That's the definition of a star whatever he touches turns into gold and trend.mwanaume tafuta pesa mpaka ukinunua kitu haters waseme ni feki na sio Yako.
@@nancymark698 ww uko saw lkn maan uciejielewa ni ww mwnzio anapmbn icitoshe kma ww humpndi pita kushoto yni kiufupi to kma wwe niyanga bac baki na timu yko nakama ni Simba bc pmj san
Diamond 💎 kanunua saa moja tu akiwa Marekani lkn imekuwa trending Bongo hakika huyu jamaa mmoja n wasanii wote EA na bado hawatoshi... NB Saa moja ya Diamond💎 n sawa na gari tatu za kibamaroboti 😆😆😆Na hiyo n saa tuu Gari moja n utajiri wa kibamaroboti woote na wamakonde kijiji kizima na korosho zao kumamaee 😶
@JEREMIAH JOSEPH N muda gani saiv huyo chameleone ana kitu gani? Alf hapo kanunua gari ya watoto 50M alf Diamond saa tu 70M kwahyo huon hapo nan katisha yan kitu cha kuvaa mkononi kinazid hadi usafiri na bado unatanua mkundu kubisha NYOKO 🖕🤣 ww
Diamond hongera kwa kunua saa ila nilikuwa naomba kama itawezekana jaribu kufuutilia mitandao kuna wanaumwa na wamekosa pesa ya kuwatibu wanaomba misaada kwenye mitandao ya kijamii tafadhali unaonaje ukiwaunga mkono wanao nafuta support kwa ajili ya wa Tanzania hawa
Jamani hakuna vitu vingine,kwani mungekuwa mnatembelea hata watu mkauliza changamoto zao mbona mgekuwa navipindi vizuri,mbona. Hata nyererre Ana saa zake
Mi hua nashangaa Sana hivi kwani hakuna watu wanaonunua vitu vya garama kubwa zaidi ya hiyo au akinunua diamond ndio mtupigie makelele mondi mzee wa kiki tushamzoea kiki ya rolls Royce ndege hatuioni kahamia kwenye saa
Millard Ayo umezingua kweli kumuita huyu jamaa ni mtaalam wa saa! Hajui chochote kuhusu saa. Nenda Babla's kama unataka msaada wa kuchambua saa za thamani. Huyo mlefuata katuuzia vumbi.
Nimekuja kusoma comments kutafuta mtu anaaye waza kama mimi. Maana baadhi ya wanahabari sikuhizi hawataki kuhangaika kabisa. Millard Ayo inapoteza mvuto kwasababu ya hawa vijana wenzetu wanao fanya vitu kwa njia rahisi. Wanashindwa kujifunza kwa Millard mwenyewe ambaye hachukulii vitu poa, akitoa hata habari ndogo anahakikisha inaleta faida kwa wasikilizaji na watazamaji. Hii kazi Vidox katupotezea muda.
Daah jamani wasani wakubwa wanakazi aise yaani ukinunua chochote kile utajadiliwa nchi nzima watu hawalali nashangaa me juzi nimenunua suluali hata jilani kuniulizia hamna
Mondi anaakili Sana. Hapo alifikiria kuwa nikirudi na milioni stini kutoka America kwenda bongo lazima atozwe Kodi so alichofanya aliwekeza kwenye saa ili asitozwe Kodi ya kuingiza hela ya njee Tanzania
Saa ni asset,na hivi ameikatia insurance Akichacha anauza kiulaini baada ya miaka kadhaa,ila Diamond anasumbua aisee,yaani saa tuu East Africa nzima mitandao yote saa,saa,.......
Rolex zinakwenda mpaka Dola milioni, zinakuwa na gold tupu pamoja na Diamond , ndo maana unakuta matajili au master wanatembea na walinzi, kwa sababu ya aseti iliyokuwa mwilini, sio hapa unakuta mtu ana walinzi wakati hana kitu cha thamani😂😂😂
Hahahahahhahaha duuu sina uhakika na ivyo anavyoviuza. Aisee hakunaga guarantee ya mwaka wala miaka iko ndio kimenifanya nione urongo wa viatu anavyoviuza. Ila NASIBU ANAWANYOOSHA🦁
Mimi nilinunua saa kariakoo elfu 3 mwaka elfu mmbili na 6 mpka leo haijapauka wala nini na inasoma kabisaaa alafu hakuna chombo yeyote ya Habari kuniuliza . 😋😋
Yaani mtu ununue saa ya milioni 60 tunajua Diamond kwa kufeki utajiri na kama kainunua atakuwa kaikopa na baadaye atarudisha dukani huku Ulaya mtu unaweza kununua iPhone kwa mkopo unapewa simu bila kulipia halafu utalipa kidogo kidogo kila mwezi
Yote hayo hayana maana kama alimkana baba yake mzazi/mlezi. Laana aliyonayo ni moto wa jehanam. Hata kama mzazi wako awe na mapungufu kiasi gani kamwe usintelekeze. Ni dhambi kubwa sana. Anaringia fahari ya dunia lakini akumbuke hakuna utajiri mzuri kama kuwajali wazazi au walezi wako
Kuna wazazi wamewakosea sana watoto wao na kuna wazazi wamejali sana pombe kuliko kulea watoto wao mimi mwenyewe mama yangu alijali mwanaume na kuniacha kwa ndugu yeye akahamia nchi nyingine aliniacha kwa miaka nane alipoachana na bwana yake ndiyo akaja kunichukua na kuanza kunitesa na nilishapitia maisha magumu leo hii nimekuwa mtu mzima najitegemea mwenyewe na sina mawasiliano na mama yangu sababu nataka kuishi kwa amani
Diamond ana maisha yake na wasanii wengine wana maisha yao,si kwamba hawawezi kujinyima wakanunua hizo saa tena zaidi hata ya hiyo,ni kama wasanii wengine wamemtangulia kujenga Majumba ya thamani mara dufu kuliko hata hiyo saa, Kupanga ni kuchagua. Note:Tujue tofauti kati ya Wealth (Utajiri) na Richness (fahari).😎😎
Huyo mtu aliyo hojiwa siyo sahihi. Hajui model ya saa aliyonayo diamond, hajui thamani yake na hajui material(s) yaliyo tumika na rolex zina range tofauti ya bei. Nadhani Vido ulihitaji kuumiza kichwa kupata mtu ambaye ni mtaalamu katika saa hizo kuliko kumwuliza muuza saa yeyote ambaye hana majibu ya maswali mengi uliyo uliza.
@@obenitejailos7007 Siku ukigundua mtotowako anafundishwa na mwalimu asiye na ujuzi utaanzisha shule yako ama utawaambia shule wazingatie utoaji bora wa elimu?!
❤❤❤ Mondi baba laooo . Asante kaka kuwaelekeza wabongo aswa mwijaku.
Mondi choko Tuu, Harafu wanamuita Simba Simba gani Anavaa Kikukuu na Kisketi kweli anatoka kigoma ujiji
Hahahah kwel bana
@@smukelomkhize9775 choko wewe acha wivu choko wewe
Hahahaaa
Kabisaaaa maana asili yetu kuishi na dharau
That's the definition of a star whatever he touches turns into gold and trend.mwanaume tafuta pesa mpaka ukinunua kitu haters waseme ni feki na sio Yako.
Hahahahahaha.... umeuaaaaa
Hahahaha kabisa wanaume tutafute pesa mpaka hater aseme fake.
Muwacheni kumchunguza diamond pltnummz.kila mtu Afuateni maisha ya kwake.
Huwa nawaza hivi kuna mtu na akili zake anakaa na kumsikiliza Mwijaku! Kwanza jina lenyewe limekaa ki paka shume paka shume!
Chizi yule
😂😂😂😂ANAITWA SHABAN MADOBE MWIJAKU
Kweli diamond ni maji usipoyanywa utayaoga tu #mtakuja 😂😂😂 mliacha kumtangaza Sasa mmekosa habari zinazojiuza mmeona mrudi kwa 🦁
Umeona eee
Mnashabikia mjinga asie jielewa,kweli hamjielewi
@@nancymark698 ww uko saw lkn maan uciejielewa ni ww mwnzio anapmbn icitoshe kma ww humpndi pita kushoto yni kiufupi to kma wwe niyanga bac baki na timu yko nakama ni Simba bc pmj san
@@abdalmalikalhsani4080 😃😃😃
@@nancymark698 mjinga ni wew na mamako alokuzaa
Wabongo mtake msitake Huyu dogo Diamond mkishulikia atawasababishia vidonda vya tumbo huyu mwamba muacheni tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👉💎🙌🙌🙌🙌🙌
Mond 🔥 🔥🔥🔥🔥❤️ Watasubiri Sana Sana!
Diamond ndo kick aisee,yaani kununua saa kwake kwenu ndo mnaanza mmhahoo,mnaingiza kipato kupitia jina la #Diamond anzeni kumuheshimu nyambafu
Ndo maana ya msanii,siyo yeye tu wakina jz wanafatiliwa sembuse yeye🥱🥱🥱
🤣🤣🤣🤣
Jyz huwezi kumufananisha na huyu chura
@@yohanayohanaadamu6483 chura mamako
@@yohanayohanaadamu6483 mkunduo wa Moto
Diamond mwakahuu atawanyoosha 😂😂😂.ananunua saa ya thamani ya magari mawili ya mastaa wabongo🙌🙌🙌🙌
Huyu mchiizi kweli expert hadi #RichardMille anazijua...shkamoo...
Atari uyo
Mbona kawaida saba huyu mwamba
Rolex zina appreciate in value kila zinavyokua zaa zamani
Duuuh hadi Saa ya #Diamond ni habari??? Wow
Tunaovaa saa za buku 3 tujuane apa😂😂
😀😀
Diamond 💎 kanunua saa moja tu akiwa Marekani lkn imekuwa trending Bongo hakika huyu jamaa mmoja n wasanii wote EA na bado hawatoshi... NB Saa moja ya Diamond💎 n sawa na gari tatu za kibamaroboti 😆😆😆Na hiyo n saa tuu Gari moja n utajiri wa kibamaroboti woote na wamakonde kijiji kizima na korosho zao kumamaee 😶
Hhhhh unetsha jembe
@JEREMIAH JOSEPH N muda gani saiv huyo chameleone ana kitu gani? Alf hapo kanunua gari ya watoto 50M alf Diamond saa tu 70M kwahyo huon hapo nan katisha yan kitu cha kuvaa mkononi kinazid hadi usafiri na bado unatanua mkundu kubisha NYOKO 🖕🤣 ww
@JEREMIAH JOSEPH gari ya watoto wake ipi ya millioni 50 bro
Hahah hujui ulisemalo . Mm sio mmakonde Lakn hujui zao la korosho ww
@@maxmkemia9504 Nyoko🖕
Nimegundua umu wote wanachukia jamaa kusema ukweli saa zipo za gharama
Mwijaku kapata aibu
Na jamaa kawachana vizuri 👏👏👏👏😂😂😂
Vidox umenifurahisha ulivyo shangaa kuhusiana na bima ya SAA mpaka umeguna
karibuuu...... palm village apartment........
Mnyama Simba 🦁 diamond platnumz 💎 🔥
Mimi nina saa yangu ya sh. Elfu sita najidai kinyama na wadau huku kitaa wananipiga Maneno Mwijaku chamtoto kwa mineno ile.
Nikiwa na saa yangu aina ya Timex from Philippines naweza kuwauzia
Diamond hongera kwa kunua saa ila nilikuwa naomba kama itawezekana jaribu kufuutilia mitandao kuna wanaumwa na wamekosa pesa ya kuwatibu wanaomba misaada kwenye mitandao ya kijamii tafadhali unaonaje ukiwaunga mkono wanao nafuta support kwa ajili ya wa Tanzania hawa
SIMBAA 💎💎💎💎💎💎💎
Richard mille ni hatari iyo saa
Kwani mamilioni ya dollar bado huwa ni cash? What happened to plastic money?
acheni kuzingua saa ya dolar 50,000 Ni billioni moja kasomenii forex vizur 50,000 Ni sawa na 115,328,000 TSH
Kimsingi ilibidi aseme dollar laki 5
Nyie ayo mnawafanyiaga watu matangazo kiainaaina
Nilisumbuana na muuza saa ya buku 5 nyegezi kudadeki, leo mnaniambia saa ya milioni3🤣 si nakutoroka😎
Hahaaaaaa ungenunua hata kwa buku 2 tu kama hizi za mipiraa hahaaaaa
Hhh
Hhh
@@happyjohn5882 c ndio mani wanzingua hawa
🤣🤣🤣🤣
No matter how costly it is! If it doesn't make one keep time......!
Mond❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
Kikukuu
Ww unae Soma ujumbe huu mbungu akubaliki ukipata ela usfanye ujinga Kama huo saa million 69 mamaako anauza nyanya sokon Duh 😁😁😁
Leo tangazo limeamia duka la palm village
Naanzaje
Asnte dj wangu
Aya mambo Mila alichelewa Sana kwa kupost kisa mambo ambayo ayana faida
Ayo nawakubali lakin kunamaeneo huwa mnafel kipi kimerudxh kutangaza info za huy mwamba
Mimi namshangaaaaa @mwijaku
Mmmh
55,000usd sio b moja, ni milion mia na ishirini na ushee ivii. Ata ivo kazi ipoo
😂😂😂huyo nfo mmemfata mtaalamu hajui kitu
Huyo mtaalamu yupo vizuri anaitwa hazard time ZONE palm village
Mnashda nyie yn kila anacho nunuwa mondi lazima mtafute watafasir WA icho kitu kaa
Umaskini unawasumbua 🤣🤣🤣
Hawaamini hivi vitu kama vinafanywa Bongo Mond ngoja atunyooshee
Kwani mpaka tubishe jamani
RM Balaaaaaaaaa
Huyu jamaa hajui saa kabisa
*Nilivyogundua hapa ni tangazo la pam village limefanyika kupitia Diamond*
Me yakwangu sh500!!! Vip kuna tatizo
Jamani hakuna vitu vingine,kwani mungekuwa mnatembelea hata watu mkauliza changamoto zao mbona mgekuwa navipindi vizuri,mbona. Hata nyererre Ana saa zake
Simba wa w s b wasaf🔥🔥
Mi hua nashangaa Sana hivi kwani hakuna watu wanaonunua vitu vya garama kubwa zaidi ya hiyo au akinunua diamond ndio mtupigie makelele mondi mzee wa kiki tushamzoea kiki ya rolls Royce ndege hatuioni kahamia kwenye saa
Dollar 55000ni shingapi acha kutupiga hata million 200 haifiki dollar elfu 55 ni 126m na laki 5 brooh
Wacha kujichora muuza saa eti huwezi kujua hiyo saa ya chibu ni originally ama fake kwanza google hiyo duka wacha kujiaibisha
Richard Mille ndo number moja
🦁🦁🦁
Hii ndio bongo bhauna kufa kwa stress umependa mwenyewe
Sasa huyu anajua nn?
Mbona kila kitu guess ?
Jamaa hajui kitu
Wewe unajua nini?
Millard Ayo umezingua kweli kumuita huyu jamaa ni mtaalam wa saa! Hajui chochote kuhusu saa. Nenda Babla's kama unataka msaada wa kuchambua saa za thamani. Huyo mlefuata katuuzia vumbi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vumbi la congo
Nimekuja kusoma comments kutafuta mtu anaaye waza kama mimi. Maana baadhi ya wanahabari sikuhizi hawataki kuhangaika kabisa. Millard Ayo inapoteza mvuto kwasababu ya hawa vijana wenzetu wanao fanya vitu kwa njia rahisi. Wanashindwa kujifunza kwa Millard mwenyewe ambaye hachukulii vitu poa, akitoa hata habari ndogo anahakikisha inaleta faida kwa wasikilizaji na watazamaji. Hii kazi Vidox katupotezea muda.
Vipi hujaridhika na huduma ya milard tafuta wengine unaodhan watakufaa
@@gsmartcreation5655 dah unafatilia ili iweje sasa.. Badala ya kuacha maisha yaende
🤣🤣🤣🤣
Daah jamani wasani wakubwa wanakazi aise yaani ukinunua chochote kile utajadiliwa nchi nzima watu hawalali nashangaa me juzi nimenunua suluali hata jilani kuniulizia hamna
😂😂
Jamaa hayupo upto date kwneye saa richard miller ya drake last time ni 800k USD
Upto date ndio umemaanisha nn 😂😂😂😂
Nyie ayo kwa kuwatafutia watu kik
Kwan Be4 diamond alikua anavaa saa ya bei gan na ya aina gani, teh ppoz bana.
Watanzania tuache haya mambo jamani hakuna vingine vya kuongelea jamani!!!
Palm village leo mpo kwa kujidai raia hawana usemi
Safi nakujakununua
Mondi anaakili Sana. Hapo alifikiria kuwa nikirudi na milioni stini kutoka America kwenda bongo lazima atozwe Kodi so alichofanya aliwekeza kwenye saa ili asitozwe Kodi ya kuingiza hela ya njee Tanzania
Sawa waeleze wote wambea na wanaoumia
Watatubu
Kuna mtu kanunuliwa na mpenzi wake saa ya bilioni 2
Dollar 55,000 nyie mnasema b. 1 tuache utani na pesa wazeee
Hadi naogopa aiseee hizo ni saa tu.
Yupo?mwijaku😬😬😬
Simbaaaaaa
Mimi nimezijua Escalade kwa sababu ya Diamond
izi ndo habari zakufatilia sio utumbo waakin mwijaku,simba no one Africa nawafuatilia nikiwa South Africa 🔥🔥🔥🔥
Huyo mtalaam wa kufuga ndevu hajui kitu kuhusu saa
Yani ulimbukeni sasa kila kitu lazma utangazie....
kweli kunawatu wanaishi haya bwana
Ha ha ha ha ha! Napitia
Saa Asset? 😂🔥
Saa ni asset,na hivi ameikatia insurance
Akichacha anauza kiulaini baada ya miaka kadhaa,ila Diamond anasumbua aisee,yaani saa tuu East Africa nzima mitandao yote saa,saa,.......
Bia tamuuu..😂
Rolex zinakwenda mpaka Dola milioni, zinakuwa na gold tupu pamoja na Diamond , ndo maana unakuta matajili au master wanatembea na walinzi, kwa sababu ya aseti iliyokuwa mwilini, sio hapa unakuta mtu ana walinzi wakati hana kitu cha thamani😂😂😂
Uko sahihi
Kama manara
Mondi umetisha sana🇹🇿🇹🇿👏🎼
Hahahahahhahaha duuu sina uhakika na ivyo anavyoviuza. Aisee hakunaga guarantee ya mwaka wala miaka iko ndio kimenifanya nione urongo wa viatu anavyoviuza. Ila NASIBU ANAWANYOOSHA🦁
Ayo kweli siku hizi hauna habari duh 😂😂
Cr7 binadamu wa kwanza kuvaa saa ya gharama dunian ambayo Ni 1ML dollars 😎😎
Et dollar 55000 ni sawa na billion moja 😁tumepigwa
jamani hata simu inayo saa tunatupa mahela Kama hivi
Mimi nilinunua saa kariakoo elfu 3 mwaka elfu mmbili na 6 mpka leo haijapauka wala nini na inasoma kabisaaa alafu hakuna chombo yeyote ya Habari kuniuliza . 😋😋
🙄🙄🙄🙄😁🤣🤣😁😁
Yaani mtu ununue saa ya milioni 60 tunajua Diamond kwa kufeki utajiri na kama kainunua atakuwa kaikopa na baadaye atarudisha dukani huku Ulaya mtu unaweza kununua iPhone kwa mkopo unapewa simu bila kulipia halafu utalipa kidogo kidogo kila mwezi
Yote hayo hayana maana kama alimkana baba yake mzazi/mlezi. Laana aliyonayo ni moto wa jehanam. Hata kama mzazi wako awe na mapungufu kiasi gani kamwe usintelekeze. Ni dhambi kubwa sana. Anaringia fahari ya dunia lakini akumbuke hakuna utajiri mzuri kama kuwajali wazazi au walezi wako
Kuna wazazi wamewakosea sana watoto wao na kuna wazazi wamejali sana pombe kuliko kulea watoto wao mimi mwenyewe mama yangu alijali mwanaume na kuniacha kwa ndugu yeye akahamia nchi nyingine aliniacha kwa miaka nane alipoachana na bwana yake ndiyo akaja kunichukua na kuanza kunitesa na nilishapitia maisha magumu leo hii nimekuwa mtu mzima najitegemea mwenyewe na sina mawasiliano na mama yangu sababu nataka kuishi kwa amani
Mama ndie anaejuwa baba wa mtoto msimtukane hana makosa
Dollar elfu 55 ni one billion heb mtuache kidogo
KWANI SAA ORIGINAL MAJIRA YAKE YANAKUAJE
Hiyo saa kama sikosei itakuwa kama laki 8 hivi.
Diamond ana maisha yake na wasanii wengine wana maisha yao,si kwamba hawawezi kujinyima wakanunua hizo saa tena zaidi hata ya hiyo,ni kama wasanii wengine wamemtangulia kujenga Majumba ya thamani mara dufu kuliko hata hiyo saa,
Kupanga ni kuchagua.
Note:Tujue tofauti kati ya Wealth (Utajiri) na Richness (fahari).😎😎
anunue saa olijino anunue feki.lkn kwa mungu tunaenda na amali zetu
Ili lijamaaa 🤣🤣🤣
Huyo mtu aliyo hojiwa siyo sahihi.
Hajui model ya saa aliyonayo diamond, hajui thamani yake na hajui material(s) yaliyo tumika na rolex zina range tofauti ya bei. Nadhani Vido ulihitaji kuumiza kichwa kupata mtu ambaye ni mtaalamu katika saa hizo kuliko kumwuliza muuza saa yeyote ambaye hana majibu ya maswali mengi uliyo uliza.
Tupe maelezo yako wewe basi
@@obenitejailos7007 Siku ukigundua mtotowako anafundishwa na mwalimu asiye na ujuzi utaanzisha shule yako ama utawaambia shule wazingatie utoaji bora wa elimu?!
Mmh,. Labda niwe na hela za kujitawazia bhana siwezi kufanya utoporo kama huo Et kisa saa, kwani hiyo yenyew inatumia masaa ya sayar gani 🥴
Huna hela ww
@@nicholasamosbakar6182 Wew, hunazo?
Wewe dollars erfu 55 ni milioni Mia na usher aifiki billion usifanganye watu
Hiyo saa tu mji mzima umetetemeka