We Oscar akili hauna simba walipata penat wapi sio unaongea upuzi wakati refaa alikua upande wa simba mpila sio mchezo wamapenzi useme watu wanajifungia chumbuni Kila mtu kaona kilichofanyika pale uwanjani sema ukweli tu simba kabebwa sio unang'ata maneno mbwa mkubwa wewe
Safi Sana unajua uchambuz kaka
Well said, maamuzi yanapofanyika Kwa wakat mbonu na kila kitu kinabadilika
Huyo refa Elisasii hafai kabis kuchezesha mechi kubwa kama Yanga na Simba tena anafanya huo ujinga mbele ya ugeni wa CAF CAF
Ni kweli wewe unaujuwa mpira😅😅😅😅😅😅😅😅😅
MCHAMBUZI UMEWINI KUWA WA KATI KULIKO KUWA MSHABIKI KAZINI.
Refa jana aliondowa ladha ya mchezo
Katika watu ambao nawaelewa saaana ww namba Moja maana unaongea ukweli
Kelele penati ipi,karudie kuangalia ye ndo amemgonga mchezaji wa yanga
Wewe mpumbavu balansi Shobo, kwahiyo unataka waseme yanga ndo wameumizwa tu?
Mpuuzi
sisi Simba hatuna lawama
Ocar..umeingia pont
Mwamzi yule afungiwe. Mfurulizo wa matukio ya penalty simba wamenyimwa penalty 2 baada ya Gol la yanga liliongoza ad MWISHO wa mchezo
No Ile ya Simba haikuwa penati kwa sababu alichofanya boka ni kuukosa ule mpira lakini baada ya kuukosa yule mchezaji wa Simba alijigonga kwa Boka.
Balansi Shobo, basi hata ya Aziz k nayo ilikua offside tuseme jana refa hajakosea jana mpuuzi
Alijigonga akiwa anatafuta nn? Na sehemu gani
marefa mnatuagisha mno
Ni wewe au manake ndonakusikia leo😂😂😂😂
oscar ongela mpira there were no enalt kwa simba as b4 fred ali faul watu angalia vizuri,msiwaogope simba refa aliwasaidia sana simba.
We Oscar akili hauna simba walipata penat wapi sio unaongea upuzi wakati refaa alikua upande wa simba mpila sio mchezo wamapenzi useme watu wanajifungia chumbuni Kila mtu kaona kilichofanyika pale uwanjani sema ukweli tu simba kabebwa sio unang'ata maneno mbwa mkubwa wewe
Vipi pale simba wako kwenye move kisha mpira unamtoka Diarra na beki anamrudishia na anadaka ndani ya penalty box...mie naona ni kosa pale