Dr, amkeni hata hizo 5000 hawalipwi wanalopwa 2200 zengine Joho na wenzake wamezila,wamedhulumu watoto watoto hata huruma Joho Hana, MUNGU atampa kichapo chake
Wakati ni huu kama si sasa basi sasa hivi. Wallahy safari hii wao ndio wataona kivumbi cha ajabu. Dr endelea kututoa mashkio taka. Mungu akuhefadhi doctor.
MashaAllah Dr. Amkeni Kwani ni muhimu watu kujua hususan wapwani lazima tuwe Na mwamko upya. Masikitiko makubwa sana kuona mombasa vile iko leo. Yasikitisha sana vijana wanajitolea Na bado kunyanyaswa. Lazima mambo haya yazingatiwe. Naomba kama wapwani enough is enough. Let’s focus ahead we can as well impeach our governor sio lazima we wait for 2022. Kwani what’s the wait daktari amkeni. We need permanent solutions no ground plays for cats and dogs
Mashallah TABARAKALLAH...MSEMA UKWELI HUPENDWA NA ALLAH S.W.T...BASI WEWE Dr babayetu Amkeni..Jazza yako yakutuelimisha utaipata kesho siku ya MALIPO..TWAKUPENDA KWA DHATI..ALLAH S.W.T..AKULINDE KWA AFYA NA UMRI NA AKUPE MWISHO MWEMA WA JAMIA MUSLIMIN..MASHKUR
Hao vichuzi wote watakufa wao na family zao kama kuku inshaallah haki haizami na twajuana lakini twasubiri chao kiko motoni wala hatuwaogope na wao wanajua kama sio wao basi watoto wao.one day yes
Shukran Dr Amkeni mola akupe afya na uzima, twakushkuru sana kwa kutuamsha, mola yuko pamoja na dua ya mwenye kudhulumiwa. Hassan na Abu na Saidoo wako mahali pabaya.
Langu kubwa kwako Doctor ni Duaa, Allah akupe afya umri na akuhifadhi na tili, na uadui wa mahasidi wa miji na nchi yetu . Keep going Doctor na mimi na mmoja wa walio "AMKA"
Why do people think they are immortal. We are brought to this world with a guarantee of going back to the creator. May Allah Almighty have mercy on us - Forgive our sins and make us good Human beings to serve his Humanity. AMEEN
Dean security wahuni I was there kazi Yao kunyanyasa watu n mshaara wao duni n hawalipi kwa wakati n hawana mipangilio n kazi Yao kila mmoja n mkubwa hapo ofisin
Seen that digida many years back when I used to live in bakarani..she was Always with lots of girls.young mostly mixed au 'waswahili' my aunt told me siku akikusimamisha kimbia..
@@hassanovajunior6972 nyinyi vichuzi wa pojo mungeli valishwa na leso ambayo imeandikwa- "mwanamume ni Abu" Iliobakia mufumuliwe na mupakwe hina. Hamujui kujitafutia risqi, kazi kuwapelekea gari, wanawake na mizinga. Vichuzi hamuna lolote labda shuzireh
True in 2012 ODM was the only party in all positions at kwake county from governor to MCA's tunavyoongea kwa sasa ODM haina mbunge hta mmoja kwale county.
@@ashamasudi9441 nawaende mi hata cjawai piga kura na ciiiona maana yake as HAKUNA wAkumpigia na umtakae hata umpigie ataibiwa ....kilichobaki nikukata kura ,kula pesa ya kampen na kuieka sandukuni...shida nini kitambul8sho changu kura yangu, miguu yakuendea debeni yangu ...potelea
Kwa ukweli waKenya hatujuwi namna kuchaguwa viongozi wetu. Shida zetu ni za kujibandika wenyewe. Dhulma zote za uizi wanaofanyiwa wakenya lakini muko pale pale chini ya Raila, Uhuru, Ruto, Sonko, Joho na wengi wanaowahadaa kwa maslahi zao za kibinafsi. Basi mkenya usitarajiye maisha kubadilika kuwa bora ikiwa watu ni wale wale mutawachaguwa tena.
Mm nasema hivi sheikh yyte ambae yuko kwa siasa huyo si mkamilifu wa dini yake , coz dini imekataza kutukanana kutolena aibu hali ya kuwa niwaislamu,mambo hayo yanafanywa na makafiri ndio kuna democrasia bt dini ya allah hakuna democrasia,kila mtu ana siku yake mm nawambia hapa leo,iko siku kitaeleweka insha allah kwa uwezo wake jalali,nyinyi tukananeni mutoleane aibu mpaka waliokufa mwawataja maskini ya mungu,kila mtu ana siku yake leo ni huyu kesho ni yule assalamu alaikum,samahani kama nimekosea
Dudu baya yuko wapi? Ben WA Sasa yupo wapi tangia 2017? Tz sai sijui imeingia na kitu gani. Lisu kupigiwa risasi na serekali ikakaa kimya. Mwinyi yuko wapi? Wacha Roma akimbilie ulsya for good
Tanzania ndio kuna ujinga 100 times worse. Ma DC wawachapa viboko watu kiholela, hamuna uhuru wa kujieleza wala wakulalamika. Magufool amewashika makende hamuwezi hata kupumua. Wacha kusema uongo
Kuna mmoja asema Tanzania mambo kama haya hayafanyiki bongo.Tanzania ndio kuna ujinga 100 times worse. Ma DC wawachapa viboko watu kiholela, hamuna uhuru wa kujieleza wala wakulalamika. Magufuli amewashika pabaya hamuwezi hata kupumua. Awacha kusema uongo
Ela za Corona, ziko wapi wa kenya yaani ukimfananisha magufuri na mlevi wenu uyo Uhuru, Alafu mkisha kuwa na uhuru wa kujieleza ndio mmekuwa Na maisha mazuri? Mbona Corona imewachapa na sijaona ao watu Wakiongea na pesa za Corona uhuru kaziiiba zote,, yaani African sasaivi huwezi mfananisha magufuri na takata yeyote
Subhanah Allah yani mtu anakuja dai haki yake unamfukuza na badae unamletea CID kisa mtu ana hela Ina lilahi waina ilahi rajiun ila Allah ndio mwenye hukmu
Haki haipotei watakufa vifo vibaya Sana hapa duniani na kesho wataenda kufuufuliwa na na hayo madeni inshaa llah mungu awatulipia kila kitu hakkuna mbaya zaidi na firaun alikuaje mwisho wake nao hao wanajifanya wana pesa zao hazitawasaidia kitu inshaa llah
A.aleikum dr Amkeni, hope all is well insha Allah. I accepted and acknowledged defeat on what matters to your facts&points. On your last video. ESP on the mswambweni takeover of Hon Feisel , as I always say I LOVE JUSTICE. As a Muslim & a human being. Cz Allah hukulipa hapa hapa hesabu tuu ndio akhera. Which I dnt want to be on the payroll of the Almighty which am not involved & connected to. In short I once saw justice & righteousness. Nature proved you right. Which left me speechless. Though and though you mentioned a name familiar. Mohammed Saggar !!! That shocked me. You also implied that you will explain more on your next video on all. I prayed so much that this video will not be related and released about him. Now that everything is in the open. Wallahy I go way back with him as a brother,friend and neighbor. Despite we didn’t know about all these issues. As an adult and matured man I can’t get involved in his business and life. All we knew he is a strong & solid supporter of Governor 001 (campaigns,controversial issues & political matters. It paid off and securing a job at kongowea market in the msa county. We all were happy for him. I know my brother he has a big mouth and reckless one too. I can imagine how he verbally approached you and assaulted you for exposing him. Cz his not the person proud & wants a reputation of hooligan,violence and crimes. He just might want the respect, dominance & fame. Of power & control. But trust me dr , Mohd Saggar was a nice family guy and loves his 3 boys so much. Which I know them personally and I even prayed with them during jumaa prayers yesterday 25th Friday at the mosque. I can’t fight nor defend what your saying I trust you know what your talking about. Though I can assure you despite the tremendous and amount of words he might have spoken to you. He will stop and seek for assistance from Allah and guidance to correct his mistakes. His a loyal worker and will do anything to satisfy his authorities/bosses/superiors. Na siku zote mtumwa hana makosa. All I ask is time. Time heals,time cures and time is everything. Trust me if reads my comment he will never know who I am. So believe me hajanituma Wallahy. It’s just generosity,sympathy and kindness. Which I hope if he also sees this message. It’s not about him but his kids & mother of his kids (family generally). I also thank you dr, not mentioning his family & relatives. Kumanisha wewe si mtu wakuingilia mtu, Bali kuingilia ubaya wa mtu anayo fanya. Which affects Mombasa & it’s people 👍🏾. That’s your agenda. With much said, I finish with all mistakes na dhulma done upon innocent workers & those suffering May Allah grant them justice,equality and blessings. For there patience,dedication and sacrifice Insha Allah. Assalam aleikum
DR AMKENI WEWE PIA WAFAA KUAMKA...HIZI ELECTION MNAZOSEMA VOTE ZENU ZINA COUNT ,NI SELECTION SIO ELECTION TENA ....KWAHIYO MSIDANGANYWE NA HAWA WANASIASA NI MANYOKA AMANI HAIJI ILA KWA NCHA YA UPANGA.
Dr. Ongera endelea hivyo kutuelimisha wapwani Mola akulinde kwa kila shari wewe na sisi pia...nahayo yote ambayo hawa viongozi wafisadi wanavyo dhulumu haki za watu Mola ndio hatawalipa inshaAllah
Mwanzo hao ni watu wakutiwa majumbani Hasa nyumba zetu za kislam jamani waislam wafukuzeni Huyo gawadi mungu atakulaani digidaa na wanao mtuma wote inshaa llah kma nikweli haya utwambiayo
Wote waizi waskupe kitwa hawa kama si waizi wangtengeza ma barara wakumuwa taka zitztupwa wapi wakajenga ma bararabara wakawapa watu makazi waiziiiiiiiiiii watu waogopa watu wafa ndaa kila mahali matope
Dr, amkeni hata hizo 5000 hawalipwi wanalopwa 2200 zengine Joho na wenzake wamezila,wamedhulumu watoto watoto hata huruma Joho Hana, MUNGU atampa kichapo chake
Mungu akueke Dr.uzidi kutuchanua 💕
kutuchanua tena?
ABUdu RoGo alisemaweeeee hamkkumuelewa SASA uyo Dr ata wachanua Kwa lipii ,nyi nyi mlishindwa kumuunga mkono shee Abudu ,subir cha moto
Hawa Hawa kina abuu na saido walininyanganya biashara yangu at shanzu, mungu awalaani wao na vizazi vyao
Pole kaka mungu halali.
POLE SANA NDUGU YANGU
Pole kaka mungu atakulipia
nakuombea
Shanzu area gani bro
Wakati ni huu kama si sasa basi sasa hivi. Wallahy safari hii wao ndio wataona kivumbi cha ajabu. Dr endelea kututoa mashkio taka. Mungu akuhefadhi doctor.
Wewe ni simba Mungu akuwekee akupe umry Afia na uzima
MashaAllah Dr. Amkeni Kwani ni muhimu watu kujua hususan wapwani lazima tuwe Na mwamko upya. Masikitiko makubwa sana kuona mombasa vile iko leo. Yasikitisha sana vijana wanajitolea Na bado kunyanyaswa. Lazima mambo haya yazingatiwe. Naomba kama wapwani enough is enough. Let’s focus ahead we can as well impeach our governor sio lazima we wait for 2022. Kwani what’s the wait daktari amkeni. We need permanent solutions no ground plays for cats and dogs
Nakwambia wee mambo ya kusikitisha sana ya kutumia na watu
Mashallah TABARAKALLAH...MSEMA UKWELI HUPENDWA NA ALLAH S.W.T...BASI WEWE Dr babayetu Amkeni..Jazza yako yakutuelimisha utaipata kesho siku ya MALIPO..TWAKUPENDA KWA DHATI..ALLAH S.W.T..AKULINDE KWA AFYA NA UMRI NA AKUPE MWISHO MWEMA WA JAMIA MUSLIMIN..MASHKUR
Allah atawalipa inshallah malipo ni hapahapa hiku siku itafika tu Ameen
Mungu Atakuhifadhi Bro Akupe Afya Na Nguvu Na Umri Ameeeen 🤲 Wallahi Nayapenda Maneno Yako Yatufunguwa Bongo Mungu Akuweke Ameeen 🤲
Ameen
Aamin aamin
Hao vichuzi wote watakufa wao na family zao kama kuku inshaallah haki haizami na twajuana lakini twasubiri chao kiko motoni wala hatuwaogope na wao wanajua kama sio wao basi watoto wao.one day yes
Kabisa. Nijambo la kusikitisha
Digidaa 🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🤣🤣😂😂jina kama shetani 🔥
🙄😂😂😂
Digidaa mungu Atamtosha
Digidaa atamalizwa na umma in shaa Allah
Shukran Dr Amkeni mola akupe afya na uzima, twakushkuru sana kwa kutuamsha, mola yuko pamoja na dua ya mwenye kudhulumiwa. Hassan na Abu na Saidoo wako mahali pabaya.
Langu kubwa kwako Doctor ni Duaa, Allah akupe afya umri na akuhifadhi na tili, na uadui wa mahasidi wa miji na nchi yetu . Keep going Doctor na mimi na mmoja wa walio "AMKA"
Allah atatuhukumia nao Ameen
Allah atawatosha in shaa Allah kwa dhulma zao wezi hao pesa za umma haki haizami yaolea
Endelea kutupa ukweli Dr
Watu aina hii ni kidogo sana Mombasa,🙏🙏🙏🙏 mungu akulinde sana Mjomba.
AMEEN 🙏🙏
Wape wape dr.amkeni wanajaribu kutulaghai hope tumefungua macho watu wa mombasa
Hawa viongozi wa siasa, wanaofanya dhulma lazima wakomeshwe, safi sana ningependa na mimi ni share hii kwenye Channel yetu, Kutoka Washington DC,
Ahsanta Dr.
19:56 siku muogopa mbwa nitaogopa mtoto wa mbwa hahaha
Joho ajua Tu kuharibu vijana Kwa madawa ya kulevya. No corrupt Sana. Mungu atamlipa yeye na vizazi vyake vinne Kwa dhuluma afanyazo
Ameen
Assalam Aleikum Dr. Amkeni ,Tafadhal Tuelezee Zaidi Kuhusu Ali Bogo Wa Kisauni. Next Video.
Why do people think they are immortal. We are brought to this world with a guarantee of going back to the creator. May Allah Almighty have mercy on us - Forgive our sins and make us good Human beings to serve his Humanity. AMEEN
mzee nimekuelewa vizuri sana natamani ungekuwa tz
"Hahahahahaha" hio part ya sikumogopa mbwa salalaaaaaa, 😆🧯
Duh😅😅😅😅✋✋
Joho tutanyorosha 2022 inshaalah
NIUWAZI KURA APEWE HON HASSAN OMAR SARAI ASUBUHI NA MCHANA INSHAALLAH
Dean security wahuni I was there kazi Yao kunyanyasa watu n mshaara wao duni n hawalipi kwa wakati n hawana mipangilio n kazi Yao kila mmoja n mkubwa hapo ofisin
HAKUNA ZAIDI YA MUNGU, DHULMA SINJEMA
Mungu Akulinde
Hakuna zaidi yamungu sinjema
Yes kweli kabisa 👏🏻👏🏻👏🏻👍🏻👍🏻
Seen that digida many years back when I used to live in bakarani..she was Always with lots of girls.young mostly mixed au 'waswahili' my aunt told me siku akikusimamisha kimbia..
nawe ulihama mtaa. hakupati ng'o!
@@semayote2831 🤣🤣
Really?
@@bonniemzuri5808 I remember it like it was yesterday..
Mombasa ni chafu sana tena sana walai,kila kona takataka
Wambireh Dokta. Hawo jama ni matapeli hali ya juu. Mombasa imekua kama sura za mkundu wa pojo
Hahahaha eti sura kama mkundu wa pojo kkkkkk
Mbona sio kama mkundu wako mweusi mbwa wew
@@hassanovajunior6972 kichuzi spotted
@@hassanovajunior6972 nyinyi vichuzi wa pojo mungeli valishwa na leso ambayo imeandikwa- "mwanamume ni Abu" Iliobakia mufumuliwe na mupakwe hina. Hamujui kujitafutia risqi, kazi kuwapelekea gari, wanawake na mizinga. Vichuzi hamuna lolote labda shuzireh
True in 2012 ODM was the only party in all positions at kwake county from governor to MCA's tunavyoongea kwa sasa ODM haina mbunge hta mmoja kwale county.
Kuna Dalu Benjameni wa Kinango
@@jumamlako1886 lakini hana nguvu kwasababu yuko pekeyake
@@jumamlako1886 Benjamin Tayari wa kinango alihama pamoja na Aisha Jumwa kutoka ODM. Anamuunga mkono Ruto kwa sasa
ODM imekwisha kabisa, Raila hana nguvu tena.
@@ashamasudi9441 nawaende mi hata cjawai piga kura na ciiiona maana yake as HAKUNA wAkumpigia na umtakae hata umpigie ataibiwa ....kilichobaki nikukata kura ,kula pesa ya kampen na kuieka sandukuni...shida nini kitambul8sho changu kura yangu, miguu yakuendea debeni yangu ...potelea
haki ya mtu hailiki zitawatoka kwa puwani
Mola atakuhifadhi naawa shedhe mahasidi
Kwa ukweli waKenya hatujuwi namna kuchaguwa viongozi wetu. Shida zetu ni za kujibandika wenyewe. Dhulma zote za uizi wanaofanyiwa wakenya lakini muko pale pale chini ya Raila, Uhuru, Ruto, Sonko, Joho na wengi wanaowahadaa kwa maslahi zao za kibinafsi. Basi mkenya usitarajiye maisha kubadilika kuwa bora ikiwa watu ni wale wale mutawachaguwa tena.
Hili la dean security naweza shuhudia niya kweli.
Yote niyakweli bro
Magari za taka walipewa bure kutoka kwa Mombasa cement
Mm nasema hivi sheikh yyte ambae yuko kwa siasa huyo si mkamilifu wa dini yake , coz dini imekataza kutukanana kutolena aibu hali ya kuwa niwaislamu,mambo hayo yanafanywa na makafiri ndio kuna democrasia bt dini ya allah hakuna democrasia,kila mtu ana siku yake mm nawambia hapa leo,iko siku kitaeleweka insha allah kwa uwezo wake jalali,nyinyi tukananeni mutoleane aibu mpaka waliokufa mwawataja maskini ya mungu,kila mtu ana siku yake leo ni huyu kesho ni yule assalamu alaikum,samahani kama nimekosea
Juma Ngao nae mnafki mkubwa atakaeingia motoni siku ya qiyama
Kwani uyo joho ninani hasaaa hapo ktk Kenya ,ilA M,mungu anamuona joho
Allah atawashida kwa udhalim wanaoufanya
Ila watu wa aina hii hupewa umri na badae wanakuwa na mwisho mbaya
Ni Ali mbongo not Ali mboga.. but kweli chuma bado yuko nacho.. 2022 twa wangoja...
Umoja ni nguvu utengamano ni udhaifu na kwa hakika amani haiji ilaa kwa ncha ya upanga.
Shukran Dr.Amkeni
Makubwa madogo yana nafuu wanatuibia pesa zetu na wanatutafunia wanawetu siwatu hawa
Dr usiogope mtu yeyote Allah ako na ww na duaa zetu.. usiogope hawa mashetani mwisho wao uko karibu
Almarhuum,shekh Abudu Rogo M,mungu Ampe Janatul Fildaus,yote hayo aliyasema yote,Uisilam usipo simama hakuna kitakacho kuwa
Ww JOHO maliza uende usjarbu kungana mtu mkono utamwangusha
Hio mm nimefikiria sana. Safari hii anae shikana na joho ajue ataramba mchanga 2022
POLENI MOMBASA UJINGA KAMA HUO NEVER HAPPEN IN TANZANIA 😐😐😐SORRY
Dudu baya yuko wapi?
Ben WA Sasa yupo wapi tangia 2017?
Tz sai sijui imeingia na kitu gani.
Lisu kupigiwa risasi na serekali ikakaa kimya.
Mwinyi yuko wapi?
Wacha Roma akimbilie ulsya for good
Tanzania ndio kuna ujinga 100 times worse. Ma DC wawachapa viboko watu kiholela, hamuna uhuru wa kujieleza wala wakulalamika. Magufool amewashika makende hamuwezi hata kupumua. Wacha kusema uongo
Bimu Tanzania hakuna kazi kwa vijana na haitatokeapo kwa magufuli anavowadhulumu
Kuna mmoja asema Tanzania mambo kama haya hayafanyiki bongo.Tanzania ndio kuna ujinga 100 times worse. Ma DC wawachapa viboko watu kiholela, hamuna uhuru wa kujieleza wala wakulalamika. Magufuli amewashika pabaya hamuwezi hata kupumua. Awacha kusema uongo
Ela za Corona, ziko wapi wa kenya yaani ukimfananisha magufuri na mlevi wenu uyo Uhuru, Alafu mkisha kuwa na uhuru wa kujieleza ndio mmekuwa Na maisha mazuri? Mbona Corona imewachapa na sijaona ao watu Wakiongea na pesa za Corona uhuru kaziiiba zote,, yaani African sasaivi huwezi mfananisha magufuri na takata yeyote
Subhanah Allah yani mtu anakuja dai haki yake unamfukuza na badae unamletea CID kisa mtu ana hela Ina lilahi waina ilahi rajiun ila Allah ndio mwenye hukmu
Ili kuwaogopesha na wengne
Qualification za joho na mishi mboko ni kumtukana uhuru,sasa wanakula wote pamoja.Next time chagueni akili timamu si madomo kaya.
Labda Bro nikwambie kitu kati ya awa watu,Uhuru,Ruto na Raila akuna siku ata moja watakuja waeka wakenya mahali pazuri...labda tuwakatae wote... .
Allah akulinde baba watu waamke mombasa
Allah ndie atakae walipa kwa dhulma zao InshaAllah
Mola akulinde usiku na mchana kwa kuwafahamisha ukweli ulipo inshaallah
Haki haipotei watakufa vifo vibaya Sana hapa duniani na kesho wataenda kufuufuliwa na na hayo madeni inshaa llah mungu awatulipia kila kitu hakkuna mbaya zaidi na firaun alikuaje mwisho wake nao hao wanajifanya wana pesa zao hazitawasaidia kitu inshaa llah
Waaleykum salaam.Brother salamu za krismasi usižitume bana.. ndugu muislamu usieneze salamu zisizofaa ..unamtusi ALLAH bila yakujua
Nkt.. fvcc Islamophobia.
Deni la rungi lamgoja 😂🙊
Ni kweli Dr Amkeni...mi mwenyewe nilifanya kazi hiyo hiyo company Kwa miezi miwili...sijapewa hata shilling,nilidai mpaka nimeachana nayo
Kabisa toa siri yao bro thanks alots
Mazha llah mughu akuhifadhi amedn
Ameen Ameen Ameen
Ameen
Ameen
HAO WAMELAANIWA KILA AINA YA UOVU NI WAO ALIELAANIWA NA ALLAH HAKUNA AWEZAE KUMUONGOZA WASUBIRI AHADI ZA ALLAH MA DHWALEEM WAKUBWA
Wamelaaniwa kabisa. Kabisa Laanatullha
Shekh Rogo pumzika Kwa Amani,na rafiki yako ,makabur
Hekima ikulinde ndugu yangu
Machozi ya myonge ulipwa na mwenyezi Mungu..
Hahaha Juma Ngono
Hahaa mtoto wa mbwa
Hiyo ni Dhulma
I Salute Mr
Malipo ya 15,000 yalikuwa wakati wa lockdown ili kuwapatia confidence wakati wa Corona ilivyokuwa na kasi na tishio zaidi.
Kwali kabisa hawapati kitu 2022
Abu na Joho wanataka ku grabbe Pirate's beach
Swadaqtah dr
Mungu halali
A.aleikum dr Amkeni, hope all is well insha Allah. I accepted and acknowledged defeat on what matters to your facts&points. On your last video. ESP on the mswambweni takeover of Hon Feisel , as I always say I LOVE JUSTICE. As a Muslim & a human being. Cz Allah hukulipa hapa hapa hesabu tuu ndio akhera.
Which I dnt want to be on the payroll of the Almighty which am not involved & connected to.
In short I once saw justice & righteousness. Nature proved you right. Which left me speechless.
Though and though you mentioned a name familiar.
Mohammed Saggar !!! That shocked me.
You also implied that you will explain more on your next video on all.
I prayed so much that this video will not be related and released about him.
Now that everything is in the open. Wallahy I go way back with him as a brother,friend and neighbor. Despite we didn’t know about all these issues.
As an adult and matured man I can’t get involved in his business and life.
All we knew he is a strong & solid supporter of Governor 001 (campaigns,controversial issues & political matters. It paid off and securing a job at kongowea market in the msa county.
We all were happy for him.
I know my brother he has a big mouth and reckless one too. I can imagine how he verbally approached you and assaulted you for exposing him. Cz his not the person proud & wants a reputation of hooligan,violence and crimes.
He just might want the respect, dominance & fame. Of power & control.
But trust me dr , Mohd Saggar was a nice family guy and loves his 3 boys so much.
Which I know them personally and I even prayed with them during jumaa prayers yesterday 25th Friday at the mosque.
I can’t fight nor defend what your saying I trust you know what your talking about.
Though I can assure you despite the tremendous and amount of words he might have spoken to you.
He will stop and seek for assistance from Allah and guidance to correct his mistakes.
His a loyal worker and will do anything to satisfy his authorities/bosses/superiors.
Na siku zote mtumwa hana makosa.
All I ask is time. Time heals,time cures and time is everything.
Trust me if reads my comment he will never know who I am. So believe me hajanituma Wallahy.
It’s just generosity,sympathy and kindness.
Which I hope if he also sees this message.
It’s not about him but his kids & mother of his kids (family generally).
I also thank you dr, not mentioning his family & relatives.
Kumanisha wewe si mtu wakuingilia mtu, Bali kuingilia ubaya wa mtu anayo fanya.
Which affects Mombasa & it’s people 👍🏾.
That’s your agenda.
With much said, I finish with all mistakes na dhulma done upon innocent workers & those suffering May Allah grant them justice,equality and blessings. For there patience,dedication and sacrifice Insha Allah.
Assalam aleikum
Dr Amkeni Mshawatu maana wamezidi.. sisi ama wao.. lazima kieleweke.. chuma chao ni debeni
Sigeuki bubwi mimi katuuu Nikapasua maneno!!!!!! Mupooo????
I salute Allah Protect you
Mjomba umejiamini🤣
Haogopi kula shaba 😊😊
@@maryamtemba1760 😁😂 anifurahisha sana ....
Mambo ya kitwaghuut yanafanywa na jamiii ya kiisilam ,I nnalilai wainailaih
ODM ilikuwa 2007 na ilikwiasha 2007 ikabaki Combo.......
Well done 👍👍
DR AMKENI WEWE PIA WAFAA KUAMKA...HIZI ELECTION MNAZOSEMA VOTE ZENU ZINA COUNT ,NI SELECTION SIO ELECTION TENA ....KWAHIYO MSIDANGANYWE NA HAWA WANASIASA NI MANYOKA AMANI HAIJI ILA KWA NCHA YA UPANGA.
Pojooo na pandya wa evita wasemajee???
Ambae hataki BBI kama mm agonge like hapa👇
Got it,👍👍👍
Dr. Ongera endelea hivyo kutuelimisha wapwani Mola akulinde kwa kila shari wewe na sisi pia...nahayo yote ambayo hawa viongozi wafisadi wanavyo dhulumu haki za watu Mola ndio hatawalipa inshaAllah
As Salam Aleikum Dr.... Mimi hiyo clock yanikera Sana.... Nimeona video kadhaa zako na sioni ikisonga... Please change battery yake. Shukran
kama mimi nigesomea halbadiri huyo vichii
Me nahasira sana na awa watu
Joho asomewe albadir
Harub asema wewe umeritadi jee ni kweli Dr.Amkeni ni Murtad??
Why are these poeple undermining other others. Don't they fear GOD.
They ain't fear Allha
My brother ur true but to be n uk and to say its not wrth
Mwanzo hao ni watu wakutiwa majumbani Hasa nyumba zetu za kislam jamani waislam wafukuzeni Huyo gawadi mungu atakulaani digidaa na wanao mtuma wote inshaa llah kma nikweli haya utwambiayo
Every 🐕 has its day
Wote waizi waskupe kitwa hawa kama si waizi wangtengeza ma barara wakumuwa taka zitztupwa wapi wakajenga ma bararabara wakawapa watu makazi waiziiiiiiiiiii watu waogopa watu wafa ndaa kila mahali matope