Watu wawili wamefariki baada ya jumba jingine kuporomoka Kiambu
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Watu wawili wamefariki baada ya jumba jingine kuporomoka katika eneo la ruaka kaunti ya Kiambu. Waliofariki ni mume na mkewe walioangamia baada ya jumba hilo la ghorofa tano lilipoporomoka