Kuna watu watatu hii nchi wanatakiwa mbeleni huko wake kua Marais slaa makonda na Bashe hawa jamaa mungu awatunze na moja kati Yao awe kiongozi mkuu wanchi hii
Lazima apigwe vita makonda watu kama hawa hua awafiki mbali Mungu mlinde makonda kwa kujitoa kwa namna hii haiwafulahishi wengi hasa mafisadi wa nchii hii mama kuwa na imani na mkonda acha kuwasikiliza wapambe makonda ni nabii wa Bwana
Makonda makonda makonda,Mungu akupe maisha malefu zaidi,maana watu wanachangamoto nyingi sana ktk maisha yao,kubwa watanzania tumwombee hii kazi ningumu sanaaa
makonda haya unayoyafanya siyo yako umepewa na Mungu. naomba sana uyashike uyaishi na ukae nayo. haijalishi watakukasirikia vipi. Mungu atakufikisha mbali. laiti viongozi wetu wote uanzia Rais wangekuwa wanajali watu kwa level hii. tungeendelea sana na tungefika mbali.
Kama kila kiongizi angefanya kazi kama Makonda au spirit ya Makufuli, Nchi yetu ingekuwa nchi ya kwanza Africa kwa ubora.Asante sana MG Rais wetu Mama samia kwa Kurudisha Makonda kazini, Namkubali sana Jinsi anavyofanya kazi. ❤️❤️💐💐🌺🌺🥀🥀🌸🌸
Kuna watu watatu hii nchi wanatakiwa mbeleni huko wake kua Marais slaa makonda na Bashe hawa jamaa mungu awatunze na moja kati Yao awe kiongozi mkuu wanchi hii
2030 eee Mungu unipe uzima maana kura yangu naiona kwa Makonda kuwa ndo Rais ajaye
No isingekuwa Samia asingeweza... hayo yote ni samia
Asant sana Rais Samia kwa kutuletea Mh Makonda 🙏🙏🙏🙏 Asante Mh Makonda nakuombea kwa Mungu unafanya kazi nzuri sana
Lazima apigwe vita makonda watu kama hawa hua awafiki mbali Mungu mlinde makonda kwa kujitoa kwa namna hii haiwafulahishi wengi hasa mafisadi wa nchii hii mama kuwa na imani na mkonda acha kuwasikiliza wapambe makonda ni nabii wa Bwana
@@stephanokanyika6321 Hakika umenena vilivyo 🤲🤲🙏🙏
Mh Makonda ninachokuomba kwa sasa ni kuwaweka kiti moto watumishi wote na kwamba wajifunze kutatua migogoro kwa kuzingatia Haki na usawa
Yani kwa picha hii inaonyesha jinsi gani watu wana matatizo mengi😢😢😢
Mnooo
Sana mpendwa
Hongera Muheshimiwa Makonda
Makonda makonda makonda,Mungu akupe maisha malefu zaidi,maana watu wanachangamoto nyingi sana ktk maisha yao,kubwa watanzania tumwombee hii kazi ningumu sanaaa
Hongera sana mweshimiwa makonda pongezi kwa mama samia suluhu hasan tunawapenda wote
Hivi nikwanini Viongozi wengine wasiwe wanautaratibu kama Makonda !!?....
Hakuna anae weza kujitoa muhanga na kuhatalisha maisha yake na kazi yake
Halafu Kuna iitu linatoka huko eti oooohh haki IPO mahakamani makonda anakoseaaaaaa Mimi nakukubali Sana baba keagan mungu akulinde
makonda haya unayoyafanya siyo yako umepewa na Mungu. naomba sana uyashike uyaishi na ukae nayo. haijalishi watakukasirikia vipi. Mungu atakufikisha mbali. laiti viongozi wetu wote uanzia Rais wangekuwa wanajali watu kwa level hii. tungeendelea sana na tungefika mbali.
Kama kila kiongizi angefanya kazi kama Makonda au spirit ya Makufuli, Nchi yetu ingekuwa nchi ya kwanza Africa kwa ubora.Asante sana MG Rais wetu Mama samia kwa Kurudisha Makonda kazini, Namkubali sana Jinsi anavyofanya kazi. ❤️❤️💐💐🌺🌺🥀🥀🌸🌸
Jamani kunawanadamu walishushwaga kutokambinguni makonda ubarikiwe kwakaziyako unayoifanya
Kwa Hali kama hii inaonyesha jinsi wafanyakazi serikalini wabovu
Magufuli huko aliko anafurahia jinsi kijana wake anavofanya kazi.
Kwanini wakuu wwngne wamkoa hawafanyi kama makonda ilo niswali lakujiuliza??
Mwenyezi Mngu Makonda atakupa pepo njema
Pole na kazi makonda
Mkoa huu unamatatizo sana Makonda Mungu akusaidie
Safi mkuu ❤❤❤
Makonda kazi mzuri mungu akupe siku nyingi
Makonda iwapo Mungu atakuweka duniani 2030 wala hainahaja ya kampeni chukua formu na kuapishwa kuwa raisi wwzaidi ya jpm.
Viangoz wanakimbia kaz zao ila hii ndo kaz wanannchi wanayo tegemea kwa kiongoz wao
Hili Nijambo Zuri Lakuiga. Basi Nawakuu Wamikoa mingine Waige Mambo Kama Hayo. Kwa Sababu Watu Dhulima Wamekuwa Kuwa Wengi.
😂😂😂 Makonda bhana Kazi unayo
Kaz kazin
Makonda oyeee
Hongera makonda
Hakika ni mpango wa Mungu makonda piga kazi
Aisee ndugu zangu viongozi , igeni basi nchi yetu ipae kwa kuleta haki kwa wananchi acheni maneno jamani tendeni vitendo kama makonda
Wasafi the best
Mama mpe makonda uwaziri mkuu awaanyoshe viongozi wazembe mpe tu hata miezi mitano utaaona kazi yake
Pamoja sana
Kwani watendaji wengine wa serikali wanafanya nn
Mungu awapenguvu nakufuatilieni nikiwq omani
Pigeni makofi 😂😂😂😂😂😂😂
Ni rc makonda mwenye uthubutu wa kusikiliza kelo za wapiga kura
KURA YANGU NA FAMILIA YANGU NA JAMAA WOTE WENYE KUJIELEWA TUNAMPA MAKONDA NDIE RAISI WETU AJAE BAADA YA SAMIA MAKONDA NDIE RAHISI WETU AJAE
Mungu naomba uzima cku Moja nimwone makonda kuwa rais wa tz
Wapeperushaji muna mbwembwe nyingi ... Munaongea sana
Mbona Wale wana Angazi Kwa Silaa wapo vizuri tuu
waliohongwa matumbo joto
ua-cam.com/video/0LDQvYftAbg/v-deo.htmlsi=yYjXzKtBnppcIhOd
Umbea mwingine 😂
Izo kero zinawasilishwaje hapo
Nenda utajulia hapo!
Zinawasilishwa kama Inavyowasilishwa,, au wewe unaonaje
hii n comment kutoka upinzan😅😅😅
Ulitakaje wew
Alie uliza swali ni fisadi musimshangae ila mwombeeni msamaha.
Hapo nisema kazi iendelee sio hapa kazi. CCM oyee Makonda oyee watasoma namba matapeli na wazurumaji