ktk viumbe wake.

    • @Bombwejr18
      @Bombwejr18 3 місяці тому

      ​@@jumaa052Nabii suleiman alipewa uwezo wa kuishi majini kabisa na kuwatumikisha ndo uwezo alipewa na pia mitume na manabii wana uwezo binafsi vp mm na ww mtihani sheikh iman zetu ndogo lazima tuingie kwenye shirk

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 3 місяці тому +1

    The Reality of Jinn in the Qur'an and Sunnah - Dr. Yasir Qadhi

  • @idrisamnyamisikhalifa4348
    @idrisamnyamisikhalifa4348 2 місяці тому

    Dah umenitoa chozi ostadhi sio wote wenye kukubali

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s 3 місяці тому

    Baba kiwasha kauli ya ulamaa ikiwa haina mashiko tunaiwacha tunashika dalili...
    وقال ابن أبي حاتم : حدثنا أبي ، حدثنا فروة بن المغراء الكندي ، حدثنا القاسم بن مالك - يعني المزني - عن عبد الرحمن بن إسحاق عن أبيه ، عن كردم بن أبي السائب الأنصاري قال : خرجت مع أبي من المدينة في حاجة ، وذلك أول ما ذكر رسول الله صلى الله عليه وسلم بمكة ، فآوانا المبيت إلى راعي غنم ، فلما انتصف الليل جاء ذئب فأخذ حملا من الغنم ، فوثب الراعي فقال : يا عامر الوادي ، جارك ، فنادى مناد لا نراه ، يقول : يا سرحان ، أرسله ، فأتى الحمل يشتد حتى دخل في الغنم لم تصبه كدمة . وأنزل الله تعالى على رسوله بمكة ( وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا )

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 3 місяці тому +1

    Mi nataka kusikia kasema HABIBY MUHAMMAD S.A.W .... sio mashekh ambao hata hadith za mtume wa allah haziwajui wanakazi ya kupoteza umma tu hamna lengine....

  • @twahamuhoro1656
    @twahamuhoro1656 2 місяці тому

    Hahaha dini ni dalili kwenye hili babu kiruwasha ana dalili zilizoshiba...

  • @MussaYusuf-fd8je
    @MussaYusuf-fd8je 2 місяці тому

    Kwani huyu BACHU hamumuelewi amaa mbona kashaafafanua yote lakin bado mnaleta mambo mengine,

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 3 місяці тому +1

    Shekh wangu sikiliza vizuri
    Umeambiwa kutumia Majini kuna faida chache kuliko madhara, kama madhara n mengi shekh İbn Tamiyyah anamaliza kusema sio vizuri
    Kuacha ni HAULA zaidi
    1- majini wabaya
    2- majini wazıri
    lkn aina zote hiz wanakupelekea kwenye Ushirikina !
    Sikiliza vizurii shekh nahic utaelewe vizuri biidhin kariimu

    • @shawwalmsati3405
      @shawwalmsati3405 3 місяці тому

      Kwani hao vigogo walioruhusu hawajui hayo madhara wala faida hizo ispokuwa BACHU tu

    • @SaeedMohammad-sw7jq
      @SaeedMohammad-sw7jq 3 місяці тому

      ​@@shawwalmsati3405ila baba Kirwasha katoa vitabu vi2 vya sheikh Uthaymin kimoja chakubali kutumia majini wema na kingine kinakataa kwa kuhofia mahsad yatakayotokea kwa kuwatumia majini. Tanbihi, ikiwa kichwa chako ni kizuri kufikiria basi yatosha kujiweka mbali katika kuwatumia viumbe hawa.

  • @KitasaWaaction-gm9zr
    @KitasaWaaction-gm9zr 3 місяці тому +1

    Majini wanaulimwengu wao na wanaadam wanaulimwengu wao wewe usaidiwe na jinni kwani Allah hatoshi?

  • @user-zs6qg7ql1i
    @user-zs6qg7ql1i 2 місяці тому

    MAwahab shekh wenu pia hamumuamin hv ungekuw kumtumia jini haifai nabii sleman ataenda motion vitu vipo wazi ikiw haifai ht mskiti wa bautul makdis waliujenga Majin kw hio haifai kusaliw ni kusoma tu

    • @sadih5333
      @sadih5333 2 місяці тому

      Nimakosa makubwa sisi kuongelea na kujifananisha na Nabii wa Allah Suleiman yeye ni mfalme pia ni Mtume alikua pia anawasiliana na wanyama na viumbe wengine Malaika na Majini , sasa kwa hayo machache si sahihi kupigia mfano na kujilinga Nisha nae, Allah atupe ufahamu mwema.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 3 місяці тому +1

    Achana na Majini ww Mzee, mtegemee Mola wako

  • @azizihassan1613
    @azizihassan1613 3 місяці тому

    Kwani Allah na Mtume Muhammad s.a.w wanasemaje ktk quran na sunna?
    (HUO NDO MSIMAMO SAHIHI, NJE YA HAPO NI KUJITIA UJINGA)

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv 3 місяці тому +1

    WAPIGA RAMLI IMEWATACHI SANA KUAMBIWA NI HARAM.. WALIKUWA WAMEJIFICHA LAKINI SAHII WANAJITOKEZA MMOJA MMOJA KUTETEA SHIRK ZAO... SHUKRAN SHEIKH MUHAMMAD BACHU

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118 3 місяці тому +1

    Mbona husomi kiarabu unatitafsria tu juu juu... Mambo gani hayo...

  • @omaar5693
    @omaar5693 3 місяці тому

    15:16
    kama amesema inafaa nae amekosea
    kuna.mambo mashekhe hawajui lakini
    sisi wengene tumeishi.katika familia.ambazo tunakuta wazee wanafanya mambo hatujui asli yake...
    mfano:
    kuna mda tunaogopa tusipo chinja kinaweza kutokea chochote...
    ndio hayo munayo ungia mkono...
    jini mwema yupo na mbaya yupo,,, lakini.hayo kwetu ni.Ghaib....
    utasaidiana.na.jinii vile uthaimin alivyo elekeza lakini tujuwe jinn karne inaisha yeye bado ni kijana lakini wewe ushasahauliwa lakini kuna mitego alisha weka kuwakamata kizazi chako...

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 місяці тому +4

    Nyie ndio mnaitukanisha dini ya Mungu inasibishwe na majini

    • @salehrashid-fx9rq
      @salehrashid-fx9rq 3 місяці тому

      Saihihi. Cjui hawana la kufanya ktk uislamu. Mbona❤ kuna mambo mengi saana wailamu wanafaa kufundishwa

    • @user-wl3qj2fx8u
      @user-wl3qj2fx8u 3 місяці тому

      sasa yeye au IBUN TAIMIA?

    • @SelemanAmir-ze8zz
      @SelemanAmir-ze8zz 3 місяці тому

      Naomba msaada wa ufaham ivi Kuna makatazo ya kupinga kauli ya mashekhe ambayo Ni rai au ufafanuz wao na sio Aya ya qur an

    • @user13375
      @user13375 3 місяці тому

      ​@@SelemanAmir-ze8zzukipinga watakuroga😂😂😂

  • @athumanimbarukulimbungaathuman
    @athumanimbarukulimbungaathuman 3 місяці тому +2

    Sheikh unatupaka mafuta

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 3 місяці тому +2

    Arafu maneno ya shekhe matupu bila kuegemeza na dalili huwezi patia imamu shafi mwenyew alisema , ilipo aya ya quruani na hadithi ndo madhebu yangu yalipo mkiona maneno yanaenda patupu yatupeni mbali shikene dalili kwa mtume sasa ww mwenzio alisoma maneno akaegemeza na dalil ww wasoma matupu ya wanazuoni bila kuegemeza dalili

  • @selewenger8323
    @selewenger8323 3 місяці тому

    Shekh, barakallah, mi naomba njia SAHIHI ya kumwita jini na kumtumia,
    Mana kumbe huu umaskini tynautak mwenyew

  • @matendondambwe9527
    @matendondambwe9527 3 місяці тому +1

    Shee kilowasha je qur Ani inazungumziaje kuhusu matumizi ya majini baina ya Bina damu na majini

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 3 місяці тому

    TUnapiga kelele tutamjuaje jini mwema hamulizi binadamu mwema mtamjuaje kwani wema unakulikana na ubaya unakulikana

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 3 місяці тому +1

    Bado hamjatushawish, watu wa tanga na zanzibar mnayaamin sana majin, baadh ya watu lkn nieleweke vzr

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s 3 місяці тому

    Mtu ana kesi anadaiwa kweli anatumia jini kuharibu kesi..mty anataka mtoto wa watu amzini anatumia jini.mtu anataka kumdhuru mtu kwa dhulma anatumia jini...ndo hivi alikusudia sule...

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy 3 місяці тому

    MashaAllah

  • @rajabumbendenga5480
    @rajabumbendenga5480 3 місяці тому +1

    MANHAJ SALAF NDIO MAPITO SAHIHI YA KUENDEA UISLAM WETU HUTOKAA KUSIKIA VITU VYA KITOTO KAMA HIVI KWENYE SOCIAL NETWORK.
    HUWA MAREJEO NI QURAN NA SUNNAH KWA UFAHAMU WA SALAF KINYUMECHO MTABURUZWA NA MAKANJANJA WA MJINI MPAKA BAAS

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 3 місяці тому +1

    Kama ndivyo basi Sawa. Ila kufanya hivyo, ni kama kucheza pembezoni mwa moto. Ni hatari ni bora kuacha naona.

  • @MahadBedui
    @MahadBedui 3 місяці тому

    Ww py nimgonjwaa

  • @ibramussa1762
    @ibramussa1762 3 місяці тому +3

    BAADHI ya Watanga wamelelewa kwenye familia zinawaganga matambiko , hivyo zikija mada zenye utata kama hizi zamajini lazima waziunge mkono.( Zingatia neno BAADHI)

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 3 місяці тому +2

      Sheikh sijui ulifikiria unachoongea
      Unanasibisha MIJI NA AKILI
      HII INAONEKANA HUNA UELEWA TENA MCHACHE SANAH
      SIKILIZA SHEIKH ANATUMIA MANENO YA WANAZUONI
      SASA TANGA NA MAJINI YANAHUSIANA NINI
      SHEIKH DO YOU LISTEN TO YOURSELF

  • @jumankumilwa4139
    @jumankumilwa4139 3 місяці тому

    NAAM MWAMBA UPO SAWA

  • @MateusPaulino-cf8hf
    @MateusPaulino-cf8hf 3 місяці тому

    Nyie watanzania mko busy kwa kupotosha uma wakiskam kwa ajili ya maslah yenu

  • @gigiman5465
    @gigiman5465 3 місяці тому

    Msiba mkubwa na Africa umasikini tunao sana yaani watu kutukia majini na si technologia kisa dalali ktk mijitabu eti shekh ul Islam kasema ! na si Allah.

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 місяці тому

    Sheikh hujafaham kauli za wanachuoni vizuri, hao wezako wanawatumia hao viumbe kwa ushirikina.

  • @SumaB-rq1fg
    @SumaB-rq1fg 3 місяці тому +1

    Hilo jambo kwetu sisi zama hiz lazima kuingia kwenye shirki

  • @Aymanland
    @Aymanland 3 місяці тому

    Sheikh unayumba na unawayumbisha wanao kufuatilia achana na mada hii iko mbali na upeo Sheikh wangu na sio aibu kutojua yote katika dini huna haja ya kuminyana masheikh pia wanakosea usishikilie ibun taymiyah tu yule ni mwanachuon mkubwa mchamungu mwenye elim kubwa lakini anaeeza kosea pia katika kauli zake au akaeleweka vibaya kwa wanao soma fatuwa zake kikubwa tujue haifai kutumia jini kwani allah ametutofautisha kimaumbile na kila kundi tunatakiwa kumuabudu Allah na sio kwa kazi hiyo wanayo fanya Washirkina, sheikh unataka kuziporomosha mada zako watu wa TAWHIID waache kuzisikiliza hebu achana nayo hayo turudishe kwenye mambo ya familia Tufaidike.
    Uko unako enda unaenda kutufanya tukatae na mada zako je mada zako zikipotezewa kwa tatizo lako ndio umepata faida.

  • @user-es4uf6gj7u
    @user-es4uf6gj7u 3 місяці тому +1

    Njia ambazo hazina shaka hatuzifati kwa nini tulazimishe kwanjia zenye mashaka ??kwanini nauliza kwanini njia salama zipo hazina shaka hata kidogo lakini kwanini tutumie njia zenye mazonge kwann??

  • @user-xh9gj2wd6o
    @user-xh9gj2wd6o 3 місяці тому +1

    Ndg yetu Baba Kiliwasha kwanza muogope Allaah pili huna elimu ya kumjua huyu jini ni mwema au mbaya tatu ili jini akutumikie lazima pawepo badala ya kumpa jini na badala yenyewe haiwi ila ni jambo la haramu tuu nne maneno ya mwanachuoni yeyote sio qur an wala hadithi tunaweza tuukaachana nayo na hatupati dhambi

  • @user-ie7ey2uz3c
    @user-ie7ey2uz3c 3 місяці тому

    shehe jamiiyetu haizingatiidini wanaishi kama hawanadini je huu mlango mkiufungua watu watakua ktk haligani jambo likiwa lìnamashaka nibora kuachana nalo mtt wabacho ameeleza vizuri mimi ushauri wangu endelea namada zako zandoa huatunazielewa ila hiimada hatukuelewi

  • @yusuphsuphian8521
    @yusuphsuphian8521 3 місяці тому +1

    baba kilwasha kumbe unaumga mkono anae tafuta pesa kwaku tumia majini

  • @makameally1962
    @makameally1962 3 місяці тому +1

    Nimegundua KITu bachu kwao wao Ibny Taymiya humfanya kama ni mtume na akitelezaa wao Shekh wao Huwa hawakubali kuwa kakosea Ibny Taymiya Kazungumzia kuhusu kasema ina faa lakini Wao kwao hawathibishi
    Wao wanapindisha maneno na kusema ya kwamba wao wanaangalia athar

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 місяці тому

      Kitu ambacho hukijui huyu sheikh uthaymeen na bin taimiya wote ni wanachuoni wetu wa kisalafi kwaiyo hujui unachokizungumza ww

    • @makameally1962
      @makameally1962 3 місяці тому

      @@saidimkwinzu9106 Ww hao wamethibisha wenyewe

  • @HemedSerious
    @HemedSerious 3 місяці тому +1

    Kwa alicho zungumza sheikh ni haki bachu anapenda ushindani wa kijinga tu

  • @Athumaniomari-ge2gs
    @Athumaniomari-ge2gs 3 місяці тому +1

    Mwalim hii mada ungeacha tu sheikh maan Moto wa raddi hutauweza

    • @MkutiNandaja-rz3nk
      @MkutiNandaja-rz3nk 3 місяці тому

      Moto wa radi ndio Nini yeye anazungumza Kitabu nini moto wa raddi

    • @SelemanAmir-ze8zz
      @SelemanAmir-ze8zz 3 місяці тому

      Upambanuz wa Kona use Waz raddi hazisumbui Ila haki owe mbele Kwanza tusiogopane din ya Allah tunyooshane kwa uzuri

    • @habajuashesema
      @habajuashesema 2 місяці тому

      Toeni vitabuvinav yopingana na ibn uthaimin na ibn TAIMIYYAH ktk hili.Mwenzenu kaja na vitab nyi mwaja na maneno matupu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 місяці тому

    shekh baba kiluwasha tumekuelewa...ila bachu awez kukuacha kamwe😊😊

  • @nasramusaro
    @nasramusaro 3 місяці тому +1

    Baba kiruwasha umenikera binafs ungetuambia. Faida ni kubwa au hasara ni kubwa?

  • @matendondambwe9527
    @matendondambwe9527 3 місяці тому

    Wanaosababisha wanazuoni wakubwa kutukanwa ni nyinyi mashee musio waelewa sasa angalieni sana ila nais kilowasha ajamuelewa bachu au unataka tivii Yako watu watazame Kwan mada za ndoa umeishiwa shee

    • @saadakhalfan945
      @saadakhalfan945 3 місяці тому

      majini kutafuta elimu ya dini kwa watu ni kawaida lakin watu kutafuta elimu kwa majini au kuamiliana nao si vizuri kabsa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 місяці тому +1

    Kwahiyo naww unajini wako ambae unampa mawaidhs ilinae akawape mawaidha wwnzie?

  • @HakizimanaJeandieu-dy7cx
    @HakizimanaJeandieu-dy7cx 3 місяці тому

    Shukran shekh

  • @mwechengo6156
    @mwechengo6156 3 місяці тому

    wenzenu wanapigwa Gaza upande unapigwa upande unakula maisha sasa wakiisha wa suruali fup msizani msiokua na ndevu utabaki salama

  • @shafiismaily9223
    @shafiismaily9223 3 місяці тому +1

    Msijiingize kwenye vitu vyenye kutia shaka!?

  • @user-ie7ey2uz3c
    @user-ie7ey2uz3c 3 місяці тому

    nawausia waisilamu tuachane najambo hili tumfateni mtt wabacho ilitusalimike

  • @yusuphsuphian8521
    @yusuphsuphian8521 3 місяці тому

    makafili wana sema uislam nidini yawa fuga majini jee sawa baba kilwa sha

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y 3 місяці тому +1

    Je Mtume ametufundisha kutumia majini?

  • @habajuashesema
    @habajuashesema 3 місяці тому

    Tatizo ufaham wa watu ni mdogo.Elim uliotoa ni kubwa imezidi ufaham wao.Anaesema anataka qaala ALLAAH NA QAALAL RASUUL, ASOME AYA 2.Ya kwanza surah Albaqara Aya ya 29 .Yeye ndie aliekuumbieni vyote vilivyoko ktk ardh.Ukisema kitu ni haram we ndo unapaswa kuleta ushahid.Ngurue ni haram imetajwa kwenye quran, we unakula fenesi,mapera maparachich vimetajwa wap kwny quran.Waachieni wasomi mambo ya kielim.Quran ingeandika ugali, mlenda nk. Kitab tungekibeba na semi.Lakin zatumika kanun za aya kujua halal na haram.

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 3 місяці тому

    Mie napita kidogo!

  • @hawa6052
    @hawa6052 3 місяці тому +1

    BABA Kirwasha acha hiyo Mada tafadhali

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864 3 місяці тому

    Baba Kiriwasha ameelewa somo kutoka bachu, lakini nadhan shida ipo kwamba sisi binaadam wa sasa hatuna ubavu wa kumjua jini mwema 100% ili tutimize hiyo mubaha, Mitume ndio walikuwa na upeo huo, nashkuru kwamba masuala ya mapete ya bahati ya Dr Sule umemuachia mwenyewe Dr Sule umejiweka mbali na ushirikina, wewe umekuja na kitu mubaha tu, tumekuelewa

  • @omarykissite6766
    @omarykissite6766 3 місяці тому

    unajiabisha

    • @Its_me_hanseif
      @Its_me_hanseif 3 місяці тому

      Huyu ndo mshindani mzuri, wala hajiaibishi kwa lolote

  • @rashidyahya99
    @rashidyahya99 3 місяці тому

    Mi naona INGEKUWA VYEMA wayape MAJINI mic yajitete yenyewe!!!? au mnasemaje msio waelewa kama mimi!!!!

  • @yusuphsuphian8521
    @yusuphsuphian8521 3 місяці тому

    mimi nime kuelewa bachu katika kuliongelea hili

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 3 місяці тому +3

    Njia yoyote ya kumtumia jinni lzm ikupelekee kwny shirk, jini kuja kusoma kwako hujalitumia bali limekuja kusoma, halaf din hatumfuat shekh kasema hv, muingoz wetu ni quran na sunna

  • @abdallahhuseinkabale7534
    @abdallahhuseinkabale7534 3 місяці тому

    Sasa unapotumia jini mfano shekh sule alivyokua akisimulia mtu anakesi ya kufungwa bila kuonewa anatumwa jini kwenda mahakanani kuiba file vipi hapo sio dhulma hiyo.

  • @abdullahijma2073
    @abdullahijma2073 3 місяці тому +1

    Na Sheikh uwe careful kwa maneno yako kwa sababu utajuzisha jambo na watu 'awaam watasema Shekh Kiruwasha amesema iko sawa..na watu wengi hawana hiyo elimu (na hata wewe Sheikh huna hiyo elimu) ya kujua jini gani ni Muislamu na yupi sio Muislamu.. sisi hapa duniani tunadanganywa na kuwa conned na watu tunaoishi nao hapa hapa duniani na tunawaona, je majini wenye hatuwaoni je? Sheikh Kiruwasha, tumche Mwenyezi mungu. Mtu asije akaingia kwa huo mtihani na siku ya Qiyama akakutaja kuwa alikusikia ukisema ni sawa kutumia majini.

    • @abdukhan4718
      @abdukhan4718 3 місяці тому +1

      @Abdullahhijma... Assalaam Alykum vip hali.
      Tatizo sio yy yeye kanukuu maneno ya wanachioni kama ni sehemu ya dalili ya hoja yake.
      Lamsingi Ni hili...........
      Mashehe wakae na kuangalia lile lisilokua na umuhimu, hata kama linadalili basi waliache na Wafanye kazi ya kulingania nasio kubisha....
      أسلام عليكم ورحمة الله وبركاته

  • @yusufhamisi8191
    @yusufhamisi8191 3 місяці тому

    wanaokoment weng naon wanachochea ugomv tu kauli za maulamaa ndo zinachambuliwa nyie mngesikiliza msitumie nguvu ya hoja uyu sheh kuzungumzia ivo hainamaan ameunga mkon bali anazungumzia alichokiona