Simuluzi na sauti interview yenu na philipo ni nzuri ila tuna shindwa kujua part 1 ni ipi na inayo fuatiya ni ipi jaribu ku weka utaratibu ili tuweze ku faidi zaidi
Mwanaume mzembe sana wewe! Afu huwajui wanawake! Unawekaje mwanaume ndani kwako na huku una family? Kuishi na mwanaume mwenzio kishikaji lazima uwe bachara!
MashaAllah watoto 12 Mungu Awajalie Afyaa njema pole kupoteza wazaxi tuko wote waliopoteza wazaxi
Dah🤦♀️🤦♀️🤦♀️Mapenzi haya
Pole sana ndugu Philipo kwa kupoteza wazazi na Pole sana kwa Misukosuko.
Simuluzi na sauti interview yenu na philipo ni nzuri ila tuna shindwa kujua part 1 ni ipi na inayo fuatiya ni ipi jaribu ku weka utaratibu ili tuweze ku faidi zaidi
Mmhhh mtiani kweli doo pole sana philipo
Huyo mwanamke alikuwa ni kahaba wa kimataifa duuh!!
Kalaanika hasaa hafaiii
Una moyo na ustamilivu hongera
Fine boy Esco😘😘😊
Wanawake kumbe kuchepuka ni kawaida duhuu ni mi siwezi jamani
Hahahahahahaha hengo dar noma ndugu yangu wanyumbani kabsa
Duh polesana
Pole sana kakaang kwaulyopitia utafanikiwa ty utampta mwanakme mwema zdy uomba mung
pole sana mungu akutie nguvu katika yote
Pole sana
Nimeipenda
Wanyumbani kabisa poleee
Kuna wanaume wanajuwa kupenda Wallah
Part 2 ipo wap. ESCO tunasubir Ila nawakubali sna S.N.S vijana wa Skay
Mwanaume mzembe sana wewe! Afu huwajui wanawake! Unawekaje mwanaume ndani kwako na huku una family? Kuishi na mwanaume mwenzio kishikaji lazima uwe bachara!
Mwanamke malaya koko
Malaya porii huyo
Wewe watoto wako wote ni wa kusaidiwa
Pole kaka
hii story inanihuxunisha sn dah kwly wanaume tup na hali nzito sn ktk maish so tunahitaj uvumiliv
Napiya wanawake tupo twateswa na waume kisa love
Mkeo sikidogoo mimba naanalala namwanaume asiekuwa bnake makubwaa
Daah story imeniuma tupe mwendelezo
Ni vile maisha magumu,lakini kazi ya ulizi ni lazima mke aliwe tu na hasa kama huna shift
Mwanamke mwenye heshima zake hawezi kutoa mwili wake kwa mwanaume mwengine
Aa
Huo uchi wake una funza kila bwana amgaie uroda
Na huyo mwanamke nae kipashu anapenda mabwana
Alizaliwa nae jamaa aache ujinga yum yum
Sio rahs kwa mwanaume kama unavodhani
Mhmm haya mapenz jmn nihatar
Mhh watu wa historia ya maisha' kweli yataka moyo'
😂🤣🤣🤣🤣
Kumbe ni jirani yangu pole sn
Mwendelezo pls
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
Uncle phil.
Esco 💪💪
jangombeboys1999
Kipindi kizur sana
Mapensi mapensi mapensi
Mabaaaaayaaaa sanaaaa 🤣🤣
Mbona mapensi na sio mapenzi 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@@zaudatmakula3454 Haha ha ha ha atakuwa mchaga au mnyakyusa
@@mamachris6811 mchaga hana lafuz hiy ww
Mkeo mzinzi
😫😫😫😫😫😫😫😫
Mapenzi matamu mapenzi machungu kama shubiri sa sijui kipi ni kipi tamu au chungu?
Nimatamu mwanzoni wakati bado mwaishi mbali mbali but mukiishi pamoja ndio machungu
Ukiyapatia matamu,ila ukikosea tu,inakula kwako
Yote yote mwanzo tamu mwisho chungu
Matamu ukiwa namwezako ambaye mwasikixana nakupendana matamu lkn yakiruka bs machungu
Ndo maana ctamani ndoa😢
Mmmh kwa nn haupend ?
Usikate tamaa siyo wote wabaya, cha muhimu kumtanguliza Mungu.
Ipo siku utampata wako na mtaishi muda mrefu ila cha muhimu mtuheshimu na sisi tuwapende tu!
Sawa endelea kuzini
Hata mimi sitaki tena. Nitagonga lkn sijengi mazoea.
🐒🐒🐒🐒