"Nikikosa nafasi ya Mwenyekiti nitabaki kuwa mwanachama chama cha CHADEMA | Mimi ni Mwana mageuzi"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 гру 2024

КОМЕНТАРІ • 39

  • @chriss6321
    @chriss6321 8 годин тому +5

    Masudi mtanzania uko vizuri. Kaa uandike japo riwaya ya siasa za Tanzania

  • @kingungeii6520
    @kingungeii6520 10 годин тому +6

    Dah! KP anauliza maswali strong na tricky sana

  • @jubilantkimaro3607
    @jubilantkimaro3607 8 годин тому +5

    Hawa watu wanaopanga kumumiza Lisu wanafikiri wataishi milele au wanjisumbua tu maisha ni history nzuri. Maana kama sio wao watoto wao watuvuna wanachopanda.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 7 годин тому

      Uoga wake tu nan amdhuru na kwa lip? Wanadhuliana wenyewe kwa wenyewe

    • @mayanmlingwa4250
      @mayanmlingwa4250 2 години тому

      Aiseee kwaiyo zile risasi alipigwa na mbowe au mnyika,,,wewe na kizazi chako mkawe na laana ya milele​@@ndogoroedson199

    • @stewartmlanga1263
      @stewartmlanga1263 41 хвилина тому

      Hao walioutaka uhai wake 07/09/2017 unadhani wanafurahi kumuona hai na siha njema ya upambanaji. Sii lazima kucoment kwa kila jambo. Kimya pia ni busara na HEKIMA ndugu yangu.

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 7 годин тому +2

    Nampenda sana Lissu, huyu Mwamba akipita akaja kuwa Rais nakula kiapo kw Mungu sitojarbu Wala kuhisi kucheet ndoa had kiama

  • @ChristerKok
    @ChristerKok Годину тому

    Labda agombee Boni Yai.hakutakuwa na kelele.kumbukeni sana kunawanachama wengi chadema sio viongozi lakini wanaijua na kupenda Chadema kuliko hswa hakina Boni,jifunzeni tupo yunaijua chadema tukiimuingiza bungeni Kabouru mbunge ws kwanza chadema.tunaijua chadema.

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 7 годин тому +2

    Mh lisu na mbowe tunawahitaji zaidi kuliko mnavyofikiri,kuweni makini sana.

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo9127 Годину тому

    Huwa namisi interviews za namna hii, hongera TAL, hongera clouds... Aman Kwa wote,,,

  • @knight6757
    @knight6757 10 годин тому +4

    Mhe. LISSU 👍

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 8 годин тому +3

    Huyu jamaa ni mwanasiasa nguli anajua anachofanya

  • @BensonTemu-h6h
    @BensonTemu-h6h 10 годин тому +3

    Chadema kuna mawili yanayowasumbua, wanamfaidi mbowe kuwepo na mfumo wa serikali kutaka mtu anayezungumza lugha nyepesi na laini😂

  • @Suleiman-e6i
    @Suleiman-e6i 6 годин тому +1

    Huyu ni jamaa hatari sanaaa msimamo wake awe rais au watu waingie vitani

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 Годину тому

    Swali la mwisho la Lissu ulishaonesha jibu la swali uliloliuliza mwenyewe kabla ya la mwisho na ukajijibu.

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 19 хвилин тому

    Lisu atunzwe na alindwe .LISU USIHAME CDM BABA

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 7 годин тому

    Hapo mwisho Tundu ,umeupiga mwingi , ukorofi uanaharakati uchochezi kama alivyoitwa Mwl Nyerere na wazalendo wenzake wakati huo >TAJI LA DHAHABU.

  • @norubetinyigo-oh7qx
    @norubetinyigo-oh7qx 2 години тому

    Tunawahitaji kulika wakatiwote ule muachieni tunduiisu nae aongoze jamani waombaa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 9 годин тому +1

    Mwanasiasa msubiri kule mwishoni. Hii lugha chama si mama yangu muielewe kwa nini wanasiasa wanaipenda na kuisema hiyo lugha.

  • @avityaudax
    @avityaudax 3 години тому

    Nimegundua kwa nini nchi zenye demokrasia zinafanikia,uhuru wa mawazo ni jambo muhim sana tuache uchawa tujenge taifa letu

  • @ChristerKok
    @ChristerKok Годину тому

    Kura ni siri ya mpiga kura.

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 6 годин тому

    Mbowe tuachie Lissu. Heshima yako ni kubwa sana na inaishi mioyoni mwetu.

  • @FatumaHizza
    @FatumaHizza 7 годин тому

    ❤❤❤

  • @MeshackMayenga
    @MeshackMayenga 7 годин тому

    Lisu kwa hotuba ya jana ya katibu mkuu wa chama chako na Boniface Jakobo inaonyesha kabisa kuwa ni kama wamekutenga.Naona hata kaukabilakamo.Ila pambana bro,tutaona mpiga ngoma na mchezaji.

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 7 годин тому

    kuwa chadema si dalili wala ushahidi kama wewe ni mwanamapinduzi ila ni mwana kupinduliwa rafiki! vinginevyo mwambie mkweo aanzishe chama uwe mwenyekiti wa kudumu kama Mbowe na Chadema yake

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 6 годин тому

    Kwa hiyo unataka kusema MBOWE hana msimamo wa kuaminika ?.😂😂😂kutachangamka tu ngoja tusubir

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 9 годин тому

    RIP Mh Lowasa na team yake walimpokeaje kama demokrasia ipo?

  • @Suleiman-e6i
    @Suleiman-e6i 6 годин тому

    Huyo kama haja chungwa ata ingiiza nchi katika matatizo mkubwa sana

  • @Suleiman-e6i
    @Suleiman-e6i 6 годин тому

    Hafai kabisa ni mtu hatari sana

  • @Suleiman-e6i
    @Suleiman-e6i 6 годин тому

    Ana mtazamo wa kulipa kisasi

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Годину тому +1

      Analipa kwani alifanyiwa nini na analipa kwa nani?

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 7 годин тому +1

    Ww huna msimamo wa kuaminika bhana ww unaweza kuuza nchi kwako cyo shida! Anayekuamini ww lazima apimwe amwe akili

  • @VictorMgodomi-xj1ey
    @VictorMgodomi-xj1ey 9 годин тому

    Msigwa alisema hivyo hivyo

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 18 хвилин тому

    IQ ya lisu ni++

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 7 годин тому

    Et mwanamageuzi! Keenge unamgeuza nan sasa? Achana na nchi yetu bhana