NIMEPENDA BODY LAKE, NITAMUITA DADDY HUYU, NATAMANI KUMJUA KIUNDANI ZAIDI - HELLO MR. RIGHT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

КОМЕНТАРІ • 50

  • @FatmaHamad-hs3tj
    @FatmaHamad-hs3tj 7 місяців тому +7

    Navuka mwaka kama sina zaddy😂Acha niendelee kulala kama panga kisolo😂😂😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 7 місяців тому +1

    Hiv hawa wanawakenhawajui umaut upo nahuja ghafula eey mungu wangu tujalie mwisho mwema

  • @Juniorbaraka21
    @Juniorbaraka21 7 місяців тому

    Anitha i love your voice /communication ❤

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 7 місяців тому +24

    Hichi kipindi hakina maadili ya kivazi mpaka kinachotangazwa ni umalaya tu watt wakike muko uchi mapaja wazi sasa munaonesha nini mbona gala b kavaa heshima

    • @hadiadaoman1981
      @hadiadaoman1981 7 місяців тому +1

      Yaan umeliona hili kama mm hata wasichana wa kiislam na hawavai stala yaan hapo wanaunga zinaa tuu 😢

    • @lenakassian-pr3dy
      @lenakassian-pr3dy 7 місяців тому

      Kiufupi wameenda kujiuza ata hizo sababu wanazotoa wanaume anae mtaka ni hovyo tuu​@@hadiadaoman1981

    • @cleavededajao4673
      @cleavededajao4673 7 місяців тому +1

      Mnajifanya mnamaadili kushinda wengine

    • @RoseKesi-zj4yy
      @RoseKesi-zj4yy 7 місяців тому +1

      Kwani umeambiwa hapo ni kanisani

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 7 місяців тому +1

      @@RoseKesi-zj4yy
      Kuvaa heshima haitakiwi kanisani wala msikitini na wewe ni mmoja wapo si kwa povu hilo

  • @pezasally8204
    @pezasally8204 3 місяці тому

    Hiki n kipndi kizuri lakn m naona n kama wanahamasisha Ngono sana maana hat wakipatan wanapewa na mavidonge vya kubust sasa n vya nini kama n mr right kwann wasifnye n utaratibu wa ndoa kabisa maana hapo naona wakiptan wanaenda date na vidonge vyao en then utakuta baada ya one week or etc wanaachana wameshachokana wengne wanafika ndoa but wameshafanya hivyo vitu dah now n NGONO tu

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 7 місяців тому +4

    Mlisema waislam mnajisitiri na dada zetu wafuate mavazi Yao? 😂😂😂 Sio kwahayo matatu.sasa Mimi nasema fuateni mavazi ya wakristo cheki mc garaaaaaaaaaabiiii

  • @user-jj9xf7nt9k
    @user-jj9xf7nt9k 7 місяців тому +1

    Yani kama lulu diva acha kuvaa utupu mbona ukivaa kieshima unapendeza sana dada angu Yan mbaka matako yanakalibia kuonekana

  • @nzeyimanaabdallah131
    @nzeyimanaabdallah131 7 місяців тому +1

    Tunakutanisha watu na wanzao wakati sisi bado single kweli😂😂😂😂

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 7 місяців тому

    Kwa mavaz hayo we mbwa ten luludiva alokuambia kuvaa nusu uchi ndo ustaa kakudangany

  • @user-mi2vl7tv6y
    @user-mi2vl7tv6y 7 місяців тому

    Tunaomba mbadilishe muwe mnavaa vizuri jamani mnazidiwa na wanaume kuazima kwa nyie waandaaji

  • @tabithamitsanze9124
    @tabithamitsanze9124 7 місяців тому +2

    Lulu mtoto wa kislamu tattoos mamaa....mrudie Mungu ....mmmh mavazi apana

  • @user-fk5ni2up2s
    @user-fk5ni2up2s 7 місяців тому

    Kama unafanya ibada sio kwelii ibada zako zakuigiza but hayo mavaz sasa upendez atakidog kusema unasal

  • @user-gr2bh9yr2i
    @user-gr2bh9yr2i 7 місяців тому

    lulu diva yani ukejua kuka uchi sikupandeza 😂😂😂😂😂

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 7 місяців тому

      Mimi nime comment zimeshuka comment kama zote wanasema hapo si kanisani kwa hiyo kanisani tu ndio panahitaji vazi la heshima tunaelewa hapo ni dangulo na si kanisani ndio maana wapo uchi ni danguro

  • @MariaSalus
    @MariaSalus 7 місяців тому

    Huyo kaka siyo mchepuko,aliumwana nyoka mwenye sumu kali,alikuwa anauguza kidanda,kosa liko wapi,wake ndiyo hamna hapo

  • @VabraJerome-fy6nf
    @VabraJerome-fy6nf 7 місяців тому

    Yan watu wanatafuta wanawake au malaya mana mitatoo uchiuchi ndo usiseme khas uyu mwanamke utakaempt umu sijui km utatoboa nae km mtu uloesrz

  • @soltv8268
    @soltv8268 7 місяців тому +1

    Mmesha anza kuboa na vi klip visivyokua na mielekeo, alaf muendelezo hakuna

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 7 місяців тому +1

    Mnaongea sana kuliko shuguli inatakiwa ifanyike.mambo private ya nyumbani sio yakuongea on stage. Ona mnavyoongea na kusimamisha show without do anything.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 7 місяців тому

    Umalaya umekuwa mkubwa Tanzania kama chingu wanajiuza hazaran mpaka mitandaoni kweli njaa ikizidi na kukosa elimu na kujielewa ndio hayo mpumbavu wakubwa

  • @QueenMishy
    @QueenMishy 7 місяців тому

    Matattos yote hayo😢😢

  • @ameenaoman
    @ameenaoman 7 місяців тому

    Jamani mimi namtaka aje tikto atafute hunayf mim napeda Wa baba

  • @mwajumaalimasi2364
    @mwajumaalimasi2364 7 місяців тому

    veheni nguhozaheshima

  • @user-ox7qy7wy7j
    @user-ox7qy7wy7j 7 місяців тому

    Jaman nyie watu

  • @user-yq2hv2bq5j
    @user-yq2hv2bq5j 7 місяців тому

    Kwani wewe Lulu hauna nguo au?? Kwanini unapenda kutuvalia mavazi ya aibu wewe😢😢😢😢 jiheshimu we mwanamke 😢😢😢 sasa hapo unatuonesha nini 😢😢😢 Adabu hauna hata kidogo ,

    • @janethndunguru3538
      @janethndunguru3538 7 місяців тому

      Anakuwaga uchi tu Kila siku😢

    • @queensenya
      @queensenya 7 місяців тому

      @@janethndunguru3538 mwenzio anataka aoneshe tatuu hamuoni jmn😆😆😆😆

    • @rhodarichard4494
      @rhodarichard4494 7 місяців тому

      Ukisikia biashara matangazo huo ndio mfano wake! 😂😂

    • @user-yq2hv2bq5j
      @user-yq2hv2bq5j 7 місяців тому +1

      @@rhodarichard4494 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 місяців тому

    HUKIONA HIVYO VITU VYA HOVYOHOVYO NI YEYE MADAM LULU

  • @SamirSaid-ip8nn
    @SamirSaid-ip8nn 7 місяців тому +1

    Lulu punguza kukaa uchi umtt wa kisram wewe

  • @user-nn3ll5fr7s
    @user-nn3ll5fr7s 7 місяців тому

    😂😂😂😂