GODY YANGA"CHAMA NI MWANANCHI/TUMESAJILI WACHEZAJI WAWILI KUTOKA AZAM FC/ONANA/GSM TAJIRI NAMBA MOJA
Вставка
- Опубліковано 28 чер 2024
- Leo June 29,2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa utachezwa mchezo kati ya Safari Champions dhidi ya Young African HARMONIZE
- Спорт
Wananchiiiiooh 🔥💯💥
Kiboko ya Madunduka 🎉🎉🎉
Tajiri namba moja wapi, Africa, Duniani....au wapi???
God kiboko ya makolobwabwa
Sielewi yanga chama anaendafanya Nini naona kama chance Amna atatokea bench
Mumejisajili
Na nyinyi waandishi wa habari mnaposema tajiri mo ameridi Kwa nguvu kwani aliondoka simba
Huyu Gb 00000 anasema kama Chama atakwenda Yanga yeye anaicha Simba sasa kama hajafanya hivyo mafuta yana muhusu kama mazezeta wenu walipompaka mafuta Mchome tutalipa kisasi Gb jiandae
👍👍👍
God waambie awo makolobwenga wataielewa show
Qqq