MIMI MARS: LA LA,ALICHOFANYA VANESSA MDEE HATUKUTEGEMEA, KASEMA WATANZANIA WASUBIRI, SIMBA KWENYE DM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Ni kitambo kidogo Mimi Mars hajakaa kwenye EXCLUSIVE Interview na Millard Ayo, hizi ni dakika 26 za kufunguka kwa Mimi Mars kuhusu goma lake jipya la 'La la" lililovunja rekodi, kasimulia ilivyokuwa baada ya kwenda Atlanta kumsalimia Vanessa na Mtoto wake, Simba kwenye DM na mengine.

КОМЕНТАРІ • 141

  • @JupiterLoveAI
    @JupiterLoveAI 2 роки тому +29

    My favourite presenter! Can't afford to miss your interviews! Much love from Kenya.

  • @deusdedit789
    @deusdedit789 2 роки тому +4

    Unacheka kama kimkadashian
    Mariiia wa jua kali binti wa Yesu 😊love you so much sister you are international figure

  • @dlinecydoris8916
    @dlinecydoris8916 2 роки тому +1

    Jaman kaka Millard unaijua kazi yako vizuri jaman💕
    Mimi mars ur ma fav musician ever🤍

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 2 роки тому +7

    Millard hakuna kama wewe.. big up broo🥰🥰🔥

  • @smurububa
    @smurububa 2 роки тому +4

    You speak verywell.i usually views your interviews.
    You're professional.
    You make even your guest comfortable.i like that upp she feels safety around you.
    Watching 👀from Sweden🇸🇪.I like that.well done men

  • @salomeezekiel5985
    @salomeezekiel5985 2 роки тому +11

    Jaman nampenda Sana minmars
    Ulitisha Sana kwenye jua kali
    Na napenda Sana nyimbo yaKo ya mua ni🔥

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 роки тому +6

    Mimimars na vee money 💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘💘ma fav pretty girls

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 2 роки тому +3

    Minmars nampenda muda wote anacheka 💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 2 роки тому +5

    Millard hongera mno, unajua broo

  • @safari23
    @safari23 Рік тому

    The lady is absolutely gorgeous

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 2 роки тому +8

    Tunampenda maria wetu 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @presentermokaya
    @presentermokaya 2 роки тому +7

    Professionalism na creativity ndo kitu nakipenda kwenye interviews zako kitu ambacho kimeniinspire sana katika kazi sana .Zidi kupiga kazi safi, love nyingi kutoka 254 Kenya

  • @saidkuwingwa485
    @saidkuwingwa485 2 роки тому +12

    Millard anajua sana kumfanya mtu kuwa confortable sana kwenye interview inamfanya mtu afunguke zaidi na hata kama kuna kitu mtu hataki kuweka wazi anajitahidi kumpa privacy yake bila kumforce huyu jamaa ni level nyingine

  • @bahatimwakilima3273
    @bahatimwakilima3273 2 роки тому +5

    Uko vzr mno ktk kazi yako Allah akutunze Milard

  • @majdimpaka1079
    @majdimpaka1079 2 роки тому +9

    Appreciate Millard ayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому +1

      shukrani Majdi, pamoja sana mpaka mwisho

  • @ilhammohammed4192
    @ilhammohammed4192 2 роки тому +3

    Waw nawependa sn hii Familiar ya kina Venessa jmn...😘😘😘😍😍😍Nakubali Interview zko Bruh wng

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 роки тому +7

    My favorite Mimi Mars ❤️❤️❤️

  • @alimungamunga2277
    @alimungamunga2277 2 роки тому +3

    Mimi Mars l love you so much

  • @gibsonmuniha9909
    @gibsonmuniha9909 2 роки тому +14

    Mazee Ayo we hunibamba sana na interviews zako, much love from Westlands Nairobi.

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому +4

      pamoja sana mpaka mwisho Gibson ! peleka salam kwa Watu wangu wa Westlands

    • @carolineotieno8154
      @carolineotieno8154 2 роки тому +1

      Mwambie wakenya tunampenda Sana

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 2 роки тому +2

    Mimi nakupendeni sana jmn nyie watu! Big up mirad ayo hata sijutiag kumaliza zangu MB ktk Chanel yko . Wafanya vitu kwa usahihi mno na wala hukurupuk.

  • @ashatimo4666
    @ashatimo4666 2 роки тому +4

    Goooooooood ayo

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 2 роки тому +1

    Waooh nemeenjoy

  • @eddalazaro9088
    @eddalazaro9088 2 роки тому +8

    Nampenda sana huyu dada❤️❤️

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 роки тому +5

    NAPENDA SANA KAZI ZAKO BROTHER MILLAND AYO ILA MIMI MARS NIMZURI SANA TENA SAAANA. 🇰🇪🇨🇿

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +1

    Interview ya kizazi sana brother Millard 👍

  • @mrpaulbinezekiel110
    @mrpaulbinezekiel110 2 роки тому +8

    Ayo uko vzr kwa interview zako nakufatiliaga sana..

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому +1

      Shukrani Paul, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @Kakamegatv
    @Kakamegatv 2 роки тому +2

    Ayo Mimi hufurahia sana vipindi vyako.

  • @doreenmalesi6039
    @doreenmalesi6039 2 роки тому +13

    can't miss mallard interviews from 254

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому +2

      muchlove Doreen ! tuko pamoja mpaka mwisho

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 2 роки тому +6

    Beautiful girl damn❤️

  • @veronicaLuoga-vl2id
    @veronicaLuoga-vl2id 6 місяців тому

    Your like your sister we love you mimimars always your are good like your sis*** v
    Congrats........

  • @seifkhan9519
    @seifkhan9519 2 роки тому +2

    I like her

  • @winnyngugi7066
    @winnyngugi7066 2 роки тому +5

    Wooow...I love de interview😂😂Millard I say ure de best...napenda interview zako sana...God bless u man🙏love u from Kenya❤️❤️

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому

      Muchlove kwako Winny !! shukrani sana, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 роки тому +3

    So much love from Tanganyika

  • @dottoluhanya4684
    @dottoluhanya4684 2 роки тому +1

    Nice

  • @omanmobile5746
    @omanmobile5746 2 роки тому +2

    Nampenda sana huyu dada jmn nikirudi tz nitamsaka tupige hata picha❤❤❤❤

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 роки тому +3

    Mimi Mars mdogo angu wa damu ujue!mpare mwenzangu na wa Ar mwenzangu nakupendaaa dogo

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 2 роки тому +2

    Nimependa sna kka ulivyo jibu comment za wadau wako. Hongera sna, nakukubali Millard Ayo

  • @kellenalex6231
    @kellenalex6231 2 роки тому +6

    😊mashaallah jamani 🥰

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 2 роки тому +4

    Tunaooshi huku... Tunamiss sana sana tena sana vyakula vya bongo aisee

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 роки тому +5

    Awoooooooooote!!! 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 2 роки тому +3

    Safe sound

  • @gracepius1102
    @gracepius1102 2 роки тому +2

    nmefurah kukuona Millard bt nmemmis vido❤

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому +1

      Asante Grace, yupo sana mchek kwenye playlist ya HABARI ZA MASTAA kajaa tele

  • @doreenkihampa7204
    @doreenkihampa7204 2 роки тому +3

    Noma Sana brother pongezi kwa hii manzi💪hatushindwi sisi❤️

  • @mwajumampwemwende7143
    @mwajumampwemwende7143 2 роки тому +1

    Interview zako bro nitamu sanaaaa,,,,,,,,

  • @bronzejeru2814
    @bronzejeru2814 2 роки тому +3

    Tupo Asia tunakuwakilisha mama

  • @edinanoel6151
    @edinanoel6151 2 роки тому +1

    Ila milard😂

  • @matronamshanga3642
    @matronamshanga3642 2 роки тому +2

    Watching from 🇱🇷🇱🇷.

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 2 роки тому +6

    Mimi mars chuga queen

  • @zuuqueenhilson3135
    @zuuqueenhilson3135 2 роки тому +2

    Kali sn

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 2 роки тому +1

    Upo vizur kaka hongra akunaga kama wew

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 2 роки тому +3

    Ayo unanikosha sana nahiyo sauti Yako ya zege nakukubali sana big

  • @gracejengo1344
    @gracejengo1344 2 роки тому +1

    Millard.. nimesikiliza.. Moyoni kimoyo kama umemdondokea Mimimars Vileeee 😂🤭Nisamehe lakini....

  • @SaraMAVE-jt2mx
    @SaraMAVE-jt2mx Рік тому

    Namu penda sana mimi mars kutoka kongo

  • @SendokeDavina
    @SendokeDavina Рік тому

    Murembo ❤❤❤

  • @SHADRICKSHABANI
    @SHADRICKSHABANI 11 місяців тому

    🤝

  • @peninajulius8861
    @peninajulius8861 2 роки тому +2

    Millard ulikuwa unampenda sana Vanessa( rafiki) umemuulizia kama mtu uliyemmiss sana

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Рік тому

    I just loved the way she talked she very nice and I wish I can get a sister like her to be honest 👌🥰🥰🥰🥰♥️♥️❤️🌹💋🔥

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 2 роки тому +3

    Kweli huyu ni crush wa millad

  • @jacklinesuwi7646
    @jacklinesuwi7646 2 роки тому +2

    Millard comment yako pliz🥰🥰🥰

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 8 місяців тому

    Ilibidi nirudi kuangalia iyo nymbo kwnz😅 kweli bhana mdundo ni wa ukwee kabsa

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 2 роки тому +2

    Amshuru Mario tu haijawahi kufanya nyimbo kama hii bila Mario kiukweli Mario anahote mashaili nimusanii WA kisasa kila ngombo afafanyalo noma.......... Naogopa na armo noma

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +4

    Amazing interview 👌🏽

  • @ericklyimo131
    @ericklyimo131 2 роки тому +10

    Big up interview ✊✊✊

  • @happynessgodfrey9936
    @happynessgodfrey9936 2 роки тому +1

    🥰🥰

  • @AdenBoySuline-zm9if
    @AdenBoySuline-zm9if Рік тому

    Let's enjoy 🙌😂

  • @queensiku
    @queensiku 2 роки тому +1

    🔥🔥

  • @glorysamola1151
    @glorysamola1151 2 роки тому +3

    Wa kwanza leo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому +1

      hongera sana kwa kuwa wa kwanza kutazama Glory, tuko pamoja mpaka mwisho

  • @cyriln191
    @cyriln191 2 роки тому +2

    Kidizain Millard unamipango hapa.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 роки тому

      😂 😂 😂 😂 😂 😂 Nyoosha maelezo

  • @renathaboniphace8524
    @renathaboniphace8524 2 роки тому +1

    ❤❤

  • @wansibho554
    @wansibho554 2 роки тому +2

    Watching all the way from China, Interview safi💥

  • @dariokisitu9134
    @dariokisitu9134 2 роки тому +1

    ayo ni levo za mbere kabisaa

  • @todaysnewton4104
    @todaysnewton4104 2 роки тому +2

    Contact zako Millard naziomba kna jambo

  • @kefamkv3743
    @kefamkv3743 2 роки тому +5

    Ila mimi Mars ni mzur balaa
    Hilo pini la lala nimelikubal
    Interview ya kibabe 🙌💪

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 роки тому

      Asante kwa kutazama Kefa, pamoja mpaka mwisho !

  • @accuratehallunaire8541
    @accuratehallunaire8541 2 роки тому +1

    Kuikagua simu ya mtu ulie naye kwny mahusiano ni kulazimisha kutafta sabab za kuachana., kwnn ujihangaishe kuztafta km kwl unampenda, pia ikiwa hajaonesha dalil za kutotaka kuendelea na ww?

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Рік тому

    Hiv watumnajua huyu dada ni kama Miladi

  • @doricedaniel3563
    @doricedaniel3563 2 роки тому

    Sikuwahi kumfuailia huyu dada kwenye mziki ila sasa namuangalia kwenye jua kali ndo nimeanz kumfuatilia vizur duh unaniacha hoi sana binti mlokole 😂😂😂

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 2 роки тому +3

    Millard nipe namba yako

  • @ednanyangoro924
    @ednanyangoro924 2 роки тому +2

    Mwanangu Amanda in NY na yeye Anasema wabongo na yeye hawaendani... Naelewa na huyu binti kabisaa...

  • @saidhamis4120
    @saidhamis4120 2 роки тому +4

    Mars mbna kama anaruka viunzi sana😂😂😂😂😂

  • @zebakimuzic
    @zebakimuzic 2 роки тому +4

    Hujawahi kuniangusha milady ayo🤬🤬🤬🤬

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 2 роки тому +2

    Mery..wa lukasi

  • @victorburetta2972
    @victorburetta2972 2 роки тому +2

    💪💪

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 роки тому +4

    Huyu mtt mzuri kuliko dada yake

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 роки тому +3

    Millard iyo tano mliyopeana ni sign ya freemason msipende kuitumia mtajikuta pabaya bila kujua,ushauri tu

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 2 роки тому +4

    Mimi mars usiseme kupata mtto bado ufikirie now unamiaka mingapi usije ukamlea mtto uzeeni

    • @vanessarobyn4584
      @vanessarobyn4584 2 роки тому +2

      Jaman ebu muacheni huyu binti anaukubwa upi jamani umri wake ata miaka 29 bado jamani du TZ

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 роки тому +3

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 роки тому +1

      @@vanessarobyn4584 Ww kazaliwa 1990 na vanessa 1988 miaka 32 unaona midogo labda kama anataka azae na miaka ya kama dadaake

    • @Quee2662
      @Quee2662 2 роки тому +7

      Haaaa we uliezaa mapema umefaidi nn acheni ushamba kuzaaa kuzaa ukizaaa wewe inatosha

  • @hadijajaphari4550
    @hadijajaphari4550 2 роки тому +3

    Wapili...hahahaaaa

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 10 місяців тому

    ❤❤❤❤

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Рік тому

    ❤️❤️❤️

  • @lilyelisante5635
    @lilyelisante5635 2 роки тому +1

    🥰