PACHA wa DIAMOND Apatikana KAHAMA Aimba na Kucheza kama Yeye
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
Huyu Ndo wakusainiwa WCB jamani 😍
🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃🏃🏃🇰🇪
Ana vocal nzuri sema sauti anaiharibu na mapombe
Huyu jamaa Ni mkali kwa vocals kama angepewa sura ya yule pacha mondi alf sauti yake hii angeingia studio akatoa ngoma jina lingekua maarufu.
Jamaa yuko vizur
Haki amenifurahisha anasema mond she is my heart
Nani kamwona pacha wa mboso khan hapo😃 piga likes kama umemuona✍️
So apa kunasimba na mtoto wake Yan mboso😂😂😂😂
Kwanza mi nlijua mboso
Ausioo big up
Dogo yuko vizuri sana
She is my heart haaaaaaaaaaaaaaa@@@@@
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimefikiri I'm the only one heard that..
Akiamungu hyu jamaa ako vzuri sana plz diamond kama umemskia hyu jamaa fanya kitu kwake. Hyu dogo n star mkubwa sana plz plz mshike mkono aki🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Yani sauti ni ya naseb
Jamaa anaweza
Ujui kuimba
Akiona mtu wa kumshika mkono ' he is à star
kipaji kipooo
She is my heart
Hahahaha ugumu wa maisha huu
Jamani yotetisa huyo ariye fanana na mbosso mh kwery kazi ipo
Nimejikuta nacheka kwa Nguvu,Mbosso tena
Mondi na Mboso Alaaaaa🤣🤣🤣🤣🏃🏃🇰🇪
Uko sawa mondi mbebe huyo jamaa
She's my heart tena😂😂
She is my heart 😂😂😃😃
Watu mko makini😂😂😂😂
@@kichenjekichenje2072 😂😂
Ati “she’s my heart” 😂😂😂 kwani lazima uongee kizungu? 😅😅😅
Hahah
😂😂😂
😂😂😂🔥🔥
Jamaa kaongea kitu kwl Mond n nembo kubwaa
We ni mkaliii🔥🔥🔥
But kizungu achia walami baba😂😂😂
Kipaji nakubal sana sema yupo speed
🙏
Bangi mbaya Sana jaman
Sure sure mond
Jamanii mondi akamuone huyu jama hahaa
hahahahahhaha Aisee Tanzania bwana
Mungu 2okoe hii ni kwaxababu maixh ni magum
Aujui himba 😂😂
😂😂
Huyu jamaa fara tu inamsumbua njaa tu
Bangi mbaya
Njaaa inakusumbuwa. Alafu hamuonekani Wala kiki bila ya kumtaja jeshi ovyoo utapewa cha kula vitumbuwa huna ata haya mwanaume mzima kuomba kwa dizaininhio 😂😂😂😂😂
Njaa ipo kwakila mtu madam, hata wew unayo ila interest yako ndo haifanani na yake au wengine. Tupendane Hamida
Hinaitwa bongo qweli
Mim nawakubali wcb but shida ni ushoga....
She's my what......😂😂
Yani nakukubabali Bure
Kweli
Simba baba lao
Kipaji anacho uhakika
Kkk
Kipaj hcho
Mbona Wana sauti moja jamani
⭐⭐⭐⭐⭐
Mbona namuona mboso nyuma yake
Hichi kipaji cha diamond Platnumz tungemuona wcb tungefurahi
Kikojozi wa kahama
Acha kumdharau mtu huweez jua mtoto wako atasaidiwa nan
Hebu tokeni huko mnatumalizia m b zetu ah
Bado aliyefanana na lavalava
Njaaaa😆😆😆😆😆
Uyu anasaut ya jux
Tz ya mapacha hii
😂😂😂
😂
Nyimbo gani yenye alifikishaka 1 billion?
Simbaaa baba lao
Uyu jamaa ni moto
Uyo jama keroo san
Kasheshe
Huyo ni mboso?
Huyu jamaa wa pembeni anavyolamba lips dah!!!
Yani
Mboso Khan aje amchukue pachawake nayeye hapo
haha haha
Ww fala2
Haaaaaah🥱🥱🥱😁😁
Njaaa tuuu
Kaka wewe fundi
Unataka pesatu weweee
😂😂funga billion 1 African....mjomba wewe unazidua
Kumbe kahama kuna wajinga wengi sana
Hata kama hajui ila anafwatilia mziki sema changamoto ni ile be born in Africa
😂