Kwa kweli huyu Mzee yuko vizuri haya ndio mambo yamafundisho tulikua tunayatafuta makanisani kwa muda mrefu lakini hatukusikia kwakina zaidi hata tukabaki NJIA panda ubarikiwe nabii wa bwana naamini umeandaliwa kulituliza kabisa katika roho yakutanga tanga kama yatima may God bless huduma hii izidi MWENDA mbali nakupenya mioyoni kwa watu wako.
Kwanini sikukufahamu mapema Baba, rafiki yangu juzi mwezi WA kumi na mbili alinieleza kuwa anaota Mara nyingi anakimbizwa na mfuu,, na kipindi hicho alikuwa analinda makabur ya mashujaa huko mtwara,alikuwa mwanajeshi,, basi mi nikamwambia kwa Hizo ndoto zinatokana na mazingira unayofanya kazi,, basi hyo ikapita,,, amini usiinimi juzi mwezi WA tatu alipata ajali akafariki,, rip Deo,, sijui ni pepo gani lilinifunga nisikushauri uende kwa maombi 😠😠 nimekumbuka mbali sana kupitia somo hili
WhatsApp/Piga namba: +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu. Kwa iPhone au Android Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Baba uko vizuri mno mungu aendelee kuwa pamoja na we we.
Nimebarikiwa sana kwa kusikilisa somo zuri kabisa la tafsiri ya ndoto. 💞💞
Aaaa,kwakweli namshukuru MUNGU sana kwa ajili yako Mh.Nabii,najifunza
Jameni kweri Mungu wetu anazidi kutufundisha kupitia wewe. Baba tunakusifu ututemberee burundi tupate uponyaji
Kwa kweli huyu Mzee yuko vizuri haya ndio mambo yamafundisho tulikua tunayatafuta makanisani kwa muda mrefu lakini hatukusikia kwakina zaidi hata tukabaki NJIA panda ubarikiwe nabii wa bwana naamini umeandaliwa kulituliza kabisa katika roho yakutanga tanga kama yatima may God bless huduma hii izidi MWENDA mbali nakupenya mioyoni kwa watu wako.
Kwanini sikukufahamu mapema Baba, rafiki yangu juzi mwezi WA kumi na mbili alinieleza kuwa anaota Mara nyingi anakimbizwa na mfuu,, na kipindi hicho alikuwa analinda makabur ya mashujaa huko mtwara,alikuwa mwanajeshi,, basi mi nikamwambia kwa Hizo ndoto zinatokana na mazingira unayofanya kazi,, basi hyo ikapita,,, amini usiinimi juzi mwezi WA tatu alipata ajali akafariki,, rip Deo,, sijui ni pepo gani lilinifunga nisikushauri uende kwa maombi 😠😠 nimekumbuka mbali sana kupitia somo hili
Nabarikiwa baba
GEOR DAVIE UKO POUWA SANA KWENYE KICHWA .UNAFUNDISHA VITU VIKO POUWA SAWA
AMEN.
Thanks so much prophet for this teaching am blessed
Mungu akubariki sana
Nabii mkuu Tz ubarikiwe mno
Thanks I believe that dad
Mafunzo mazuri
wapendwa naomba msaada namba ya mtumushi na mahala anapopatikana tafadhari
namwelewa nabii
Thanks Papa
Naomba namba ya Mchungaji angalau nishiriki maombi naishi Kilosa
Major prophet.
WhatsApp/Piga namba: +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu. Kwa iPhone au Android Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Nafraiah huduma