SIMBA DAY 2022 | Balaa la Zuchu akiingia kupiga show kwenye Simba Day
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- #SimbaDay2022 | Sehemu ya onesho la vijana wa halaiki wakiandika neno “Miaka 14 ya Simba Day”
Iko #LIVE #AzamSports1HD
#SimbaDay2022 #SimbaWeek2022 #Unstoppable #WikiYaSimba2022 #SimbaSC #SimbaSCVsStGeorgeSC #Simba #StGeorge
Wasafi hawanaga dogo ukiwapa pesa yako wanaitendea haki 🔥🔥🔥
Kbs ynn
Simba mtakuja mnitoe roho jamani♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
🤣🤣🤣
Hapo ni zuuuuuchuuu je ingekuja Diamond tungekesha hadi asubuhi hadi tarehe 9/8/22
🤣 nafurah tu kuwa wew ni mshabiki wa Simba pia kimziki upo WCB 4life❤️❤️❤️
Sisi tunawafundisha mulipo kosea yanga alifanya konde boy sawa Ila si alianguka au mumesahau? Sasa sisi kwadharau amefanya mwanamke😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Pole alikua ashashuka chini washamba nyie
tanzama mgoli wa kibu dens na goli la pili hapa 👇🦁
ua-cam.com/video/-lN77t6zA0M/v-deo.html
Eti Manara alikuwa anasema yeye ndie aliyekuwa anasababisha uwanja ujae,,,,,,,,,!!!!!
Wasafi kwa kuiga IGA mko vizur 😂😂😂
Huyu zuchu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 the best love
😂😂😂😂 nimecheka sanaaa zuchu kushuka na kamba kama konde boy wa yangaa ha ha ha endeleeni kuiga sisi ndiyo wana nchi💯
💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚tupoooooooooooo,awana maajabu
Wamezoea kuiga hao hawana kpya
Umeeona ehee
14-4 = 10 vzur vinajulikana wap vinaanzia
Kwa Afrika mashariki na kati,
Wanalo la kujifunza kutoka kwa simba na yanga,
Vile wanafanya mambo yao,
Lakini wakisikia timu zenyewe hazina grounds za kueleweka.
Hapo ndo wanachoka
Ponti sana kaka umebonga
Kamuiga harmonize
Wasafi ukituma Kazi tunafanya mpaka tunazidisha. Yani kama DEMU unafanya mpaka ujauzito nan anaweza😂😂😂iga u fir is Ike no
ALICHOKISEMA IRENE UWOYA BAADA YA VIDEO CHAFU ua-cam.com/video/3Ut_msM1Lgk/v-deo.html
hatunaga jambo dogo sisi❤❤❤❤
Mpaka nimelia wcb wanajua kubrand
The first comment..but me ni mwananchi💚💛💚💛..
Pumbavu nenda kwenu😆😆😆
@@merckmdamu2942 mambo love😅😅😅
😂😂😂
🥴🥴🥴Kweli huu mwaka wa konde gang
Tunachoangalia nan kafanya?? Na sio nan alifanya, we don't care on that,, sisi kafanya mtoto wa kike, kitoto kidogoo chenye mvuto wakee, kitoto chenye ujasiri wa pekee wa kupanda na kushuka like a 🕊️ dove no one be like Zuchu kweny shoow..
Kama watu waligombania mchezaji Waka shindwa kwenda #PRESEASON Je wakiiga HII SIWANAFIRIAIKA KABISA😂😂😂😂
Jaman wanasimba kwa utoporo huh bodo hTA hamjanishawish style ya msanii wenu kushuka na lamb ndo mmeniongezea % za kuipenda tanga ingawa ilipoteza 🤗🤗🤗🤗 big up young Africa 4fever😍😍😍😍😍
Tanga ndo timu gan
Kwendaaa
Duh kumbe hmu Mtandaon hTA shule hamjaenda jamoon jiongeze dear😃😃😃
Oh my gosh u guys are loved💕
Weee usifananishe na konde zuchu unabembea konde alishuka kijeshi iga ufee
Tumesubir kwa mda mrefu ukubal mmakonde fire
amekopi hamna jipya hapo🤣🤣
Duuu kweli simba imevunja lekodi ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Ye sio wakwaz kufanya ivo kuna watu wamesha fanyaga uko nyuma akuna cha ajabu
Nimeamn asilimia 78 hapa nchini ni washabiki wa Simba sc
Penda San my Tz nawatu wake pie Simba oyeee🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🥰🥰🥰🥰🥰
Kamuiga konde boy mwaka juzi🤣🤣
Kafanya zaidi ya konde
ILA yeye hajadondoka😂😂😂👀
Umeona ehee bado wamuige nandy waingie na boksi na zuchu yanga wanamfos tuu simba
Mla panya kaja kuelekezwa namna ya kushuka na mtoto wa kike(Zuchu), yey alidondoka kama gunia la mchele😂😂😂
Abarikiwe Kondeboy Jeshi..Mana bila Yeye leo tusingeona marudio ya kipindi
konde anafundishwa namna ya kushuka ndugu...
Hakika Simba tunawenza💪💪💪💪
Acheni kuiga
@@samybrown1670 mbona nyie mmeiga siku ya mwananchi Mara ya kwanza mlikuwa mmelala utopolo nyie
Zuuuuuchuuuuuu umefunika mbaaaaaaa
Simba nguvu moja hatali sana
Duu uyu mtt ndo akifanya ivi jmn kaa uyu simba jmn jike
Huyo mtu kafumwa utafikiri Tenga la nyanya🤣🤣🤣
Wahaya hatukosi namsikia Rwemamu hiii simbaaaaa lazima iwe juuu
🤣🤣💪
harmo kashindwa na zuchu kuingia km commando
Vp Rajabu alianguka halafu anajiita jeshi!
Weweeeeeeeee simbaaaaa weeeeeeee
wazee wa kuiga mpooooooooooooooooooo
copies and pastee
Idea ya Konde boy for everybody sasa mshacopy yaani hamna jipyaa🤣🤣🤣
Dunia nzima mbona kamba washuka naye pia si kaiga ovyo
Konde hii kidogo imuue ilimshinda
Afu alianguka konde 😂😂kwaiyo kaferi zuchu katoboa
@@mohammadoman8963 no matter alishuka ovyo ama vyema Konde katisha Tena sana kwahio ukweli nausemwe zuhurq kacopy Kwa mjeshii mbona asikete style yake basi?
@@enzoon5796 hamtaki kuambiwa msanii wenu kacopy shida mnaanza kumtetea SI nimeona izo drums zikipigwa kama raisi SI angeingia ma style yake ila kaboa alivyomuiga jeshi 😂😂😂 kubali ukatae jeshi mtu harari sana
hamonaizi iyo mumekopi jangwani
Hata hyo yanga day mmeiga simba
Simba hiyoooooo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Na motoni mutaingia hvyo hvyo munavyoingia
Kweli konde mwalimu mpaka watoto wanaiga daaa
Sasa Waenda imba sukari
Simba uangu hapa kwenye picha ya zuchu hapana cjapapenda, wale wadada wakati wanaingia wangeingia na picha ya full kikosi cha timu sio yeye coz kikubwa cha i ho kilele ni timu ya simba co zuchu, yeye tunamjua na kaalikwa kutoa burudani tu sio kujitangaza siku nyingine kuweni makini hawa wajanja wajanja sana usafini
Anaesema kuiga mshamba. Huyo mmakonde wenu si aliiga akadondoka zuchu kamanda hta hajaanguka
Haya sasa matamasha na preseasons tushamaliza tuanze ile michezo ya kuchuma points hapo ndipo tutajua mbivu na mbichi
Mmeingia Kama harmonize 😀😀😀😀🤸🏼♀️🤸🏼♀️🤸🏼♀️
Zuchu amekuja kumuelekeza mla panya namna ya kushuka kibabe, yey si alidondoka...???😂😂😂
Tofauti ipo bingwa njomba nchumali alipiga chin huyu huyu kashuka taratibu bila kupiga chin🤣🤣🤣🤣
Na nyie yanga mmeanza tamasha baada ya simba kuanzisha
@@chrispinmkanda6097 alafu ameshuka kama soldier yaaan bila papara wala nini huku akitabasamu na kuwapa mashabiki vibes
no new
Unamkejeli. Binaadamu. Unamwita. Tikiti. Maji?? Ujuwe. Tuu. Hujafa. Hujesha. Kuumbwaa
❤️❤️❤️❤️❤️💪💪💪💪💪💪💪 zuchu zuchu zuchu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 zuchu zuchu zuchu kiboko yao 👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 simba simba simba kiboko yao
Mtaiga sana
Saivi mta-copy mpka kufeliii.....kuweni wabunifu bhana afu kwetu na dini yetu mwanamke hapandipandi juu ovyo...mtakula tu chakula msichokipenda mwaka huuu
Tumefunika Ile mbaya
No bud atakae Pinga hii show ni Zaidi ya hatariii 💉🤞🔥🇹🇿
Simba day imefana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💜💜💜💚💚💚💚💚💚💚💚❤💪💪💪💪💪🦁
Konde boy alidondoka mke wa mondi anashuka Kwa madaha,,,levels
Mbona kama harmo yanga 😅
Mmeigiliziaaa hakuna jipyaaa
Wonderfull
Hawaweziiiiiiii tunawabusu tuu utopolooooooooo
Tulia kolo ww
Utakuja ufe Kuna wewe
Wale wabusu mapaja yawanaume wenzao mko wapi muone kitu la nguvu hapa
Konde gang tulishaingia nayo hii style miaka ya zamani 😂😂
Kama mganga kienyeji
Simba noma one love by blod theobald
Mhh atari na yoote
Simba mtoto😁❤️💕
Zuchu nakupendaaa umetupa Raha ktk siku yetu
Mbona. Hawa. Polis. Wanajiingiza. Kwenye. Sherhe. Inakuwaje. Hapoo
Hiyo ni band , wakati Fulani inakodiwa Kwa wenye shughuli,,,
Pambe pambe pambe na tena👌❤️❤️❤️❤️
nomazi ngi
Safi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
Simbaaaa❤️❤️❤️❤️
sisi ndio wenye nchi
Farmenej
zuuuu
Hii ni tofauti kati ya Waanzilishi wa hili tamasha na wale wengine
Niceeeea
💥💥
Kwan apo no marehemu anaingia uwanjani hahaaa byuti byuti
Hakuna jipyaaaa! Ameiga kutoka kwa Konde boy
Umeona
Daa zuuu hakuna mwanamke anakueza uwongo wao
Mtaniua Simba jinsi ninavyoipenda daaaaa hatariiiii
Xaf xan 🙏🤝💯💝 we are unstoppable 🚴🚴🚴🚴
Tom
Wcb
655
wanaosema simba wameiga hii kawaida mbona yanga juzi waliiga kila kitu cha simba cha msimu ulopita?
Acha uongo atuigagi vya Makolo sisi
Umeeona
Harmonize kadhidiwa na mtto wa kike
ua-cam.com/video/1yhy05OkGDQ/v-deo.html
Baikoko miuno miguu juu
Kwa hyo huyo Chu chu ndo raisi wenu?
Simba ni timu hatar naipenda Simba yang
Kweli siku ya kitaifa imepita siku ya uhuru
Daah,Simba wametisha
💯💯💯
Ahhh stile ya harmo
Waoooo Big Lion💪💪