Sheikh unayoeleza ni kweli kabisa. Nasaha muhimu sana hiyo ila kwa wanaopinga watayaona. Ni kweli siyo wanawake wote lakini ni asilimia ndogo sana waliojaliwa kuwa sawa.
Suala Hilo ni hulka za watu SI wanawake tuu hata wanaume wapo wa namna.. Ninacho amini ni kauli ya mtume kuwa hawajuti wenye kushauriana.. wanandoa wanaendesha maisha Yao Kwa kushauriana bila kusahau suala la kiuchumi Allah huwa anatia baraka na Kwa taufiiq yake wanafanikiwa. Muhimu mtu atafute mume au mke mwenye tabia njema na mwanaume asisahau kuwa yeye ndie kiongozi wa familia.
Nataman kuchangia lkn bado sijaingia kwenye ndoa siwezi kusem chochote zaid ya kusem Allah atujalie kheri na baraka ktk maisha yetu. Yarabbi nipe mke mwema.........
Wadhanieni wanawake dhana njema na wanapokosea ni viumbe muwape nasaha na makosa ya baadhi yasivalishwe wote tujue ya kuwa Hawa wanawake ni ktk madhaifu wawili na ishini nao Kwa wema japo kuwa Wana madhaifu pia wame wao japo ni kidogo.
Sheikh sija kubaliana na mazungumzo haya angalau unge sema baadhi ya wana wake sio wote, wangapi twa wajua wame wa inua waume zao ki biashara ki maendeleo na hata kushika majukumu yote ya nyumbani kwa sababu mume ka poteza kazi na hakuna mtu ata jua kuwa huyo mume hana kazi. Hiyo uta fiti bado hauja fanya kwa uzuri shekhe wetu.
Sheikh kasema kweli hii ni amri ya Allah yeye kafisha ujumbe tu.mwanamke ni wanyumbani tu ndio Sheria kwa Wanao radhi kwa Allah.sisi tulio wengi kwa Sasa tunahangaika na Dunia tu
Mimi yamenifika hayo sheikh wangu. Mpaka mda huu najuta na baaada ya kuachana nae aliwafiata wale matajiri waliokuwa wakinisaidia akanilitia fitna. Katika duka alichukuwa pesa akipeleka kwao duka likafilisika.
Wakati wakuowa hukutazama.mlango kama tulivo funzwa kwa dini ulitazama urembo na shape inaonekana huyo mwanamke Hana Imani ya dini sbb mwanamke katika Kuna amri Moja wapo ya kuhakikisha analinda Mali ya mumewe na kua muaminifu akiwa mpigaji anaeza hata ambukiza watota wakawa wapigaji assalam aleykum.
Asalam alaikum w.w Kauli ya sheikh nzuli sana amewahusia ukitaka kuowa usio owe kwake kwajili mke wake hana madili na watoto amesha wambukiza Sio kila mwenye yiko ktk mimbali anasrma ukweli tumia akili Quran:muminati,salihati,azakilati,swabilati......mifano mingi tumiyeni akili Wal quran
Hahahahaha , sheikh tupe ushahidi wa hilo na kama huna basi liache kwa wanaume wenye mbavu lkn kwa wanaume legelege hilo wazo linawafaa , mke mwema ni mke mwema aliekosea kuoa asifundishe mawazo yake ya ndani mwake kwa watu wote
Wanawake walifanya biashara hata mke wa mtume saw.hadija mtume saw kampata kwa biashara.mwanamke mbovu ni mbovu tuu hata akawa ndani yanyumba hapo hapo yua kandamizwa kwa nyumba. mwanamke jambo la muhimu ni kumuogopa ALLAH sbb mume pia aeza akafa na ile biashara kama.mke alikua hakuijua basi biashara itakufa na familia itaangamia na yule mke atabakia kua ombaomba.hapa sio uarabuni wajane wanasaidiwa fafanua tawhidi kwa kina sheikh..
Khadija usimfananishe na wak wa zama zetu yule alikuwa mke wa pekee mpe kazi mkeo awe ni tajir kuliko ww utaelewa haya wengin tumeyaona broo na ni balaa lililowapata weng ktk wanaume
Hili lina ukweli 50% na si kweli 50% Mwanamke mchamungu hata akijua pahala zitokazo pesa za mume au ni kiasi gani apatazo hawezi kufanya hayo yasemwayo na Sheikh. Kuhusu kuuliza wazee hilo usemalo kwamba ni kweli au si kweli na wao wakasema kuwa ni kweli sio sababu ya kuonesha usemalo ni kweli 100% Wazee wamesema mengi mno kuhusu ndoa na wanawake. Hivi mwanamke mchamungu anaweza kukukataza usimuhudumie mama yako hali yuwajua kuwa hilo ni katika wema.
## Ahmadi Fanya basi uje uone, mpe habari zako zote, na biashara zako msimamizi awe na yeye, kisha mwambie kuna mwanamke kuleee naongeza wapi, kisha wa tatu na w4, uchamungu utauwona.
Iyo inatokana na tabia ya mtu, mbona wanaume wengine huifadhiwa pesa zao na wanawake na hazitumiwi hovyo? Shekh sema baadhi ya wanawake sio wote wako hivyo umetukosea wenye Imani zetu.
Mtu yoyote akijua mshahara wako nirahisi kukuhesabu sawasawa.. mimi nilijua mshahara wa kaka yangu basi kila nikiwa na shida ya fedha najua anayo atanipa siku nyingine anasem hana namuuliz pesa zote unapelek wapi anasema majukum nimengi aaaah namwambia mengine kaka nikaanz kumpigia hesabu. Akasem bro kuwa uyaone.
sawa, lakini kama kuna walimu ambao wanafundisha tawhiid sana basi na sheikh Abdallah humeid yumo katika hao walim hata hivyo huu ni ushauri tu ukitaka chukua, hutaki acha Allah akubarik
Mm nakupingaa shekh wangu mke wangu anajua kila kitu lkn alhamdulillah! Lbda ukisema kwa mke asiyekuwa na imani' maana kuna kusoma dini na ımani vitu viwili tofautı kabsaa, na wengi ktk wanawake ni wazuri ktk kusoma lkn iiman 00 , Ndıo! haya unayoyasema ww'.. lkn, mwanamke mwenye iimani ya sawasawa! unapata mshahara mnakaa mnapanga mnagawa hıkı chakula hıkı sadaka zaka n.k.....Tena yy ndiye anakuhimiza juu ya kutoa sadaka kuwasaidia ndugu zako n.k.., Na ukimwambia sina anajua kweli huna! maaana ulıkaa naye pamja mnapanga .. Lkn ukimfücha na huku anajua unafanya kazi ndıoo utatengeza balaaaa mtupu! Fanya tena research shekh wangu! hii imefeli kias chake! it's dpend on woman to woman wewe umegenaralise! kitu ambacho cıo sahıhı!
huyu jamaa povu lamtoka kumpinga shekhe kisa mkeo hahahah shekhe hajasema wanawake wote nahata wewe muombe Allah tu ndugu kama yupo hivo mkeo na uombe hali isiybe nawala usihukumie kua watu wengine wwwwote wake zao hawana imani wewe ndio mke wako anaimani nawanao fanya hivo hawana iimaani sivyo ndugu,nahisi kua kwakua elimu yako nayo yadini nichache ndio maana waoata shida sana ktk kuzungumzia jambo kiujumla wake, wewe mshukuru Allah na umtake msaada Allah kwahilo kama waona mke wang mwaenda vzr kwenye biashara basi Ongeza dua narudia tena ongeza dua wala sio tuhuma kwawengine kua hawana imani😊
Haya ndo mafunzo tunayoyataka. Tunataka mafunzo kuhusu dini yetu na nasaha za jamii zetu. Hii ni bora zaidi kuliko kila siku kurushiana madongo na mizozo isiyoisha.
Mimi kwa huku kwetu zanzibar cjazickia kec kama hizo ina maana c wanawake wote inategemea na tabia aliyotoka nayo kwao sheikh ucwahukumu wote kama wanawake wote wako hivyo
Kuna wanawake wanaamini waume zao hadi kuzikana na kuna wanawake wako kwa ajili ya mali tuu na hawa wengi katika jamii flani kwa mfano sana wanahusishwa wachaga lakini cna uhakika na hili na watu wa tanga nackia tu cna uhakika pia ila kwa kwetu zanzibar kec hizo cjackia kabisa kusema ukweli
hii tabia ni kweli dada zetu wanayo nashangaa baadh wanasema si kweli, hivi hao wanao bisha wanawajua wanawake???? Eti kwa sababu anaona mke wake anamsaidia kidogo anahisi kua huyo mke anaweza kuvumilia maisha yote shaur yako
Ulisoma uwisilamu lkn uwukuelewa nando shida yiko ktk Jami kama sio hajidja binti khuwayilidi soma ulewe kama Allah haja kuzawadiya mke hata. Uwe na magali,pesa,magorofa hata pepo kuyipata utkua shida
Ni haki ya mke kujua chumo la mumewe kama jambazi hapo vipi? Au kama anachukua riba inakuaje? Vp wanaume wako wanapaswa kujua Pato la mkewe? Sbb pia wapo wanawake Allah kawaruzuku na kawakunjulia rizk kweli kweli?
Shk haya ni mawazo yako? au kuna mzizi wa Elimu ya Mola wetu na Mtume wetu ? ikiwa utaelewa kwa undani hili swali langu basi natarajia utagundua kasoro ya "wazo" lako
kwani mola alipo sema kua wake zetu ni maadui maana yake ni ipi?? na huu just ni ushaur ndugu yangu kama wewe mke wako hayupo ivo, basi mshukuru allah na kama hayupo ivo basi maneno ya sheikh ni ya kweli na kwa asilimia kubwa wanawake wapo hivyo
naona wengi mnabishia anachosema sheikh lakin kama utayazingatia basi utakuta ktk 100% ni 2%--4% ya wanawake wanaweza kua wacha mungu na wakawasaidia waume zao wewe unaebisha hutujui sisi wanawake ndo mana unabisha ujinga tu
wallahi nampenda shek abdallah kwaajili ya allah kwakuonge maneno yaliyo nyooka kabisa allah akulipe kila la kheri.
Allah akuhufadhi sheikh Abdallah humeid.. Unatuelemisha vyema sana
Ukiona unapinga hayaa maneno ya sheikh jua hujaoa au la ndoa yako ina miezi au unamke mmoja tu❤
😂😂😂 Twaibu
Uko sahihi sheikh, mashallah 🙏🙏🙏
Shekh kabisa nakupa pugezi mashaallah👍👍
Mmmhhhh inategemeana na mwanamke sheikh
Kweli shehe!! Kwa hili umesema kweli.. Allah akupe afya
Sheikh unayoeleza ni kweli kabisa. Nasaha muhimu sana hiyo ila kwa wanaopinga watayaona. Ni kweli siyo wanawake wote lakini ni asilimia ndogo sana waliojaliwa kuwa sawa.
Suala Hilo ni hulka za watu SI wanawake tuu hata wanaume wapo wa namna.. Ninacho amini ni kauli ya mtume kuwa hawajuti wenye kushauriana.. wanandoa wanaendesha maisha Yao Kwa kushauriana bila kusahau suala la kiuchumi Allah huwa anatia baraka na Kwa taufiiq yake wanafanikiwa. Muhimu mtu atafute mume au mke mwenye tabia njema na mwanaume asisahau kuwa yeye ndie kiongozi wa familia.
Upo Sahihi sana Sheikh.
sheikh umeongea point sana hapo
respect👏👏👏
Wapo baadh hizo tabia wanazo
Umetisha baba nateseka mm uku mtahanii nahayooo maisha
😂😂 pole Sana sheikh
@@abdillahyussuf-vb7mr asante
Alhamdulillah. Nasaha hizi nilizipata mapema sana kutoka sheikh. N bado nazifanyia kazi . Yaan ni raha ssna . Mwanamke hapaswi kujua kila kitu
Sheh upo sawa kabisa. Mwanamke akijua tu kipato chako atahakikisha unamaliza ndo awe na amani
Kweli sheikh Mimi nakuunga mkono Kwa hilo
Ni kweli lakini wanatofautiana,, wengine wako na roho nzuri na za imani kabisa
Nataman kuchangia lkn bado sijaingia kwenye ndoa siwezi kusem chochote zaid ya kusem Allah atujalie kheri na baraka ktk maisha yetu. Yarabbi nipe mke mwema.........
Amiin,
Aamin
Nikweli kabisa wengine wanamaslai binafsi..
Wadhanieni wanawake dhana njema na wanapokosea ni viumbe muwape nasaha na makosa ya baadhi yasivalishwe wote tujue ya kuwa Hawa wanawake ni ktk madhaifu wawili na ishini nao Kwa wema japo kuwa Wana madhaifu pia wame wao japo ni kidogo.
kweli kabisa
Ukweli kabisa shekh
Bila shaka sheikh yamemkuta au aamekutana na kesi hizo
Darsa mashallah chocolate kabisa ❤ alhamdhulilah maneno mazuri
hahhaha akhy umezid
eti chocolate kabisa hahhaha
sawa shukran sana akhy
@@Nuruyasunnah.official_tv walai tena akhi hakuna kitu kizuri kama chakula cha moyo 😂 huo wasia mpk watoto wangu inshalaah nitawahusia
hatareeeeee😂😂😂😂😂
Ni kweli nakubali maneno ya shekh
Masalaf Tumeelewa....kama haukubali Allah akuongoze
mmmmh
Wanawake hamutaki ukweli
@@Nuruyasunnah.official_tv kweli msijitetee ukhty
@@abbaspaziaog2188 hahahahah
@@Nuruyasunnah.official_tv tupate pia duruus zinazozungumzia. Wanaume maan wapo kibao. Wasojielewa
Kweli kabisa mimi imenitokea na ikawa sababu ya kuachana na mke wangu
pole sana Kakaangu, Allah akufanyie wepesi kwenye maisha yako na katika mambo yako
Sheikh sija kubaliana na mazungumzo haya angalau unge sema baadhi ya wana wake sio wote, wangapi twa wajua wame wa inua waume zao ki biashara ki maendeleo na hata kushika majukumu yote ya nyumbani kwa sababu mume ka poteza kazi na hakuna mtu ata jua kuwa huyo mume hana kazi. Hiyo uta fiti bado hauja fanya kwa uzuri shekhe wetu.
Mwalimu isije kuwa amekugusa naona walalamika 😂 vumilia tyu hakutaja baadhi Kwa sababu ni Kwa asilimia kubwa
Kweli Mimi yamenifika
mwanamke akijua kila kitu ht mke wa pili utaogopa kuo a
Ni kweli she mwanamke ukimpa biashara umemuuza na yeye na siyo biashara tu hata akiwa mfanyakazi hapana ila kama umpendi unaweza kumruhusu mimi hapana
Sheikh kasema kweli hii ni amri ya Allah yeye kafisha ujumbe tu.mwanamke ni wanyumbani tu ndio Sheria kwa Wanao radhi kwa Allah.sisi tulio wengi kwa Sasa tunahangaika na Dunia tu
Mimi yamenifika hayo sheikh wangu. Mpaka mda huu najuta na baaada ya kuachana nae aliwafiata wale matajiri waliokuwa wakinisaidia akanilitia fitna. Katika duka alichukuwa pesa akipeleka kwao duka likafilisika.
Wakati wakuowa hukutazama.mlango kama tulivo funzwa kwa dini ulitazama urembo na shape inaonekana huyo mwanamke Hana Imani ya dini sbb mwanamke katika Kuna amri Moja wapo ya kuhakikisha analinda Mali ya mumewe na kua muaminifu akiwa mpigaji anaeza hata ambukiza watota wakawa wapigaji assalam aleykum.
Asalam alaikum w.w Kauli ya sheikh nzuli sana amewahusia ukitaka kuowa usio owe kwake kwajili mke wake hana madili na watoto amesha wambukiza
Sio kila mwenye yiko ktk mimbali anasrma ukweli tumia akili Quran:muminati,salihati,azakilati,swabilati......mifano mingi tumiyeni akili Wal quran
😂😂 nacheka uchungu. Inaumaaa!
Ukiona hivyo ujue haujampata mwanamke mfano wabikhadija pole shekhe
Upon sahihi
Ukweli
Hahahahaha , sheikh tupe ushahidi wa hilo na kama huna basi liache kwa wanaume wenye mbavu lkn kwa wanaume legelege hilo wazo linawafaa , mke mwema ni mke mwema aliekosea kuoa asifundishe mawazo yake ya ndani mwake kwa watu wote
Wanawake walifanya biashara hata mke wa mtume saw.hadija mtume saw kampata kwa biashara.mwanamke mbovu ni mbovu tuu hata akawa ndani yanyumba hapo hapo yua kandamizwa kwa nyumba. mwanamke jambo la muhimu ni kumuogopa ALLAH sbb mume pia aeza akafa na ile biashara kama.mke alikua hakuijua basi biashara itakufa na familia itaangamia na yule mke atabakia kua ombaomba.hapa sio uarabuni wajane wanasaidiwa fafanua tawhidi kwa kina sheikh..
Khadija usimfananishe na wak wa zama zetu yule alikuwa mke wa pekee mpe kazi mkeo awe ni tajir kuliko ww utaelewa haya wengin tumeyaona broo na ni balaa lililowapata weng ktk wanaume
Hili lina ukweli 50% na si kweli 50%
Mwanamke mchamungu hata akijua pahala zitokazo pesa za mume au ni kiasi gani apatazo hawezi kufanya hayo yasemwayo na Sheikh.
Kuhusu kuuliza wazee hilo usemalo kwamba ni kweli au si kweli na wao wakasema kuwa ni kweli sio sababu ya kuonesha usemalo ni kweli 100%
Wazee wamesema mengi mno kuhusu ndoa na wanawake.
Hivi mwanamke mchamungu anaweza kukukataza usimuhudumie mama yako hali yuwajua kuwa hilo ni katika wema.
lakini hapo sheikh kataja kwa wingi wala haimaanishi ni wanawake wote na wala sheikh mwenyewe hajasema kua ni wanawake wote
Hao wachamungu bado mapungufu hayo yapo
Ikitaka ujue hilo fanya mathna uone uchamungu wake
Huyo mcha mungu mwambie nataka kuoa halafu usikie majibu yake
## Ahmadi Fanya basi uje uone, mpe habari zako zote, na biashara zako msimamizi awe na yeye, kisha mwambie kuna mwanamke kuleee naongeza wapi, kisha wa tatu na w4, uchamungu utauwona.
@@ahmadikabezi5425 wewe unaonekana hutujui sisi wanawake
na ungejua usingesema hivyo
Ukweli sheikh nkuunga mkono Asilimia mia.
Mke utamjuza tuu sehem unapopata pesa au unapohifadhi lakin usimjuze unachokipata au unachokihifadhi.
Sheikh wafaa ufanye bahthi yako kwa makini
1:42
1:42 😂😂😂😂 she is your partner 😂😂 maa shaa allah shekhe humeid kwa ukumbusho
hamani shekhe kasema hii ni kwa maslahi yenu wala si kua anawanyanyapaa wanawake tumieni akili na msi-comment ujinga
Iyo inatokana na tabia ya mtu, mbona wanaume wengine huifadhiwa pesa zao na wanawake na hazitumiwi hovyo? Shekh sema baadhi ya wanawake sio wote wako hivyo umetukosea wenye Imani zetu.
Sio wote lakini idadi ya wanawake wenye hali anayo izungumazia Sheikh ni kubwa.
Mtu yoyote akijua mshahara wako nirahisi kukuhesabu sawasawa.. mimi nilijua mshahara wa kaka yangu basi kila nikiwa na shida ya fedha najua anayo atanipa siku nyingine anasem hana namuuliz pesa zote unapelek wapi anasema majukum nimengi aaaah namwambia mengine kaka nikaanz kumpigia hesabu. Akasem bro kuwa uyaone.
Wafundisheni watu tawukhiidi wa mjuwe allah acheni porojo
sawa, lakini kama kuna walimu ambao wanafundisha tawhiid sana basi na sheikh Abdallah humeid yumo katika hao walim
hata hivyo huu ni ushauri tu ukitaka chukua, hutaki acha
Allah akubarik
Mm nakupingaa
shekh wangu mke wangu anajua kila kitu lkn alhamdulillah!
Lbda ukisema kwa mke asiyekuwa na imani'
maana kuna kusoma dini na ımani vitu viwili tofautı kabsaa, na wengi ktk wanawake ni wazuri ktk kusoma lkn iiman 00 , Ndıo! haya unayoyasema ww'..
lkn,
mwanamke mwenye iimani ya sawasawa! unapata mshahara mnakaa mnapanga mnagawa
hıkı chakula hıkı sadaka zaka n.k.....Tena yy ndiye anakuhimiza juu ya kutoa sadaka kuwasaidia ndugu zako n.k..,
Na ukimwambia sina anajua kweli huna! maaana ulıkaa naye pamja mnapanga ..
Lkn ukimfücha na huku anajua unafanya kazi ndıoo utatengeza balaaaa mtupu!
Fanya tena research shekh wangu! hii imefeli kias chake! it's dpend on woman to woman
wewe umegenaralise!
kitu ambacho cıo sahıhı!
wewe ndo hutujui sisi wanawake
na wala shekhe hajasema kua wote wapo hivyo
ula Allah katusifia kua vitimbwi vyetu ni vikubwa
bora ufiche kakaangu
MIMI NAKUBALIANA NA SHEKHE
ww unamuogopa mkeo akhy
huyu jamaa povu lamtoka kumpinga shekhe kisa mkeo hahahah shekhe hajasema wanawake wote nahata wewe muombe Allah tu ndugu kama yupo hivo mkeo na uombe hali isiybe nawala usihukumie kua watu wengine wwwwote wake zao hawana imani wewe ndio mke wako anaimani nawanao fanya hivo hawana iimaani sivyo ndugu,nahisi kua kwakua elimu yako nayo yadini nichache ndio maana waoata shida sana ktk kuzungumzia jambo kiujumla wake, wewe mshukuru Allah na umtake msaada Allah kwahilo kama waona mke wang mwaenda vzr kwenye biashara basi Ongeza dua narudia tena ongeza dua wala sio tuhuma kwawengine kua hawana imani😊
Ujui tu unachokiongea ungenyamaza au usikilize vizur
7:26 7:28
C kweli hapa sheikh c wote
Haya ndo mafunzo tunayoyataka.
Tunataka mafunzo kuhusu dini yetu na nasaha za jamii zetu.
Hii ni bora zaidi kuliko kila siku kurushiana madongo na mizozo isiyoisha.
Mimi kwa huku kwetu zanzibar cjazickia kec kama hizo ina maana c wanawake wote inategemea na tabia aliyotoka nayo kwao sheikh ucwahukumu wote kama wanawake wote wako hivyo
Swadakta mi imenitokea sasa hivi najuta mke kumpa biashara maana kibuli kilizidi hadi sasa mke sina
Kuna wanawake wanaamini waume zao hadi kuzikana na kuna wanawake wako kwa ajili ya mali tuu na hawa wengi katika jamii flani kwa mfano sana wanahusishwa wachaga lakini cna uhakika na hili na watu wa tanga nackia tu cna uhakika pia ila kwa kwetu zanzibar kec hizo cjackia kabisa kusema ukweli
Hujasikia ww tyu mzee
Tanga ipi hiyo
Ni kweli sheik tena ukimpa kazi akawa na pesa nyingi kuliko mume heee ni balaa wanawake wa zama za leo zama za haki sawa aliyeweza ni bi khadija tu
Uzushi wa Mawlidi: Sh Muhammad Sharif
ua-cam.com/video/gsJ3Wc-K_q0/v-deo.html
Sio wanawake wote ostadhi, ni baadhi tuuu
hii tabia ni kweli dada zetu wanayo
nashangaa baadh wanasema si kweli, hivi hao wanao bisha wanawajua wanawake????
Eti kwa sababu anaona mke wake anamsaidia kidogo anahisi kua huyo mke anaweza kuvumilia maisha yote
shaur yako
Ulisoma uwisilamu lkn uwukuelewa nando shida yiko ktk Jami kama sio hajidja binti khuwayilidi soma ulewe kama Allah haja kuzawadiya mke hata. Uwe na magali,pesa,magorofa hata pepo kuyipata utkua shida
Ni haki ya mke kujua chumo la mumewe kama jambazi hapo vipi? Au kama anachukua riba inakuaje? Vp wanaume wako wanapaswa kujua Pato la mkewe? Sbb pia wapo wanawake Allah kawaruzuku na kawakunjulia rizk kweli kweli?
Shk haya ni mawazo yako? au kuna mzizi wa Elimu ya Mola wetu na Mtume wetu ?
ikiwa utaelewa kwa undani hili swali langu basi natarajia utagundua kasoro ya "wazo" lako
kwani mola alipo sema kua wake zetu ni maadui maana yake ni ipi??
na huu just ni ushaur ndugu yangu
kama wewe mke wako hayupo ivo, basi mshukuru allah na kama hayupo ivo basi maneno ya sheikh ni ya kweli
na kwa asilimia kubwa wanawake wapo hivyo
Qur' an inasema hakika ya vitimbi vyao ni vikubwa. sasa Sheikh anadadavua tu kwa faida
Tena Mtume SWALALLAH ALAYHI WASALLAM anasema Imeangamia jamii yenye kumtawalisha mwanamke katika mambo yake
Kama huamin uliza walio fanya hiyo miamla
naona wengi mnabishia anachosema sheikh
lakin kama utayazingatia basi utakuta ktk 100% ni 2%--4% ya wanawake wanaweza kua wacha mungu na wakawasaidia waume zao
wewe unaebisha hutujui sisi wanawake ndo mana unabisha ujinga tu
Asante
Kweli maana Kuna wanawake masheitwain haswa... kaingia kwenye ukoo kufilisi nakutaka kutawala laanakum wallah
Je mtume s.a.w aliishi hivyo na wakeze?
S.A.W ' kuandika hivyo ni makosa
Hizi ni busara na pia zipo sahihi, sio lazima zitoke katika hadith au kitabu fulani
Fanya uchunguzi wa kutosha halafu utaona kama mambo yako hivyo ama laa
Wanaeake wa kiswahili hao 😅😅
Wakiarabu nawahindi ndio kabisa husubutu ata kuongeza mke na angalia matajiri wangapi wana wake zaidi ya mmoja na uwezo wanao hawasubutu
Sheikh muongo
Komwe lako kwhyo mkweli wewe?!
Allah kabainisha Mlivyo hivyo yupo sahihi kasome
kuna dalili ktk hilo kutoka ktk kitabu na sunnah,au hayo ni nasaha kutoka kwa akili yako?
Alisoma bila kuelewa tumieyeni akili watu watahalibu ndoa zao mke mwema nizaidi yazawadi kutoka kwa Allah
80% wengi wake zao wabovu kimadili
Bora na mwanamke naye amiliki mali yake maana mwanadamu akiombwa hukasirika
Ndugu nguvu ya uchumi ndio inayompa mtu heshima nyumban
swadakta
Sheikh utakua unamnyanyasa mkeo ndani khaaa jamani
Akili huna.. Inaonekana wew unahila haswa nyumban kkwenu
Aya zimetahadharisha na Mtume kutahadharisha juu ya hilo yupo sahihi Nenda kasome
Unayosema sio ya kweli sikubaliani na wewe hata Asili Mia 5
Mtume Swalallah alayh wasallam amesema imeangamia jamii yenye kumtawalisha mwanamke ktk mambo yake
Kamuambie wakwako uone
Maana yake hapo nikusema hakuna wanawake wachamungu wanaweza kuwa na huruma na wazaz wa waume zao . Hapana