Nipo America mch lkn kila ujumbe wako huwa ninaisikia sauti ya Mungu ikisema na mimi japo Nina tatizo nifanyeje niongee na wewe mch mwenye hekima unisaidie.
Mimi ni mchungaji nipo Tanga napenda sana mafundisho Yako pia naomba namba yako mchungaji kwani nimekuwa natamani kuwa sehemu ya huduma yako katika mkoa wa tanga
Wah Man of God mungu anakutumia visuri
Unanibariki sana mchungaji nikiangalia maubili yako
Nabarikiwaa sana
MUNGU akulinde❤❤❤
Baba nakuelewa sanaa
Amen
Mungu twakuomba wakati Huu Wa Ramadan katika Jina la yesu Christo tufiche Kwa damu YA mwanao kondoo🙏🙏🙏
Ooooh My Goodness prophet true prophecy Prophet Pastor George Mukabwa I swear your prophecy today lands on me😢😢😢😢😢
Nabarikiwa navuka sana,Mtumishi Mungu akuinue🙌
MUNGU azidi kukuinua kwa viwango vya juu na juu zaidi baba
Ubalikiwe sanaaaa pastor
MUNGU wangu huyu Mtumishi wa MUNGU ananibariki sana sana!
Hareruya bwana Yesu Asifiwe najitoa kwanye Matatizo hayote nitete
Tuaendelea kupona mungu akuinue
Amen 🙏
Mbarikiwe, ila tunaombeni mnapokuwa mnarusha vipindi, sauti kidogo mweke sawa
Amen amen amen 🙏💖
In Kenya unanibariki sana na ujumbe wako
Asante pastor
Nipo America mch lkn kila ujumbe wako huwa ninaisikia sauti ya Mungu ikisema na mimi japo Nina tatizo nifanyeje niongee na wewe mch mwenye hekima unisaidie.
Yesu asifiwe kwa neema yaafundisho anayoachilia kwetu
Amina Nimekuelewa Mtumishi
Sauti ni ndogo mtu wa Mungu.
Asante k1a somo zuri.
Am blessed
Baba mimi huwa nakuelewa,tungekuwa maandazi ungetutumbukiza mazima kwenye mafuta ili tuelewe unavyopenda tuelewe mafundisho yako
Huyu natamani sana one day nikutane nae tu hata nimshiike mkono ntapona
Dady unanifungua sana kwa mahubiri yako be blessed man of God
Mimi ni mchungaji nipo Tanga napenda sana mafundisho Yako pia naomba namba yako mchungaji kwani nimekuwa natamani kuwa sehemu ya huduma yako katika mkoa wa tanga
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@@StelaWile-qj4jtnaomba namba ya pastor Kama unayo mtumishi
Amen 🙏🙏🙏